×

Kitaifa

MWAKIBINGA: WAPINZANI WANAHAMA KWA KUVUTIWA NA JPM

  KADA maarufu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), James Mwakibinga amesema sababu zinazowafanya wanasiasa wa upinzani kuhamia CCM ni utendaji...

READ MORE

JPM Aagiza Wananchi Walime Eneo Lililotengwa Makaburi ya Marais na Mawaziri

Rais John Magufuli ameagiza ardhi ya Iyumbu mjini Dodoma iliyotengwa kwa ajili ya kuzikwa viongozi wakuu wa nchi, (marais, mawaziri...

READ MORE

Baada ya babu Seya Kutoka… Mtabiri Atoa Mpya!

SIKU chache baada ya wanamuziki, Nguza Viking ‘Babu Seya’ na mwanaye Johnson Nguza ‘Papii Kocha’ waliokuwa wamehukumiwa kifungo cha maisha...

READ MORE

CHADEMA Yatangaza Kutoshiriki Uchaguzi Mdogo wa Ubunge Songea Mjini

ZIKIWA zimepita siku chache baada ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA na Mwenyekiti mwenza wa UKAWA Mheshimiwa...

READ MORE

Kisa Dola za Kimarekani, JPM Acharuka, Atoa Agizo BoT (Video)

RAIS John Magufuli amemwagiza Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Phillip Mpango, kuhakikisha malipo kwa kutumia fedha za kigeni  nchini yanadhibitiwa...

READ MORE

Huseein Bashe Atoa Kauli Nzito Askofu Niwemugizi Kuhojiwa Uraia Wake

MBUNGE wa Nzega Mjini, Hussein Bashe ameelezwa kusikitishwa kwake baada ya Askofu wa Jimbo Katoliki la Rulenge, Wilaya ya Ngara,...

READ MORE

Tuhuma za Rushwa Kura za Maoni CCM… Kinana Amfuta Gulamali Jimbo la Nyalandu

Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Abdulrahman Kinana imewazuia Haider Gulamali na Elia Mlangi kugombea nafasi ya ubunge Singida Kaskazini kutokana...

READ MORE

Hashim Rungwe Amjulia Hali Lissu Nairobi Hospital

Mwenyekiti wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Hashim Rungwe Spunda, amemtembelea na kumjulia hali mbunge wa Singida Mashariki, Tundu...

READ MORE

Airtel yaleta bando mpya za ‘SMATIKA na Yatosha Intaneti’ MPYA

Dar es salaam,  Desemba 12, 2017: Airtel Tanzania mtandao bora kwa Smartphone yako leo imezindua bando mpya zitakazojulikana kama ‘SMATIKA...

READ MORE

NYUMBA YA MJANE YABOMOLEWA KATIKA MAZINGIRA YA KUTATANISHA

Nyumba ya mjane Chiku Juma Athuman iliyopo Kinondoni Studio jijini Dar es Salaam, imebomolewa kufuatia kuibuka kwa mgogoro wa utata...

READ MORE

JPM Ataka Wasanii Wakaa Uchi Washughulikiwe

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli, ameitaka Mamlaka...

READ MORE

Nyalandu Amwandikia Ujumbe JPM

ALIYEKUWA Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu, jana Disemba 11, 2017 alituma salamu za pole kwa Rais na...

READ MORE

Askofu Aliyesema Katiba Mpya Ipewe Kibaumbele, Ahojiwa Uraia Wake

ASKOFU wa Jimbo Katoliki la Rulenge, Wilaya ya Ngara, mkoani Kagera, Severine Niwemugizi (61), amehojiwa na Idara ya Uhamiaji kuhusiana...

READ MORE

LIVE: Miili ya Wanajeshi Waliouawa DRC Yarejeshwa Nchini

MIILI ya Askari 14 wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) waliouawa na waasi wakilinda amani katika nchi ya Jamhuri...

READ MORE

Jiji La Dar Es Salaam La Pata Tuzo Ya Usafirishaji Abiria Kupitia Mabasi Ya Mwendo Kasi

JIJI la Dar es Salaam ni miongoni mwa majiji 10 duniani ambayo yamepata tuzo ya C40 Bloomberg Philantropies 2017 kupitia...

READ MORE

AFDB YAMWAGA BILIONI 630 ZA UJENZI WA BARABARA ZA LAMI MIKOA YA PEMBEZONI MWA NCHI

  Benki ya Maendeleo ya Afrika –AFDB imetoa msaada wa shilingi za Kitanzania Bilioni 630.25 kwa serikali ya Tanzania kwa...

READ MORE

Sadifa Akwama Kortini, Arejeshwa Rumande Hadi Desemba 19

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Dodoma imesema itatoa uamuzi wa maombi ya dhamana Desemba 19,2017 kwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Umoja wa...

READ MORE

Miili ya Wanajeshi Waliouawa DRC Kurejeshwa Nchini Leo

Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limetoa Taarifa kwa Umma kuwa, Askari wake waliouawa na waasi wakilinda amani katika nchi...

READ MORE

Kheri James Anyakua Uenyekiti UVCCM Taifa

WAZIRI wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi, ambaye pia ni mjumbe wa Baraza la Wadhamini la Umoja...

READ MORE

Uhuru Kenyatta Amwandikia Barua Rais Magufuli

RAIS Uhuru Kenyatta wa Kenya amemuandikia barua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, kupinga kitendo...

