×

Kitaifa

Wawili Wafariki Katika Ajali Tarime

DEREVA wa Mkurugenzi wa Tarime Mji na Afisa Maendeleo ya Jamii jana Januari 10, 2021, walifariki dunia baada ya gari...

READ MORE

DC Gondwe: Tuache Maneno, Tufanye Kazi – Video

WAKAZI wa Wilaya ya Temeke wametakiwa kufanya kazi kwa bidii ili kujiletea maendeleo na kuhakikisha maeneo yake yanakuwa katika hali...

READ MORE

Wananchi Wagoma Kufungiwa Mita za Maji

  BAADHI ya wananchi wa Kata ya Kalela wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma, wametishia kutotumia maji yanayotolewa na mradi wa...

READ MORE

5 Wajeruhiwa Basi ‘Simba Mtoto’ Likipata Ajali Chamwino- Video

WATU watano wamejeruhiwa wakati basi la abiria kampuni ya Simba Mtoto linalofanya safari zake kati ya Dodoma na Tanga kupata...

READ MORE

RC Morogoro Aamuru Kuswekwa Ndani Wenyeviti 21

MKUU wa mkoa wa Morogoro, Loata Ole Sanare ameagiza kukamatwa na kuwekwa ndani wenyeviti wa vitongoji 21 wa halimashauri ya...

READ MORE

Simbachawene Ampa Sirro Siku 7 Kushughulikia Bajeti ya Mbwa – Video

  WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, amempa siku saba Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, (IGP)...

READ MORE

Silinde Amvua Madaraka Mwalimu Mkuu Ikhanoda – Video

NAIBU Waziri Ofisi ya Rais Tawala wa Mikoa na  Serikali za Mitaa (Tamisemi), David Silinde, amemvua madaraka Mwalimu Mkuu wa...

READ MORE

Utata Kifo Kigogo Bima

UTATA umeibuka kufuatia kifo cha Ofisa wa Shirika la Bima la Taifa (NIC) mkoa wa Tabora aliyefahamika kwa jina la...

READ MORE

Matatani Kunywa Pombe na Wanawake Wawili Baa

KWANI kunywa bia na wanawake wawili baa ni kosa kisheria? Si ndivyo utakavyohoji? Sasa UWAZI linakuambia wewe endelea na udadisi...

READ MORE

Asakwa Tuhuma za Kumnyonga Mchumba’ke

PENZI la kifo! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia kijana Yusuf Ally (25), mkazi wa Kijiji cha Msimbo Kata ya Msimbi wilayani...

READ MORE

Wenye Smart Phone Wapewa ‘Maujanja’ Kusoma Magazeti Mtandaoni

WAKATI Kampuni ya Global Publishers Ltd ikizidi kwenda kasi katika ulimwengu wa kidijitali  mtandaoni,  leo timu ya maofisa masoko wa...

READ MORE

JPM Aiomba China Mambo Matatu “Wanajua Hatuna Corona” – Video

Rais Dkt. John Magufuli leo Ijumaa, Januari 8, 2021, amempongeza Waziri wa Mambo ya Nje wa China, Wang Yi kwa...

READ MORE

Tanzania, China Zasaini Ujenzi SGR (Mwanza-Isaka)

  SERIKALI  ya Tanzania kupitia Shirika la Reli (TRC) na China zimeingia makubaliano ya kujenga reli ya kisasa ya kilomita...

READ MORE

Suala la Elimu Lamtesa Shigongo, Akutana na Wakuu wa Shule

MBUNGE wa Jimbo la Buchosa, Mhe. Eric Shigongo, amekutana na wakuu wa shule za msingi na sekondari  na maafisa elimu...

READ MORE

14 Mbaroni kwa Kuiba Korosho za mil 160/=

POLISI  mkoani Mtwara inawashikilia watu 14 kwa tuhuma za kula njama, kuvunja ghala la korosho na kuiba gunia za korosho...

READ MORE

Rais Trump Arejeshewa Akaunti Yake ya Twitter

Rais wa Marekani, Donald Trump ameruhusiwa kuendelea kutuma ujumbe katika mtandao wa Twitter baada ya kufungiwa katika akaunti yake kwa...

READ MORE

Shigongo Aiomba Tamisemi Kuongeza Walimu Buchosa – Video

MBUNGE wa Jimbo la Buchosa, Mhe. Eric Shigongo amekutana na Naibu Katibu Mkuu wa TAMISEMI, Get Mweli pamoja na Mkurugenzi...

READ MORE

Rais Aapishwa Ghana Baada ya Ghasia Bungeni

NANA Akufo-Addo ameapishwa kuwa rais wa Ghana kwa muhula wa pili, siku moja baada ya ghasia kutokea bungeni. Askari waliagizwa...

READ MORE

China Yachangia Mil 358 Ujenzi Veta Chato – Video

CHINA itatoa ‘yen’ milioni moja  ambazo ni sawa na takriban sh. milioni 358 za Tanzania kwa ajili ya ujenzi wa...

READ MORE

Polisi 4 Wafukuzwa Kazi Arusha – Video

  POLISI  mkoani Arusha imesema kuwa polisi William Joseph, aliyekutwa na gongo, viroba, misokoto 20 ya bangi na kujiunganishia umeme...

