×

Kitaifa

Mkuu wa Mkoa Mwanza Ampokea Maalim Seif – Pichaz

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella amepokea ugeni wa Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF) na Makamu wa...

READ MORE

JPM Awateua Mizengo Pinda na Makongoro Nyerere NEC

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi, Dkt. John Pombe Magufuli amewateua Waziri Mkuu...

READ MORE

MBARAWA AZINDUA MAADHIMISHO MIAKA 50 YA BODI YA USAJILI WAHANDISI

  WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame Mbarawa  amezindua maadhimisho ya miaka 50 ya Bodi ya usajili ya Wahandisi...

READ MORE

Jaffo Atoa Kauli Viongozi Watanaotafuna Pesa za Akina Mama – video

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais na Serikali za Mitaa TAMISEMI, Suleiman Jafo wakati akijubu swali la Mbunge wa Kolea...

READ MORE

Waethiopia 227 Mbaroni kwa Uhamiaji Haramu Dar – Video

IDARA ya Uhamiaji katika Mkoa wa Dar es Salaam imewatia mbaroni watuhumiwa 602 kwa tuhuma za uhamiaji haramu tangu Januari...

READ MORE

Mwigulu Aagiza Bodaboda Warudishiwe Pikipiki Zao – Video

  Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imesema imepeleka muswada wa mabadiliko ya sheria ya usalama barabarani ikiwemo kutofautisha...

READ MORE

Aliyesema ‘Kuwakutanisha na Mungu’ Waliomjeruhi Lissu, Aachiwa Huru

MAHAKAMA ya Wilaya ya Mbozi mkoani Songwe, leo Alhamisi, Mei 24, 2018 imetupilia mbali kesi ya tuhuma za uchochezi iliyokuwa...

READ MORE

Watumishi Watatu TIC Walifariki Ajalini Chalinze, Waagwa – Video

WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Dkt. Charles Mwijage amewaongoza waombolezaji kuaga miili ya maofisa watatu wa Kituo cha Uwekezaji cha...

READ MORE

NDUGAI: Waziri Analia, Anakulambalamba? Wizara ya Fedha Mjitathmini – Video

SPIKA wa bunge, Job Ndugai ameitaka Wizara ya Fedha na Mipango kujitathmini kutokana na lawama ambazo imekuwa ikidaiwa kuchelewa fedha...

READ MORE

Exclusive! Dk Shika: Mabilioni Yangu Yameingia, Sasa Tutaelewana Tu – Video

MVUMILIVU hula mbinu, hivyo ndivyo tunavyoweza kusema baada ya aliyekuwa miongoni mwa watu waliokuwa wanataka kununua nyumba za mfanyabiara Said...

READ MORE

Mke Amuua Mumewe Kisa Kuambiwa Kupika

MKE anadaiwa kumuua mumewe, Ahmed Salim kwa kumchoma kisu baada ya kumlazimisha kurudi jikoni kupika chakula baada ya kutoshiba mkoani Mtwara.  ...

READ MORE

NMB YAFUTURISHA WATEJA DAR

    BENKI ya NMB juzi iliwafuturisha baadhi ya wadau na wateja wa NMB zaidi ya 200 Waislamu wakazi wa...

READ MORE

Sakata la Ubalozi wa Israel Latikisa Bunge – Video

Mbunge wa Kigoma Mjini Zitto Kabwe amesema kuwa nchi ya Tanzania imejenga heshima dunia kutokana na kupigania utu mahali popote...

READ MORE

Kauli ya Sugu Kuhusu Kukiukwa kwa Misingi ya Mwalimu Nyerere – Video

MBUNGE wa Mbeya Mjini (Chadema), Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ amesema kwa zama hizi sera ya Ushirikiano wa Kimataifa nchini imebadilika ikilinganishwa...

READ MORE

Kauli ya Wakili wa Sheikh Mbonde Kesi ya Babu Tale – Video

KUFUATIA Mkurugenzi wa Kampuni ya Tip Top Connections na Meneja wa mwanamuziki Naseeb Abadul ‘Diamond Platinumz’, Hamis Taletale ‘Babu Tale’,...

READ MORE

Kauli ya Serikali Kuhusu Ugonjwa Hatari wa Ebola Nchini – Video

SERIKALI kupitia Wizara ya Afya, imetoa tamko kuhusu ugonjwa hatari wa Ebola, ambapo imethibitisha kwamba mpaka sasa ugonjwa huo haupo...

