×

Kitaifa

WAZIRI MKUU KUONGOZA ZOEZI LA USAFI COCO BEACH

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa kesho (Jumatano, Julai 25, 2018) anatarajiwa kushiriki zoezi za usafi eneo la Coco Beach pamoja na wananchi na...

READ MORE

MAMBOSASA AANIKA ASKARI WALIOHUSISHWA MAUAJI YA AKWILINA – VIDEO

JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limesema kwamba askari waliokuwa wanashikiliwa na jeshi hilo kwa tuhuma mauaji...

READ MORE

Ujerumani Yakana Tuhuma za Ubaguzi Dhidi ya Özil

Shirikisho la Soka la Ujerumani (DFB), limekana kuhusika na tuhuma za ubaguzi dhidi ya mwanasoka, Mesut Özil (29) na kusema kuwa...

READ MORE

Makamu wa Rais Atishia Kulivunja Baraza la Madiwani Tunduma

MAKAMU wa Rais, Samia Suluhu Hassan amesema Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Tunduma mkoani Songwe linastahili kuvunjwa kutokana na...

READ MORE

Kangi Lugola Amsweka lupango Askari Polisi – Video

ASKARI Polisi mmoja wa Kituo cha Utalii na Diplomasia Mjini Arusha, jana alijikuta akizindua mahabusu ya kituo hicho kwa kuwekwa...

READ MORE

NMB Bank Yazindua Klabu ya kibiashara Mkoani Songwe

BANK ya NMB imezindua rasmi Klabu ya kibiashara maalumu kwa wafanyabiashara wa Tunduma katika wilaya ya Momba Mkoani Songwe.  ...

READ MORE

Tanga: Mbunge wa CUF Avuliwa Udiwani kwa Kutofika Vikaoni

HALMASHAURI ya Jiji la Tanga imemuondoa kwenye nafasi yake, Diwani wa Kata ya Ngamiani Kusini, Mussa Mbarouk,  ambaye pia ni...

READ MORE

OFISA TRA ANAYETUHUMIWA KUMILIKI MAGARI 19, ALIANZA KAZI AKIWA NAYO

Ofisa Msaidizi wa Forodha wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Jennifer Mushi ( wa pili mbele) anayetuhumiwa  kumiliki magari 19 yenye...

READ MORE

WAZIRI MKUU AFUNGUA KONGAMANO LA PILI LA BIASHARA LA KOREA NA TANZANIA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Korea,  Lee Nak- yon akihutubia  katika  Kongamano la Pili la Biashara  na Uwekezaji Kati ya...

READ MORE

Breaking: Wauaji wa Bilionea Msuya Wahukumiwa Kunyongwa Hadi kufa

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Kanda ya Arusha, imewahukumu kunyongwa hadi kufa washitakiwa watano baada ya kukutwa na hatia ya kumuua...

READ MORE

JALADA KESI YA MKE WA BILIONEA MSUYA MIKONONI MWA DPP

UPANDE wa mashtaka katika kesi ya mauaji inayomkabili mke wa bilionea Erasto Msuya, Miriam Mrita (41) na mfanyabishara, Revocatus Muyella ...

READ MORE

Nafasi za Kazi Global Publishers, Mkuu wa Idara ya Usambazaji

Global Publishers & General Enterprises LTD, kampuni ya uchapishaji wa magazeti, ina nafasi za kazi za Maofisa Usambazaji wa Magazeti...

READ MORE

Madiwani 30 wa CCM Wapita Bila Kupingwa – Video

TUME ya taifa ya uchaguzi, NEC wamesema wagombea wa udiwani 3O kutoka CCM wamepita bila kupingwa baada ya wagombea wa...

READ MORE

MAFUNZO YA UANDISHI WA HABARI ZA MAHAKAMA YAFUNGWA RASMI

    Katika  mafunzo ya siku tano ambayo yalihitimishwa Julai 20 mwaka huu, Mhariri wa gazeti la Mtanzania, Bakari Kimwanga...

READ MORE

Naibu Meya, Madiwani CHADEMA Wajiuzulu Mbeya

IKIWA ni saa chache baada ya uongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoani Mbeya kupendekeza kuwavua uanachama madiwani...

READ MORE

Mchungaji Mtoto: Mungu Amenituma Kuhubiri, Sitaki Sadaka – Video

MTOTO Ibrahimu mwenye kipawa na karama ya aina yake ya kuhubiri, kuombea watu, na kuwaponya amesema kazi hiyo aliianza akiwa...

READ MORE

Lugola Aonya Kuhusu Ajali, Ataka Wakimbizi Kurejea Kwao – Video

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, amesema alilivunja Baraza la Usalama Barabarani  kutokana na baraza hilo kukosa...

READ MORE

Lugola: Wafungwa Wajilishe, Simu Marufuku Gerezani – Video

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, amemtaka Mkuu wa Magereza nchini, Kamishna Jenerali wa Magereza, Phaustine Martin Kasike, ...

READ MORE

Sakata la Lugumi, NIDA: Lugola Ampa Mtihani Sirro – Video

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Simon Sirro ametakiwa kumtafuta mmiliki wa Kampuni ya Lugumi popote pale alipo na...

