×

Kitaifa

Nape Apigilia Msumari Kauli ya Msekwa Kuhusu Ukomo wa Madaraka kwa Rais

MBUNGE wa jimbo la Mtama, Mh Nape Nnauye amepigilia msumari kauli iliyotolewa na Spika wa zamani wa Bunge, Pius Msekwa...

READ MORE

LIVE: Rais Magufuli Kwenye Maadhimisho ya Nyerere Day – Zanzibar

Ikiwa ni miaka 18 tangu Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere afariki dunia katika Hospitali ya St Thomas, Londo...

READ MORE

RC AYOUB AKABIDHI MWENGE WA UHURU KWA SERIKALI

Baada ya mwenge wa uhuru kuanzia mkoani Katavi, hatimaye leo Oktoba 14, umewasili na unatarajia kuzimwa katika uwanja wa Taifa...

READ MORE

WAFADHILI WAKABIDHI MSAAADA WA VYOO KIGAMBONI

Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (Unicef) pamoja na Shirika la Sanitation and Water Action (SAWA), kwa pamoja...

READ MORE

Sheikh Ponda Ashikiliwa Sentro kwa Tuhuma za Uchochezi

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, linamshikilia Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda...

READ MORE

ABBAS: RAIS MAGUFULI HAKUTOA AHADI YA KUONGEZA MISHAHARA – VIDEO

Mkurugenzi Idara ya Habari (Maelezo) na Msemaji Mkuu wa Serikali, Dr Hassan Abbas, amefafanua kwamba Rais John Magufuli hakuzungumzia masuala...

READ MORE

Sheikh Ponda Ajisalimisha Polisi Dar

Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Issa Ponda mapema leo ameripoti Kituo Kikuu cha Polisi Dar es...

READ MORE

Sheria ya Vyama vya Siasa Kufuta Mikutano ya Vyama vya Siasa

RASIMU ya Sheria ya Vyama vya Siasa inayotarajiwa kufanyiwa marekebisho kabla ya Uchaguzi Mkuu ujao, inapendekeza kufutwa kwa mikutano ya...

READ MORE

Kilo 6.2 za Dhahabu Zakamatwa Ndani ya Noah Bandarini

MAMLAKA zinaendelea kubaini mbinu mbalimbali za utoroshaji rasilimali za nchi baada ya watu wawili walioficha kilo 6.244 za dhahabu ndani...

READ MORE

ECOBANK YAWEKA WAZI MIKAKATI YA KUHUDUMIA WAFANYABIASHARA BARANI AFRIKA

  Dar es Salaam; Ecobank imeeleza mikakati yao kutoa huduma bora kwa wateja wake na wafanyabiashara nchini Tanzania na barani...

READ MORE

JPM Awasili Zanzibar Kuadhimisha Nyerere Day na Kilele cha Mbio za Mwenge

Rais Magufuli leo Oktoba 12, 2017 amekwea pipa na kwenda visiwani Zanzibar akiwa na mkewe Mama kwa ziara ya kikazi...

READ MORE

Meli ya Mfalme wa Oman, Yawasili Zanzibar na Ujumbe wa Watu 300

UJUMBE wa watu zaidi ya 300 unaomwakilisha Mfalme wa Oman, Shekh Sultan Qabous Bin Said umewasili visiwani Zanzibar leo Alhamisi...

READ MORE

Simanzi na Vilio Mazishi ya Mkuu wa Shule Aliyejinyonga Buchosa – Video

SIMANZI na vilio vilitawala jana wakati wa mazishi ya Mkuu wa Shule ya Sekondari Migukulama iliyopo Kata ya Nyanzenda Halmashauri...

READ MORE

KESI IKIELEKEA UKINGONI, SCORPION AZIDI KUWA TISHIO

Kesi inayomkabili Mwalimu wa Sanaa ya Mapigano, Salum, Njwete ‘Scorpion’ ya katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala jijini Dar, ya...

READ MORE

POLISI WAUA WATUHUMIWA WALIOMJERUHI MEJA JENERALI MSTAAFU

KUUWAWA KWA MAJAMBAZI WAWILI NA KUPATIKANA KWA SILAHA AINA YA SMG RISASI KUMI NA TISA NA MAGANDA MAWILI Jeshi la...

READ MORE

Sheikh Ponda Atakiwa Kujisalimisha Polisi

Jeshi la Polisi kanda maalum Dar es salaam limempa siku 3 tu Sheikh Issa Ponda, ili kujisalimisha na kuhojiwa kuhusu...

READ MORE

Kesi ya Masogange Yakwama Kisutu

Kesi ya kujihusisha na matumizi ya dawa za kulevya inayomkabili Video Queen, Agnes Gerald ‘Masogange’ imeahirishwa katika Mahakama ya Hakimu...

READ MORE

Watahmini wa Madini Wazidi Kusota Rumande

KESI inayowakabili Mkurugenzi wa Tathmini, Archad Alphonce Kalugendo na Mthamini wa Serikali wa Madini, kutoka iliyokuwa Wizara ya Nishati na...

READ MORE

Mvua ya Upepo na Mawe Yaharibu Nyumba 479 na Kujeruhi 13

KWIMBA, MWANZA: Watu 13 wamejeruhiwa na takribani Nyumba 479 zimeharibiwa na mvua ya upepo na kusababisha watu 2,375 kukosa makazi....

