×

Kitaifa

Waziri Mkuu Aagiza Madiwani Watatu Mbinga Vijijini Wakamatwe

    WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemuagiza Kamanda wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Ruvuma,...

READ MORE

Vifo Vinne vya Ajali Vyatikisa Moshi

NI simanzi na majonzi mjini hapa kutokana na vifo vya watu wanne vilivyotokana na ajali siku ya Mwaka Mpya. George...

READ MORE

Polisi Amuua Rafiki Yake Wakitafuna Mirungi Kituoni

MAOFISA wa upelelezi kutoka Idara ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) nchini Kenya wameanzisha uchunguzi dhidi ya kifo cha...

READ MORE

Maalim Seif Afunguka Mazito Zanzibar, Akataa Ubaguzi

  MAKAMU  wa kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, amesema Serikali ya Mapinduzi Zanzibar inataka kuhakikisha hakutakuwa...

READ MORE

Shigongo Akasirika, Ampigia Simu Mkurugenzi “Hatumtaki Huyu Mtendaji”

  MBUNGE wa Jimbo la Buchosa, Mhe. Eric Shigongo, ametembelea barabara ya Kasheka iliyokatika kutokana na uzembe wa Mtendaji wa...

READ MORE

Simulizi Ya Machozi… Kijana Azimia Mwezi Mzima, Apoteza Kumbukumbu

AMA kweli kabla hujafa hujaumbika! Kijana aliyefahamika kwa jina la Kagusa Kayola (27), mkazi wa Ubungo-Kibo jijini Dar, amejikuta kwenye...

READ MORE

Naibu Waziri Awacharaza Bakora Wanaojihusisha na Biashara ya Walemavu

Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Wenye Ulemavu Mhe. Ummy Nderiananga amekemea vikali vitendo vya udhalilishaji Watu wenye Ulemavu...

READ MORE

Simulizi Baba Aliyeuawa na Mwanaye Moshi

HAI: Kuna methali ya Kiswahili isemayo; “Hii pweke ni uvundo, kuondokewa si kwema!” Simulizi ya baba ambaye ni mkazi wa...

READ MORE

Waliokufa kwa Corona Kuchomwa Moto

KIONGOZI  wa Baraza la Waislamu wa Sri Lanka Mbunge,  Rauff Hakim, alisema kuwa uteketezaji wa miili ya wahanga wa janga...

READ MORE

Mwinyi Amwapisha Katibu Mkuu Kiongozi Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi leo Januari 2, 2021, amemwapisha Mhandisi Zena...

READ MORE

Jambazi Auawa Usiku wa Kuamkia 2021

MTU mmoja anayedaiwa kuwa jambazi ameuawa na jeshi la polisi mkoani Kigoma, wakati wa majibizano ya risasi na wenzake watatu...

READ MORE

Shigongo Ataja kwa Uchungu Jambo Linalomuumiza – Video

MBUNGE wa Buchosa, Mhe. Eric Shigongo, amesikitishwa na baadhi ya shule za halmashauri hiyo kushika nafasi za mwisho kitaifa katika...

READ MORE

Familia ya Shigongo Wafanya Ibada Kuwaombea Wazazi Wao – Video

  MBUNGE  wa Buchosa, Mhe. Eric Shigongo, na familia yake, leo Ijumaa, Januari Mosi, 2021, wamefanya ibada ya misa kuwaombea...

READ MORE

Membe Abwaga Manyaga ACT-Wazalendo

ALIYEKUWA mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama cha ACT-Wazalendo na mshauri wa chama hicho,...

READ MORE

Jumbe Asimulia Alivyovunjwa Mguu na Kuku Ndotoni

UMEWAHI kusikia kisa cha mtu kuvunjwa mguu na kuku? Leo ukiambiwa mkongwe wa muziki wa dansi nchini, Hussein Jumbe amevunjika...

READ MORE

Wananchi Wamshukuru Shigongo kwa Hili… – Video

  WANANCHI wa Kijiji cha Sukuma, Halmashauri ya Buchosa, wameeleza furaha yao baada ya kukamilisha ujenzi wa vyumba vinane vya...

READ MORE

Bwana Harusi Atoweka Saa Chache Kabla ya Harusi, Bi Harusi Aangua Kilio

KATIKA hali isiyo ya kawaida, Bwana harusi ambaye pia ni mchungaji wa Kanisa la New Hope Mountain (NHM), Yusuph Asagwile...

READ MORE

Shigongo, Wananchi Waibua Madudu Bandari ya Kanyara – Video

WANANCHI wa Kijiji cha Kanyara, Halmashauri ya Buchosa wametoa malalamiko yao kwa Mbunge wa Jimbo la Buchosa, Mhe. Eric Shigongo,...

READ MORE

Mazishi Familia Moja Waliokufa Kwa Moto Yaacha Simanzi

SIMANZI na vilio vilitanda Jumanne katika mazishi ya familia moja ya Sigfrid Kimbi (44) iliyoteketea kwa ajali ya moto huko...

READ MORE

Shigongo Akomaa na Elimu Buchosa, Atua Sukuma na Bodaboda – Video

  MBUNGE wa Buchosa, Mheshimiwa Eric Shigongo na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Buchosa wamelazimika kupanda pikipiki kutembelea shule mpya ya...

