×

Kitaifa

Wananchi wa Lindi Washukuru Kujengwa Kampasi ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam

Wananchi wa Mkoa wa Lindi wameishukuru Serikali baada ya kutangaza rasmi kuanza kwa ujenzi wa Kampasi ya Chuo Kikuu cha...

READ MORE

Chongolo Afanya Mazungumzo na Kansela wa Chama Cha Kikomunisti Cha China

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Daniel Godrefy Chongolo, amekutana kwa ajili ya mazungumzo na Kansela wa Chama...

READ MORE

Prof. Mkenda Apongeza Taasisi ya WAMA Kwa Kutoa Fursa ya Elimu Kwa Watoto

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda ameipongeza Taasisi ya WAMA kwa kutoa fursa ya elimu kwa watoto...

READ MORE

DP World: KKKT Yaunga Mkono Uwekezaji, Yampongeza Rais Samia kwa Hekima

Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Fredrick Shoo, amesema kuwa kanisa lake lina imani na...

READ MORE

Rais Samia Aipa Cheti NMB cha Mlipa Gawio Mkubwa 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Samia Suluhu Hassan ametoa tuzo maalum kwa Benki ya NMB katika kutambua...

READ MORE

Prof. Mkenda: Elimu Ndio Mtaji Itakayobadilisha Taifa Liweze Kusonga Mbele.

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amesema elimu ndio mtaji na kwamba itabadilisha taifa liweze kusonga mbele....

READ MORE

Hakuna Kilichosimama Miradi Ya Maendeleo, Ushetu Inasimama na Rais Samia: Mbunge Cherehani

Mbunge wa Jimbo la Ushetu, Wilaya ya Kahama Mkoani Shinyanga Dkt Emmanuel Cherehani amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...

READ MORE

Waziri wa Elimu: Mitaala Mipya  ya Elimu ya Awali, Msingi, Sekondari na Elimu ya Ualimu Kutumika Baada ya Sera ya Elimu

Waziri wa Elinu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amesema Mitaala mipya  ya Elimu ya Awali, Msingi, Sekondari na Elimu...

READ MORE

NMB, Vodacom wazindua kampeni ya ‘Miliki Simu – Lipa Mdogo Mdogo’

Benki ya NMB, kwa kushirikiana na Vodacom na Google, wamezindua kampeni ya ‘Miliki Simu, Lipa Mdogo Mdogo’, inayowezesha watanzania wa...

READ MORE

Mwenyekiti wa CCM na Rais Dkt. Samia Aongoza Kikao Maalum Cha Kamati Kuu

Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 17 Agosti...

READ MORE

JK Ateta na Kamati ya Utatu ya Siasa, Ulinzi na Usalama ‘SADC- TROIKA’ Mjini Luanda-Angola

Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Wazee la Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika,...

READ MORE

Benki ya Nmb, ATCL Wazindua Mfumo wa Malipo Tiketi za Ndege

BENKI ya NMB na Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), wamezindua ushirikiano wa kibiashara wa mifumo ya malipo ya tiketi za...

READ MORE

Wamiliki wa Shule Binafsi, Vyuo Kukutana Kesho Dar, Kujadili Masuala ya Elimu…

Wamiliki wa shule binafsi Mkoa wa Dar es salaam wameiomba serikali kutupia jicho la tatu suala la wanafunzi wanaohitimu masomo...

READ MORE

SADC Yajadili Umuhimu wa Rasilimali Watu na Fedha Katika Maendeleo ya Viwanda

LUANDA: Tamko la Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu uwekezaji katika Rasilimali Watu uliofanyika jijini Dar Es Salaam...

READ MORE

Issa Gavu Amtaka Salim Abri ‘ASAS’Dairies Farm Kuweka Shamba Darasa la Mifugo Iringa

Katibu wa NEC Idara ya Organaizesheni Ndg. Issa Gavu amefanya ziara katika shamba la Salim Abri maarufu (Asas) Mjumbe wa...

READ MORE

Ijue Sheria: Hili ndilo Kosa la Uhaini

Kwa mujibu wa kifungu cha 39 (1) cha Kanuni ya Adhabu (Penal Code), mtu yeyote ambaye yumo ndani ya Jamhuri ...

READ MORE

NMB Yapata Heshima Kubwa ya Superbrands

Benki ya NMB imetunukiwa cheti cha kuwa ‘Superbrand’, na kuifanya kuwa benki pekee iliyopata hadhi hiyo nchini Tanzania mwaka huu....

READ MORE

Watumishi wa Serikali Washauriwa Kubadili Mtindo wa Maisha Kulinda Afya Zao

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dkt. Moses Kusiluka ametoa wito kwa watumishi wa umma kubadili mtindo wa maisha ikiwa ni pamoja...

READ MORE

Ikiadhimisha Miaka Mitano, Thamani ya Uwekezaji Mfuko wa PSSSF Yafikia sh trilioni 7.8

Waziri Mkuu aagiza mifuko yote ya hifadhi ya jamii kulipa mafao kwa wakati Huduma zinazopatikana kupitia  PSSSF Pamoja ni utaratibu...

