×

Kitaifa

Waziri Dkt. Gwajima Awataka Watoto Kufichua Vitendo Vya Kikatili

    WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima, amewataka watoto kote nchini kufichua...

READ MORE

Serikali, Benki ya Dunia Yazindua Programu Kuimarisha   Ufundishaji Shule za Msingi

Serikali kwa ufadhili wa Benki ya Dunia imezindua Programu ya kuimarisha   ufundishaji na ujifunzaji katika shule za awali na msingi...

READ MORE

NMB yachangia Milioni 27/- Kutatua Changamoto Elimu na Afya Wilaya ya Ubungo

    Benki ya NMB imetoa vifaa mbalimbali vya afya na vya shule vyenye thamani ya Sh.milioni 27 kwa Hospitali...

READ MORE

Wafanyabiashara Tabora wapewa mchongo Exim

MKUU wa Mkoa wa Tabora Balozi Dk. Batilda Burian amewaomba wafanyabiashara mkoani humo kuhakikisha wanachangamkia vema uwepo wa taasisi za...

READ MORE

Wananchi Tabora Wachangamkia Vyeti vya Kuzaliwa vya Watoto

  Kabidhi Wasii Mkuu Bi. Angela Anatory ametembelea na kukagua vituo vya tiba vinavyotoa huduma ya mama na mtoto na...

READ MORE

Wanahisa Benki ya NMB Waidhinisha Gawio Bil. 96.7

  Wanahisa wa Benki ya NMB wameidhinisha gawio la Sh 96.7 bilioni kwa mwaka 2021, huku wakiwa na imani kubwa...

READ MORE

Viongozi wa Skauti Wakutana na Waziri wa Elimu, Kufanyika Mkutano Mkuu Julai

  Mkutano Mkuu wa SKAUTI umepangwa kufanyika tarehe 2 Julai 2022 Jijini Dodoma ukiwa na agenda kubwa ya uchaguzi Mkuu...

READ MORE

Wananchi Tabora Watakiwa Kusajili Watoto Wao ili Kupatiwa Vyeti vya Kuzaliwa

Wananchi wa Mkoa wa Tabora wametakiwa kujitokeza kwa wingi kuwasajili watoto wao ili wapate vyeti vya kuzaliwa bila ya malipo...

READ MORE

Prof. Mbarawa Aruhusu Magari Kupita Barabara ya Juu Chang’ombe

WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa ameruhusu kuanza kutumika kwa njia moja ya barabara ya Juu Chang’ombe ili...

READ MORE

Waziri Nape Apongeza Vodacom, TBL Katika Jitihada za Kuinua Kilimo

  SERIKALI inaunga mkono jitihada za Kampuni ya Vinywaji vikali ya TBL na Kampuni ya Mawasiliano ya simu za mikononi...

READ MORE

Meli Kubwa ya EGT Southern Cross Kubeba Makaa ya Mawe Kupitia Bandari ya Mtwara

  MELI ya MV. EGT Southern Cross inatarajia kusafirisha Tani 59960 za Makaa ya Mawe kwenda Amsterdam Uholanzi, hii ikiwa ni...

READ MORE

Tasisi ya Jessy Foundation Yatoa Msaada Kituo Cha Watoto Yatima

Mama mmoja anayejulikana kwa jina la Hidaya Mtaremwa mkazi wa kibada wilaya ya kigamboni Dar ea salaam amefunguka na kusema...

READ MORE

Afisa Mtendaji Mkuu wa NMB Ashinda Tuzo ya Mtendaji Bora Barani Afrika 2022

Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna, mwishoni mwa wiki alitangazwa kuwa mshindi wa kipengele cha Afisa Mtendaji...

READ MORE

Nbc Yaandaa Chakula cha Jioni Kwa Ajili ya Wateja Wake,Wajadili Matarajio ya Mbele

BENKI ya NBC yaandaa Chakula cha Jioni kwaajili ya wateja wake katika hoteli ya Hyatt  Regancy  the Kilimanjaro jijini Dar...

READ MORE

Swissport Yatangaza Gawio Kwa Wanahisa Wake la Sh. 29.8

Kampuni ya usafirishaji wa mizigo ya swissport imetangaza gawio kwa wanahisa wake la Shilingi 29.8 kwa hisa kwa mwaka 2021...

READ MORE

NMB Yapiga Tafu Milioni 20 Kinara wa Ubunifu Chuo Kikuu cha Dar es Salaam

  Benki ya NMB imekabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya Shilingi Milioni 20 kwa kinara wa Ubunifu kutoka Chuo...

READ MORE

Canada Yaahidi Kushirikiana na Tanzania

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye amesema kuwa, licha ya Serikali kufanya kazi nzuri katika...

READ MORE

NMB Teleza Kidijitali Ndani ya A-town

Kwa mara nyingine tena, Benki ya NMB katika kuendeleza ubunifu na kuwarahisishia huduma wateja wake, inaendelea kuinadi kampeni ya Teleza...

READ MORE

Kero ya Maji kwa Wakazi wa Kijiji cha Nega  B Wilayani Iringa Mbioni Kumalizika

Ukosefu wa maji katika kijiji cha Nega  B wilayani Iringa umesababisha wakazi wa eneo hilo kuoga maji pungufu katika familia...