READ MORE

UKAWA Watishia Kususia Uchaguzi wa Januari 13, Endapo Serikali Haitafuata Haya (Video)

VIONGOZI wa Vyama vya Upinzania Vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) wamekutana na kufanya mazungumzo na wanahabri leo Jumatatu,...

READ MORE

Mwenyekiti UVCCM Taifa Apandishwa Kizimbani Akidaiwa Kugawa Rushwa

DODOMA: Aliyekuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Sadifa Juma Khamis (Mb.) amefikishwa Mahakama ya Hakimu...

READ MORE

LIVE: Matokeo ya Uchaguzi UVCCM Taifa Yatangazwa- Dodoma

MATOKEO ya Uchaguzi Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), yametangazwa leo Mjini Dodoma, walioshinda ni kama ifuatavyo....

READ MORE

Simba Yailiza Yanga, Mo Asaini Miaka 2 Simba SC

KLABU ya Yanga imeshindwa kumpa kiungo Mohamed Ibrahim ‘Mo Ibra’ kile anachotaka, hivyo leo Jumatatu mchezaji huyo anatarajiwa kusaini mkataba...

READ MORE

Babu Seya, Papii Kocha Walituma Ujumbe Mzito kwa JPM

BADO mitaani kuna shangwe inayotokana na kitendo cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk John Pombe Joseph Magufuli...

READ MORE

Msama Ampongeza JPM Kuwatoa Babu Seya, Papii Kocha Gerezani

  SIKU chache tangu kuachiwa kwa wasanii, Nguza Viking ‘Babu Seya’ na mwanaye Johnson Nguza ‘Papii Kocha’ waachie huru na...

READ MORE

NUNUA LUKU KWA NJIA ULIYOZOEA BAADA YA MAREKEBISHO SASA MAMBO POA

SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO) Tunawataarifu Wateja wetu kuwa, hivi sasa mifumo ya LUKU inapatikana katika njia zote za manunuzi....

READ MORE

Breaking News: Babu Seya na Papii Kocha Waachiwa Huru

Wanamuziki Nguza Viking (Babu Seya) na mwanawe Johnson Nguza (Papii Kocha) wametoka jioni hii katika Gereza la Ukonga jijini Dar...

READ MORE

NDUGU WA BABU SEYA WAMIMINIKA GEREZANI, WAMSHUKURU JPM

BAADA ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kutoa msamaha kwa familia ya Nguza Viking...

READ MORE

Mwananchi Waanika Kisa cha Kupotea kwa Mwandishi Azory Gwanda (Video)

KUFUATIA kupotea kwa mwandishi wa Gazeti la Mwananchi, Azory Gwanda, Ambaye leo Desemba 9, 2017, ametimiza siku 18 tangu apoteee...

READ MORE

Kauli ya Mtoto wa Babu Seya Baada ya Familia Yake Kuachiwa Huru

IKIWA ni saa chache baada ya Mwanamuziki wa dansi Nguza Viking ‘Babu  Seya’ na mwanaye Johnson Nguza ‘Papii Kocha’ kuachiwa...

READ MORE

Babu Seya, Papii Kocha Waachiwa Huru kwa Msamaha wa JPM (Video)

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amri Jeshi Mkuu, ametangaza msamaha kwa Nguza Viking maarufu kama Babu Seya...

READ MORE

Ni Majonzi, Simanzi Vyatawala Kuagwa kwa Joel Bendera (Pichaz + Video)

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amewaongoza mamia ya watu waliojitokeza  kumuaga aliyewahi kuwa kocha wa Taifa...

READ MORE

LIVE: Makomando Wakikinukisha Maadhimisho ya 56 ya Uhuru wa Tanzania

Leo, Disemba 09, 2017 Tanzania inaadhimisha miaka 56 ya Uhuru wa Tanzania Bara (Tanganyika) ambapo sherehe hizo zinafanyika katika Uwanja...

READ MORE

MIAKA 56 YA UHURU NA MAFANIKIO YA JPM

LEO ni siku ya kipekee kwa Watanzania wote kwani Taifa letu linaadhimisha miaka 56 ya uhuru tukiwa na amani na...

READ MORE

Siku Chache Baada ya Kuhama Chadema, Lema Aanika Siri za Wema

DAR ES SALAAM: Ikiwa ni takriban siku sita tangu mlimbwende maarufu Bongo, Wema Sepetu ang’atuke Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

READ MORE

LIVE: Maadhimisho ya Miaka 56 ya Uhuru wa Tanzania, Dodoma

Leo, Disemba 09, 2017 Tanzania inaadhimisha miaka 56 ya Uhuru wa Tanzania Bara (Tanganyika) ambapo sherehe hizo zinafanyika katika Uwanja...

READ MORE

MAMA SAMIA AZINDUA KAMPENI YA UZALENDO NA UTAIFA

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, baada ya kuzinduka Kampeni ya Uzalendo na...

READ MORE

Wabunge wa CHADEMA, Lijualikali na Susan Kiwanga Waachiwa kwa Dhamana

WABUNGE wa CHADEMA, Peter Lijualikali (Kilombero) na Suzan Kiwanga (Mlimba) pamoja na washtakiwa wengine 37 ,leo Ijumaa, Desemba 8, 2017...

READ MORE