READ MORE

Wazazi washangazwa na umahiri wa kingereza wanafunzi Tusiime

UMAHIRI wa hali ya juu wa kumudu kuzungumza lugha ya kingereza kwa ufasaha ulioonyeshwa na wanafunzi wa shule ya msingi...

READ MORE

Watatu Wakamatwa Kwa Tuhuma za Kujeruhi, Kupora watu Daraja la Salenda

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata watu watatu kwa tuhuma za kujeruhi na kupora watu vitu...

READ MORE

Rais Samia Afanya Mageuzi Makubwa Miradi ya Maendeleo Bukombe: Dkt Biteko

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan ametajwa kuwa kiongozi mahiri katika kipindi cha muda...

READ MORE

Waziri Biteko: Hakuna Mradi Utakaosimama Chini Ya Uongozi wa Rais Samia

Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Mbunge wa Jimbo la Bukombe ambaye pia ni Waziri wa Madini Mhe...

READ MORE

Mafundi wa EFD Kizimbani Kwa Kuisababishia TRA Hasara ya Zaidi ya Mil 900

MAFUNDI wawili wa mashine za kielektroniki za EFD na mwanamke mmoja, wakazi wa jijini Dar es Salaam, wamefikishwa katika Mahakama...

READ MORE

Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa SADC Ngazi ya Wataalamu Waanza Nchini Angola

Tanzania inashiriki Mkutano wa 43 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) uliofunguliwa...

READ MORE

Wafanyakazi Waishukuru Serikali Kuanzisha Mfuko wa WCF

WAFANYAKAZI wameipongeza Serikali kwa uamuzi wake wa kuanzisha Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) kwani ni msaada mkubwa kwa waajiri...

READ MORE

NMB na Kampuni ya Agricom Africa, Kushirikiana Kuwezesha Ukuaji wa Kilimo Kwa Wakulima

Benki ya NMB na Kampuni ya Agricom Africa, wamewahakikishia wakulima nchini, kwamba ushirikiano baina ya taasisi hizo ndio mkombozi wa...

READ MORE

Tusiruhusu Viongozi wa Nchi Yetu Wakatwezwa Utu Wao-Dkt Biteko

Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Mhe Dkt Doto Mashaka Biteko (Mb) ambaye pia ni Waziri wa Madini...

READ MORE

Rais Samia: Hongereni NMB kwa mchango Wenu Katika Sekta ya Kilimo!

Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameipongeza Benki ya NMB kwa mchango uliotukuka kwenye Sekta...

READ MORE

Kamati ya Bunge Yatembelea Banda la NMB NaneNane jijini Mbeya

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo, imetembelea Banda la Benki ya NMB katika Maonesho ya...

READ MORE

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya azindua NMB ‘Onja Unogewe’ kwa Mkoa wa Nyanda za Juu

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya – Mhe. Juma Homera amezindua rasmi Kampeni ya Onja Unogewe inayoendeshwa na Benki ya NMB...

READ MORE

Waziri Mkuu Majaliwa Apongeza Jitihada za NBC Utoaji Mikopo Zana za Kilimo

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa taasisi za fedha nchini kuendelea kubuni huduma zinazolenga kutatua changamoto zinazowagusa wakulima huku...

READ MORE

Cherehani Awataka Wana CCM Kujenga Mshikamano Kuacha Fitina

VIONGOZI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Ushetu, wametakiwa kujenga ushirikiano na kuacha vitendo vya majungu na fitina ndani ya...

READ MORE

Benki ya NMB Yatenga Sh. Bil 20 BBT, Yamwaga Mikopo Kwa Wakulima

Katika kuunga mkono juhudi za Serikali kuwainua vijana na wanawake kupitia mradi wa kuwawezesha kulima, kuvua na kufuga kibiashara (BBT),...

READ MORE

Mbeya yafurika banda la Lake Gas Nanenane

Wakazi wa Mkoa wa Mbeya wamefurika katika banda la kampuni ya Lake Gesi lililopo katika viwanja vya nanenane mkoani humo...

READ MORE

Dkt. Mpango Aiopongeza NBC Utoaji Elimu ya Fedha, Mikopo kwa Wakulima, Atoa Wito.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa taasisi za fedha nchini...

READ MORE

Mbunge Chelehani Ampa Tano Rais Samia Miradi ya Maendeleo

Mbunge wa Jimbo la Ushetu, Wilaya ya Kahama Mkoani Shinyanga Dkt Emmanuel Cherehani amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...

READ MORE

NMB Yashinda Tuzo Tatu za Kimataifa, Yatajwa Benki Bora Tanzania 2023 

Benki ya NMB  imetambuliwa na kupokea tuzo tatu za kimataifa ambazo ni: Benki Bora Tanzania 2023 (Kutoka Tuzo za Umahiri...

READ MORE

Airtel Yazindua Airtel Vikoba Kidigitali

*Inapatikana kwa wateja wote wa Airtel Money *ni kwa kushirikiana na Benki ya TCB kupitia kauli mbiu isemayo ‘Tubebane Pamoja’....

READ MORE

NMB Yadhamini Maonesho ya Nane Nane Kwa Mil. 80/-

  Kwa kuthamini mchango wa kilimo katika ukuaji wa uchumi nchini, Benki ya NMB imedhamini Maonesho ya Nane Nane kwa...

READ MORE