Tokyo, Japan – Katika tukio lisilo la kawaida kwenye kalenda ya maandalizi ya timu, wachezaji wa Liverpool wameanza siku yao...
READ MORENiger State, Nigeria – Takriban watu 13 wamethibitishwa kufariki dunia baada ya boti iliyokuwa imebeba abiria na mizigo kuzama Jumapili...
READ MORERais wa Ufaransa, Emmanuel Macron, na mkewe Brigitte Macron, wamefungua kesi ya madai ya uchafuzi wa jina dhidi ya mtangazaji...
READ MOREHabari hii imeandikwa na Glory Sisty. Rais wa Marekani, Donald Trump, ametangaza kukamilika kwa makubaliano ya kibiashara kati ya Marekani...
READ MOREHabari hii imeandikwa na Momburi Dionisia Mchezaji mkongwe wa tenisi, Venus Williams (45), ameandika historia kwa kuibuka mshindi katika...
READ MOREStephen Abdulkareem Munyakho, raia wa Kenya aliyekuwa akikabiliwa na adhabu ya kifo nchini Saudi Arabia, hatimaye ameachiliwa huru baada ya...
READ MOREJohannesburg, Afrika Kusini — Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, amemfuta kazi Waziri wa Elimu ya Juu, Sayansi na Teknolojia,...
READ MOREKampuni ya teknolojia ya Marekani, Astronomer, imetangaza kujiuzulu kwa Afisa Mtendaji Mkuu wake, Andy Byron, kufuatia kusambaa kwa video inayomuonesha...
READ MOREJenerali Muhoonzi Kainerugaba ambaye ni mtoto wa Rais Museveni ameibua gunzo nchini Uganda baada ya kutangaza nia yake ya kuwa...
READ MOREWanachama 15 wa chama cha upinzani cha National Unity Platform nchini Uganda, wameshtakiwa kwa kuharibu mabango ya kampeni ya Rais...
READ MORERais wa zamani wa Marekani, Donald Trump, amesema kuwa makombora ya kisasa ya kujihami ya Patriot tayari yamepelekwa nchini Ukraine...
READ MORERais wa Marekani, Donald Trump, jana alitoa kauli kali dhidi ya Rais wa Urusi, Vladimir Putin, akimtaja kama “mtu mkali...
READ MORERais Paul Biya wa Cameroon, mwenye umri wa miaka 92, ametangaza rasmi kuwa atawania tena urais kwa mara ya nane...
READ MORERais Vladimir Putin wa Urusi amesema malengo ya kiukiritimba ya mataifa ya Magharibi na kutupilia mbali kwao wasiwasi wa kiusalama...
READ MOREKatika tukio la kushtua lililotokea leo jijini London, ndege aina ya Beech B200 Super King Air imeanguka muda mfupi baada...
READ MORENa mwandishi wetu, Elvan Stambuli Nimisha Priya alihukumiwa kifo kwa mauaji ya mwanamume mmoja ambaye alikuwa mshirika wake wa zamani...
READ MOREKocha wa zamani wa Real Madrid, Carlo Ancelotti, amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja gerezani na kutozwa faini ya €386,000 (zaidi...
READ MORERais wa Iran Masoud Pezeshkian ametoa madai mazito kwamba Israel ilijaribu kumuua wakati wa mvutano mkubwa wa kijeshi kati ya...
READ MOREVladimirovich Starovoit, aliyekuwa Waziri wa Usafirishaji wa Urusi kati ya mwaka 2024 na 2025, amekutwa amefariki dunia kwa kile kinachoelezwa...
READ MOREJeshi la Ulinzi la Israel (IDF) limefanya mashambulizi makubwa ya anga dhidi ya ngome za waasi wa Houthi nchini Yemen...
READ MOREDuru ya kwanza ya mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja ya kusitisha mapigano kati ya Wapalestina na utawala wa...
READ MOREWaziri wa Mambo ya Nje wa Iran, ametoa mwito wa kusitishwa haraka mashambulizi ya utawala wa Kizayuni huko Ghaza na...
READ MOREWakazi wa eneo la Mokwa wameeleza kwa BBC jinsi mafuriko yalivyokumba mji wao kwa ghafla na kusababisha uharibifu mkubwa. Idadi...
READ MOREMashabiki wa PSG waunga mkono Palestina katika mechi ya fainali ya klabu bingwa Ulaya Mashabiki wa timu ya soka ya...
READ MORECairo, Misri – Mshambuliaji wa Kimataifa kutoka DR Congo, Fiston Kalala Mayele, ameendelea kuthibitisha kuwa yeye ni miongoni mwa wakali...
READ MOREMeneja wa Manchester United, Ruben Amorim, amesema kuwa yeye na wachezaji wake wanatazamia kumaliza msimu huu wa 2024/25 uliojaa changamoto....
READ MORERais Vladimir Putin amependekeza kuwa Ukraine inapaswa kuwekwa chini ya udhibiti wa Umoja wa Mataifa (UN) kwa muda ili kuchagua...
READ MOREFinland imeorodheshwa ya kwanza kama nchi yenye watu wenye furaha zaidi duniani kwa mwaka wa nane mfululizo. Kulingana na ripoti...
READ MOREWakati Moscow ikizingatia usitishwaji wa vita kwa muda, vikosi vyake vya kijeshi vinaendelea kupambana katika mstari wa mbele. Majadiliano ya...
READ MOREMgomo mkubwa wa wafanyakazi wa viwanja vya ndege nchini Ujerumani umeendelea, ukisababisha kufutwa kwa maelfu ya safari za ndege za...
READ MOREIsrael imesitisha usambazaji wa umeme katika Ukanda wa Gaza katika juhudi za kushinikiza Hamas kukubali kuongezwa muda wa awamu ya...
READ MOREPolisi wamemwagwa kwa wingi mitaani ambapo vituo vya treni za chini ya ardhi pamoja na angalau shule moja vitafungwa kutokana...
READ MOREMtu mwenye silaha amejeruhiwa kwa kupigwa risasi na maafisa wa Secret Service nje ya Ikulu ya White House, Marekani, tukio...
READ MOREMark Carney amechaguliwa kuwa kiongozi mpya wa chama tawala nchini Canada, Liberal Party, baada ya kuwashinda wapinzani wake watatu. Ushindi...
READ MOREHali ya mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) inaendelea kuwa mbaya, huku serikali ikitangaza zawadi ya dola milioni...
READ MORERais Donald Trump wa Marekani, ametishia kusitisha ufadhili wa serikali ya shirikisho kwa vyuo vikuu au taasisi zozote za elimu...
READ MOREVikosi vya Sudan Kusini vimemkamata Waziri wa Mafuta na maafisa kadhaa wakuu wa kijeshi waitifaki wa Makamu wa Kwanza wa...
READ MOREWatu 14, wakiwemo watoto wawili, wamejeruhiwa nchini Msumbiji baada ya polisi kutumia risasi za moto na gesi ya kutoa machozi...
READ MOREMaandamano makubwa yanaendelea nchini Ugiriki huku serikali ikikabiliwa na shinikizo la kura ya kutokuwa na imani kufuatia ajali mbaya ya...
READ MOREMar 04, 2025 07:43 UTC, Korea Kaskazini yalaani uchokozi wa kijeshi wa Marekani Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa Korea...
READ MORE