×

Kitaifa

Rais Samia Atembelea Na Kukagua Daraja La JP Magufuli Kigongo-Busisi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ametembelea na kukagua Daraja la JP Magufuli (Kigongo-Busisi km...

READ MORE

Airtel Wachangia Damu Kuunga Mkono Juhudi za Serikali Kuboresha Huduma za Afya.

Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania kwa kushirikiana na Mpango wa Taifa wa Uchangiaji Damu nchini (NBTS) Leo...

READ MORE

NMB Yasherehekea Safari Yake ya Mafanikio ya Miaka 25 Visiwani Zanzibar!

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, imeipongeza Benki ya NMB kwa safari yake ya mafanikio yaliyotukuka ya miaka 25! Haya yamesemwa...

READ MORE

NMB yachangia vifaa vya 10M/= kusaidia wajawazito Korogwe

Benki ya NMB imetoa msaada wa vifaa vya kujifungulia kwa kina mama wajawazito zaidi ya 500 katika kituo cha afya...

READ MORE

Majina ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kidato cha Tano Na Vyuo 2023 haya hapa

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Angelah Kairuki amesema wanafunzi 1,878 wakiwemo...

READ MORE

Mjema: Vijana Nendeni Mkawe Chachu Ya Mabadiliko, Mkakilinde chama Chetu CCM

  Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Ndg. Sophia Edward Mjema  leo Juni 11 2023, ameshiriki...

READ MORE

JK Akutana na Kamishna wa Umoja wa Ulaya ‘EU’

Rais Mstaafu na Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Ubia wa Elimu Duniani (GPE) Dkt. Jakaya Kikwete amekutana na Bi....

READ MORE

TanTrade Kutoa Huduma Ya Mawasiliano ‘Interner-Wifi’ Uwanja wa Maonesho Sabasaba

Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) pamoja na Taasisi ya Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote( UCSAF)  wamekutana na kufanya...

READ MORE

NSSF Yaendesha Semina Kwa Waheshimiwa Majaji Na Mahakimu Mwanza

Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mhe. Mustapher Siyani amefungua semina kwa njia ya e-Mikutano kwa Waheshimiwa Majaji na...

READ MORE

Katibu Mkuu CCM Chongolo Akutana na Balozi Wa China Nchini

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Daniel Chongolo amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa China nchini Tanzania,...

READ MORE

Wizara ya Elimu Yasema Zaidi ya Programu 300 za Mafunzo Elimu ya Kuu Kuanzishwa

Zaidi ya programu 300 za mafunzo elimu ya juu kuanzishwa ama kuhuishwa ili kuendana na Dira na Mipango ya Maendeleo...

READ MORE

Chongolo Awaambia Vijana wa Afrika Kuwa Wazalendo Kwa Nchi Zao

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Daniel Chongolo, amewataka vijana wa Afrika, hususan kutoka Kusini mwa Afrika, kujitambua...

READ MORE

Wanaotaka Ubunge, Udiwani CCM Kabla ya Muda Sengerema Waonywa

  Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Sengerema Marco Makoye amewaonya wanaCCM wanaopita kwenye majimbo kutaka madaraka ya...

READ MORE

Wanafunzi wa St Joseph Dar Wabuni Satellite

Itarushwa Kimolita 400 angani hivi karibuni Itakuwa msaada mkubwa kwa wakulima Watafiti kuitumia kupata taarifa mbalimbali WANAFUNZI na wahadhiri wa...

READ MORE

Mkaguzi Mkuu wa Ndani Msaidizi Awataka Wakaguzi Kutoa Ushauri Wenye Serikalini

Mkaguzi Mkuu wa Ndani Msaidizi-Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Serikali, Paison Mwamnyasi amewataka Wakaguzi wa Ndani kuzingatia sheria,...

READ MORE

Ukweli Kuhusu Ukodishwaji wa Bandari ya Dar Huu Hapa..

UONGO #1: Serikali imekodisha Bandari ya Dar es Salaam kwa DP World kwa miaka 100 Ukweli: Hakuna mkataba wowote wa...

READ MORE

Asilimia 87% Huduma Za WCF Zinafanyika Kwa Njia Ya Mtandao

Akiongea kwenye mafunzo kwa maafisa Rasilimali Watu, Utawala na Usalama na Afya mahali Pa kazi kutoka taasisi za Binafsi na...

READ MORE

Serikali Yatumia Zaidi ya Mil 334 Kuwezesha Upatikanaji Vifaa vya Kufundishia Wanafunzi Wenye Mahitaji Maalumu

  Serikali imetumia zaidi ya Shilingi milioni 334 kuwezesha upatikanaji wa vifaa vya kufundishia, kujifunzia, vifaa saidizi na kujenga mabweni...

READ MORE

Waziri Mkenda Alipa Maelekezo Baraza Jipya La Chuo Cha DIT

Waziri Wa Elimu,Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amezindua Baraza jipya la Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) na...

READ MORE

UVCCM Yavuna Wanachama Wapya 250 Sengerema

Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi( UVCCM ) Wilaya ya Sengerema Mkoa Mwanza kimevuna Wanachama wapya 250 kwenye Kata...

