×

Kitaifa

Yaliyojiri Kortini Kuhusu Kesi ya Vigogo wa Simba

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeahirisha kesi ya utakatishaji fedha na kugushi inayowakabili Rais wa Simba, Evans Aveva na Makamu...

READ MORE

Nyumba ya Msanii Bobi Wine Yapigwa Bomu

TAARIFA kutoka nchini Uganda zinasema shambulio la bomu la kutupwa na mkono limepiga kwenye nyumba mbili za wabunge wawili wa upinzani...

READ MORE

Kauli ya RC Makonda Baada ya JPM Kumpa ‘Tano’

BAADA ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli kutaka Wakuu wa mikoa wengine kuiga utendaji...

READ MORE

NASSARI: Maisha Yangu Yapo Kwenye Bonde la Uvuli wa Mauti

MBUNGE wa jimbo la Arumeru Mashariki (CHADEMA) Joshua Nassari amefunguka na kusema maisha yake yapo hatarini na kudai kuwa watu...

READ MORE

Rais Magufuli: Hata Kama Hajui ‘A’… Kwangu RC Makonda ni Msomi Mzuri

RAIS, Dkt. John Pombe Magufuli amesisitiza kuwa hakuja kuuza sura bali kufanya kazi na kwamba mke wake akimpenda inatosha kwake....

READ MORE

George Majaba Amenunua Nyumba kwa Sh. 59,500 Tu!

UKISIKIA kismati ndiyo kama hiki. Mshindi wa Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba Awamu ya Pili, George Majaba, ambaye ni mkazi...

READ MORE

YALIYOJIRI KESI YA MALIMA KUDAIWA KUSHAMBULIA POLISI

  KESI ya Naibu Waziri wa Fedha wa zamani, Adam Malima na dereva wake, Ramadhan Mohammed, ya kuzuia Polisi kutekeleza...

READ MORE

RC Rukwa Aishauri Benki ya NMB Kufungua Tawi Bonde la Ziwa Rukwa

  Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Kamishna Mstaafu Zelote Stephen ameishauri benki ya NMB kufungua tawi katika bonde la Ziwa...

READ MORE

Mhasibu Ahukumiwa Jela kwa Kumkashifu Rais Magufuli

Mhasibu wa Shule ya Sekondari ya Mtakatifu Joseph, Elizabeth Asenga (40) amehukumiwa kulipa faini ya Sh 5 milioni ama kutumikia kifungo...

READ MORE

Kortini Kwa Kusambaza Uongo Kuhusu Mazungumzo ya Serikali na Acacia

MKAZI wa Chato mkoani Geita, Obadia Frank (41), mapema leo  amefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kujibu tuhuma za...

READ MORE

JPM: Nimepata Taarifa Kuna Wakurugenzi Wawili Watatu Walevi

Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ameahidi kuwafukuza kazi Wakurugenzi kadhaa wa halmashauri kwa ulevi...

READ MORE

Waliokuwa Maofisa wa TanTrade Wahukumiwa Miaka 3 Jela

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imewahukumu kwenda jela miaka mitatu au kulipa faini ya Sh5 milioni kwa kila kosa waliokuwa...

READ MORE

Said wa Scorpion Kufikishwa Kortini

SAKATA la Said Mrisho aliyedaiwa kutobolewa macho na Salum Njwete ‘Scorpion’ na mkewe Stara Sudy, linatarajiwa kufikishwa mahakamani baada ya...

READ MORE

Lema: Takukuru Wameshaanza Kuwachunguza Madiwani Arusha -Video

WABUNGE wa Chadema, Joshua Nassari (Arumeru Mashariki), Godbless Lema ( Arusha Mjini) na Mchungaji Peter Msigwa(Iringa Mjini) wamesema uchunguzi dhidi...

READ MORE

AIRTEL YASHEREHEKEA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA KWA KUZINDUA OFA KAMBAMBE

  Airtel leo wamezindua shamra shamra za wiki ya huduma kwa mteja kwa kuwakaribisha wateja wake wote waliongia madukani kwao...

READ MORE

Msigwa Aanika Mbinu Walizotumia Iringa Kuwanasa Madiwani Wanaodaiwa Kuhongwa na CCM

Mbunge wa Iringa Mjini kwa tiketi ya CHADEMA, Mchungaji Peter Msigwa amefunguka na kusema kuwa biashara ya kununua madiwani wa...

READ MORE

Vilio, Simanzi Vyatawala Kuagwa Mwili wa Mtangazaji Chogo wa EFM

Mtangazaji na mchekeshaji wa kituo cha redio EFM, Dennis David Rupia ‘Chogo’, ameagwa leo katika kanisa la Mtakatifu Maxmilian Kolbe...

READ MORE

Manji Yamkuta Mapya Tena Dar

MAMALAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imezifunga ofisi za kampuni ya mfanyabiashara Yusufu Manji kutokana na kudaiwa Sh 12.2 bilioni. Akizungumza...

READ MORE

Familia ya Tundu Lissu Yafanya Kikao Kizito na Bunge

WAKATI Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu akiendelea na matibabu katika Hospitali ya Nairobi, familia yake imefanya kikao cha siri...

READ MORE

MABULA: MIPANGO MIJI INAKWAMISHWA NA WATENDAJI WASIO WAADILIFU

  NAIBU Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angelina Mabula amewaagiza wakurugenzi wa Halmashauri kuweka utaratibu wa kupanga...

