×

Kitaifa

WAZIRI MKUU AIPONGEZA BENKI YA NMB KUCHANGIA HUDUMA ZA KIJAMII

    WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameipongeza Benki ya NMB kwa kuchangia huduma mbalimbali za kijamii zikiwemo elimu, afya na...

READ MORE

NITAZINDUA KAMPENI YA KUPIMA VVU – WAZIRI MKUU

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema mwezi ujao, atazindua kampeni maalum ya upimaji wa virusi vya UKIMWI (VVU) ambayo imelenga kuwahamasisha...

READ MORE

MBOWE: KIFO NI UPATANISHO, SOTE TUTARUDI TULIKOTOKA – Video

WABUNGE waBunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Mei 29, 2018 wamejumuika katika viwanja vya bunge jijini Dodoma kuuaga...

READ MORE

ZITTO KABWE Anena Mazito Kifo cha BILAGO – Video

SIMANZI na majonzi yametawala katika viwanja vya Bunge, jijini Dodoma wakati wabunge walipokuwa wakiuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Buyungu,...

READ MORE

NMB YATOA MSAADA VIFAA VYA HOSPITALI MIKOA YA KANDA YA ZIWA

    Benki ya NMB Tanzania kupitia Kitengo cha Masuala ya Uwajibikaji kwa Jamii (CSR) imetoa msaada wa vifaa vya hospitali, vifaa vya ujenzi wa madarasa...

READ MORE

Simanzi, Majonzi Wabunge Wakiaga Mwili wa Bilago – Pichaz + Video

Mwili wa Mbunge wa Jimbo la Buyungu wilayani Kakonko mkoani Kigoma, Kasuku Bilago (Chadema), umeagwa tena leo katika viwanja vya...

READ MORE

CRDB Sasa Kutoa Mkopo Ndani ya Saa 24, Marejesho Hadi Miaka 7 – Video

MKURUGENZI Mkuu wa Benki ya CRDB, Dkt. Charles Kimei, amesema benki hiyo imeamua kuongeza kiwango cha mkopo kutoka Milioni 50...

READ MORE

BREAKING NEWS: SALAMBA ASAINI SIMBA SC

ALIYEKUWA mshambuliaji wa Lipuli FC ya Iringa, Adam Salamba amesaini mkataba wa miaka miwili wa kuitumikia Klabu ya Simba kwa...

READ MORE

Keisha Ateuliwa Mjumbe Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM

  MSANII wa Bongo Fleva, Khadija Shabani Taya maarufu kwa jina la ‘Keisha’ ameteuliwa kuwa Mjumbe wa Kamati Kuu ya...

READ MORE

BREAKING NEWS: KINANA ANG’ATUKA UKATIBU MKUU CCM

KATIBU Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Abdulrahman Kinana ameng’atuka katika nafasi yake hiyo ndani ya CCM huku Halmashauri...

READ MORE

Mbowe Afunguka Kauli ya Mwisho ya Bilago Kabla ya Kifo – VIDEO

  MWENYEKITI wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe amesema maneno ya mwisho aliyoambiwa na aliyekuwa Mbunge wa Buyungu mkoani Kigoma, marehemu...

READ MORE

BUNGE LAAHIRISHWA KUOMBOLEZA KIFO CHA BILAGO – VIDEO

Naibu Spika, Dkt. Tulia Ackson ameahirisha shughuli za Bunge  leo Jumatatu mpaka kesho, saa 3 asubuhi kupisha maombolezo ya msiba...

READ MORE

MWILI WA BILAGO WATOLEWA MUHIMBILI NA KUPELEKWA KARIMJEE

MWILI wa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Buyungu Kigoma (CHADEMA), Kasuku Bilago umetolea katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) na...

READ MORE

BUNGE LAOMBOLEZA KIFO CHA KASUKU BILAGO – VIDEO

SPIKA wa Bunge, Job Ndugai ametoa taarifa rasmi bungeni kuhusu kifo cha MBUNGE wa Jimbo la Buyungu, wilayani Kakonko Mkoani...

READ MORE

TAJIRI AKAMATWA NA DAWA ZA KULEVYA, BASTOLA – DAR

  MAMLAKA ya Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imewatia mbaroni watuhumiwa wa biashara ya madawa ya kulevya,...

READ MORE

RUBY ACHIA DUDE JIPYA, ‘NIWAZE’

MWANADADA kutoka kiwanda cha muziki wa Bongo Fleva, Hellen George ‘Ruby’ baada ya kukaa kimya kwa muda amekuja na video yake mpya iitwayo...

READ MORE

Denti Chuo Kikuu Ajinyonga Baada ya Liverpol Kufungwa

MWANAFUNZI wa mwaka wa pili katika Chuo Kikuu cha Mt. Augustine, Kampasi ya Mbeya, Moses Mashaka amejinyonga hadi kufa baada...

READ MORE

MKUU WA SHULE MWENYEHERI ANUARITE ATEMBELEA OFISI ZA GLOBAL PUBLISHERS

MKUU  wa Shule ya Sekondari ya Mwenyeheri Anuarite iliyopo Kimara jijini Dar es Salaam, Carlos Mgumba hivi karibuni alitembelea ofisi...