READ MORE

Una SmartPhone? Soma Hapa Uteleze Tuuu!

  Mapema leo timu ya Maofisa Masoko wa Kampuni ya Global Group wameingia katika viunga mbalimbali vya jiji la Dar...

READ MORE

Wananchi Wasema Viongozi Wamekopeshana Saruji ya Zahanati Buchosa – Video

WANANCHI wa Kijiji cha Kasheka, Kata ya Bangwe katika Jimbo la Buchosa, Wilaya ya Sengerema, mkoani Mwanza,  wamecharuka baada ya...

READ MORE

Tanzia: Mama Anna Bayi Afariki Dunia

MWENYEKITI wa zamani wa  Chama cha Netball Tanzania (CHANETA) na mke wa aliyekuwa nguli wa riadha Tanzania, Filbert Bayi, mama...

READ MORE

Arise B.V  Inamiliki 34.9% ya Hisa zilizokuwa za Rabobank katika Benki ya NMB  

Arise B.V inayo furaha kuwatangazia wadau wake wote kuwa inamiliki 34.9% ya hisa za Benki ya NMB ambayo imeorodheshwa katika...

READ MORE

Serikali Yatangaza Awamu ya Pili Ya Ajira 5000 za Walimu

Serikali imetangaza Awamu ya Pili ya ajira kwa Walimu 5,000 ili kufikia idadi ya Walimu 13,000 kutokana na kibali kilichotolewa...

READ MORE

Waziri Awasimamisha Kazi Vigogo Wawili wa Ruwasa

Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amewasimamisha kazi, Meneja wa Wakala wa Huduma za Maji Mjini na Vijijini Mkoa wa Mara...

READ MORE

Wananchi Wafichua Manyanyaso ya Watumishi Kituo cha Afya Mwangika – Video

WANANCHI wa Kijiji cha Mwangika, Kata ya Bangwe, Jimbo la Buchosa, Mwanza, wamewalalamikia watumishi wa Kituo cha Afya Mwangika kwa...

READ MORE

Polisi Anaswa Kujiunganishia Umeme, Akutwa na Viroba…

  MKUU wa Wilaya ya Arusha, Kenani Kihongosi, amemkamata polisi ambaye alikuwa akiiba umeme wa TANESCO ambao alijiunganishia kinyume na...

READ MORE

Shigongo Amwambia Jafo: Barabara Hazipitiki, TARURA Hawana Fedha

MBUNGE wa Buchosa, Mhe. Eric Shigongo, amefunguka mbele ya Waziri wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za...

READ MORE

Kina Mama Mwangika Walia na Ndoa Zao Kisa Maji – Video

MBUNGE wa Buchosa, Mhe. Eric Shigongo, amefanya mkutano wa hadhara na wananchi wa Kijiji cha Mwangika, Kata ya Bangwe, ambapo...

READ MORE

Kivuko Kipya Buchosa Kuanza Kujengwa Januari Hii – Video

MBUNGE wa Buchosa, Mhe. Eric Shigongo amekutana na Mkurugenzi wa Wakala wa Barabara Vijijini (TARURA), Eng. Abdu Diganga, ambapo wamefanya...

READ MORE

Kaze Akataa Bonge la Beki Yanga SC, Ataja Sababu

  UONGOZI wa Yanga umesitisha mipango ya kumsajili beki na nahodha wa Biashara United, Abdulmajid Mangaro aliyekuwemo kwenye mipango ya...

READ MORE

Hatimaye Vitambulisho vya NIDA Vyapata Mwarobaini

WAZIRI wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene, amesema vitambulisho kutolewa kwa uchache kulitokana na mchakato wa manunuzi ndani ya serikali...

READ MORE

Kikwete Aomboleza Msiba wa Mtoto wa Nyerere

MBUNGE wa jimbo la Chalinze mkoani Pwani, Ridhiwani Kikwete, amefika nyumbani kwa familia ya Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius...

READ MORE

Tito Magoti na Theodory Waachiwa Huru

  OFISA wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Tito Magoti na mwenzake Theodory Giyan, leo wameachiwa huru...

READ MORE

Gigy Money Awaponza Wasafi, TCRA Yawafungia Miezi 6 – Video

MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeifungia Televisheni ya Wasafi TV kutoa huduma kwa muda wa miezi sita kuanzia Januari 6,...

READ MORE

Mkurugenzi Aswekwa Ndani kwa Amri ya RC Mongela

MKUU wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella ameamuru kukamatwa kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Sengerema, Boniface Magesa, na afisa ardhi...

READ MORE

Waziri Jafo Aipa Tano Buchosa

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mhe. Selemani Jafo, ameipongeza Halmashauri ya...

READ MORE

Mbowe: Khenani Kuapa Amekaidi Msimamo wa Chama

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amesema kuwa mbunge pekee wa jimbo la Nkasi Kaskazini, Aida...

READ MORE

Baba Amvunja Uti wa Mgongo Mwanaye Kisa Kuzurura

POLISI  mkoani Kagera, inamshikilia Amos Rudovick (39) kwa tuhuma za kusababisha kifo cha mtoto wake Dastan Amos (13), kwa kumchapa...

READ MORE