×

Kitaifa

Makongoro Oging’ kuagwa leo Dar

Mwandishi Makongoro Oging enzi za uhai wake. ELVAN STAMBULI, Amani MWILI wa mwandishi mahiri wa habari za uchunguzi, Makongoro Oging...

READ MORE

Airtel Money Yawezesha Kubeti na Kulipa Kwa Airtel Money

    Meneja wa Airtel Money, Asupya Naligingwa (kushoto) akiongea wakati wa kuzindua ushirikiano kati ya kampuni ya Airtel na M-bet...

READ MORE

Mtoto wa Kabwe Agoma Kushikana Mkono na RC Makonda

Anna Kabwe, binti wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam, Wilson Kabwe amegoma kumpa mkondo Paul Makonda, Mkuu...

READ MORE

Waziri Mkuu Akutana na Watanzania Waishio Zambia

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Watanzania waishio Zambia kwenye ubalozi wa Tanzania uliopo Lusaka Mei 24, 2016. Majaliwa alikwenda...

READ MORE

Waarabu wamteka Baby Madaha

Hans Mloli, Dar ess Salaam BAADA ya kuripotiwa kuwa mwanamuziki, Baby Madaha ‘amezama’ kimapenzi kwa mchumba wake aliyekuwa akiishi naye...

READ MORE

Shinda Nyumba Droo Ndogo: Mshindi wa Pikipiki Akabidhiwa

Mshindi wa Pikipiki aina ya Skymark, Evans William akiwa na zawadi yake mara baada ya kukabidhiwa.Mwandishi wa Gazeti la Championi,...

READ MORE

Mwanza: 14 Mbaroni Kwa Mauaji ya Waumini Msikitini

Jeshi la Polisi Nchini linawashikilia watuhumiwa 14 kufuatia tukio la mauaji ya watu watatu lililotokea katika msikiti wa Rahman eneo...

READ MORE

Usidanganyike, ni Kweli Inatolewa

ASUBUHI ya Julai 9, 2003 kijana mwenye umri wa miaka 36, Teddy LeBarge kutoka Snellville, nchini Marekani, hakuamini masikio na...

READ MORE

Umeipata Hii ya Mil 392 Zimejenga Barabara Hewa Dar?

Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Boniface Jacob amebaini matumizi ya Sh 392 milioni zilizoandikwa kwenye taarifa ya manispaa hiyo kuwa...

READ MORE

Shinda Nyumba Droo Ndogo… Washindi Kukabidhiwa Zawadi zao Leo

MARA baada ya kufanyika kwa droo ndogo ya mwisho ya Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba inayoendeshwa na Global Publishers, wiki...

READ MORE

Haya Mabasi ya Mwendo Kasi, Acha tu

Wiki mbili hizi jambo jipya limezuka katika Jiji la Dar es Salaam, jiji ambalo mambo mapya huzuka kila kukicha. Kumekuja...

READ MORE

Mamia Wauaga Mwili wa Kabwe  Dar

       Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Mkurugenzi wa jiji la Dar es Salaam, Wilson Kabwe. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais...

READ MORE

Wakazi wa Mwanza Kupata Huduma za Vodacom Ndani ya Rocky City Mall

   Mgeni rasmi wa uzinduzi wa duka jipya la Vodacom Tanzania, lililopo katika sehemu ya maduka makubwa(Rocky City Mall)jijini Mwanza, Mkuu...

READ MORE

Kariakoo Family Development Foundation Yazinduliwa

Mgeni rasmi katika Uzinduzi wa Kariakoo family Development Foundation Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi polisi mstaafu Jamal Rwambow akiogea machache na...

READ MORE

Tibaijuka Kitanzini Tena, Atuhumiwia Kujimilikisha Shamba Hekari 4,000

Mbunge wa Muleba Kusini, Profesa Anna Tibaijuka na Mkuu wa Wilaya ya Siha, Dk Charles Mlingwa wamelipuliwa bungeni wakidaiwa  kutumia...

READ MORE

Tamko la Madiwani Misungwi: Kitwanga Hakulewa Kama Ilivyopotoshwa

Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Charles Kitwanga. UTANGULIZI Ndugu Waandishi wa habari, Karibuni kwenye mkutano huu mfupi ambao lengo...

READ MORE

JPM Afanya Uteuzi wa Naibu Mwanasheria Mkuu Mchumi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Bw. Gerson J. Mdemu kuwa Naibu Mwanasheria Mkuu...

READ MORE

Wakili Hashim Rungwe Aishauri Serikali Mambo Mazito

Wakili Hashim Spunda. *Azungumzia mbinu ya kupunguza bei ya sukari, asema watu wana njaa! MMOJA wa wagombea Urais na Mwenyekiti...

