×

Kimataifa

Sakata la Wahamiaji: Mahakama Yagomea Rufaa ya Trump

Mahakama ya Rufaa nchini Marekani imekataa kuirudisha tena marufuku iliyowekwa na Rais Donald Trump ya wasafiri kutoka nchi saba za...

READ MORE

Mohamed Abdullahi Farmajo Ashinda Urais Somalia

Waziri mkuu wa zamani wa Somalia Mohamed Abdullahi Farmajo ndiye rais mpya wa Somalia baada ya kumbwaga aliyekuwa rais Hassan...

READ MORE

Wakati Akiiacha White House Obama Anakupa Njia 6 za Kufanikiwa

Na NYEMO CHILONGANI| IJUMAA WIKIENDA| MAKALA Obama si mchoyo, amekuwa akizungumza katika vituo mbalimbali vya televisheni na hata kwenye majukwaa...

READ MORE

Yapo Mengi Lakini Haya ni Matukio Matano Yaliyoishangaza Dunia

  KUNA mambo mengi yamekuwa yakitokea duniani, yanashangaza na wakati mwingine mtu kujiuliza kwamba inawezekanaje jambo hilo kutokea? Tangu dunia...

READ MORE

Mzambia, Mtanzania Wakamatwa na Madawa ya Kulevya India

Thelma Mkandwire (kushoto) na Pamela Devid Kirtitta. NEW DELHI, INDIA: WANAWAKE wawili, Mzambia Thelma Mkandawire (38) na Mtanzania Pamela David...

READ MORE

Amwua Binti Yake Kwa Kutopiga Mswaki

IRIS HERNANDEZ-RIVER (20) mwanamke mkazi wa Gaithersburg, Jimbo la Maryland, Marekani, alimwua binti yake, Nohely Alexandra Martinez Hernandez mwenye umri...

READ MORE

Raia wa Mataifa 7 ya Kiislamu Yaliyozuiliwa na Trump, Sasa Kuingia Marekani

MAREKANI: Jaji mmoja wa Marekani amesimamisha kwa muda utekelezaji wa amri ya Rais Donald Trump ya kuwazuia raia kutoka mataifa...

READ MORE

Rita Dominic Apondwa kwa Kujizeesha

Rita Dominic Na MWANDISHI WETU | IJUMAA | Kutoka Nija ZIKIWA zimepita saa chache tangu atupie picha mtandaoni ikimuonesha akiwa...

READ MORE

Beyonce Kujifungua Mapacha

IKIWA ni wiki chache tangu Donald Trump aapiswhe kuwa rais wa 45 wa Marekani, taarifa kuu kutoka Marekani tangu wakati...

READ MORE

Rais TrumpAmkatia Simu Waziri Mkuu wa Australia

RAIS Donald Trump wa Marekani amemkatia simu Waziri Mkuu wa Australia, Malcolm Turnbull wakati wakizungumzia makubaliano ya nchi hizo juu...

READ MORE

Kiongozi wa Upinzani DRC, Etienne Tshisekedi Afariki Dunia

Kiongozi wa upinzani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Etienne Tshisekedi, amefariki dunia mjini Brussels nchini Ubelgiji akiwa na umri...

READ MORE

Binti Wa Kinigeria Awa Rais Wa Kwanza Mweusi Harvard University

Imelme akiwa na uso wa furaha Imelme amefuata nyayo za Obama Ujumbe wa Twitter uliotumwa kwenye akaunti ya Chuo cha...

READ MORE

Umoja wa Afrika Kujiondoa Katika Mahakama ya ICC

Umoja wa Afrika umeunga mkono mpango wa kujiondoa kwa pamoja katika mahakama ya ICC ambayo mataifa mengi ya Afrika yanahisi...

READ MORE

Mtoto wa Mfalme Saudi Arabia Azua Gumzo, Asafiri na Mwewe 80 Kwenye Ndege

MTOTO wa Mfalme wa Saudi Arabia, Abdullah bin Abdul Aziz azua gumzo baada ya kusafirisha ndege 80 aina ya mwewe...

READ MORE

Donald Trump Amtimua Kazi Mwanasheria Mkuu

Rais wa Marekani Donald Trump amemfuta kazi kaimu mwanasheria mkuu Sally Yates saa chache tu baada ya kuwaagiza mawakili wa...

READ MORE

Rais wa Guinea achaguliwa kuwa Mwenyekiti Mpya wa Umoja wa Afrika

Rais wa Guinea, Alpha Conde amechaguliwa leo kuwa Mwenyekiti mpya wa Umoja wa Afrika (AU), uchaguzi uliofanyika katika vikao vya...

READ MORE

Rais Magufuli Akutana na Kufanya Mazungumzo na Katibu UN, Ahudhuria Mkutano wa AU, Addis Ababa

      Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na Marais wa wa mataifa mbalimbali  katika...

READ MORE

Wagombea 24 Wajitokea Kuwania Urais wa Somalia

SOMALIA: Takribani wagombea 24 wamejitokea kuwania Urais wa nchi ya Somalia ambapo uchaguzi mkuu unatarajiwa kufanyika mnamo Februari 8 mwaka...

READ MORE

Beyonce Apigwa Mimba ya Pili

Beyonce Knowles. IMETHIBITIKA kuwa mwanamuziki wa R&B, Beyonce Knowles ana mimba ya miezi minne baada ya kipande cha video kusambaa...

READ MORE

Bilionea wa Facebook Ataka Nawe Ufanikiwe Kama Yeye

Mark Zuckerberg na Mkewe. MAKALA: NYEMO CHILONGANI, Ijumaa Wikienda.    NIANZE kwa kukubaliana na wasomaji ambao wamekuwa wakilalamika kuyumba kiuchumi kwani...