READ MORE

Vigogo wa Rais Trump Wamtembelea Rais Magufuli

  Rais John Magufuli amefanya mazungumzo na ujumbe wa maseneta wa Baraza la Seneti la Marekani inayoongozwa na Rais Donald...

READ MORE

Polisi Wavamia Mkutano wa Sheikh Ponda, Wakamata Waandishi wa Habari

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar Es Salaam limevamia mkutano wa Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania,...

READ MORE

Nyamayao Mkali wa Filamu za Kichina Atinga Global

BALOZI wa StarTimes Tanzania, ambaye hufanya tafsiri ya filamu za Kichina kwa Lugha ya Kiswahili ambazo hurushwa na StarTimes, Nyamayao...

READ MORE

WAKILI MANYAMA AMTETEA RAIS KUTEUA KATIBU WA BUNGE

MWANASHERIA na wakili wa kujitegemea, Leonard Manyama, leo amejitokeza kumtetea Rais John Magufuli kwa hatua yake ya kuteua Katibu wa...

READ MORE

VIGOGO CHUO CHA UHASIBU MAHAKAMANI ‘KUISABABISHIA’ HASARA SERIKALI

VIGOGO wawili wa Chuo cha Uhasibu (TIA) jijini Dar es Salaam, leo wamepandishwa kizimbani Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kujibu...

READ MORE

Baada ya Kuona Hali ya Tundu Lissu, Sheikh Ponda Azungumza Haya

KATIBU wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Issa Ponda amesema ameguswa na hisia za Mbunge wa Singida Mashariki...

READ MORE

CHADEMA: Sirro Usituzuie Kujadili Suala la Lissu – Video

CHAMA cha Demokrasia na Maendelo (Chadema) kimemtaka Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Nyakoro Sirro kutekeleza majukumu yake...

READ MORE

Moshi: Kiongozi Chadema Apata Ajali Mbaya ya Gari

KATIBU Mwenezi wa Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bavicha), Edward Simbeye amepata ajali ya gari. Simbeye...

READ MORE

Mtoto wa Mkuu wa Shule Aanika Alivyomkuta Baba Yake Amejinyonga

  Breaking News: CHADEMA Wampinga Sirro Kuhusu Marufuku ya Kutojadili Sakata la Lissu MTOTO Frank Benedicto (14) ni mtoto mkubwa...

READ MORE

MSHINDI SHINDA NYUMBA… DAR SIPAWEZI, NITABAKI DOM

MSHINDI wa Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba Awamu ya Pili, George Majaba ambaye ni mkazi wa Makole Dodoma, wakati wowote...

READ MORE

Majambazi Walivyomtwangwa Risasi Mwenzao Mbele ya Polisi

ROBERT Massawe (51), mkazi wa jijini Dar es Salaam, ambaye polisi wanadai ni mtuhumiwa wa uporaji na mauaji, ameuawa kwa...

READ MORE

Mifupa ya Binadamu Yakutwa Kwenye Bwawa Mkoani Shinyanga

KAMANDA wa polisi mkoa wa Shinyanga, Kamishna Msaidizi Simon Haule amethibitisha kuokotwa kwa viungo vya mwili wa binadamu katika bwawa...

READ MORE

Mwana FA Awananga Wenzake

MWANA-HIP Hop asiyechuja Hamisi Mwijuma maarufu kama Mwana FA, amewananga wasanii wenzake akidai kuwa wengi wao wanafahamika kwa kiki zao...

READ MORE

HALOTEL KUWEZESHA VICOBA KUWASILIANA BURE

      Taarifa kwa Vyombo vya Habari   DAR ES SALAAM;  Kuendelea kukua kwa teknolojia ya Mawasiliano, kumekuwa chachu...

READ MORE

TRA Yaanika Makusanyo Yake ya Miezi Mitatu

Makusanyo ya kodi kwa robo ya kwanza ya mwaka wa fedha wa 2017/2018 (Julia, Agosti na Septemba) yamefikia Sh3.65 trilioni...

READ MORE

KESI YA WAETHIOPIA 40 YAAHIRISHWA KISUTU

KESI ya raia 40 wa Ethiopia waliokuwa wanakwenda Afrika Kusini wakipitia Tanzania imeahirishwa leo hadi Oktoba 13 mwaka huu katika...

READ MORE

Mwanza: Mkuu wa Shule Ajinyonga Chumbani Kwake

MKUU wa Shule ya Sekondari Migukulama iliyopo Halmasahauri ya Buchosa wilayani Sengerema, Benedicto Lweikiza (45) amejinyonga hadi kufa akiwa chumbani...

READ MORE

Barua ya Kitila Mkumbo Ajivua Uanachama wa ACT-Wazalendo

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji, Prof. Kitila Mkumbo amejivua rasmi uanachama wa Chama cha ACT-Wazalendo. MAGAZETI: Siku...

READ MORE

JPM Ashtushwa na Vifo vya Watu 12 Ziwa Victoria

Rais Magufuli ametumia salamu za rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongela kufuatia vifo vya watu 12. Rais Magufuli...

READ MORE