×

Kitaifa

SUGU: Mimi Si DIAMOND Wala ROMA, ‘Ningempiga’ SHONZA – Video

MBUNGE wa Mbeya Mjini (Chadema), Joseph Mbilinyi ‘SUGU’, amelilalamikia Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) kwa kuufungia wimbo wake wa #219...

READ MORE

Ndugai: Watanzania Wafunge Milango Ndo Wale Samaki? Hii ni Dharau – Video

  SPIKA wa Bunge, Job Ndugai amemuwakia Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina na kueleza masikitiko yake kufuatia kitendo cha...

READ MORE

Waziri Aomba Radhi Maofisa Wake Kupima Samaki kwa Rula – Video

WAZIRI wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina leo Jumatano, Juni 20, 2018 ameliomba radhi Bunge kwa kitendo cha maofisa wa...

READ MORE

BASATA YAUFUNGIA WIMBO WA SUGU #219

Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) imeupiga marufuku wimbo wa #219 ulioimbwa na Mbunge wa Mbeya (CHADEMA), Joseph Mbilinyi “Sugu.”

READ MORE

MTAZAMO WA WADAU KUHUSIANA NA Infinix HOT 6

Baada ya ujio wa Infinix HOT 6 na kufanya vizuri sokoni kutokana muonekano na uwezo wake lakini pia wadau wameweza...

READ MORE

Kauli ya Ridhiwani Kikwete Baada ya Kushuhudia Ofisi Yake Ilivyoteketea

KUFUATIA Jengo la Ofisi yake kuteketea kwa moto juzi Jumapili jioni, Mbunge wa Chalinze (CCM), Ridhiwani Kikwete, leo Jumanne, Juni...

READ MORE

WEMA SEPETU AANZA KUJITETEA MAHAKAMANI

  Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imeaza kusikiliza utetezi wa mshtakiwa ambaye ni muigizaji, Wema Sepetu...

READ MORE

MBOWE ARUHUSIWA KUTOKA HOSPITALI

IKIWA ni takribani saa 24 tangu alazwe katika Hospitali ya Taifa Kitenngo cha Dharula, Afya ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman...

READ MORE

MMILIKI MGAHAWA WA BUNGE ADAKWA NA SAMAKI HARAMU

WIZARA ya Mifugo na Uvuvi, imekamata samaki aina ya sato (wasiofikia kiwango cha kuvuliwa) kiasi cha kilo mbili kati ya...

READ MORE

Mwenyekiti CHADEMA Ashambuliwa kwa Mapanga na Mishale

MWENYEKITI wa Serikali ya Kijiji cha Mwikatsi wilayani Babati mkoani Manyara, Simon Lala (CHADEMA) ameshambuliwa na kujeruhiwa kwa mishale na...

READ MORE

Mwanamke Amuua Mumewe, Amzika Kimyakimya!

MWANAMKE mmoja nchini Uganda, Dina Ainomugisha (45) amekamatwa na Polisi kwa tuhuma za kumuua mume wake, Gordon Ahimbisibwe na kumzika kwa...

READ MORE

NABII  OLIVIA, ELISHA   WATIMIZA MWAKA MMOJA WA HUDUMA

  MWANAMUZIKI wa nyimbo za injili, Upendo Nkone, amewapongeza Nabii Olivia na mume wake Elisha Mtangirwa kwa kutimiza mwaka mmoja...

READ MORE

JPM Ampa Mtoto Mlemavu Milioni 5, Hatembei Wala Kukaa

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ametoa msaada wa Tsh. Milioni tano baada ya kuguswa...

READ MORE

Rais Magufuli Ampa Shavu Jaji Lubuva

Mhe. Rais Magufuli amteua Jaji Mstaafu Damian Zefrin Lubuva kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

READ MORE

MUME ANAYETUHUMIWA KUMUUA MHADHIRI UDOM AKAMATWA

JESHI la Polisi mkoani Dodoma linamshikilia mtuhumiwa wa mauaji ya aliyekuwa mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Rose Manfredy...

READ MORE

KIBOKO ALIYEZUA TAHARUKI MORO, WANANCHI WAGAWANA NYAMA YAKE

KIBOKO aliyezua taharuki kwa saa kadhaa karibu na  makazi ya watu maeneo ya Kihonda-Mbuyuni karibu na Kanisa la Mangwea nje...

READ MORE

Tanzia: Profesa wa Upasuaji Chuo Kikuu Muhimbili Afariki Dunia

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS), Prof. Adrea Pembe anasikitika kutangaza kifo cha Prof....

READ MORE

CHIDI BENZ ANASWA NA MZIGO WA BANGI DODOMA – PICHAZ & VIDEO

STAA wa Bongo Fleva, Rashidi Makwiro maarufu kama ‘Chid Benz’ amekamtwa na Jeshi la Polisi jijini Dodoma kwa tuhuma za...

READ MORE

Mbowe Apata Pigo, Aanguka Ghafla, Akimbizwa Muhimbili

MWENYEKITI wa CHADEMA, Freeman Mbowe amelazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili baada ya kuanguka ghafla alfajiri ya leo Jumatatu,...