READ MORE

MTANZANIA AIBUKA KIDEDEA MASHINDANO YA KUHIFADHI QURAN AFRIKA

    KIJANA wa Kitanzania, Shujaa Suleiman Shujaa ameibuka kidedea na kitita cha sh. milioni 15 katika mashindano ya 19...

READ MORE

Dk. Shika Achimba Mkwara Mzito

DAR ES SALAAM: Mniache! Ndivyo alivyosema aliyewahi kutikisa na msemo wa 900 Itapendeza, Dk. Luis Shika baada ya kusikia warembo...

READ MORE

TANZIA: MBUNGE KASUKU BILAGO WA CHADEMA AFARIKI DUNIA

  MBUNGE wa Jimbo la Buyungu, wilayani Kakonko Mkoani Kigoma kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Kasuku...

READ MORE

UN, VIJANA WAJADILI KUHUSU FURSA

VIJANA Mbalimbali hapa nchini leo wamekusanyika katika kongamano la kujadili  malengo 17 ya Dunia, yanayozungumzia fursa za maendeleo ya milenia,...

READ MORE

SILINDE: Trilioni 1.1 Lazima Zirudi, Hatukubali – Video

Mbunge wa Momba (Chadema), David Silinde, akizungumza bungeni alipokuwa akichangia mjadala wa bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini iliyowasilishwa...

READ MORE

MLINGA: Msituchanganye, Kama Wanawahonga, Sisi Hawawezi – VIDEO

Mbunge wa Jimbo la Ulanga, Goodluck Mlinga, akizungumza bungeni alipokuwa akichangia mjadala wa bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini...

READ MORE

LUSINDE: Wakiambiwa Wanajibu Acheni Siasa, Waziri Utusaidie – VIDEO

MSIKIE Mbunge wa Mtera Livingstone Lusinde, , akizungumza bungeni alipokuwa akichangia mjadala wa bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini...

READ MORE

NAPE KALIPUKA: Sipendi Kusifia Watu Mkifanya Vibaya Tutasema – Video

MSIKIE Mbunge wa Jimbo la Mtama (CCM) Nape Nnauye, akizungumza bungeni alipokuwa akichangia mjadala wa bajeti ya Wizara ya Nishati...

READ MORE

Dakika 2 za Prof. Jay Bungeni Leo – Video

MSIKIE Mbunge wa jimbo la Mikumi kwa tiketi ya Chadema, Joseph Haule ‘Profesa Jay’ akizungumza bungeni alipokuwa akichangia mjadala wa...

READ MORE

Kipigo cha Mobeto, Diamond Amfananisha Mama Yake na Bondia Tyson

IKIWA ni wiki moja imepita tangu Mzazi mwenzake na Msanii Diamond Platinumz, Hamisa Mobetto achezea kichapo cha ‘Mbwa Koko’ kutoka...

READ MORE

Benki ya NMB yapunguza riba za mikopo kutoka 19% hadi 17%

BENKI ya NMB imepunguza kiwango cha riba katika mikopo yake kwa wateja kutoka asilimia 19 hadi 17 kwa wateja wanaokopa...

READ MORE

WAITARA: Rais Magufuli Umulike, Tanesco Kuna Hasara – Video

MBUNGE wa Jimbo la Ukonga (CHADEMA), Mwita Waitara amemuomba Rais John Magufuli kulimulika Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), akidai kwamba...

READ MORE

Wawili kuiwakilisha nchi kwenye mashindano ya Quran Afrika

  Watanzania wawili wamekabidhiwa bendera ya Taifa ili kuiwakilisha nchi katika mashindano makubwa ya 19 ya kusoma na kuhifadhi Quran...

READ MORE

Mbunge Kitwanga Amvaa Waziri “Bora Uondoke” – Video

MBUNGE wa Misungwi (CCM) na Waziri wa zamani wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga amesema kama Waziri wa...

READ MORE

Alikiba, Super Nyamwela Wahudhuria Mazishi ya Emma 4 Real – Video

  STAA wa Bongo Fleva, Alikiba jana aliungana na familia, ndugu, jamaa na marafiki kuuaga mwili wa aliyekuwa dansa wake,...

READ MORE

Queen Darleen Amwaga Machozi Msiba wa Dansa wa Alikiba – Video

MSANII wa Bongo Fleva kutoka Lebo ya WCB, Queen Darleen amejikuta akimwaga machozi baada ya kuona hali ya afya ya...

READ MORE

Baada ya Kusota Sero kwa Siku Mbili, Babu Tale Aachiwa

MKURUGENZI wa Kampuni ya Tip Top Connection na Meneja wa Diamond Platnumz, Hamis Taletale maarufu Babutale ameachiwa kutoka Kituo Kikuu...

READ MORE

Jafo: Ujenzi Huu Sitaki, Vunjeni Haraka Mjenge Upya – Video

Waziri Ofisi Nchi Ya Rais Tamisemi Suleiman Jafo amewataka Wakandalasi wa Suma JKT wanaojenga Shule ya Sekondari Hombolo Kurudia kujenga...

READ MORE

ALIYEGOMA KUHAMA KWA WAZAZI ATIMULIWA NA MAHAKAMA

KIJANA Michael Rotondo (30), ameamriwa na Mahakama ya Onondaga, Syracue jijini News York Marekani kuhama nyumbani kwao baada ya wazazi...

READ MORE