×

Kitaifa

WAKANDARASI DAR WAMUUNGA MKONO MAKONDA KUJENGA MITARO

ZAIDI ya Kampuni 70 za ukandarasi zimejitolea kujenga mitaro ya barabara mbalimbali za jijini Dar es Salaam bure kama sehemu...

READ MORE

Kibatala Aiomba Mahakama Ifute Mashtaka Kesi ya Mbowe na Wenzake

Upande wa utetezi katika kesi ya uchochezi inayowakabili viongozi tisa wa Chadema akiwemo Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe, umeomba...

READ MORE

BASHE Aliamsha Bungeni: Ushirika Huu Hauna Mtaji – Video

Mbunge wa jimbo la Nzega Mjini, Hussein Bashe, akichangia hoja katika bajeti ya Wizara ya Kilimo, amewataka wabunge kutoipitisha bajeti...

READ MORE

NAPE: Huu ni Mtihani Mkubwa kwa Serikali ya Awamu ya Tano – Video

MBUNGE wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye, akichangia hoja katika bajeti ya Wizara ya Kilimo amesema bajeti hiyo haitoshi ikilinganishwa...

READ MORE

BREAKING: Mwandishi Aliyetekwa Apatikana, Aeleza Mazito! – Video

MWANDISHI wa habari wa kujitegemea jijini Arusha, Lucas Muyovera amenusurika kuuawa kwa kipigo baada ya kutekwa na watu wasiojulikana usiku...

READ MORE

BALAA LA MVUA Maiti 3 Zaopolewa, Bado 9

MARA: Balaa la mvua! Baada ya watu 12 kusomwa na maji wakiwa kwenye mtumbwi katika Mto Mara uliopo mpakani wa...

READ MORE

Swali la Kwanza Dkt Tulia Tangu Aingie Bungeni – Video

Naibu Spika wa Bunge, Dkt Tulia Ackson, kwa mara ya kwanza tangu aingie Bungeni ameuliza swali kwa kuhusiana na tamko...

READ MORE

NDAKI: Hatutaki Maelezo Mengine, Rudisha Shilingi 100 – Video

MBUNGE wa Maswa Magharibi, Mashimba Ndaki, akichangia hoja katika bajeti ya Wizara ya Kilimo amepinga utaratibu wa vyama vya ushirika...

READ MORE

Sapraizi: Wananchi Wafaidi Mapapai ya Magufuli – Video

RAIS John Magufuli amewafanyia sapraizi wananchi waliokuwa nje ya geti la Bandari Kuu ya Dar es Salaam, baada ya kuwanunuliwa mapapai na...

READ MORE

JPM Ampa Shavu Aliyesimamia Haki Mafuta Yenye Utata Bandarini – Video

  RAIS John Magufuli amemuagiza Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango kumpandisha cheo mara moja Kaimu Kamishna wa...

READ MORE

VIDEO: Tutawashughulikia Wote, Hata Watoto wa Vigogo – AWESO

Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Jumaa Aweso, amesema Serikali haitamnyamazia na itamchukulia hatua kali mtu yeyote awe ni mtoto...

READ MORE

Mama Kanumba Afunguka Lulu Kuachiwa – Video

Baada ya Lulu kutolewa Gerezani na kuanza kutumikia kifungo cha nje, Mama Kanumba amefunguka kuwa hafahamu lolote wala hana taarifa...

READ MORE

ULEGA APOKEA MIFUKO 200 YA SARUJI UJENZI WA ZAHATI MKURANGA

  MBUNGE na Naibu Waziri wa Mifugo na uvuvi, Abdallah Ulega, jana alipokea mifuko 200 ya saruji yenye thamani ya...

READ MORE

Mambo Haya Ma-5 Yatakupa Yafanikio Makubwa

MPENZI msomaji karibu jamvini tuendelee kupeana mbinu mbalimbali za kupata mafanikio maishani endapo tu tutazingatia mafundisho haya. Kumbuka wapo wengi...

READ MORE

UTATA KESI YA KIBA

DAR ES SALAAM: Mambo ni moto! Baada ya hivi karibuni mzazi mwenzake na staa wa Bongo Fleva, Ally Salehe Kiba...

READ MORE

CHUO KIKUU HURIA CHAREJESHA PROGRAMU YA MAANDALIZI

    CHUO Kikuu Huria cha Tanzania (CKHT) kimeutaarifu umma kuwa programu ya maandalizi (foundation programme) imerejeshwa rasmi baada ya...

READ MORE

Halotel yazindua Super Halo kwa kishindo

  Kampuni ya mawasiliano ya simu ya Halotel, kwa mara ya kwanza imezindua kifurushi kisichokuwa na kikomo cha muda kitakacho...

READ MORE

TANZANIA YATINGA FAINALI KOMBE LA DUNIA

Timu ya Wasichana Wanaoishi katika mazingira magumu kutoka Tanzania imetinga fainali za Kombe la Dunia kwa kuifunga England 2-1. Mabao...

READ MORE

TAARIFA RASMI YA MAGEREZA KUHUSU KUACHIWA KWA LULU

Taarifa rasmi ya Jeshi la Magereza kuhusu kuachiwa kwa Muigizaji wa Filamu nchini, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ambaye sasa atatumikia kifungo...

