×

Habari

Sirro: Tumemkamata Mwizi Akiiba Mafuta ya Ndege ya ATCL

KAMISHNA wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, Simon Sirro amesema kuwa mnamo Machi 17 mwaka huu kwenye hanga la...

READ MORE

Thamani ya Samatha Yazipiku Simba, Yanga

WASWAHILI wanasema kipato huongeza majivuno na ukiona mtu kipato kimekuwa kikubwa na bado anaendelea kuwa muungwana, basi mheshimu sana. Mshambuliaji...

READ MORE

Kamanda Sirro: Tukio la RC Makonda Kuvamia Clouds Media Sijalipata Bado (VIDEO)

DAR ES SALAAM: Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamishna Simon Sirro amesema hajapata taarifa rasmi kuhusu...

READ MORE

Kaburi la Yesu Lafunguliwa Upya Jerusalem

Timu ya wanasayansi na wakarabati wamekamilisha kazi katika eneo linalodaiwa kuwa ni kaburi la Yesu Kristo katika mji wa zamani...

READ MORE

Gwajima Uso kwa Uso na Idriss Leo Clouds Fm

DAR ES SALAAM: Licha ya mbwembwe alizoonesha Mtangazaji wa Redio Choice FM, Idris Sultan katika uwanja katika wa soko la...

READ MORE

Washindi Droo Ndogo ya Pili Vicheko

WASHINDI wanne wa droo ndogo ya pili ya Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba awamu ya pili, inayoendeshwa na Global Publishers,...

READ MORE

Amber Lulu, Mume wa Mtu Waangusha Pati

    STORI: WAANDISHI WETU | RISASI MCHANGANYIKO | DAR ES SALAAM DAR ES SALAAM: Msanii na Video Queen, Amber Lulu anayetamba...

READ MORE

VIDEO: Waziri Nape Anatoa Ripoti ya Kamati ya Kumchunguza Makonda

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam amedaiwa kuwatishia kuwafunga jela miezi 6 au kuwapa tuhuma za dawa za kulevya...

READ MORE

Jukwaa la Wahariri Laamuru Vyombo Vyote vya Habari Nchini Kutofanya Kazi na RC Makonda

  Jukwaa la Wahariri Tanzania, leo Machi 22, 2017 limelaani kitendo kilichofanywa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,...

READ MORE

Meya wa Dar Amfungulia Mashtaka Matano Makonda

  Meya wa Manispaa ya Ubungo, Boniphace Jacob amemfungulia mashitaka matano Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda...

READ MORE

Mtoto Mchanga Atelekezwa Gesti Akilia

Stori: Mwandishi Wetu, Risasi Mchanganyiko MUSOMA: Kichanga chenye umri usiozidi wiki moja ambacho hakikufahamika jina lake, kilitelekezwa katika nyumba ya...

READ MORE

Kuzungumzia ‘ujamaa’ ni kupoteza wakati!

Na Walusanga Ndaki/GPL WIKI iliyopita tuliona baadhi ya wanasiasa nchini wanavyoendesha makongamano ya ‘ujamaa’  wakitafuta kusifiwa na Watanzania kuhusu mfumo...

READ MORE

Rayvanny Akataa Penzi la Jimama la Kenya

STORI: GLADNESS MALLYA | RISASI MCHANGANYIKO | DAR ES SALAAM STAA wa Bongo Fleva ambaye ni memba wa Lebo ya Wasafi...

READ MORE

Snura: Sitaki Wanangu Wanifuate

Stori: Ally Katalambula | RISASI MCHNGANYIKO | Risasi Vibes STAA wa Muziki wa Bongo Fleva, Snura Mushi amefunguka kuwa licha ya uanamuziki...

READ MORE

Breaking News: Askofu Gwajima Atembelea Clouds Kuwapa Pole Baada ya Kuvamiwa na Makonda (VIDEO)

Askofu wa Kanisa la Ufufuno na Uzima, la Jijini Dar es Salaam, Mch. Josephat Gwajima amewatembelea na kuwapa pole wafanyakazi...

READ MORE

Tanzania “Big Ishu Awards”… Hii Si ya Kukosa

Kwa mara ya kwanza Candy and candy group of companies wanakuletea Tuzo ya heshima Tanzania “BIG ISHU AWARDS” Tuzo hiyo...

READ MORE

Hussein Bashe – Tutakua Tunajenga Taifa la Raia Waoga, Msiingiwe na Woga Juu ya…

LEO Marhi 21, 2017 Mbunge wa Nzega Mjini Hussein Bashe (CCM)amechapisha ujumbe kupitia ukurasa wake wa Instagram wenye maneno haya. “Kama taifa...

READ MORE

Meya Dar Kuhudhuria Mkutano wa Serikali za Mitaa ‘Sauzi’

Stori: Denis Mtima/GPL MEYA wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita, leo ameondoka nchini kwenda kuhudhuria mkutano wa siku...

