×

Kimataifa

Wachezaji wa Liverpool Wafanya Maandalizi ya Kiroho Kabla ya Msimu Mpya Nchini Tokyo

Tokyo, Japan – Katika tukio lisilo la kawaida kwenye kalenda ya maandalizi ya timu, wachezaji wa Liverpool wameanza siku yao...

READ MORE

13 Wafariki Dunia katika Ajali ya Boti Kaskazini mwa Nigeria

Niger State, Nigeria – Takriban watu 13 wamethibitishwa kufariki dunia baada ya boti iliyokuwa imebeba abiria na mizigo kuzama Jumapili...

READ MORE

Rais wa Ufaransa na Mkewe Wafungua Kesi ya Uchafuzi wa Jina Dhidi ya Candace Owens

Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron, na mkewe Brigitte Macron, wamefungua kesi ya madai ya uchafuzi wa jina dhidi ya mtangazaji...

READ MORE

Trump Afikia Makubaliano Ya Kibiashara Na Japan

Habari hii imeandikwa na Glory Sisty. Rais wa Marekani, Donald Trump, ametangaza kukamilika kwa makubaliano ya kibiashara kati ya Marekani...

READ MORE

Washington: Venus Williams Aandika Historia Ashinda WTA Tour Akiwa na Miaka 45

  Habari hii imeandikwa na Momburi Dionisia Mchezaji mkongwe wa tenisi, Venus Williams (45), ameandika historia kwa kuibuka mshindi katika...

READ MORE

Raia wa Kenya Aliyehukumiwa Kukatwa kichwa Saudi Arabia Aachiwa Huru

Stephen Abdulkareem Munyakho, raia wa Kenya aliyekuwa akikabiliwa na adhabu ya kifo nchini Saudi Arabia, hatimaye ameachiliwa huru baada ya...

READ MORE

Afrika Kusini: Rais Ramaphosa Amfuta Waziri Kwa Uongo Bungeni

Johannesburg, Afrika Kusini — Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, amemfuta kazi Waziri wa Elimu ya Juu, Sayansi na Teknolojia,...

READ MORE

Jamaa Aliyeonekana Akikumbatiana na Mwanamke Kwenye Tamasha Ajiuzulu

Kampuni ya teknolojia ya Marekani, Astronomer, imetangaza kujiuzulu kwa Afisa Mtendaji Mkuu wake, Andy Byron, kufuatia kusambaa kwa video inayomuonesha...

READ MORE

Uganda: Jenerali Muhoozi Aibua Mjadala Baada Ya Kutangaza Nia Ya Kurithi Urais Kutoka Kwa Baba Yake

Jenerali Muhoonzi Kainerugaba ambaye ni mtoto wa Rais Museveni ameibua gunzo nchini Uganda baada ya kutangaza nia yake ya kuwa...

READ MORE

Wapinzani 15 wa Museveni Wakamatwa kwa Madai ya Kuchana Mabango Yake

Wanachama 15 wa chama cha upinzani cha National Unity Platform nchini Uganda, wameshtakiwa kwa kuharibu mabango ya kampeni ya Rais...

READ MORE

Trump Athibitisha Makombora Ya Patriot Yamekwisha Tumwa Ukraine

Rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump, amesema kuwa makombora ya kisasa ya kujihami ya Patriot tayari yamepelekwa nchini Ukraine...

READ MORE

Trump Atoa Onyo Kali Kwa Putin: Asema Amezidiwa na Vita ya Ukraine

Rais wa Marekani, Donald Trump, jana alitoa kauli kali dhidi ya Rais wa Urusi, Vladimir Putin, akimtaja kama “mtu mkali...

READ MORE

Rais Paul Biya wa Cameroon, Mwenye Umri wa Miaka 92 Atawania Tena 2026

Rais Paul Biya wa Cameroon, mwenye umri wa miaka 92, ametangaza rasmi kuwa atawania tena urais kwa mara ya nane...

READ MORE

Putin ataja kinachosababisha akosane na Nchi za Magharibi

Rais Vladimir Putin wa Urusi amesema malengo ya kiukiritimba ya mataifa ya Magharibi na kutupilia mbali kwao wasiwasi wa kiusalama...

READ MORE

Ajali Ya Ndege London Kadhaa Wahofiwa Kufariki

Katika tukio la kushtua lililotokea leo jijini London, ndege aina ya Beech B200 Super King Air imeanguka muda mfupi baada...

READ MORE

Muuguzi wa India asubiri kunyongwa Julai 16

Na mwandishi wetu, Elvan Stambuli Nimisha Priya alihukumiwa kifo kwa mauaji ya mwanamume mmoja ambaye alikuwa mshirika wake wa zamani...

READ MORE

Ancelotti Ahukumiwa Mwaka 1 Gerezani Na Faini Ya Billioni 1

Kocha wa zamani wa Real Madrid, Carlo Ancelotti, amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja gerezani na kutozwa faini ya €386,000 (zaidi...

READ MORE

Israel Yadaiwa Kujaribu Kumlipua Rais Mpya wa Iran

Rais wa Iran Masoud Pezeshkian ametoa madai mazito kwamba Israel ilijaribu kumuua wakati wa mvutano mkubwa wa kijeshi kati ya...

READ MORE

Waziri Ajiua Kwa Risasi Kisa Kufutwa Kazi Na Putin

Vladimirovich Starovoit, aliyekuwa Waziri wa Usafirishaji wa Urusi kati ya mwaka 2024 na 2025, amekutwa amefariki dunia kwa kile kinachoelezwa...