READ MORE

BREAKING: BAJETI YA UPINZANI YAZUIWA BUNGENI, WENYEWE WASUSA

#GLOBALHABARI: Hotuba ya Bajeti mbadala ya Kambi rasmi ya Upinzani Bungeni imekataliwa bungeni kutokana na kuwasilishwa nje ya utaratibu. Wabunge...

READ MORE

KIBOKO AZUA TAHARUKI MORO – (Picha na Video)

MNYAMA aina ya Kiboko aliyeibuka na kuzua taharuki kwa saa kadhaa jirani na makazi ya watu maeneo ya Kihonda Mbuyuni,...

READ MORE

BREAKING: OFISI YA RIDHIWANI KIKWETE YATEKETEA KWA MOTO

Ofisi ya Mbunge jimbo la Chalinze (CCM), Ridhiwani Kikwete iliyopo eneo la Msolwa, Chalinze imeungua kwa moto jioni hii ya...

READ MORE

SIKUKUU YA EID EL FITR ILIVYOFANA COCO BEACH, DAR

Sehemu ya wakazi wa maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam wakiwa kwenye ufukwe wa Coco Beach jioni ya...

READ MORE

Taarifa Mpya ya TCRA Kuhusu Usajili wa Huduma za Maudhui Mtandaoni

Taarifa toka TCRA kuhusu kuongeza muda wa usajili wa watoa huduma za maudhui kwa njia ya mtandao.

READ MORE

Namna Bora a Kusherehekea Sikukuu na Umpendaye

  NDUGU zetu Waislamu, baada ya kupitia katika kipindi cha Mwezi Mtukufu wa Ramadhan, hatimaye Sikukuu wa Eid el Fitr imewadia...

READ MORE

Ili Kuweka Video Facebook, Instagram Unatakiwa Usajili – Video

Mhandisi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Francis Mihayo, amezungumza na vyombo vya habari na kuelezea mabadiliko ya sheria mpya...

READ MORE

MZEE MWINYI AONGOZA SWALA YA EID EL FITR DAR

RAIS Mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi, mapema leo Ijumaa amewaongoza waumini wa Kiislamu katika kusherehekea Sikukuu ya...

READ MORE

Global Publishers Inawatakia Eid Njema

Wafanyakazi wote wa Kampuni ya Global Publishers & Ent. Ltd inayochapisha Magazeti ya Amani, Championi, Ijumaa, Risasi na Uwazi na...

READ MORE

Airtel, SportPesa wazindua promosheni kwa wateja wa Airtel Money

    KAMPUNI ya simu za mkononi ya Airtel leo kwa kushirikiana na SportPesa imezindua promosheni ya mwezi mmoja ijulikanayo...

READ MORE

Breaking News: Serikali Kufuta Kodi Taulo za Kike – Video

SERIKALI imesema inapendekeza kuondoa kodi ya ongezeko la thamani (VAT) kwenye taulo za kike nchini ili kuweza kuwapa fursa wanafunzi...

READ MORE

LIVE BUNGENI: Waziri Mpango Akiwasilisha Bajeti ya Serikali 2018 / 2019

Jumla: Tsh 32.48 trilioniMapato ya ndani: Tsh 20.89 trilioni (64.3%)Mapato yatokanayo na KODI: Tsh 18.0 trilioni (13.6% ya pato la...

READ MORE

Breaking News: Ajali ya Basi Yaua Wanajeshi 10 wa JKT

#BREAKINGNEWS: Basi lenye namba za usajili T 755 BAB lililokuwa likisafiri kutoka mkoani Tabora kuelekea mkoani Mbeya, limepata ajali leo...

READ MORE

Simanzi na Vilio Kuagwa Miili ya Wanafunzi, Wafanyakazi UDSM – Video

SIMANZI na majonzi vimetawala miongoni mwawaombolezaji wakati wa kuaga miili ya wanafunzi wawili na wafanyakazi wawili wa Chuo Kikuu cha...

READ MORE

Wanafunzi, Wafanyakazi UDSM Waliofariki Ajalini Waagwa – Video

Miili ya miili ya wafanyakazi na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) waliofariki kwa ajali baada ya...

READ MORE

Waziri Angelina Mabula Apata Pigo Tena

NAIBU Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angelina Mabula.  amepata pigo la kuondokewa na mumewe aliyefariki dunia jana...

READ MORE

MAKONDA AANZA UTEKELEZAJI AGIZO LA RAIS MAGUFULI

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ameanza kufanyia kazi agizo la Rais Dkt. John Pombe Magufuli la...

READ MORE

Mtolea Asema Dodoma Siyo Jiji – Video

Mbunge wa jimbo la Temeke (CUF), Abdallah Mtolea amedai licha ya Rais Magufuli kutangaza kuupandisha hadhi Mji wa Dodoma na...

READ MORE

BAKWATA YATOA ANGALIZO KUELEKEA SIKUKUU YA IDD

  Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) kupitia kwa Mwenyekiti wa Halmashauri Kuu yake, Sheikh Khamis Mataka, amesema kamati ya...

READ MORE