×

Kitaifa

Singida: Amuua Mkewe, Aificha Maiti Kwenye Mbuyu Miaka 8

MWANAMUME mmoja aliyejulikana kwa jina Bernard Shumba mkazi wa Singida anashikiliwa na jeshi la polisi mkoani humo kwa kumuua mke...

READ MORE

TANZIA: Kuga Peter Mziray Afariki Dunia

MWANASIASA mkongwe nchini, Kuga Peter Mziray aliyekuwa Mgombea urais mwaka 2010 kupitia tiketi ya APPT-maendeleo amefikwa na mauti alasiri leo...

READ MORE

Amuua Mama Mkwe, Amjeruhi Mkewe Kisha Ajiteketeza Ndani ya Nyumba

MWANAMUME mmoja Joseph Medadi (32) mkazi wa Kitongoji cha Nyakahanga Kata ya Rusumo Wilayani Ngara, Mkoani Kagera amejiua kwa kujichoma moto ndani...

READ MORE

SERIKALI YAZUA BALAA DAWA ZA NGUVU ZA KIUME!

SIKU chache baada ya Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kusa­jili na kuthibitisha dawa tano za...

READ MORE

JPM Amteua IGP Mangu Kuwa Balozi Rwanda

Rais Dkt. John Pombe Magufuli amemteua IGP Mstaafu, Ernest Mangu kuwa Balozi wa Tanzania nchini Rwanda na Meja Jenerali Mstaafu...

READ MORE

MFANYABIASHARA MBARONI KWA KUSAFIRISHA DAWA ZA KULEVYA

  MFANYABIASHARA Hariri Mohammed (45) mkazi wa wilaya ya Kinondoni mkoani Dar es Salaam,  amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu...

READ MORE

KWA MATUKIO HAYA KILA SIKU, WANANCHI: TUMECHOKA!

  KUFUATIA kukithiri kwa matukio ya uhalifu kila siku, wananchi wenye hasira kali wamevamia kituo cha polisi kisha kukizingira, wakitaka...

READ MORE

KIFO CHA TAJIRI SUPER SAMI, MKE MDOGO AMFICHUA MUUAJI! – VIDEO

  MAPYA yameibuka kufuatia kifo cha mfanyabiashara ambaye ni tajiri wa mabasi ya Kampuni ya Super Sami, Samson Josiah almaarufu...

READ MORE

Sakata la Abdul Nondo: IGP Sirro, DCI na AG Waitwa Mahakamani

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imetoa wito wa kuwaita Mkrugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai nchini (DCI),...

READ MORE

TATIZO LA UBAKAJI, ULAWITI KWA WATOTO NI JANGA

VITENDO vya ulawiti na ubakaji kwa watoto vimesababisha hofu kubwa katika jamii za Kitanzania na kuwafanya baadhi ya wazazi na...

READ MORE

IMEFICHUKA! Mzungu Aliyehukumiwa Miaka 26 Jela Atorokea Tanzania

  SIRI imefichuka kuwa, Gareth Johnson (pichani) ni Mzungu anayesakwa kwa udi na uvumba na Serikali ya Uingereza, Kitengo cha...

READ MORE

Watendaji wa Serikali, TENMET, APHRC wajadiliana kuboresha elimu

BAADHI ya watendaji wa Serikali, Mtandao wa Elimu Tanzania (TENMET) na taasisi ya African Population and Health Research Center (APHRC)...

READ MORE

MWIGULU MGENI RASMI TAMASHA LA PASAKA MWANZA

  WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk. Mwigulu Nchemba anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Tamasha la Pasaka linalotarajia...

READ MORE

JPM Afungua Mkutano Baraza la Biashara, Ashusha Neema kwa Wadaiwa Kodi – Video

Rais John Magufuli ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Biashara(TNBC) amefungua mkutano wa 11 wa Baraza hilo...

READ MORE

SEMI TRAILER LAVAMIA DUKA, WATATU WANUSURIKA KIFO

  WATU watatu wamenusurika kifo mjini Morogoro baada ya kutokea ajali mbaya ya lori la mizigo, (Semi Trailer) ambalo dereva...

READ MORE

LIVE: Magufuli Akiongoza Mkutano wa 11 na Wafanyabiashara

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli anaongoza Mkutano wa 11 wa Baraza la Taifa la...

READ MORE

Mzee Mkapa Ataka Mjadala wa Kitaifa

RAIS Mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamini William Mkapa amesema ipo haja ya kuitishwa mjadala wa kitaifa wa kujadili hali...

READ MORE

Mrisho Mpoto Akunwa na Programu ya Waziri Lukuvi

  MWIMBAJI wa muziki wa asili, Mrisho Mpoto ambaye amekuwa kioo cha jamii kutokana na kazi yake ya nyimbo za...