READ MORE

Mmiliki wa Facebook Amsikitikia Trump Kuwazuia Wahamiaji Kuingia Marekani

MMILIKI wa mtandao maarufu wa kijamii duniani, Facebook, Mark Zuckerberg amesikitishwa na kauli ya rais mpya wa Marekani, Donald Trump...

READ MORE

Picha Iliyotingisha Facebook Mwezi Januari

  Mark Zuckerbeg (kulia) akiwa na mkewe jikoni. Angalia jinsi unga ulivyo tapakaa mezani…tehe …teheee! Mwanzilishi wa kampuni ya Facebook,...

READ MORE

Muigizaji Maarufu wa Uingereza, John Hurt Afariki Dunia

  UINGEREZA: STAA wa muvi ya ‘The Elephant Man’, ambaye ameifanya kazi ya uigizaji kwa zaidi ya miongo 6, Sir...

READ MORE

Breaking News: Kiongozi wa Walinzi wa Ikulu ya Gambia Atoroka

Kamanda wa Polisi wa Jeshini (MP) katika ikulu ya Gambia, Luteni Nuha William Jammeh. Kamanda wa Polisi wa Jeshini (MP) katika ikulu...

READ MORE

Al-Shabab Wavamia na Kushambulia Kambi ya Majeshi ya Kenya nchini Somalia

SOMALIA: Kundi la al-Shabab nchini Somalia limesema wapiganaji wake wameshambulia kambi ya wanajeshi wa Kenya wanaohudumu chini ya kikosi cha...

READ MORE

Pichaz: Trump Afanya Safari Yake ya Kwanza Akitumia Air Force One na Helkopta ya Rais

Rais wa 45 wa Marekani, Donald Trump amefanya safari yake ya kwanza akiwa rais kwa kutumia ndege ya  Rais, Air...

READ MORE

Hatimaye Rais Barrow Awasili Gambia

Maelfu ya wananchi wa Gambia wamefurika katika barabara za mji mkuu wa nchi hiyo, Banjul kumlaki Rais wao, Adama Barrow...

READ MORE

Pichaz: Hapa ni Kisiwani Ambapo Rais Obama na Mkewe Wameenda Mapumziko ‘Kula Bata’

         Rais Mstaafu wa Marekani, Barack Obama na mkewe Michelle Obama walifika katika kisiwa cha Necker kinachomilikiwa na bilionea wa...

READ MORE

Wajiua Huku Wakijirekodi Facebook

Jay Bowdy (Kushoto) na  Nakia Venant (Kulia). MWANAUME mmoja nchini Marekani anayejulikana kwa jina la Jay Bowdy, 34, ambaye pia ni...

READ MORE

Mlinzi wa Trump alivaa mikono bandia kuficha bunduki (Pichaz + Video)

Mitandao ya kijamii imesambaza habari kuwa mmoja wa walinzi wa Rais Donald Trump alivaa mikono ya bandia, huku mikono yake halisi...

READ MORE

Rais Barrow wa Gambia kurejea nyumbani leo

Rais mpya wa Gambia Adama Barrow anatarajiwa kurejea nyumbani leo Alhamisi, baada ya kiongozi wa zamani Yahya Jammeh kuondoka nchini...

READ MORE

Papa Francis amtimua kiongozi wa dini kwa kugawa kondomu

Kiongozi wa kanisa katoliki anayewasaidia raia wa Malta amejiuzulu kufuatia mgogoro na Vatican kuhusu mpango wa kusambaza mipira ya kondomu...

READ MORE

Trump Awatimua Wasomali 90 na Wakenya 2 Marekani

Raia takriban 90 wa Somalia na wawili wa Kenya wametimuliwa kutoka Marekani saa chache baada ya taarifa kuibuka kwamba Rais...

READ MORE

Kemikali za Sumu Zapatikana Ikulu ya Gambia

….Kiongozi mpya wa Gambia Adam Barrow. ASKARI wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi (Ecowas) wamegundua kemikali ya...

READ MORE

Mambo Yaanza Kunoga Shinda Nyumba Watu Kulamba Pikipiki, Tv, Simu

Wasomaji wa magazeti ya Global wakiwa katika pozi baada ya kujaza kuponi ya Shinda Nyumba awamu ya pili. Mr Uwazi...

READ MORE

Bonge la Mtu Lenye ‘Maguvu’ na Mlo wa Kutisha

  Hayat alivyo. KWA kawaida, vibonge wengi, yaani watu wenye miili mikubwa hasa wanene, huchukuliwa kama watu wasio na nguvu...

READ MORE

Trump Kuzuia Wahamiaji Kutoka Nchi za Kiislamu Afrika na Mashariki ya Kati

Rais wa Marekani Donald Trump anatarajiwa kutia saini sheria  ya kuweka masharti kuhusu wahamiaji wanaoingia nchini humo. Taarifa kutoka Marekani...

READ MORE

Kortini kwa kuendesha gari akiwa amesimama

Mtu mrefu ameshtakiwa kwa kuendesha gari akiwa amesimama baada ya kukiri kupeleka gari vibaya. Adam Elliott alituhumiwa kwa kuwaonyesha madereva...

READ MORE

Trump Akubali Kuiuzia Kenya Ndege za Kivita

Marekani imekubali kuiuzia serikali ya Kenya ndege za kivita na vifaa vingine vya kijeshi, kwa kima cha Dola Milioni 418...

READ MORE

Kabila la wala watu-3: Kumbe Mtoto wa Makamu wa Rais wa Marekani Aliliwa na Watu Hao

   ENDELEA ILIPOISHIA: Uombaji radhi ulifanyika katika shughuli maalum iliyoandaliwa na viongozi wa Jimbo la East New Britaish na shughuli...

READ MORE