Rais wa Marekani, Donald Trump, amesitisha misaada yote ya kijeshi kwa Ukraine kufuatia kuvunjika kwa mkutano kati yake na Rais...
READ MOREViongozi wa Ulaya wametangaza kuunga mkono Ukraine katika mkutano wa kilele uliofanyika London, wakiahidi kuongeza matumizi katika usalama na kuunda...
READ MOREWaziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani, Annalena Baerbock amesema Ulaya haipaswi kusita kuweka shinikizo dhidi ya Marekani, iwapo nchi...
READ MORERais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) Joseph Kabila amesema kuwa, uongozi mbaya wa mrithi wake, Rais...
READ MOREShirika la Habari la AP, usiku wa kuamkia leo, Jumatatu, Februari 24, limeripoti kuwa Papa Francis yupo mahututi huku vipimo...
READ MOREKansela wa Ujerumani, Olaf Scholz, amekalia kuti kavu katika uchaguzi unaoendelea ambapo matokeo ya awali yanaonesha kuwa mpinzani wake, Friedrich...
READ MOREMamia ya askari wa Jeshi la Polisi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, wanadaiwa kujiunga na waasi wa M23 katika...
READ MORERais Donald Trump wa Marekani amezitaka balozi za nchi hiyo duniani kote kujiandaa kwa upunguzwaji mkubwa wa wafanyakazi ikiwa ni...
READ MOREMarekani imetangaza kusafirisha mabomu 1,800 ya aina ya MK-84 kwenda Israel katika siku chache zijazo, mabomu hayo yenye uzito wa...
READ MOREWaasi wa M23 wanaelezwa kuungwa mkono na Rwanda wametangaza kuwa wameukamata mji mkubwa wa Goma, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia...
READ MOREMapema kuanzia saa tano japo la majaji liliteuliwa na Mahakama kuu nchini Kenya, Limeanza kusikiliza kesi ya kuondolewa madarakani Kwa...
READ MORERais wa Uganda, Yoweri Museveni na Rais wa Kenya, William Ruto wameafikiana kumuunga mkono Waziri Mkuu wa zamani wa...
READ MOREWaziri Mkuu Kassim Majaliwa ameonyesha kuvutiwa na jitihada mbalimbali zinazofanywa na benki ya Exim Tanzania katika kujitanua na kusogeza...
READ MORESerikali imeeleza leo kwamba, Uhusiano kati ya Misri na Zanzibar umeendelea kukua na kuimarika licha ya Serikali ya Misri kufunga...
READ MOREHospitali ya Kokilaben Dhirubhai Ambani, hospitali ya kipekee ya huduma za quaternary kutoka Mumbai, India, itazindua ‘Kituo cha Ushirikiano wa...
READ MOREKATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Daniel Chongolo amewataka wananchi wa Mkoa wa Katavi kuachana na imani za kishirikina maarufu...
READ MOREKorea Kaskazini imerusha makombora mawili ya masafa mafupi kuelekea baharini, karibu na pwani yake ya mashariki, saa chache baada ya...
READ MORENyambizi hizi zimeongeza hatua ya washirika kuonyesha nguvu za kijeshi ili kukabiliana na vitisho vya nyuklia vya Korea Kaskazini. ...
READ MOREMatukio ya kuuawa kwa viongozi wa juu wa nchi duniani yamekuwa yakipingua kasi katika miongo ya hivi karibuni, lakini hata...
READ MORESERIKALI ya Saudi Arabia imeandaa ofa kubwa zaidi katika historia ya soka lao ili kumnasa Lionel Messi. Matajiri hao wanataka...
READ MOREMANCHESTER United imepata pigo baada ya nyota wake muhimu wa safu ya ulinzi, Lisandro Martinez ‘The Butcher’ na Raphael Varane...
READ MOREWINGA msumbufu wa TP Mazembe, Phillipe Kinzumbi ameweka wazi kuwa ameamua kukubali kumwaga wino Yanga kutokana na mambo matatu makubwa...
READ MOREKUFUATIA Bosi wa Yanga, Ghalib Said Mohammed (GSM) kusafiri na Yanga kwenda DR Congo kuishuhudia timu yake ikicheza dhidi ya...
READ MOREBONDIA Karim Mandonga jana alifanikiwa kupima uzito tayari kwa pambano lake dhidi ya Kenneth Lukyamuzi, ambalo linatarajia kupigwa leo Jumamosi...
READ MOREBondia wa ngumi za kulipwa nchini, Stumai Muki amefanikiwa kumchapa kwa pointi mpinzani wake kutoka Malawi, Chimwemwe Banda katika pambano...
READ MOREKOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi, amefunguka kuwa, sababu kubwa iliyopelekea kufanikiwa kuibuka na ushindi dhidi ya Waarabu, US Monastir,...
READ MOREWaziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka Wakuu wa Wilaya nchini wakasimamie ajenda za kitaifa ikiwemo ya mapambano dhidi ya rushwa. Amewataka...
READ MOREEPL kuendelea Wikendi hii kwenye viwanja mbalimbali ambapo Everton watakuwa ugenini dhidi ya Chelsea ya Potter ambayo imekuwa na misukosuko...
READ MOREHaijawahi kuwa kinyonge pale Meridianbet wanapoanzisha jambo lao, mwezi huu tena wamekuja na sloti ya Aviator, ndani ya Kasino ya...
READ MOREIdadi ya watu waliofariki katika ajali iliyotokea Jumanne kati ya treni ya abiria na treni ya mizigo, kaskazini mwa Ugiriki...
READ MOREELON Musk amerejea katika nafasi ya kuwa mtu tajiri zaidi duniani, baada ya kupoteza kwa muda mfupi taji kwa...
READ MOREMshambuliaji wa Argentina na Paris St-Germainm, Lionel Messi amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwaka wa wanaume kwenye Tuzo za Fifa...
READ MORERais wa Ufaransa Emmanuel Macron atazuru Afrika wiki hii katika ziara ya kukabiliana na ushawishi wa Russia unaotishia kuvuruga mikakati...
READ MOREUONGOZI wa Yanga umetamba kuwa bila kujali matokeo yao ya mchezo wa jana Jumapili dhidi ya Real Bamako, kikosi chao...
READ MOREUkraine imetoa stempu za posta zilizo na mchoro wa msanii maarufu wa graffiti wa Uingereza Banksy kuadhimisha mwaka wa kwanza...
READ MOREKUELEKEA mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Real Bamako ya Mali utakaopigwa leo Jumapili, mastaa wa kikosi cha...
READ MOREChama kikuu cha upinzani nchini Sierra Leone, kimemteua waziri wa zamani wa mambo ya nje Samura Kamara kama mgombea wake...
READ MOREKAMPUNI ya Meta inayomiliki Mitandao ya Instagram na Facebook imetangaza watu wenye tiki za Blue wataanza kulipia malipo yatakuwa Dola...
READ MOREHakikisha unafuata haya ukitaka kushinda kirahisi kwenye mechi za leo za UCL ndani ya Meridianbet, mabingwa wa ODDS kubwa na...
READ MOREUmoja wa Afrika Jumapili umesisitiza kuwa una sera ya kutovumilia mabadiliko yanayokiuka katiba, huku ukiendelea kusimamisha uanachama wa nchi nne...
READ MORE