×

Habari

Akatwa Koromeo Kimakosa Akifanyiwa Operesheni Ya Goita Hospitalini – Video

Hakika ukistaajabu ya Musa, utayaona ya Firauni! Ibrahim Farijallah, mkazi wa Survey, Chuo Kikuu, jijini Dar es Salaam, anakabiliwa na...

READ MORE

Balozi Nchimbi Aongoza Waombolezaji Kumuaga Mzee Mongella

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi ameongoza mamia ya waombolezaji, katika utoaji wa heshima...

READ MORE

Chuo cha Ukamanda na Unadhimu Tanzania Chaandaa Kongamano

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania kupitia Chuo cha Ukamanda na Unadhimu  Tanzania limeandaa Kongamano kuhusu  Usalama wa Kitaifa...

READ MORE

Majaliwa: Serikali Inatambua Mchango Wa Viongozi Wa Dini

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Awamu ya Sita inawaamini na inathamini mchango wa viongozi wa dini wa madhehebu...

READ MORE

Jenerali Ulimwengu Alivyoongoza Mjadala wa Kitaaluma Chuo cha DarTU

Dar es Salaam, 5 Mei 2025: Shirika la Global Peace Foundation (GPF) Tanzania, kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Tumaini...

READ MORE

Lucky Sevens Kasino Ushindi ni Kugusa Tu

Neno Kasino unapolisikia kwa mara ya kwanza unapata picha gani? Iko hivi Kasino ni sehemu nzuri yenye kila kitu cha...

READ MORE

Makalla Awatakiwa Kila la Heri Gambo na Makonda Kuelekea Katika Uchaguzi

Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), CPA Amos Makalla amesema anawatakia kila...

READ MORE

Innocent Bashungwa: Tumieni Teknolojia Za Kisasa Kudhibiti Uhalifu

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa ametoa wito kwa Majeshi ya Polisi yaliyo katika nchi za Kusini...

READ MORE

Waajiri Wasisitizwa Kutumia mtandao Kuwasilisha Madai ya Fidia WCF

Kuelekea maadhimisho ya miaka 10 ya Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi WCF Julai 1, 2025, WCF imetoa Mafunzo kwa Wadau...

READ MORE

Mchengerwa: Hakuna Fursa Kwa Wanafunzi wa Kidato cha Tano Kubadili Shule Walizopangiwa

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa amesema kuwa, uchaguzi wa wanafunzi wa kujiunga na Kidato cha Tano na...

READ MORE

Bashiri kwa 5000 Ujishindie Samsung A25

Meridianbet inafurahia kutangaza kampeni mpya inayowezesha wateja wake kupata Samsung A25 mpya kabisa kwa urahisi kwa dau la shilingi 5000....

READ MORE

#Breaking: Mama Wa Msanii Carina Afariki Dunia, Apishana Siku 40+ Na Mwanaye Carina – Video

Habari mbaya za kusikitisha zilizotufikia hivi punde zinaeleza kuwa mama wa msanii Hawa Hussen almaarufu Carina, Fatma Maruzuku amefariki dunia....

READ MORE

Jinsi Viungo Vya Binadamu Vinavyouzwa Kwa Siri India, Mtanzania Awaonya Wanaoenda Huko – Video

Mazito! Watanzania wanaoenda kufanya kazi kiholela katika nchi mbalimbali ikiwemo India, wapo kwenye hatari kubwa ya kupoteza viungo vyao au...

READ MORE

Mbeto: Watanzania kataeni kugawanywa kwa Udini na Ukabila

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema hakuna na wala hatokei mtu yeyote atakayethubutu kuwagawa Watanzania aidha kwa ushawishi wa Dini, Ukabila...

READ MORE

Bunge Lachemka! Mbunge Akalishwa Chini Akihoji Upotevu Wa Fedha – Video

Mbunge Nusrat Hanje amesimama bungeni na kuhoji kuhusu upotevu wa fedha kwenye makusanyo ya serikali kama unavyoripotiwa mara kwa mara...

READ MORE

Abbas Tarimba Ahoji bungeni uhaba wa maji Kinondoni – Video

Mbunge wa Jimbo la Kinondoni, Abbas Tarimba amehoji bungeni leo kuhusiana na uhaba wa maji katika maeneo ya Makumbusho, Mwananyamala...

READ MORE

Makalla: Miaka Mitano ya Rais Samia Maendeleo Yameonekana Karatu

•Ataja ujenzi wa hospitali ya Wilaya, miradi ya maji na ongezeko la barabara za lami. Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC),...

READ MORE

Oryx Yatoa Elimu ya Usafi wa Mazingira na Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia kwa Wanafunzi

Dar es Salaam 6 Mei 2025: Katika Kuadhimisha Siku ya Mazingira duniani, Kampuni ya Oryx Gas imetoa elimu ya usafi...

READ MORE

Msafara wa Makalla Wasimamishwa Mto wa Mbu mkoani Arusha

Msafara wa Katibu wa NEC, Itikadi Uenezi na Mafunzo wa CCM, CPA. Amos Makalla umesimamishwa na wananchi  wa eneo la...

READ MORE

Shilingi 5000 Kukupatia Samsung A25 na Meridianbet

Meridianbet wamekuja na fursa ya kipekee kwa wateja wake ambapo kwa shilingi 5000 pekee inampa nafasi ya kuondoka na simu...

READ MORE

Rais Samia Akishiriki Harambee Ujenzi Wa Kituo Cha Watoto Wenye Mahitaji Maalu KKKT (Picha +Video)

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akishiriki Harambee ya Kuchangia Ujenzi wa Kituo cha...

READ MORE

Rais Mstaafu Wa Zambia, Edgar Lungu Afariki Dunia

Rais wa zamani wa Zambia, Edgar Lungu amefariki dunia siku ya Alhamisi akiwa na umri wa miaka 68, akiwa anapatiwa...

READ MORE

Mama Ajifungua Watoto 3, Baba Amwaga Machozi Aomba Msaada – Video

Familia ya kijana Mbwanyi Mzeendege, ilipata baraka ya aina yake baada ya mkewe kujifungua watoto pacha watatu! Hata hivyo, baraka...

READ MORE

Sheikh Ponda Ajiunga na ACT Wazalendo – (Picha +Video)

Dar es Salaam, Juni 5, 2025 — Chama cha ACT Wazalendo leo Alhamisi Juni 5, 2025 kimempokea rasmi Katibu wa...

READ MORE

Gari la Msafara wa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Wapata Ajali – Video

Gari la muziki lililokuwa kwenye msafara wa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema), John Heche limepata ajali...

READ MORE

NMB Yatangaza Gawio la Kihistoria na Matokeo Makubwa ya Fedha kwa Mwaka 2024

Gawio hili la kihistoria linaendana na dhamira ya Benki ya NMB ya ukuaji madhubuti wenye matokeo endelevu kwa wanahisa wake....

READ MORE

Mwanzilishi wa CHAUMMA Eugene Kabendera Ajiunga na CHADEMA

ALIYEKUWA mmoja wa waasisi wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Eugene Kabendera Jumatano, Juni 4, 2025 ametangaza kujiunga na...

READ MORE

Fainali ya Yanga, Singida Black Stars Kupigwa New Amaan

FAINALI ya Kombe la Shirikisho la CRDB kati ya Yanga dhidi ya Singida Black Stars imepangwa kuchezwa kwenye Uwanja wa...

READ MORE

Puma Energy Yaanzisha Nishati Safi ya Mradi wa Umeme wa Jua kwa Kiwanda cha Alliance One Tanzania Tobacco Limited

Morogoro, Tanzania: Kampuni ya Puma Energy Tanzania imetangaza uzinduzi rasmi wa kituo cha umeme wa jua chenye uwezo wa kilowati...

READ MORE

Waziri Mkuu Aweka Jiwe La Msingi Jengo La ‘Viwango House’

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Juni 4 2025 ameweka jiwe la Msingi la ujenzi wa jengo la Shirika la Viwango...

READ MORE

Makalla: The Royal Tour Imekuza Utalii Kaskazini

Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi an Mafunzo wa chama Cha Mapinduzi (CCM), CPA Amos Makalla amesema Rais Samia...

READ MORE

Wasira Ateta Na Jaji Warioba, Mzee Butiku jijini Dar

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Stephen Wasira amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi waandamizi wastaafu wa...

READ MORE

Chadema Kumfikisha Mahakamani Msajili wa Vyama vya Siasa – Video

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Heche amesema hawakubaliani na maamuzi ya Msajili wa vyama wa...

READ MORE

Afisa Mtendaji Mkuu Wa AfD Azungumza Na Wajumbe Wa Bodi Ya GPE Mjini Paris

Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Maendeleo la Ufaransa (AfD), Rémy Rioux, amezungumza mbele ya wajumbe wa Mkutano wa siku...

READ MORE

Inatisha! Msoto Wa Watanzania India – Sarah Asimulia ”Wanajifungua Wanauza Watoto”- Video

Mwanadada Sarah, amefunguka kupitia Global TV na kueleza kuwa Watu nchini India wanauza baadhi ya viungo vyao ikiwemo Figo kwa...

READ MORE

Duma Boko: Tumaini Jipya la Botswana, Afata Nyayo za Traore – Video

Duma Gideon Boko, aliyefananishwa na viongozi wa kizazi kipya barani Afrika kama Ibrahim Traoré wa Burkina Faso, ameibuka kuwa kiongozi...

READ MORE

Donald Trump, Elon Musk waingia kwenye mgogoro mzito – Video

Katika kile kinachoonekana kuwa mgogoro mpya kati ya watu wawili waliowahi kuwa washirika wa karibu, bilionea wa teknolojia Elon Musk...

READ MORE

Marekani yampongeza Rais Mteule wa Korea Kusini

Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Marco Rubio amempongeza Rais mpya Mteule wa Korea Kusini Lee Jae-myung na kueleza...

READ MORE

Nmb Kijiji Day Yafana Ngorongoro, Wananchi Wajitokeza Kwa Wingi

Benki ya NMB kupitia kampeni yake ya NMB Kijiji Day imefanya shughuli mbalimbali za kijamii katika tarafa ya Loliondo wilayani...

READ MORE

Watu 1600 Wanufaika na Kambi ya Matibabu ya Macho Bure Wilayani Karagwe

  Watu 1600 wamepatiwa huduma ya matibabu ya macho wilayani KARAGWE Mkoani KAGERA huku wazee na watoto wakiwa ni waathirika...

READ MORE