READ MORE

MABAWA APINGA MAANDAMANO YA KWENYE MITANDAO

  MWANAHARAKATI  mzalendo ambaye alipata kuwa gumzo mwaka jana kwenye vyombo vya habari mbalimbali nchini, Laurence Jumanne Mabawa, amejitokeza na...

READ MORE

MWANANCHI KINONDONI ALILIA MSAADA WA MAKONDA

  BAADA Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam,  Paul Makonda, kushughulikia kero mbalimbali za migogoro ya ardhi na kutolea...

READ MORE

Nabii ‘Mtoto’ Aliyetikisa Dar kwa Mkwanja, Afutiwa Usajili

KIONGOZI wa Kanisa la Bethel Ministry nchini, Nabii Daniel Daniel Shilla, amefutiwa usajili wa huduma hiyo kwa madai ya kujihusisha ...

READ MORE

Breaking News: Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania Ajiuzulu

Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Theophil Makunga amejiuzulu nafasi hiyo.  VIDEO: Hotuba ya Makonda Uzinduzi wa Kutangaza Utalii...

READ MORE

MAKONDA ATOA KIBALI KWA WASANII KUREKODI MOVIE ENEO LOLOTE  KUTANGAZA UTALII

 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda,  amepiga marufuku baadhi ya watendaji wanaozuia wasanii kurekodi Video za nyimbo...

READ MORE

WAZIRI MKUU ATAKA WANAVYUO WAANDALIWE KUJIAJIRI

WAZIRI MKUU wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema ni umuhimu mfumo wa ufundishwaji wa wanafunzi wa vyuo...

READ MORE

SHUHUDIA BASI LILIVYOSOMBWA NA MAJI SERENGETI -VIDEO

WATU wanne wanadaiwa kupotea baada ya basi la Kampuni ya Kimotco walilokuwa wakisafiria kusombwa na maji ya mto huko Serengeti...

READ MORE

Vilio na Majonzi, Safari ya Mwisho ya Mmiliki wa Super Sami- Picha 11

VILIO, simanzi na majonzi vimetawala kwa mamia ya waombolezaji jijini Mwanza na maeneo jirani wakati wa shughuli ya mazishi ya...

READ MORE

BREAKING NEWS: Trafiki Agongwa Gari Mataa ya Sayansi Dar

OFISA wa Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani ambaye jina lake halijatajwa amepata ajali ya kugongwa na gari wakati akiongoza magari...

READ MORE

JK Atoa Kauli kwa Jeshi la Polisi

RAIS Mstaafu wa Awamu ya nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ‘JK’ amefunguka na kulipongeza jeshi la polisi Tanzania kwa kufanikisha...

READ MORE

TAJIRI BONGO AJIUA KWA RISASI

  MFANYABIASHARA ambaye ni tajiri maarufu mjini Mafinga wilayani Mufindi, Iringa, George Ndendya (50), anadaiwa kujiua kwa kujipiga risasi kwa...

READ MORE

Babu Mbaroni kwa Kugushi Vyeti, Akutwa na Mihuri 54 ya Magumashi – Video

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limamshikilia Selemani Masoud (60) mkazi wa Yombo Kialakala kwa tuhuma za...

READ MORE

Mwili wa Mmiliki wa Super Sami Wawasili Nyumbani Kwake

  MWILI wa mfanyabiashara na mmiliki wa Kampuni ya Mabasi ya Super Sami, Samson Josiah umewasili nyumbani kwake leo Ijumaa,...

READ MORE

Mafuriko Jangwani: Mabasi ya Mwendokasi Yashindwa Kutembea – VIDEO

DAR: Abiria wa mabasi ya mwendokasi wamekosa huduma ya usafiri leo asubuhi, baada ya kampuni ya UDART kusitisha huduma hiyo...

READ MORE

Picha 8: Hali Ilivyo Mafuriko Jangwani Dar

MVUA kubwa zilizonyesha kuanzia jana jioni hadi usiku zimesababisha adha kubwa ya usafiri kutokana na mafuriko ya maji kujaa katika...

READ MORE

JPM Ammwagia Minoti Mama Ntilie Morogoro – Video

  RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amempa Tsh. 100,000 mama aliyeibua kero ya kufukuza...

READ MORE

Binti Auwa Akitoka Kanisani, Kumwombea Mama Yake Kipofu! – Video

  DAR ES SALAAM: Inauma sana! Ndio unavyoweza kusema baada ya binti, Toto Aloyce (20), mkazi wa Buza kwa Lulenge,...

READ MORE