×

Habari

NMB Kukopesha Zaidi ya Sh. Bilioni 500 kwa Biashara, Kilimo, Viwanda na Madini

  BENKI ya NMB imesema kuwa kwa sasa ina uwezo wa kumkopesha mteja mmoja zaidi ya Sh. Bilioni 500 kwa...

READ MORE

TLS Yakutana Na Kufanya Mazungumzo Na Jaji Mkuu Wa Mahakama Ya Tanzania

Viongozi wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Septemba 19, 2025, wamefanya mazungumzo na Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Mhe....

READ MORE

Binti wa Rais Paul Biya Aomba Umma Wasimpigie Kura Baba Yake

Yaoundé – Dunia imetaharuki baada ya Brenda Biya, binti wa Rais wa Cameroon Paul Biya, kuwataka wananchi wa nchi hiyo...

READ MORE

Mwenyekiti wa NEC Jaji Mwambegele Akagua Maandalizi ya Uchaguzi Mbeya

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele, Septemba 19, 2025 ametembelea Halmashauri ya...

READ MORE

TLS Yatisha Maandamano ya Amani Nchi Nzima Kupinga Shambulio kwa Wakili

Baraza la Uongozi la Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) limetangaza kuandaa maandamano ya amani nchi nzima, ikiwa ni ishara ya...

READ MORE

DC Nyamagana: Serikali Inatambua Kazi Nzuri ya OSHA Nchini

Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana, Amina Makilagi, amesema serikali inatambua kazi nzuri inayofanywa na Wakala wa Usalama na Afya Mahali...

READ MORE

Meridianbet Yachangia Mashine za Sanitizer Mwenge Hospitali

Kama kawaida wakali wa ubashiri Tanzania, Meridianbet wanaendelea na harakati zao za kurejesha kwenye jamii ambapo leo hii waliigusa hospitali...

READ MORE

Airtel Tanzania Yaifikisha SmartWASOMI Kwa Walimu Wa IT Visiwani Zanzibar

Airtel Tanzania, kupitia Airtel Africa Foundation na kwa kushirikiana na UNICEF pamoja na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, imeendesha...

READ MORE

Mwenyekiti wa CHADEMA Iringa Mjini, Frank Nyalusi Afariki

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Iringa Mjini, Frank Nyalusi, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo,...

READ MORE

Ubia Serikali na Sekta Binafsi Nguzo Kuu ya Dira 2025

Wadau wa maendeleo, wasomi na wataalamu kutoka sekta binafsi na uma wamesema Tanzania imepiga hatua kupitia Dira 2025 licha ya...

READ MORE

Mwanariadha wa Kenya Akamatwa Ukraine, Adai Kudanganywa na Jeshi la Urusi

Familia na marafiki wa mwanariadha wa Kenya, Evans Kibet, wamesema wameshtushwa na taarifa kwamba mtoto wao amekamatwa nchini Ukraine akiwa...

READ MORE

Mawakili wa Serikali Watakiwa Kuzingatia Sheria za Hifadhi ya Jamii

Mwanasheria Mkuu wa Serikali Hamza Johari afungua mafunzo ya hifadhi ya jamii kwa Mawakili wa Serikali. Mwanasheria Mkuu wa Serikali,...

READ MORE

Miili ya Masista waliofariki ajali ya gari yawasili Dar – Video

Miili ya Masista wa Kanisa Katoliki waliopoteza maisha katika ajali ya gari iliyotokea wilayani Misungwi, mkoani Mwanza, imewasili jijini Dar...

READ MORE

Kesi ya Kabila Yakabiliwa na Mashtaka Makali ya Mauaji, Ubakaji na Usaliti

Kinshasa, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo – Mahakama Kuu ya Kikosi cha Jeshi imeweka Ijumaa kama siku ya kutoa uamuzi...

READ MORE

Nilishindwa Mitihani Mara Nne, Lakini Hatua Niliyopiga Ilinifanya Nifaulu Kwa Alama Za Juu

Jiji lote la wanafunzi wa chuo kikuu lilijua jina langu kwa sababu ya kushindwa mitihani. Nilikuwa maarufu kwa sababu zisizo...

READ MORE

THBUB  Yatoa Mafunzo Kwa Jeshi La Polisi Kuhusu  Haki Za Binadamu 

Katibu Mtendaji wa Tume ya Haki za Binadamu na utawala bora (THBUB), Bw. Patience Ntwina amesema kuwa uchaguzi ni mchakato...

READ MORE

Rais Chekera wa Malawi Anaelekea Kushindwa Uchaguzi Mkuu

Uchaguzi mkuu wa Malawi unaoendelea umeingia katika hatua ya kusisimua baada ya matokeo ya awali kuonyesha kwamba Rais Lazarus Chakwera,...

READ MORE

Ziara ya Rais Trump Uingereza Yagubikwa na Vita ya Ukraine

Rais wa Marekani, Donald Trump, ameanza ziara yake rasmi nchini Uingereza, ziara inayotajwa kuwa na umuhimu wa kisiasa na kidiplomasia...

READ MORE

Dkt. Samia Amnadi Dkt. Mwinyi Katika Kampeni za CCM, Makunduchi

Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, Septemba 17,...

READ MORE

Jiko Linalotumia Mfumo wa Nishati Safi Lazinduliwa ya Sekondari Yusuf Makamba

Dar es Salaam, 19 Septemba 2025: Kampuni ya Oryx Gas Tanzania kwa kushirikiana na Tanzania Communities Rise Foundation(TCRF) wamezindua jiko...