READ MORE

Israel Yarusha Ndege 20 Kuvamia Ngome za Yemen

Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF) limefanya mashambulizi makubwa ya anga dhidi ya ngome za waasi wa Houthi nchini Yemen...

READ MORE

Mazungumzo Ya Kusitisha Vita Gaza Yagonga Mwamba

  Duru ya kwanza ya mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja ya kusitisha mapigano kati ya Wapalestina na utawala wa...

READ MORE

Iran Yatoa Mwito wa Kusitishwa Mapigano Gaza

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, ametoa mwito wa kusitishwa haraka mashambulizi ya utawala wa Kizayuni huko Ghaza na...

READ MORE

Idadi ya waliofariki dunia Nigeria yafikia 200

Wakazi wa eneo la Mokwa wameeleza kwa BBC jinsi mafuriko yalivyokumba mji wao kwa ghafla na kusababisha uharibifu mkubwa. Idadi...

READ MORE

Mashabiki Wa PSG Waunga Mkono Palestina Katika Mechi Ya Fainali Ya Klabu Bingwa Ulaya

Mashabiki wa PSG waunga mkono Palestina katika mechi ya fainali ya klabu bingwa Ulaya Mashabiki wa timu ya soka ya...

READ MORE

Fiston Mayele Aandika Historia: Aipa Pyramids FC Taji La Kwanza La Ligi ya Mabingwa Afrika

Cairo, Misri – Mshambuliaji wa Kimataifa kutoka DR Congo, Fiston Kalala Mayele, ameendelea kuthibitisha kuwa yeye ni miongoni mwa wakali...

READ MORE

Meneja Wa Manchester United, Ruben Amorim Atangaza Vita Kuelekea Msimu Ujao

Meneja wa Manchester United, Ruben Amorim, amesema kuwa yeye na wachezaji wake wanatazamia kumaliza msimu huu wa 2024/25 uliojaa changamoto....

READ MORE

Putin Ataka Ukraine Iwe Chini Ya UN

Rais Vladimir Putin amependekeza kuwa Ukraine inapaswa kuwekwa chini ya udhibiti wa Umoja wa Mataifa (UN) kwa muda ili kuchagua...

READ MORE

Finland Ya Kwanza Kuwa Na Watu Wenye Furaha Zaidi Duniani

Finland imeorodheshwa ya kwanza kama nchi yenye watu wenye furaha zaidi duniani kwa mwaka wa nane mfululizo. Kulingana na ripoti...

READ MORE

Wanajeshi Wa Ukraine Hawaamini Kwama Vita Vitaisha

Wakati Moscow ikizingatia usitishwaji wa vita kwa muda, vikosi vyake vya kijeshi vinaendelea kupambana katika mstari wa mbele. Majadiliano ya...

READ MORE

Safari 1,054 Za Futwa Kisa Mgomo Ujerumani

Mgomo mkubwa wa wafanyakazi wa viwanja vya ndege nchini Ujerumani umeendelea, ukisababisha kufutwa kwa maelfu ya safari za ndege za...

READ MORE

Israel Yasitisha Usambazaji Wa Umeme Ukanda Wa Gaza

Israel imesitisha usambazaji wa umeme katika Ukanda wa Gaza katika juhudi za kushinikiza Hamas kukubali kuongezwa muda wa awamu ya...

READ MORE

Polisi Waimarisha Ulinzi Hukumu Ya Yoon Ikitarajiwa Kusomwa

Polisi wamemwagwa kwa wingi mitaani ambapo vituo vya treni za chini ya ardhi pamoja na angalau shule moja vitafungwa kutokana...

READ MORE

Aliyetaka Kujitoa Mhanga Ikulu Apigwa Risasi

Mtu mwenye silaha amejeruhiwa kwa kupigwa risasi na maafisa wa Secret Service nje ya Ikulu ya White House, Marekani, tukio...

READ MORE

Kiongozi Mpya Wa Canada, Amkosoa Trump Kuhusu Ushuru

Mark Carney amechaguliwa kuwa kiongozi mpya wa chama tawala nchini Canada, Liberal Party, baada ya kuwashinda wapinzani wake watatu. Ushindi...

READ MORE

Serikali Ya DRC Yatangaza Zawadi Ya Shilingi Bilioni 13 Kwa Kukamatwa Kwa Viongozi Wa M23

Hali ya mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) inaendelea kuwa mbaya, huku serikali ikitangaza zawadi ya dola milioni...

READ MORE

Trump kuwatimua chuoni wanaounga mkono Wapalestina

Rais Donald Trump wa Marekani, ametishia kusitisha ufadhili wa serikali ya shirikisho kwa vyuo vikuu au taasisi zozote za elimu...

READ MORE

‘Wapambe’ Wa Riek Machar Wakamatwa Sudan Kusini

Vikosi vya Sudan Kusini vimemkamata Waziri wa Mafuta na maafisa kadhaa wakuu wa kijeshi waitifaki wa Makamu wa Kwanza wa...

READ MORE

Watu 14 Wajeruhiwa Maandamano Ya Msumbiji

Watu 14, wakiwemo watoto wawili, wamejeruhiwa nchini Msumbiji baada ya polisi kutumia risasi za moto na gesi ya kutoa machozi...

READ MORE

Ajali Ya Treni Yasababisha Maandamano Makuba

Maandamano makubwa yanaendelea nchini Ugiriki huku serikali ikikabiliwa na shinikizo la kura ya kutokuwa na imani kufuatia ajali mbaya ya...

READ MORE

Korea Kaskazini Yalaani Uchokozi Wa Kijeshi Wa Marekani

Mar 04, 2025 07:43 UTC, Korea Kaskazini yalaani uchokozi wa kijeshi wa Marekani Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa Korea...

READ MORE