READ MORE

Maagizo ya Lugola Kwa IGP Kuhusu Mbwa Aliyepotea – VIDEO

WIZARA ya Mambo ya Ndani ya Nchi imekubaliana na Jeshi la Polisi kufanya uchunguzi ili kubaini kilichotokea kwenye kikosi cha...

READ MORE

INASIKITISHA! Mauaji Yenye Utata, Ndugu Waivaa Polisi – Video

Unaweza kufananisha na filamu ya kusisimua lakini hiyo haibadili ukweli, kwamba vijana watatu, Ismail Linyembe, Twahir Said na Idd Said...

READ MORE

Man Fongo Atoboa Siri ya Kupendwa na Mavenda

ZIKIWA zimepita siku kadhaa tangu kufanyika kwa bonge moja la tamasha lililojulikana kama Tusua Maisha na Global ndani ya Uwanja...

READ MORE

Viongozi Waungana na Kikwete Mazishi ya Baba Mkwe Wake – Video

MWILI wa mzee Rashid Mkwachu ambaye alikuwa Baba Mkwe wa Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Rashid aliyefariki dunia jana...

READ MORE

Baba Mkwe wa Kikwete Azikwa Makaburi ya Kisutu – Video + Pichaz

MWILI wa Baba Mkwe wa Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Rashid Mkwachu aliyefariki dunia jana Alhamisi umezikwa leo katika...

READ MORE

Lowassa, Sefue Walivyowasili Msibani kwa Kikwete – (Pichaz + Video)

WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa na Katibu Mkuu Kiongozi Msfaatu, Balozi Ombeni Sefue wamewasili nyumbani wa Rais Mstaafu, Dkt....

READ MORE

Wema Alipa Faini ya Hukumu Yake, Wakili Msando Afunguka – Video

KUFUATIA hukumu iliyomkumba msanii Wema Sepetu ya mwaka mmoja jela au kulipa ya Tsh. Milioni 2, kwa makosa mawili ya...

READ MORE

Breaking News: Wema Ahukumiwa Jela kwa Madawa ya Kulevya – Video

MREMBO na mwigizaji maarufu wa Bongo Movies, Wema Sepetu amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela au kulipa faini ya Tsh....

READ MORE

Ridhiwani Aelezea Kifo cha Babu Yake, Atoa Ratiba ya Mazishi – Video

KUFUATIA kifo cha Baba mzazi wa mke wa Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Mama Salma Kikwete, Mzee Rashid Mkwachu...

READ MORE

WAANDISHI WA HABARI ZA MAHAKAMA WAFANYA MAFUNZO KWA VITENDO

        Waandishi wa habari za Mahakama wamefanya mafunzo kwa vitendo katika Mahakama za Mkoa wa Morogoro ili...

READ MORE

Mama Salma Kikwete Apata Pigo – Video

MKE wa Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Mama Salma Kikwete ambaye pia ni mbunge wa kuteuliwa (CCM) amepata pigo...

READ MORE

Zitto Kabwe Akutana na Lowassa, Wateta Mazito!

MBUNGE wa Kigoma Mjini na Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema hali ya kisiasa ninayoendelea kwenye uchaguzi mdogo wa wabunge...

READ MORE

Mtoto wa Maajabu Tanzania, Anaombea na Kuponya Wagonjwa – Video

HIVI karibuni kwenye mitandao ya kijamii mtoto Ibrahim amekuwa gumzo sana na amewashangaza watu wengi kutokana na uwezo wake mkubwa...

READ MORE

Mbunge WA CUF Ajivua Uanachama

Aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum, Amina Mwidau Mkoa wa Tanga (CUF), amejivua uanachama wa chama hicho kwa madai ya kutoridhishwa...

READ MORE

Ambulance Yapata Ajali Likiwa Limebeba Matairi Chakavu

Gari la kubeba wagonjwa la Wilaya ya Itilima mkoani Simiyu limepata ajali, huku ndani likiwa na matairi chakavu tisa. Ajali...

READ MORE

Shilole Amchamba Muna “Wewe Mwanamke Utapata Tabu Sana”

MSANII wa muziki wa mduara, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ amemvaa msanii mwenzake wa Bongo Movies, Rose Alphonce ‘Muna Love’ kwa kuita...

READ MORE

Ujumbe Mzito wa Makonda Kuhusu Mtoto Wake – VIDEO

IKIWA ni takribani saa 24 tangu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam na mkewe wafanikiwe kupata mtoto wa kiume,...

READ MORE

Infinix NOTE 5 SHUHUDIA MENGI PASIPO HOFU YA CHAJI

Ikiwa miongoni mwa makampuni ya simu yanayofanya vizuri kwa sasa barani Afrika. Infinix inaendelea kuchomoza kimatafaifa baada ya kuzindua Infinix...

READ MORE

Ajari ya Gari Ndogo na Lori Yaua Watu Wawili Babati

WATU wawili wamefariki dunia na mmoja kujeruhiwa baada lori la Halmashauri ya Wilaya ya Babati Mkoani, Manyara kuligonga kwa nyuma...

READ MORE

Muna Amkana Steve Nyerere, Aanika Sauti Zake – Video

Muigizaji maarufu Bongo, Muna Love ameanika wazi maongezi yake aliyozungumza na muigizaji mwenzake, Steve Nyerere wakati alipokuwa Kenya akishughulika kusafirisha...

READ MORE