×

Kitaifa

DROO YA 5 YA SHINDA NYUMBA… TV, SMARTPHONE, DINNER KUTOLEWA LEO

  WASHINDI wanne waliopatikana katika droo ndogo ya tano ya Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba Awamu ya Pili iliyofanyika Alhamisi...

READ MORE

Marekani kuziwekea wikwazo Urusi, Iran na Korea Kaskazini

  Baraza la wawakilishi la Marekani limepiga kura kuweka vikwazo vipya dhidi ya Urusi, Iran na Korea Kaskazini. Urusi inaadhibiwa...

READ MORE

SIMANZI! Mjomba Adaiwa Kumbaka, Kumnyonga Mpwa Wake

  SIMANZI! Mtoto Nora Jimmy (11), mkazi wa Sinza Mapambano jijini Dar aliyekuwa akisoma darasa la sita Shule ya Msingi...

READ MORE

Kisa Mjamzito… Waziri Amsimamisha Mganga Mfawidhi

  WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Ummy Mwalimu, amemsimamisha kazi mganga mfawidhi (Clinical Officer)...

READ MORE

LIVE NGUMI ZA GLOBAL TV: NASIBU RAMADHANI VS YOHANE BANDA

TAZAMA LIVE MARUDIO YA MPAMBANO  WA NASIBU RAMADHANI VS YOHANE BANDA KUPITIA GLOBAL TV ONLINE   JUMLA ya mabondia sita...

READ MORE

Wafanyakazi 5 wa CI-Group Wahukumiwa kwa Kuishi Nchini Kinyemela

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewahukumu wafanyakazi watano wa Kampuni ya Uchapaji ya CI-Group Co. Ltd, kulipa Sh 52.5 milioni...

READ MORE

Masanja: Nisingeondoka Marekani Bila Kuwaona Watoto Waliopata Ajali

  MMOJA  wa wasanii wa vichekesho waliokuwa wakiunda kundi la Orijino Komedi ambaye kwa sasa ni mchungaji, Emmanuel Mgaya a.k.a...

READ MORE

VIDEO: Baba wa Watoto Waliozaliwa Wameungana Aomba Msaada

  BABA wa watoto waliozaliwa mwishoni mwa wiki iliyopita wakiwa wameungana miili yao katika Hospitali ya Misheni ya Berege, wilayani...

READ MORE

Ndugai Athibitisha Kupokea Barua ya Lipumba Kuwafukuza Wabunge 8

Spika wa Bunge Job Ndugai amethibitisha kupokea barua ya Prof Lipumba kuwafukuza uanachama wabunge 8 na madiwani, anatafakari kuchukua hatua.

READ MORE

Yaliyojiri Kisutu Kesi ya Agness Masogange

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo Julai 25, 2017 imeshindwa kuanza kusikiliza kesi kuhusu kutumia dawa za kulevya inayomkabili video...

READ MORE

LIVE: Rais Magufuli Awahutubia Wananchi wa Singida

Leo Julai 25, 2017, Rais John Magufuli anaendelea na ziara yake na leo yuko wilayani Itigi mkoani Singida kufungua Barabara...

READ MORE

TCU Yataja Vyuo Vilivyozuiliwa Kudahili Wanafunzi 2017/18

Tume ya Vyuo Vikuu nchini (TCU) imetoa orodha ya vyuo vilivyozuiliwa kufanya udahili wa wanafunzi wa mwaka wa kwanza wa...

READ MORE

SHINYANGA: Mtoto Afariki kwa Kukanyagwa na Gari

Habari zilizotufikia hivi punde zinaeleza kuwa, mtoto wa kiume anayekadiriwa kuwa na umri wa mwaka mmoja amefariki dunia papo hapo...

READ MORE

TRA Yaidai Acacia Tsh. Trilioni 425.4

Kampuni ya ACACIA imepokea makadirio ya kodi ambazo hazijalipwa zilizotokana na ripoti za kamati za Rais kuhusiana na makinikia. TRA...

READ MORE

VIDEO: Shuhudia Maajabu ya Daraja la Mungu

Daraja la Mungu ni miongoni mwa vivutio vya kipekee vya utalii mkoani Mbeya ambapo kila mwaka, maelfu ya watalii kutoka...

READ MORE

VIDEO: Tundu Lissu Apandishwa Kizimbani, Kesi Yake Ngoma Nzito

Baada ya kuwekwa mahabusu kwa siku nne, Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA na Mbunge wa Singida Mashariki,  Tundu  Lissu leo amefikishwa Mahakama...

READ MORE

LIVE: ‘Marehemu’ Aibukia Nyumbani Akiwa Hai

Tazama tukio zima LIVE kupitia Global TV Online HAPA   NI mshtuko! Hicho ndicho kilichotokea kufuatia tukio la hivi karibuni...

READ MORE

Lipumba Atangaza Kuwavua Uanachama Wabunge 8 wa CUF

  Baraza Kuu la Uongozi la Taifa la Chama cha Wananchi (CUF) limewavua uanachama wabunge wanane wa chama hicho kwa...

READ MORE

DAR: Mtoto wa Miaka 11, Adaiwa Kubakwa Kisha Kunyongwa

  Mtoto wa miaka 11 amekutwa amekufa katika mazingira ya kutatanisha huku kukiwa na madai kwamba alibakwa kisha akanyongwa.  Mtoto...