READ MORE

Mazito Usiyoyakjua Kuhusu Bilionea Urusi Kufa Ghafla Bongo

MAMBO mazito yanazungumzwa juu ya kifo cha ghafla cha Bilionea Igor Sosin (53), raia wa Urusi aliyekutwa amekufa hotelini visiwani...

READ MORE

Hali ni Shwari Ziwa Victoria, Hakuna Mauaji Wala Unyang’anyi

WANANCHI waishio Visiwa vilivyomo ndani ya Ziwa Victoria mkoani Mwanza wamempongeza Kamanda wa Polisi mkoani humo Murilo Jumanne kwa kuimalisha...

READ MORE

Daktari Atumia Hospitali ya Serikali kwa Manufaa Binafsi

WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Dorothy Gwajima, ameagiza daktari aliyejimilikisha Hospitali ya Amana kwa...

READ MORE

Aliyejifanya Ofisa TAKUKURU Anaswa, Afikishwa Kortini

Mfanyabiashara, Edson Beanga Mkazi wa Dar es Salaam amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashtaka matatu likiwemo...

READ MORE

Kesi ya Rugemalira, Seth Yapigwa Kalenda Tena

KESI inayowakabili mfanyabiashara, James Rugemarila, na mmiliki mwenza wa zamani wa Kampuni ya IPTL, Habinder Seth na mwanasheria wa IPTL,...

READ MORE

Tanzia: Mwanamuziki Mao Santiago Afariki Dunia

NGULI wa muziki wa dansi aliyewahi kuwa mwanamuziki wa kundi la Chuchu Sound, Mao Santiago, amefariki dunia nchini Jamhuri ya...

READ MORE

Kalemani Awapa REA na TANESCO Miezi 3 Kuunganishia Wateja Umeme

WAZIRI wa Nishati, Mhe. Dkt. Medard Kalemani, amewaagiza watendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na Wakala wa Nishati Vijjini...

READ MORE

Polisi Yatoa Onyo Watakaochoma Matairi Mwaka Mpya

JESHI la Polisi nchini limepiga marufuku uchomaji wa matairi ambayo yamekuwa yakiharibu miundombinu mingi kama vile barabara ambazo zimejengwa kwa...

READ MORE

Watoto 2 Familia Moja Wafariki kwa Moto, Wazazi Watokomea!

WATOTO wawili wa familia moja wamefariki dunia katika kijiji cha Nyarugisu wilayani Kasulu mkoani Kigoma, baada ya nyumba waliyokuwa wakiishi...

READ MORE

Dkt. Ndugulile Awapa Siku 30 Wanazodaiwa na TTCL

WAZIRI wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Faustine Ndugulile amezipa siku 30 taasisi za umma zinazodaiwa na Shirika la...

READ MORE

Wanafunzi Vyuo Vikuu Walihimizwa Kujiunga na Academy ya TEHAMA ya Huawei

  Wito umetolewa kwa wanafunzi wa vyuo vikuu nchini kuchukua nafasi za kujiandikisha bure kwenye Akademi za TEHAMA za Huawei...

READ MORE

Egla Mamoto; Kada wa CCM Azikwa Dodoma

KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Egla Mamoto, amezikwa jana Jumanne, Desemba 29, 2020 katika Kijiji cha Mpwayungu, wilaya ya...

READ MORE

Majaliwa Amwakilisha Rais JPM Mazishi ya Askofu Banzi – Video

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa amemwakilisha Rais Dkt. John Magufuli katika mazishi ya Baba Askofu...

READ MORE

Kwa Heri Mngereza, Mlezi wa Sanaa Tanzania

Viongozi mbalimbali wa kitaifa wakiongozwa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Innocent Bashungwa, wameungana na waombolezaji wengine kuanga...

READ MORE

Jamaa Wa Kusambaza Picha Chafu Za ‘Ngono’ Kwa WhatsApp Anaswa

Mfanyabiashara, Faraji Omary (26) Mkazi wa Mbagala Jijini Dar es Salaam amefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na...

READ MORE

Askari Aliyeokoa Mtoto Hakuwa Eneo Lake la Kazi

ASKARI wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Koplo Denis Minja, ambaye mwezi Mei alimwokoa mtoto mchanga akiwa hai ndani ya...

READ MORE

Mamia wamuaga Mngereza Dar

WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Innocent Bashungwa amesema Taifa limepata pigo kwa kuondokewa na Mtendaji wake mchapakazi, Katibu...

READ MORE

Exclusive: Rose Muhando Aanika Mazito, Ahofia Usalama Wake – Video

MUIMBAJI mkongwe wa nyimbo za Injili, rose Muhando amefunguka na kuanika mambo mazito aliyoyapitia kuhusu maisha yake huku akidai kuwa...

READ MORE

Watuhumiwa 683 Tabora Wakutwa na Silaha, Pembe za Ndovu, Sare za Jeshi

JESHI la Polisi limefanikiwa kuwakamata jumla ya watuhumiwa 683 wa makosa mbalimbali mkoani Tabora katika oparesheni iliyochukua wiki tatu katika...

READ MORE

Dk. Gwajima Aridhishwa Uzalishaji Dawa Kiwanda cha Keko

WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima, ameridhishwa na uzalishaji wa dawa katika kiwanda...

READ MORE