READ MORE

Kutumbuliwa kwa Kitwanga, Kicheko kwa Wauza Unga!

Na Mwandishi Wetu, UWAZI KUFUATIA kutumbuliwa kwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Charles Kitwanga (pichani) wiki iliyopita, watu wanaojihusisha na...

READ MORE

Swali Lililomponza Kitwanga Bungeni Lapata Majibu

Charles Kitwanga Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Yusufu amejibu upya swali lililomponza bosi wake wa zamani, Charles Kitwanga....

READ MORE

Huu ndiyo ukweli wa Kitwanga Kuhusu Ulabu

Stori:  Mwandishi Wetu, WIKIENDA DAR ES SALAAM: Ajali ya kisiasa! Gumzo kuhusu Rais John Pombe Magufuli ‘JPM’ kumtumbua Waziri wa...

READ MORE

Kuelekea Ramadhan… Nisha Awasaidia Yatima Kigamboni

   Nisha akiwaandaliwa watoto chakula.…Akiwapakulia.…Akiwanawisha mikono.…Akila nao chakula.Watoto wakiwa katika picha ya pamoja. ZIKIWA zimesalia siku chache kabla ya mwezi...

READ MORE

Panya Road Bado ni Tishio Dar!

Kamishna wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, CP Simon Sirro Jiji la Dar viunga vyake bado linaendelea kukumbwa...

READ MORE

Taswira ya Msiba Nyumbani kwa Kabwe

Picha ya marehemu Willison Kebwe enzi za uhai wake. Ndugu, jamaa na marafiki wakiwa kwenye maombolezo msibani hapo. Wanafamilia wakijadiliana....

READ MORE

Meja Jenerali, Mwakibolwa Atunukiwa Nishani ya Ulipuaji Bora wa Mizinga

Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Marekani linaloshughulikia masuala ya kijeshi barani Afrika, Meja Jenerali Darrly Williams, amemtunuku mkuu wa majeshi...

READ MORE

Kidato Cha 6 Waliochaguliwa JKT Maramba-Tanga

N MKOA NAMBA YA SHULE JINA LA SHULE JINSI JINA 1 MOROGORO S0370 IFAKARA SECONDARY SCHOOL F AGAPE C LYIMO...

READ MORE

Kidato Cha 6 Waliochaguliwa JKT Mtabila- Kigoma

N MKOA NAMBA YA SHULE JINA LA SHULE JINSI JINA 1 MBEYA S0913 USONGWE SECONDARY SCHOOL F ADELINA CLAVERY CHENGULA...

READ MORE

Kumbe, Kabwe Afia Alipofia Adam Kuambiana

Marehemu Wilson Kabwe. MKURUGENZI wa zamani wa Jiji la Dar es Salaam, Wilson Kabwe aliyesimamishwa kazi na Rais John Magufuli,...

READ MORE

Majina ya Wanafunzi Kidato Cha 6 Waliochaguliwa JKT Rwamkoma – Mara

1 NYANKUMBU SECONDARY SCHOOL F ABIGAEL G KISAKA 2 MWANZA SECONDARY SCHOOL F ABIGAEL NICOLOUS GELVAS 3 JANGWANI SECONDARY SCHOOL...

READ MORE

Wanafunzi Kidato Cha 6 Waliochaguliwa JKT Mafinga-Iringa

N MKOA NAMBA YA SHULE JINA LA SHULE JINSI JINA 1 MWANZA S0333 MWANZA SECONDARY SCHOOL F AGATHA RAMADHAN 2...

READ MORE

Wanafunzi Kidato Cha 6 Waliochaguliwa JKT Kambi ya Makutopora- Dodoma

N MKOA NAMBA YA SHULE JINA LA SHULE JINSI JINA 1 GEITA S1164 MISSUNGWI SECONDARY SCHOOL F ADMATHA J MWAIPOPO...

READ MORE

Haya Hapa Majina Ya Wanafunzi Kidato Cha 6 Waliochaguliwa JKT Bulombora-Kigoma

1  DAR ES SALAAM S0298 FEZA GIRLS’ SECONDARY SCHOOL F AALIYAH A ABDULRAHMAN 2 MBEYA S4193 HARRISON UWATA SECONDARY SCHOOL...

READ MORE

Kigoma- Ujiji Yaishiwa Sukari, Hata Ile ya 5,000/= Kwa Kilo Haipo

Sehemu ya Uwanja wa Ndege wa Kigoma. Bandari ya Kigoma. