×

Kimataifa

Mvutano Mkali Kati ya Hispania na Barcelona Kuhusu Lamine Yamal

Mvutano mkubwa umeibuka kati ya Shirikisho la Soka la Hispania (RFEF) na klabu ya Barcelona baada ya shirikisho hilo kulalamika...

READ MORE

Marekani Yasitisha Mpango wa Visa Bond kwa Mali

Marekani imepunguza shinikizo la kidiplomasia na Mali, ikiondoa taifa hilo la Afrika Magharibi kutoka kwenye Mpango wa Jaribio la Visa...

READ MORE

Trump Atangaza Vikwazo Vipya Kmpuni za Urusi

Rais wa Marekani, Donald Trump, ametangaza rasmi vikwazo vipya dhidi ya baadhi ya makampuni makubwa ya mafuta kutoka Urusi, hatua...

READ MORE

Ajali ya treni mashariki mwa Ethiopia yaua watu 14, wengine 29 wajeruhiwa

Watu wasiopungua 14 wamefariki dunia na wengine 29 kujeruhiwa baada ya treni ya abiria kupata ajali mashariki mwa Ethiopia, kwa...

READ MORE

Aliyekua Mshauri wa Trump Ashtakiwa Kwa Kuvujisha Siri za Taifa

John Bolton, aliyekuwa mshauri wa usalama wa taifa wa Rais Donald Trump na kisha akawa mkosoaji wake makini, amefunguliwa mashtaka...

READ MORE

Dembele Alia na Mshahara Mdogo Baada ya Kushinda Ballon d’Or

Nyota wa Paris Saint-Germain, Ousmane Dembele, ameiomba klabu yake kumpa mkataba mpya na ongezeko la mshahara linalolingana na hadhi yake...

READ MORE

Afrika Kusini Yapinga Kuahirishwa kwa Kesi Dhidi ya Israel Baada ya Makubaliano ya Amani

CAPE TOWN, AFRIKA KUSINI — Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, amethibitisha kwamba makubaliano mapya ya kusitisha mapigano kati ya...

READ MORE

Trump Aidhinisha Msaada wa Dola Bilioni 20 kwa Argentina

Rais wa Marekani, Donald Trump, amekiri wazi kuwa msaada wa kifedha wa dola bilioni 20 uliotolewa na Marekani kwa Argentina...

READ MORE

Aliyekua Waziri Mkuu wa Kenya Raila Odinga Afariki Dunia

Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya na kiongozi wa chama cha ODM, Raila Amolo Odinga, amefariki dunia leo Jumatano, Oktoba...

READ MORE

Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika Afuatilia Kwa Wasiwasi Mvutano Madagascar

Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AUC) Mahmoud Ali Youssouf jana Jumapili alizitaka pande zinazozozana nchini Madagascar kujizuia na...

READ MORE

Mjukuu wa Mandela Afichua Ukatili: Wanaharakati Waafrika Kusini Walivuliwa Nguo na Wanajeshi wa Israel

Johannesburg — Wanaharakati sita wa Afrika Kusini waliokamatwa na Israel walipokuwa wakijaribu kufika Gaza kupitia msafara wa misaada wamesema walitendewa...

READ MORE

Chad Yavunja Ushirikiano wa Miaka 15 na Shirika la Uhifadhi Linalohusishwa na Prince Harry

Serikali ya Chad imeiondoa taasisi ya African Parks mamlaka ya kusimamia hifadhi zake za wanyamapori, ikilishutumu shirika hilo lisilo la...

READ MORE

Israel Yamkamata Mjukuu Wa Mandela, Ramaphosa Atoa Mwito Wa Kuachiliwa Mara Moja

Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, ameitaka Israel kuwaachia mara moja wanaharakati wa Afrika Kusini waliokamatwa na jeshi la majini...

READ MORE

Balozi Akutwa Amefariki Dunia Nje ya Hoteli Paris

Balozi wa Afrika Kusini nchini Ufaransa, Nathi Mthethwa (58), amekutwa akiwa amefariki dunia karibu na Hoteli ya Kifahari ya Hyatt...

READ MORE

Rais wa Zamani wa DR Congo Ahukumiwa Kifo

Rais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Joseph Kabila amehukumiwa adhabu ya kifo na Mahakama ya Kijeshi ya...

READ MORE

Matapeli 260 wa Kimapenzi Mtandaoni, Wakamatwa Afrika

Mamlaka katika nchi 14 barani Afrika zimewakamata watu 260 katika msako mkubwa dhidi ya uhalifu wa kimtandao unaohusisha utapeli wa...

READ MORE

Msanii D4vd Katika Tuhuma Nzito Za Mahusiano Na Msichana Wa Miaka 15

Msanii chipukizi wa muziki duniani, D4vd, amejikuta katikati ya tuhuma nzito baada ya kuripotiwa kuwa na mahusiano ya kimapenzi na...

READ MORE

Mke wa Rais wa Ufaransa Azua Gumzo Kisa Jinsia

Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron, pamoja na mkewe, Brigitte Macron, wanapanga kuwasilisha ushahidi wa picha na kisayansi mahakamani Marekani ili...

READ MORE

Waandamanaji Wapinga Ziara ya Rais Donald Trump Nchini Uingereza

Maelfu ya raia wa Uingereza wamejitokeza mitaani jijini London na miji mingine kupinga ziara ya Rais wa Marekani, Donald Trump,...

READ MORE

Mahakama ya Johannesburg yawahukumu Wachina 7 kifungo cha miaka 20

Mahakama mjini Johannesburg imewahukumu raia saba wa China kifungo cha miaka 20 jela kila mmoja kwa makosa ya usafirishaji haramu...

READ MORE

Mwanaharakati Charlie Kirk auawa kwa risasi chuoni Marekani

Mwanaharakati Charlie Kirk, mshirika wa karibu wa Rais wa Marekani Donald Trump na mwanzilishi wa Turning Point USA, ameuawa kwa...

READ MORE

Gwiji wa Mitindo Giorgio Armani Afariki Dunia Akiwa na Miaka 91

Giorgio Armani, mbunifu maarufu wa mitindo kutoka Italia ambaye aligeuza dhana ya understated elegance kuwa himaya ya mabilioni ya dola...

READ MORE

Kampuni ya Marekani Yapata Leseni za Kuchimba Lithium Nchini Kongo

Kampuni ya madini ya Marekani, KoBold Metals, inayoungwa mkono na Bill Gates na Jeff Bezos, imepata leseni saba za kuchunguza...

READ MORE

Maelfu Washiriki Mazishi ya Viongozi 12 Waliouawa kwa Shambulio

Maelfu ya waombolezaji walikusanyika katika Msikiti mkubwa wa Al Saleh, jijini Sanaa — mji mkuu wa Yemen — siku ya...

READ MORE

Maporomoko ya Ardhi Yaua Watu 1,000 Darfur, Sudan

Maporomoko makubwa ya ardhi yamefuta kijiji cha Tarasin kilichopo katika eneo la Darfur, Sudan, na kusababisha vifo vya takribani watu...

READ MORE

Jaji Maarufu na Nyota wa Mitandao ya Kijamii, Frank Caprio Afariki Dunia

Dunia imepoteza alama ya haki yenye huruma. Jaji Frank Caprio, ambaye alijipatia umaarufu duniani kupitia kipindi chake cha televisheni Caught...

READ MORE

Putin agoma kukutanishwa na Zelensicky Ikulu ya Urusi

Putin agoma kukutanishwa na Zelensicky Ikulu ya Urusi imepuuzilia mbali mazungumzo ya kufanyika kwa mkutano kati ya Rais wa Urusi,...

READ MORE

Watu 27 wauawa katika shambulio la kigaidi msikitini Nigeria

Watu 27 wauawa katika shambulio la kigaidi msikitini Nigeria Magaidi waliokuwa na silaha jana Jumanne waliwauwa waumini karibu 27 waliokuwa...

READ MORE

Watu Watatu Wajeruhiwa Katika Shambulio la “Drone” Urusi

Belgorod, Urusi — Watu watatu wamejeruhiwa baada ya shambulio la ndege isiyo na rubani (Drone) kulipua gari lililokuwa likisafiri katikati...

READ MORE

Bwawa la Ethiopia Latishia Usalama wa Maji Misri

Cairo, Misri – Rais wa Misri Abdel Fattah El-Sisi amefanya mazungumzo na Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, mjini Cairo Jumanne,...

READ MORE

PSG vs Spurs: Frank Anapanga Kuandika Historia Mpya kwa Spurs

Kocha mpya wa Tottenham Hotspur, Thomas Frank, amesisitiza kuwa kikosi chake kiko tayari kwa mtanange wa UEFA Super Cup Jumatano...

READ MORE

Ruto Aahidi TSh 48 Milioni kwa Kila Mchezaji Harambee Stars Wakishinda Zambia

Rais wa Kenya, William Ruto, leo amekutana na kikosi cha Harambee Stars na kutoa ahadi nono kuelekea mechi ya mwisho...

READ MORE

M23 Yapinga Tuhuma za Mauaji ya Raia na Kuajiri Askari Watoto Mashariki mwa DRC

Kundi la waasi wa M23 linalodhibiti maeneo ya mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) limepinga tuhuma za kuhusika...

READ MORE

Mahakama Yaamuru Mwili wa Edgar Lungu urudishwe Zambia

Mahakama nchini Afrika Kusini imeiruhusu serikali ya Zambia kuurejesha mwili wa Rais wa zamani Edgar Lungu kwa ajili ya mazishi...

READ MORE

Ajali ya Ndege Kenya Yauwa Watu 6, Wawili Wajeruhiwa

Watu sita wamefariki dunia na wengine wawili kujeruhiwa vibaya baada ya ndege ndogo ya shirika la misaada ya matibabu, Amref...

READ MORE

Urusi Yamjibu Trump Kuhusu Suala la Nyuklia

Urusi yamjibu Trump kuhusu siala za nyuklia Urusi ilisema Jumatatu kwamba kila mtu anapaswa kuwa “muangalifu sana” kuhusu matamshi ya...

READ MORE

Mchezaji wa Man City Gvardiol Aingia Kambini na Maafisa wa Vikosi Maalum

Wakati wachezaji wengi duniani wakirudi kwa mazoezi mepesi ya uwanjani, beki wa Manchester City, Joško Gvardiol, ameanza msimu mpya kwa...

READ MORE

Damu Yamwagika Dargo: JNIM Yadaiwa Kuua Kikatili Wanajeshi wa Burkina Faso

Inasemekana shambulio baya la kigaidi katika kambi ya jeshi huko Dargo, kaskazini mwa Burkina Faso, limewaua takriban askari 50. Kwa...

READ MORE

Trump Amkosoa Netanyahu Kuhusu Njaa Gaza, “Watoto Wanaonekana Wenye Njaa”

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema hakubaliani na kauli ya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, kwamba hakuna njaa huko...

READ MORE

Njaa Yazidi Kuikumba Afrika: UN Wataka Hatua za Haraka Kuhifadhi Maisha

Licha ya kushuka kwa viwango vya njaa duniani, ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa imeonyesha ongezeko la njaa barani Afrika....

READ MORE