×

Habari

Kajala Atinga Kortini Kudai Talaka

NA IMELDA MTEMA | AMANI | HABARI DAR ES SALAAM: Nyota wa muvi za Kibongo, Kajala Masanja anadaiwa kudai talaka...

READ MORE

Fuatilia Yanayojiri Bungeni, Bajeti ya Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi (Aprili 27)

LEO Alhamisi, Aprili 27, 2017 Mkutano wa Bunge Mjini Dodoma ni kujadili Bajeti ya Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi....

READ MORE

Mali za Lugumi Mikononi mwa TRA

Kampuni  ya udalali ya Yono, imefanikiwa kukamata mali za wafanyabiashara wanaodaiwa kodi ya serikali inayofikia zaidi ya Sh bilioni 68.1....

READ MORE

Shilole: Sasa Natamani Kuvaa Shela

IMELDA MTEMA | AMANI | Showbiz Xtra STAA wa Mduara Bongo, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ amefunguka kuwa, sasa anatamani kuvaa shela...

READ MORE

Jahazi Kulisimamisha Jiji

NA MWANDISHI WETU | SHOW BIZ Bendi ya Jahazi Modern Taarab ikiongozwa na mastaa wake, Leila Rashid, Amigo, Mwasiti Kitolonto,...

READ MORE

MB Dog Amiliki 30% ya Hisa Kampuni ya Oman

GABRIEL NG’OSHA | AMANI | Showbiz Xtra LEGENDARY wa Bongo Fleva, Mohammed Mbwana ‘Mb Dog’ aliyewahi kutamba na Ngoma ya...

READ MORE

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi ya April 27

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, April 27, 2017. Ni yale ya...

READ MORE

Bibi Ajinyakulia Pikipiki Droo Ndogo Ya Tatu ya Shinda Nyumba

Mkazi wa Tanga Bi. Agness Lymo (54) ameibuka mshindi wa pikipiki katika droo ndogo iliyochezeshwa leo Jumatano kwenye Viwanja vya...

READ MORE

Maajabu ya Dunia… Binti Darasa la 7 Aota Matiti Manne

STORI: MWANDISHI WETU | RISASI JUMATANO | DAR ES SALAAM Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni! Hivyo ndivyo unavyoweza kusema...

READ MORE

Mjema Azindua Ujenzi Barabara ya Pugu-Majohe Dar

MKUU wa Wilaya ya Ilala, Sophia Mjema, leo amezindua ujenzi wa barabara ya kutoka Pugu mpaka Majohe kwa kiwango cha...

READ MORE

Mtitu: Sinema za Nje Ziingie Nchini Tupate Changamoto

PRODYUZA na muigizaji  wa filamu za Kibongo, William Mtitu,  amefunguka kuwa filamu za nje ziendelee kuingia nchini ila kwa utaratibu...

READ MORE

Mfahamu Zaidi Rais Mtarajiwa wa Ufaransa

EMMANUEL MARCON mwenye umri wa miaka 39 ndiye anayetarajiwa kuwa rais ajaye wa Ufaransa. Pamoja na hayo, Marcon ambaye ameoa...

READ MORE

Kenya Imepiga Marufuku Gesi ya Kupikia ya Tanzania Kuingizwa Nchini Humo

Wizara ya Nishati ya Kenya imepiga marufuku gesi ya kupikia kutoka Tanzania kuingia nchini humo. Tamko la Katibu Mkuu wa...

READ MORE

Eric Shigongo: Thank You CRDB Bank!

Thank You CRDB Bank! THOUGH there are still some few challenges as many organizations are, all I can say is;...

READ MORE

Rais Magufuli Asamehe Wafungwa 2,219

Katika kuadhimisha Miaka 53 ya Muungano wa Tanzania tarehe 26 Aprili, 2017 Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...

READ MORE

Watanzania Wang’ara Marekani, Wajishindia Mil 168 Ubunifu wa Miradi

WATANZANIA wawili wwenye Shahada ya Uzamili ya Uongozi katika Biashara (MBA), wameshika nafasi ya kwanza na kutunukiwa Dola 75,000 (sawa...

READ MORE

VIDEO: Sakata la Kutoa Lugha Chafu kwa Spika, Halima Mdee Aliangukia Bunge

KUFUATIA tuhuma za kudaiwa kutoa lugha chafu Bungeni mjini Dodoma hivi karibuni, Mbunge wa Kawe, Halima James Mdee (CHADEMA) jana...

READ MORE

Mshindi wa Droo ya Tatu ya Shinda Nyumba Kuondoka na Tecno Phantom 6 Leo

Droo ndogo ya Shinda Nyumba awamu ya tatu itatolewa leo katika Viwanja vya Bakhresa, Manzese jijini Dar es Salaam ambapo...

READ MORE

Rais Magufuli: Yeyote Atakayethubutu Kuuvunja Muungano wa Tanzania, Atavunjika Yeye (VIDEO)

DODOMA: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amri Jeshi Mkuu, Dkt. John Pombe Magufuli ametoa onyo kuwa, yeyote...