READ MORE

NMB Yatoa Gawio la Kihistoria

Wanahisa wa Benki ya NMB wameidhinisha gawio la Shilingi Bilioni 143.1 kwa mwaka 2022, sawa na shilingi 286 kwa kila...

READ MORE

Serikali Yakumbushwa Ahadi ya Ujenzi wa Wodi ya Wagonjwa Kituo cha Afya Nyamatongo

Kaimu Mganga Mkuu wa Kituo ya afya Nyamatongo kilichopo wilayani Sengerema Mkoa Mwanza, Stivin Godwin ameiomba serikali kutimiza ahadi ya...

READ MORE

Chongolo Aagiza Tume Ya Taifa ya Umwagiliaji Kusimamia Vizuri Ujenzi Skimu Mkombozi, Iringa

  KATIBU Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo ametoa maagizo kwa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji kuhakikisha wanasimamia...

READ MORE

Chongolo Ashuhudia Wananchi wa Chamdindi Wakipata Maji Safi

  Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo  yupo Mkoani Iringa kwa ziara ya siku saba kukagua utekelezaji...

READ MORE

Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango Atembelea Banda la NMB Arusha

Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango amesikiliza Maelezo kutoka kwa Afisa Mkuu wa Wateja Wakubwa na Serikali wa Benki ya...

READ MORE

Mabalozi, Wanachama CCM Wakumbushwa Umuhimu wa Kujitolea

Katibu Mkuu wa Halmashauri Kuu Taifa (NEC) Oganaizesheni ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) issa Ussi Gavu amewaomba wanachama na mabalozi...

READ MORE

Chongolo: Serikali ya Rais Samia Itaendelea Kutatua Changamoto Za Wananchi

Katibu Mkuu wa chama cha Mapinduzi (CCM),  Daniel Chongolo amesema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe. Rais Samia...

READ MORE

Madaktari bingwa 10 Waliokuwa India Warudi na Shuhuda Nzito Kuhusu Utalii Tiba

·      Wasema huduma walizoona India Tanzania zipo ·      Wampongeza Rais Samia kwa uwekezaji mkubwa sekta ya...

READ MORE

Chongolo Afunguka “CCM Tunataka Katiba Iliyo Bora”

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo amesema kwa sasa hakuna chama chochote cha Siasa au Mtu yeyote...

READ MORE

Waziri Wa Elimu”Wizara Itaendelea Kushirikiana na Wadau Kuhakikisha Mageuzi ya Elimu Yanafanikiwa

Kwa mara nyingine Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imekutana na Wadau wa Maendeleo jijini Dar es Salaam kuwapitisha, kujadili...

READ MORE

Serikali Ya China Yapongezwa Kukuza Somo la Lugha ya Kichina Hapa Nchini

Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Carolyne Nombo ameishukuru Serikali ya China kwa juhudi inazoonesha katika kuhakikisha...

READ MORE

Kamati Mpya ya Ushauri wa Kisekta ya ‘MUHAS’ Yatakiwa  Kutoa Maoni Ya Kuboresha  Mitaala Mipya

Kamati mpya ya Ushauri wa Kisekta ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi (MUHAS) imetakiwa  kutoa maoni na ushauri...

READ MORE

NMB ya kwanza kuzindua Malipo kwa QR na UnionPay International

BENKI ya NMB kwa kushirikiana na UnionPay International (UPI), wamezindua suluhisho la malipo ya kimtandao kupitia QR kwa wateja wao...

READ MORE

TASAC Yaendelea Kusimamia Vyema Udhibiti wa Huduma za Usafiri 

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa amesema katika mwaka 2022/23, Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC)limekamilisha hatua...

READ MORE

Wanafunzi Kidato Cha Sita St Anne Marie Academy Daraja la kwanza Kuzawadiwa Simu Janja ya iphone

  WANAFUNZI wa shule ya St Anne Marie Academy watakaofiwa na wazazi wakiendelea na masomo hawatafukuzwa shule na badala yake...

READ MORE

Mbunge Shigongo Akutana na Waandishi Wa Habari Wa Mkoa wa Iringa Bungeni

Waandishi wa habari kutoka Mkoa wa Iringa waliokuwa Bungeni kufuatilia hotuba ya Waziri wa Habari, Mawasiliano na Tknolojia ya Habari,...

READ MORE

Jaji Mahakama Kuu Atoa Neno Usalama Wa Wafanyakazi na Miundombinu Ya Serikali

Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Morogoro, Mhe. Paul Ngwembe, ametoa wito kwa viongozi wa Taasisi mbali mbali za...

READ MORE

Mbowe Atikisa Mkutano wa Hadhara Kasulu, Kigoma

Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe amekonga umati mkubwa wa wananchi wa Wilaya ya Kasulu Mkoani...

READ MORE

Muungano wa Viwanda vya Saruji Hautawezi Kutawala soko”Mdau Wa Maendeleo”

Wakati Serikali ikiwa imeweka sawa sakata la viwanda vya saruji bungeni, baadhi ya wadau wametoa maoni yao na kusema kuwa...

READ MORE

Chuo Kikuu Cha UDSM Kuadhimisha Wiki Ya Utafiti na Ubunifu

Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kimeutaarifu umma wa watanzania na kuwaalika wadau wa elimu na maendeleo, kwa ujumla kushiriki...

READ MORE