READ MORE

TANZIA! Dansa wa Alikiba Afariki Dunia – Video

Aliekuwa Dansa wa Alikiba, Emma 4 Real amefariki Dunia jana baada ya kuugua kwa muda mrefu na kulazwa katika Hospital...

READ MORE

MWACHUO MUHIMBILI ALIYEKUFA AKIWA USINGIZINI AAGWA – VIDEO

NI simanzi, vilio na huzuni vilitawala jana kwa mamia ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Afya ya Sayansi Shirikishi Muhimbili...

READ MORE

Atakayetafuna Fedha Za Vijana Ajiandae- Waziri Jafo

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Seleman Jafo amesema kuwa wametoa maelekezo maalum ya Fedha ambazo zinaishia katika halmashauri...

READ MORE

TAZAMA Ubunifu wa Kushangaza wa Denti Huyu – Video

Mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Mwenyeheri Anuarite ya jijini Dar es Salaam, Prosper Nyambe ametinga ndani ya studio za Global...

READ MORE

Zitto: Serikali Ieneze Umeme Lakini Itunze Mazingira – Video

Mbunge wa Kigoma Mjini amesema hakuna mtu anayepinga Serikali kuongeza uwezo wa kuzalisha umeme lakini taratibu za kisheria na utunzwaji...

READ MORE

Heche: Mipaka ya Hifadhi Isifike Maeneo ya Makazi – Video

Mbunge wa Tarime Vijijini (CHADEMA), John Heche,  ameilalamikia Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia Mamlaka ya Hifhadhi za Taifa (TANAPA)...

READ MORE

Nape Ataka Ufyekaji Miti Selous Ukomeshwe – Video

MBUNGE wa Mtama na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii, Nape Nnauye, amesema kitendo cha Serikali...

READ MORE

SHIDA YA UMEME KUSINI IMEKWISHA – MAJALIWA

  WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema shida ya umeme iliyokuwa inaikabili mikoa ya Lindi na Mtwara hivi sasa imekwisha.  ...

READ MORE

Kimenuka: Viongozi Wawili Chadema Wavuliwa Uanachama

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimewavua uanachama viongozi wake wawili ambao ni aliyekua Naibu Katibu Mkuu Bara, Getrude Ndibalema...

READ MORE

BREAKING NEWS: Maofisa Watatu TIC Wafariki Ajalini

MAOFISA watatu wa Kituo cha Uwekezaji cha nchini  (Tanzania Investment Center (TIC) wamefariki dunia katika  ajali ya gari usiku wa...

READ MORE

MALINZI, WAMBURA WAPAMBANA KORTINI KISUTU

  OFISA Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Boniface Wambura ameieleza Mahakama...

READ MORE

JACK PEMBA ATUA DAR, ATAMBA KIBABE, AMFAGILIA JPM – Video

MFANTABIASHARA maarufu Afrika Mashariki, Jack Pemba ametua jijini Dar es Saalaa na kutamba kibabe akisema Tanzania ni nyumbani alipozaliwa na...

READ MORE

Ripoti ya Mali za CCM Yatua Mikononi mwa JPM, Atoa Kauli – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. John Magufuli leo Mei 21,...

READ MORE

Waziri Mkuu Azindua Umeme wa Gridi ya Taifa Lindi na Mtwara

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka Wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya kote nchini wahakikishe wanafikisha umeme kwenye vituo vya kutolea huduma...

READ MORE

Luundo Dunia aachia wimbo wa lugha 4

  BAADA ya kusumbua na Wimbo wa Mbegu za Amani akiwa amemshirikisha msanii wa Bongo Fleva, Ruta Bushoke, msanii wa...

READ MORE

MOI Kulipa Fidia ya Tsh. Mil. 100 kwa Kupasua Kichwa Badala ya Mguu

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imeamuru Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Mishipa ya Fahamu Muhimbili (Moi), kumlipa...

READ MORE

NASHA: Serikali Haitahusika Kupanga Ada kwa Shule Binafsi – Video

SERIKALI kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imesema haitajihusisha na upangaji wa ada kwa shule binafsi hapa nchini badala...

READ MORE

SUGU: Sistahili Kupewa Msamaha – Video

Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’  amesema kuwa hakupata taarifa kama amepewa msamaha na Rais Magufuli kutokana na kuambiwa...

READ MORE