READ MORE

Tanzania, Kenya Zaondoleana Vikwazo vya Kibiashara

SERIKALI za Tanzania na Kenya zimekubaliana kuondoa vikwazo vya kibiashara zilizokuwa zimewekeana kuhusu bidhaa kutoingizwa katika nchi hizo.   Akizungumza...

READ MORE

Mbasha, Flora Waliamsha Dude Upyaa!

  Waimba Injili Bongo ambao walikuwa wanandoa kabla ya kutalikiana mahakamani, Flora Daud Kusekwa ‘Madam Flora’, zamani alikuwa akitambulika kama...

READ MORE

Muumini Apigwa Risasi Akisubiri Ibada Ubungo

Muumini wa kanisa Katoliki, Adrian Mpande amepigwa risasi mbili akiwa anasubiri kuingia  kanisani katika Parokia ya Kibangu wilaya Ubungo jijini...

READ MORE

Kikwete Aongoza Mazishi ya Jaji Msuya Dar

    RAIS Mstafu wa Serikali ya Awamu ya Nne, Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete amewaongoza waombolezaji waliofika katika makaburi ya Kinondoni...

READ MORE

Acacia Yatangaza Kupata Hasara Tsh. 391.9 Bilioni

ACACIA: Kampuni ya uchimbaji madini nchini, Acacia imetangaza kuwa imepata hasara ya takribani Tsh bilioni 391.9 kwa kipindi cha miezi...

READ MORE

Rais Magufuli: Siogopi Kufungwa

  RAIS Dkt. John Pombe Magufuli ‘JPM’ amesema yeye kama kiongozi mkuu wa nchi haogopi vitisho vya kufungwa ama kushtakiwa...

READ MORE

Jaji Msuya Alivyoagwa Dar

KAIMU Jaji Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Khamis Juma mapema leo amewaongoza waombolezaji kutoa heshima zao za mwisho kwa aliyekuwa...

READ MORE

Wawili Wafariki kwa Ajali ya Daladala Kugonga Treni, Dar

  Watu wawili wamekufa na wengine 36 kujeruhiwa katika  ajali iliyotokea leo asubuhi ikihusisha gari ya abiria aina ya coaster...

READ MORE

Katibu wa Habari Ikulu Ajiuzulu Kupinga Uamuzi wa Rais Trump

Msemaji wa Ikulu ya Marekani, White House, Shawn Spicer, amejiuzulu wadhifa wake kwa madai ya kupinga mabadiliko ya Timu ya...

READ MORE

Breaking News: Bodi ya Shirika la Masoko Kariakoo Yavunjwa

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, George Simbachawene amevunja rasmi Bodi ya Shirika...

READ MORE

Tundu Lissu Apelekwa kwa Mkemia Mkuu Kupimwa Mkojo

  Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa Chadema, John Mrema amesema baada ya Tundu Lissu kutolewa Kituo cha...

READ MORE

Siku ya Mashujaa Kufanyika nchini kote kwa huduma za kiafya

JESHI la Ulinzi laWananchi wa Tanzania leo limetoa taarifa kwa vyombo vya habari juu ya maadhimisho ya Siku ya Mashujaa...

READ MORE

Ziggy: Sitaki Kuitwa Msanii Wa Bongo Muvi

STAA wa filamu nchini  aliyewahi kung’aa kwenye filamu kama Wake Up, Kalambati Lobo, Handsome Fake na Maziko Saa 6, Sogurd...

READ MORE

#GlobalNews: Polisi Waondoka Kituoni na Tundu Lissu

Mbunge wa Singida Mashariki ambaye pia ni Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Tundu Lissu aliyekamatwa na polisi jana jioni katika Uwanja...

READ MORE

Serikali Yafafanua Sheria Mpya Kuhusiana na Madini

  Serikali kupitia kwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa James Mdoe, imetangaza marekebisho kadhaa katika...

READ MORE

Hatimaye Millen Magese Apata Mtoto Baada ya Upasuaji Mara 13

  Miss Tanzania mwaka 2001, Happiness Millen Magese ambaye anafanya kazi ya uwanamitindo amebahatika kupata mtoto wake wa kwanza Julai...

READ MORE

JPM: Sitoi Chakula cha Msaada Ng’o, Asiyefanya Kazi Asile, Asiyekula Afe!

Rais John Magufuli amesema serikali yake imedhamiria kumaliza tatizo la usafiri wa barabara nchini. Aidha amesema serikali yake haitatoa chakula...

READ MORE

Polisi Yaua Wawili Kibiti

  Jeshi la Polisi nchini limefanikiwa kuwaua watu wawili wanaosadikiwa kuwa ni miongoni mwa wahalifu wanaoendesha mauaji katika Kanda Maalumu...

READ MORE

SAID WA SCOPION AMGEUZIA KIBAO MKEWE, DNA YATAJWA WATOTO MAPACHA

Ni kuhusu watoto mapacha, mke ampa laana nzito Songombingo la ndoa ya jamaa aliyetobolewa macho na Scorpion, Said Mrisho na...

READ MORE

Tundu Lissu Akamatwa Airport Akijiandaa Kwenda Rwanda

  Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema),  Tundu  Lissu amekamatwa leo, Alhamisi, Julai 20 katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa...

READ MORE