READ MORE

BREAKING NEWS: LULU ATOKA GEREZANI – VIDEO

  MAHAKAMA Kuu ya Tanzania imembadilishia adhabu ya kifungo, Staa wa Bongo Movies, Elizabeth Michael maarufu kama Lulu, ambaye kuanzia...

READ MORE

MWANAHERI ANASWA NA KIDUME HOTELINI

NANI alisiyejua kama ubuyu ni mtamu jamani! Na ukitaka kuula vizuri, lazima uupatie nafasi ya kutosha kuumung’unya taratibu! Sasa ubuyu...

READ MORE

LIVE: Kikao cha 28, Mkutano wa 11 wa Bunge – Mei 14

Kikao cha 28, mkutano wa 11 wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeanza muda huu Bungeni...

READ MORE

NMB yasaidia vifaa vya milioni 15 kwa hospitali, shule wilayani Musoma

    BENKI ya NMB kupitia sera yake ya Uwajibikaji kwa Jamii (CSR) imetoa msaada katika hospitali na shule zilizopo wilayani...

READ MORE

WATUMISHI OFISI WAZIRI MKUU WAPEWA MAFUNZO YA KUZIMA MOTO

Mtumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Ruth Mwasakafyuka akizima moto katika mafunzo  ya kuzima moto kwa kutumia kifaa rasmi cha...

READ MORE

MAJALIWA AKUTANA NA ASKOFU MKUU WA EAGT DKT. MWAKIPESILE

  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amekutana na kufanya mazungumza na Askofu Mkuu wa Kanisa la  Evangelistic Assemblies Of God Tanzania (EAGT), Dkt....

READ MORE

SIRRO AWAAGA MAKAMISHNA WAWILI WASTAAFU JIJINI DAR

  JESHI la Polisi nchini limewaaga makamishna wa Polisi wawili ambao wamefikia umri wa kustaafu  kwa mujibu wa sheria.  ...

READ MORE

VINARA WIZI WA MAGARI,  WATUHUMIWA 10 WA UJAMBAZI, WAKAMATWA DAR

Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam linawashikilia watuhumiwa 10 kwa tuhuma za ujambazi wa kutumia silaha pamoja na...

READ MORE

KAMATI YAMTAKA KENYATTA ASISASINI SHERIA YA MTANDAO

KAMATI ya kutetea wanahabari nchini Kenya, imemuomba Rais Kenyatta asiusaini muswada wa sheria ya makosa ya kimtandao ya mwaka 2017...

READ MORE

Binti ‘Aliyeachishwa Kazi na Shigongo’, Afunguka! – Video

MAISHA yanachangamoto nyingi na Mtu anaweza akapitia njia tofauti zenye maumivu na furaha, zenye raha na shida zenye mateso na...

READ MORE

Breaking: Mbunge Mke wa Kafulila Apata Ajali Dodoma

Mbunge wa Viti Maalumu wa Mkoa wa Singida kupitia CHADEMA, Jesca Kishoa, amepata ajali leo Mei 11, 2018 majira ya...

READ MORE

KALI YA MWAKA: Bi Harusi Atoroka Siku ya Ndoa – Video

HII  Baada ya aliyekuwa Bwana Harusi mtarajiwa, Omary Hamisi, mkazi wa Buguruni jijini Dar, kupigwa changa la macho na Bi...

READ MORE

LIVE: MKUTANO WA BUNGE WA KUMI NA MOJA KIKAO CHA 27

Kikao cha 27, mkutano wa 11 wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeanza muda huu Bungeni...

READ MORE

Mama Aliyeuawa kwa Jembe, Nyumba Yake Yaezuliwa Bati

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida wanandugu wa mwanamke Roza Fungwa, mkazi wa Kitongoji cha Magharibi kilichopo katika Kijiji cha Mwibagi,...

READ MORE

BANDO YA AIRTEL MITANDAO YOTE YAZINDULIWA

Duka la Airtel  Money la Wilayani Babati Mkoani Manyara maalum kwa wateja na wakazi wa eneo hilo kurahisisha kupata huduma...

READ MORE

SERIKALI YAKUSUDIA KUTAFUTA MBIA MWINGINE MRADI WA UDART

 SERIKALI imesema inakusudia kuongeza mtoa huduma mwingine katika uendeshaji wa  Kampuni ya Mabasi Yaendayo Haraka (UDART) ambaye ataingiza mabasi yake na...

READ MORE

STENDI YA MBEZI LUIS YATENGEWA BILIONI 50, KUANZA KUJENGWA ‘SOON’

  STENDI ya Mabasi yaendayo mikoani Ubungo ambayo inahamishiwa Mbezi-Luis jijini Dar es Salaam tayari imetengewa Shilingi bilioni 50 kwa...

READ MORE

RAIS MAGUFULI AWAAPISHA BALOZI KIDATA NA MAKUNGU

                      JPM baada ya kuwaapisha balozi Kidata na Makungu Ikulu...

READ MORE

Magereza: Rais Magufuli Ndiye Amemtoa Jela Sugu

JESHI la Magereza nchini limesema kuwa, Mbunge wa Mbeya Mjini (Chadema), Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ na Katibu wa CHADEMA Kanda ya...

READ MORE