READ MORE

Dkt. Samia: Uchaguzi si Vita, Ni Tendo la Demokrasia Tukapige kura, Turudi Nyumbani – Video

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan,...

READ MORE

Kesi ya Uhaini Dhidi ya Tundu Lissu Kuendelea Leo Mahakama Kuu, Dar

Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, inatarajiwa kuendelea leo, Alhamisi Septemba 18,...

READ MORE

Mahakama Kuu Afrika Kusini Yatupilia Mbali Rufaa ya Familia ya Edgar Lungu

Mahakama Kuu nchini Afrika Kusini ilitupilia mbali rufaa siku ya Jumanne iliyowasilishwa na familia ya aliyekuwa Rais wa Zambia, Edgar...

READ MORE

Waandamanaji Wapinga Ziara ya Rais Donald Trump Nchini Uingereza

Maelfu ya raia wa Uingereza wamejitokeza mitaani jijini London na miji mingine kupinga ziara ya Rais wa Marekani, Donald Trump,...

READ MORE

Dkt. Samia Aendelea na Kampeni za CCM Kusini Unguja (Picha +Video)

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Dkt....

READ MORE

Ajali Iliyochukua Maisha ya Baba na Watoto: Shuhuda Aeleza Dakika za Mwisho

Dar es Salaam imekumbwa na simanzi kubwa kufuatia ajali mbaya iliyopoteza maisha ya Baba wa familia, Francis Elineema Kaggi, watoto...

READ MORE

Mmoja Auawa Kwa Kisu Kisa Simba, Yanga

Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe limethibitisha mauaji yaliyotokea Septemba 16, 2025 saa 12:50 jioni Kitongoji cha Ululu, Idiwili –...

READ MORE

Makunduchi Wamkaribisha Dk. Samia Kwa Kishindo

Kutoka Makunduchi, Zanzibar safari ya maendeleo inaendelea kusonga mbele chini ya uongozi wa Rais na Mgombea Urais wa Chama Cha...

READ MORE

Askofu Mkuu Novatus Rugambwa Afariki Dunia

Aliyekuwa Balozi wa Baba Mtakatifu (Vatican) katika nchi mbalimbali duniani, Mtanzania Askofu Mkuu Novatus Rugambwa, amefariki dunia usiku wa Septemba...

READ MORE

Kongamano Kuhusu Uchumi Jumuishi Tanzania Kuimarisha Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050

Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kupitia Kigoda cha Uprofesa cha Mwalimu Julius K. Nyerere katika Taaluma za Umajumui wa...

READ MORE

CMSA Yathibitisha Hatifungani ya TCB kwa Umma

  Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) imetoa taarifa ya hali ya masoko ya mitaji nchini katika hafla...

READ MORE

Kasino Mtandaoni Kupambwa Na Diamond Hustle Ndani Ya Meridianbet

Meridianbet kupitia kwa mtoa huduma, Evoplay, imekuletea Diamond Hustle, mchezo wa sloti uliojaa teknolojia ya kisasa, msisimko wa bonasi, na...

READ MORE

NMB Yakutana na Wafanyabiashara Tabora

Benki ya NMB imefanya kongamano maalum na wafanyabiashara wa mkoa wa Tabora, likilenga kujadili fursa za kifedha na huduma mbalimbali...

READ MORE

Nilipoteza Ajira Yangu Bila Hata Sababu, Lakini Hatua Niliyopiga Ilinifanya Nipewe Nafasi Bora Zaidi

Sikuwahi kufikiria siku moja ningefutwa kazi bila hata kupewa sababu. Ilikuwa siku ya Ijumaa asubuhi nilipoitwa ghafla ofisini kwa meneja....

READ MORE

Dkt. Nchimbi Wilaya kwa Wilaya Tanga Akizisaka Kura za Ushindi CCM Tanga

Mgombea Mwenza wa kiti cha Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi leo Jumanne Septemba 16,2025...

READ MORE

Wabunge Chad waongeza muda wa rais kukaa madarakani

Wabunge nchini Chad, jana Jumatatu wamepitisha marekebisho ya katiba yanayoongeza muda wa rais kukaa madarakani kutoka miaka 5 hadi 7...

READ MORE

Mgombea Ubunge Buchosa Ashiriki Maziko ya Marehemu Hamis

Mgombea ubunge wa Jimbo la Buchosa, Eric Shigongo (CCM), ameshiriki pamoja na wananchi wa Kata ya Kalebezo katika mazishi ya...

READ MORE

Raia wa Malawi Wanapiga Kura Kumchagua Rais Leo

Raia wa Malawi, hivi leo wanapiga kura katika uchaguzi mkuu wa rais, Wabunge na madiwani, uchaguzi ambao unatarajiwa kuamua mustakabali...

READ MORE

Dkt. Nchimbi Aomba Wananchi Handeni Kuichagua CCM Kwa Kura Nyingi

MGOMBEA Urais mwenza kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel Nchimbi amewaomba wananchi wa Wilaya ya Handeni mkoani...

READ MORE

OSHA Kuiwezesha Shule ya Kambangwa Vifaa Vya Kujifunzia

Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) umeahidi kuiwezesha Shule ya Sekondari Kambangwa iliyopo Kinondoni Jijini Dar es...

READ MORE