READ MORE

Simbu Aeleza Alivyovunja Rekodi Yake ya Olimpiki

MAKALA: IBRAHIMU MUSSA | CHAMPIONI JUMATANO | HABARI MWANARIADHA wa Tanzania, Alphonce Felix Simbu, wikiendi iliyopita alifanikiwa kushika nafasi ya...

READ MORE

Marekani Yaweka Mtambo wa Kulinda Korea Kusini

Korea Kusini imesema wanajeshi wa Marekani wameanza kujenga mtambo wa kisasa wa kuzuia makombora katika eneo moja kusini mwa nchi...

READ MORE

Warembo Washikiana Visu Kisa Penzi la Chuz

STORI: Mayasa Mariwata | RISASI JUMATANO | Za Motomoto News WAREMBO wawili wanaofanya tamthiliya ya Closet Chapter, waliofahamika kwa majina...

READ MORE

Thea: Tutukaneni, Tunatetea Haki Yetu

  Stori: Gladness Mallya | RISASI JUMATANO | Za Motomoto News MSANII wa filamu za Kibongo, Ndumbagwe Misayo ‘Thea’ ameibuka...

READ MORE

Shuhudia LIVE Makomando Wakikinukisha Kwenye Sherehe za Miaka 53 ya Muungano

Makomando wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), wakifanya maonyesho wakati wa sherehe za kutimiza miaka 53 ya muungano wa...

READ MORE

Harmorapa Kiki Zimetosha, Fanya Kazi!

NA GABRIEL NG’OSHA| RISASI JUMATANO | BARUA NZITO NIMSHUKURU Mwenyezi Mungu kwa kunipa nafasi hii adhimu ya kuweza kuzungumza na...

READ MORE

Mechi 1 Tu Simba Kimataifa, Wakiomba Yanga washinde Jumapili

NA MWANDISHI WETU | CHAMPIONI JUMATANO | HABARI NI sahihi kusema kuwa Simba wataishangilia Yanga Jumapili kama wenyewe watakuwa wameshinda...

READ MORE

Ester Kiama Anusurika Kipigo!

Stori: Gladness Mallya | RISASI JUMATANO | DAR ES SALAAM STAA wa filamu za Kibongo, Ester Kiama wiki iliyopita aliponea...

READ MORE

Prof. Palamagamba Kabudi Amwaga Madini Bungeni

DODOMA: Waziri wa Katiba na Sheria, Prof. Palamagamba Kabudi jana alitoa somo kali (madini) kwa Wabunge wa Jamhuri ya Muungano...

READ MORE

Droo Ndogo ya Tatu Pikipiki, TV, Smartphone Kutolewa Leo

PIKIPIKI ya tatu kutolewa tangu kuanza kwa droo ndogo za Shinda Nyumba awamu ya pili itatolewa leo katika Viwanja vya...

READ MORE

Barcelona Yatangaza Kumuuza Neymar

Mkurugenzi wa Ufundi wa Barcelona, Robert Fernandez amezungumzia juu ya suala la timu hiyo kumuuza staa wao, Neymar kisha kufanya...

READ MORE

Kiongozi wa Makhirikhiri Aokoka!

  STORI: MWANDISHI WETU | RISASI MCHANGANYIKO | DAR ES SALAAM Kiongozi wa kundi maarufu la Nyimbo za Asili la...

READ MORE

Straika Hatari Amchimba Mkwara Simon Msuva

Na Omary Mdose | Championi Jumatano | Habari STRAIKA hatari wa Ruvu Shooting, Abdulrahman Mussa, amemchimba mkwara Simon Msuva wa...

READ MORE

Ustawi wa Jamii Wamuonya Nay Kutelekeza Watoto

STORI: GLADNESS MALLYA NA SIFAEL PAUL | RISASI MCHANGANYIKO DAR ES SALAAM: Kutokana na wanawake kadhaa kuwahi kujitokeza na kudai...

READ MORE

Yaliyojiri Dodoma Kwenye Sherehe za Miaka 53 ya Muungano wa Tanzania

LEO Aprili 26, 2017 ikiwa ni siku ambayo Tanzania inasherehekea miaka 53 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Sherehe hizo...

READ MORE

Mgongano wa Kifikra Bongo Muvi ni Kaburi Jipya la Tasnia Hiyo

Na Ally Katalambula|IJUMAA WIKIENDA Aprili 20, mwaka huu wasanii wa filamu za Kibongo nchini walifanya maandamo ya amani sambamba na...

READ MORE

Banda Arejesha Matumaini Simba

Wilbert Molandi, Championi Jumatao, Habari KUREJEA kwa beki kiraka, Abdi Banda kumempa matumaini Kocha Mkuu wa Simba, Mcameroon, Joseph Omog...

READ MORE

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya April 26

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, April 26, 2017. Ni yale ya...

READ MORE