READ MORE

Katibu Mkuu Maliasili Awataka Wadau wa Utalii Arusha Kutumia Fursa ya Mikopo Nafuu ya Nmb

  Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk. Francis Michael amewataka wadau wa utalii mkoani Arusha kutumia fursa ya...

READ MORE

Waziri Mkuu Awasimamisha Kazi Mkurugenzi wa Jiji, Maafisa Watano Arusha

  WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewasimamisha kazi maafisa sita wa Jiji la Arusha akiwemo Mkurugenzi wa Jiji hilo, Dkt. John...

READ MORE

CCM Yawakilisha Maoni Yake Kwa Kikosi Kazi

  Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo amewasilisha maoni na mapendekezo ya Chama Cha Mapinduzi kwa Kikosi...

READ MORE

NMB Yatenga Bil 1 Kusaidia Wabunifu Wachanga

Benki ya NMB imetenga Sh. bilioni moja kwaajili ya kuwasaidia wabunifu wachanga waweze kuimarika na kuzifanya bunifu zao kuwa bora...

READ MORE

Wabunge Kuelimishwa Kuhusu PURA Wiki ya Nishati

  Wabunge na viongozi mbalimbali wa Serikali wanatarajiwa kuelimishwa kuhusu Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) na...

READ MORE

Serikali Yatambua Mchango wa NMB Kuendeleza Wabunifu Nchini

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt Philip Mpango ameikabidhi Benki ya NMB cheti cha kutambua...

READ MORE

Waziri Mkuu: Timu ya Mawaziri Wanne Inahusika na Migogoro Mikubwa Tu

  WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema timu ya mawaziri wanane kutoka wizara shiriki inashughulikia migogoro mikubwa tu ya ardhi ambayo hulazimu...

READ MORE

Wateja wa Halotel Kujipatia Zawadi Kupitia Matumizi ya Mtandao

  Kampuni ya Halotel Tanzania imeendelea kuwahakikishia wateja ubora na kasi ya mtandao wake kwa kuwapa huduma zenye ubunifu na...

READ MORE

Nmb Foundation Yatangaza Ufadhili wa Masomo Kwa Wanafunzi

  Taasisi ya NMB Foundation imetangaza kuanza rasmi utaratibu wa kutoa ufadhili wa masomo kwa wanafunzi wa kidato cha tano,...

READ MORE

Waziri Nape: Hakuna eneo Litaachwa Kwenye Zoezi la Uwekaji wa Anwani za Makazi

  Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Nape Nnauye, amesema hakuna maeneo yatakayoachwa kwenye zoezi la uwekaji...

READ MORE

Tarura Tanganyika Wapewa Siku 30 Kukamilisha Ukarabati Daraja la Ifume

MTENDAJI MKUU wa Mamlaka ya Barabara Vijijini na Mijini (TARURA) Eng. Victor Seff ametoa mwezi mmoja kwa TARURA Wilaya ya...

READ MORE

Jaji Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Juma Ahimiza Wadau Kusoma Hukumu za Mahakama

  Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma amewahimiza Wadau wa mnyororo wa utoaji haki nchini kusoma hukumu...

READ MORE

RC Makalla: Serikali ya Rais Samia Imedhamilia Kuweka Mazingira Bora ya Wafanyabiashara

  Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla leo ameitisha kikao kazi na Jumuiya ya Wafanyabiashara na...

READ MORE

Benki ya NMB Yashiriki na Kudhamini Wiki ya Ubunifu Dodoma

Waziri wa Elimu, Sayansi  na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda ameishukuru Benki ya NMB kwa kushiriki na kudhamini maonesho  ya Kitaifa...

READ MORE

Waziri Mkenda: Serikali Kuwekeza Zaidi Kwenye Elimu na Utafiti wa Tiba

  Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe Prof Afolf Mkenda amesema kuwa serikali imedhamiria kuwekeza zaidi kwenye elimu ya...

READ MORE

Waziri Wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Akagua Mradi wa Bagamoyo Sugar

  Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji ametembelea mradi wa Kimkakati wa kilimo cha Miwa na uzalishaji...

READ MORE

Mradi wa “OCP SCHOOL LAB” wazinduliwa Songea

Takribani wakulima 60,000 kutoka kaskazini, kusini na magharibi mwa Tanzania kunufaika na mradi wa upimaji wa udongo na mafunzo ya...

READ MORE

Waziri Mkuu Atoa Agizo Kwa Wanafunzi Waliorudishwa Nchini

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka wanafunzi waliokuwa wanasoma katika vyuo mbalimbali nje ya nchi ambao walirudishwa nchini kufuatia kuzuka kwa janga...

READ MORE

TPA Hosts LMC Delegation For Business Talks

THE Tanzania Ports Authority (TPA) recently hosted a Lignes Maritimes Congolaises delegation, led by the Director General Adjoint (DGA), Mr Jean...

READ MORE

TEN/MET Waizungumzia Bajeti Mpya Ya Elimu 2022/23

MTANDAO wa Elimu Tanzania (TEN/MET) umeguswa na Bajeti ya Wizara ya Elimu Sayansi na Teknlojia ya Mwaka 2022/23 iliyowasilishwa juzi...

READ MORE

Benki ya NMB Yaipa Kipaumbele Sekta ya Elimu Nchini

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda(Mb) ameipongeza Benki ya NMB kwa kuwa mstari wa mbele kuinua Sekta...

READ MORE