READ MORE

Kazi Imeanza… Lema na Nassari Wawasili Takukuru na Ushahidi – Video

Wabunge wa Chadema, Joshua Nassari (Arumeru Mashariki), Godbless Lema ( Arusha Mjini) na Mchungaji Peter Msigwa(Iringa Mjini) wamewasilisha Takukuru ushahidi...

READ MORE

ALAT: Vyanzo vya Mapato vya Halmashauri Virudishwe

  MWENYEJI wa mkutano wa 33 wa Jumuiya ya Tawala na Serikali za Mitaa (ALAT) ambaye ni  Meya wa Jiji...

READ MORE

Lema Awastukia ‘Watu Wasiojulikana’ Kwenye Gari Lake

GARI la Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema limechomoka matairi leo Jumatatu baada kudaiwa kuwa limefunguliwa nati 13 kati ya...

READ MORE

Catalonia Yajitenga na Hispania

KIONGOZI wa Jimbo la Catalonia, Carles Puigdemont amesema kuwa eneo hilo lililokuwa sehemu ya nchi ya Hispania limepata haki ya...

READ MORE

Magufuli Hatoshiriki Kongamano la Nyerere

Taasisi mbalimbali za umma na zisizo za umma zinazomualika Mhe. Rais katika shughuli za kumbukumbu ya Mwl. Julius Nyerere zinakumbushwa...

READ MORE

Meya wa Dar Ashauri Taasisi za Kibenki Kuwapatia Mikopo Walemavu Wasioona

MSTAHIKI Meya wa Jiji la Dar es Salaam Isaya Mwita amezishauri Taasisi za kibenki kuwasaidia watu wenye ulemavu wasioona ili...

READ MORE

MSAMA AMPONGEZA MWAKYEMBE KUBANA WEZI WA KAZI ZA WASANII

MKURUGENZI wa Msama Promotions, wasimamizi na wasambazaji wa kazi za Muziki wa Injili, Alex Mwita Msama, amempongeza Waziri wa Habari,Utamaduni,...

READ MORE

Kutana na George Majaba, Mshindi wa Nyumba ya Global Publishers

Hatimaye George Majaba, mkazi wa Dodoma, Mshindi Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba iliyokuwa ikiendeshwa kwa zaidi ya miezi 6 na...

READ MORE

Airtel yatoa mafunzo ya TEHAMA kwa Walimu Dar

    Kampuni yasimu za mkononi ya Airtel kwa kushirikiana na Atamizi ya Teknohama ya Dar es Salaam (DTBi)  imeanza...

READ MORE

Aliyeandika Uongo WhatsApp Kuhusu Polisi Kuonekana Hospitali ya Nairobi

MKAZI mmoja wa Kigamboni, Mbutusyo Mwakihaba (40), amefikishwa mahakamani kwa tuhuma za kusambaza ujumbe katika mtandao kwamba kachero wa Usalama...

READ MORE

Serikali Yalifungia Gazeti la Raia Mwema kwa Kuandika Taarifa za Uongo Kuhusu JPM

SERIKALI yalifungia gazeti la Raia Mwema kwa kuandika taarifa zisizo za kweli kumuhusu Rais John Magufuli.

READ MORE

Kituo cha Mabasi Ubungo Kuzalisha Ajira 20,000

  MSTAHIKI Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita amekutana na ugeni kutoka Jiji la Shanghai nchini China...

READ MORE

Mke wa Mzee Small: Nimetengwa Nateseka!

DAR ES SALAAM: Mke wa mwigizaji nguli, Said Ngamba ‘Mzee Small’, Fatuma Said amesema yupo kwenye kipindi kigumu cha maisha...

READ MORE

Bunge Lafafanua Kuhusu Kumnyang’anya Gari Mbowe

OFISI ya Bunge imesema Kiongozi wa Kambi ya Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe hajanyang’anywa gari. Taarifa iliyotolewa na Bunge...

READ MORE

Mbunge Lijualikali Akamatwa na Polisi

Mbunge wa Kilombero, Peter Lijualikali na viongozi watatu wa Chadema wilayani Malinyi wanashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kufanya kusanyiko...

READ MORE

Amuua Kaka Yake Kisa Makalio ya Mwanamke

KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Pwani Kamishna Msaizidizi Jonathan Shanna Warioba, ametoa onyo kali kwa wananchi wenye tabia za udhalilishaji...

READ MORE

Benki ya Dunia Yatoa Magari 11 Mradi wa SWIOFish

BENKI ya Dunia leo imekabidhi magari 11 kwa wakurugenzi na wakuu wa taasisi za Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi...

READ MORE

Bunge Ladaiwa Lamnyang’anya Mbowe Gari Alilokuwa Akitumia Shughuli za Matibabu ya Lissu

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema kimesikitishwa na hatua ya uongozi wa Bunge la Tanzania ya kulichukua gari la...

READ MORE

Mwigulu Afafanua Kuhusu Gari Liliyokuwa Ikimfatilia Lissu

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu amesema leo kuwa baada ya polisi kufuatilia gari hiyo wamegundua iliyokuwa inamfuatilia...

READ MORE

Mchungaji Msigwa Apandishwa Kortini kwa Madai ya Kutishia Kuua

MBUNGE wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa amepandishwa kizimbani leo Alhamisi katika Mahakama ya Mwanzo Mjini Iringa kwa madai ya...

READ MORE