READ MORE

Video: Usikose Filamu Fupi Ya Barua

USIKOSE kutazama mwendelezo wa Filamu Fupi ya Barua sehemu ya pili kupitia hapa hapa, Global TV Online leo Jumanne, saa 12:00 Jioni....

READ MORE

Kigwangallah Aongoza Maadhimisho ya Siku ya Ustawi wa Jamii Dar

Na Denis Mtima/GPL NAIBU Waziri katika Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Wazee na Watoto, Dkt. Hamis Kigwangallah,...

READ MORE

Ratiba ya Kombe la Shirikisho Afrika, Yanga Kapangwa na Hawa Wababe… Atatoka?

Baada ya Klabu ya Dar es Salaam Young Africans (Yanga) kutolewa katika michuano ya Club Bingwa Afrika na Zanaco FC ya Zambia...

READ MORE

Airtel yazindua ‘HATUPIMI Bando’

Na Denis Mtima/GPL KAMPUNI ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania, leo imezindua ofa kabambe ijulikanayo kama ‘HATUPIMI Bando’ itakayowawezesha...

READ MORE

LIVE: Tecno Wazindua Smartphone Mpya ya Kijanja L9 Plus

KAMPUNI ya Simu ya Tecno imezindua smartphone mpya ya kijanaja Tecno L9 Plus. Sifa zake Simu hiyo mpya ina uwezo...

READ MORE

Hatimaye Spika Ndugai, Awafungukia Wabunge Waliojiuzulu

BAADA ya jana Machi 20, 2017, Mwenyekiti Kamati ya Kudumu ya Bunge, Viwanda na Biashara, Dkt. Dalaly Peter Kafumu, makamu mwenyekiti wa...

READ MORE

Kabila la Wala Watu-12

Wanaokula nyama za watu waliona bora miili wale wao kuliko kuoza na kuliwa na funza! ELVAN STAMBULI NA MTANDAO |...

READ MORE

Bilionea Rockefeller Aliyejenga Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Afariki Dunia

Bilionea maarufu nchini Marekani aliyefahamika zaidi kwa kutoa pesa kuwasaidia watu wasiojiweza sehemu mbalimbali za dunuia, David Rockefeller amefariki dunia...

READ MORE

Forbes: Dangote Bilionea Namba 1 Afrika Mwaka 2017, Mo Dewji wa 20… Orodha Yote Ipo Hapa

JARIDA Maarufu ambalo hufanya tafiti na kuchapisha rekodi mbalimbali za watu kwenye tasnia kadha wa kadha duniani, Forbes limemtaja Mfanyabiashara maarufu...

READ MORE

Video: Hii Ndiyo Sababu ya Wabunge Dalaly Kafumu na Vicky Kamata Kujiuzulu

BAADA ya jana Machi 20, 2017, Mwenyekiti Kamati ya Kudumu ya Bunge, Viwanda na Biashara, Dkt. Dalaly Peter Kafumu, makamu mwenyekiti wa...

READ MORE

Kitwanga Awavaa Makonda, Gwajima

Stori: Sifael Paul |  UWAZI | DAR ES SALAAM Figisufisu na ugomvi kati ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es...

READ MORE

Davido: Spimi Tena DNA

STORI: LAGOS, NIGERIA | SHOWBIZ | UWAZI MKALI wa Miondoko ya Afro Pop, kutoka Nigeria, David Adeleke ‘Davido’ hivi karibuni...

READ MORE

Wasafi.com ni Mtego kwa Mastaa Bongo

MAKALA: BONIPHACE NGUMIJE | UWAZI |SHOW BIZ  AGOSTI 2, 2016 staa mwenye jina kubwa ulimwenguni Shawn Carter ‘Jay Z’ alitimiza...

READ MORE

Maumivu ya Kiuno

MAKALA: UWAZI | AFYA KIUNO kuuma ni tatizo la kiafya na ni moja ya mambo ambayo yanasaba­bisha idadi kubwa ya...

READ MORE

Matunda Yanayosaidia Kupunguza Maumivu Ya Tumbo La Hedhi

    MAKALA: UWAZI | AFYA MZUNGUKO wa hedhi ni mzungu­ko wa kila mwezi am­bao mwanamke hu­upata, hali ambayo huleta...

READ MORE

Hapa Nimekuwekea Magazeti Yote Ya Tanzania Leo, Jumanne, Machi 21, 2017

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, Machi 21, 2017. Ni yale ya...

READ MORE

Ruge Ammaliza Makonda

Na: MWANDISHI WETU| WIKIENDA| HABARI DAR ES SALAAM: Uongozi wa Clouds Media Group umesema utachukua hatua ukituhumu wafanyakazi wake kuvamiwa...

READ MORE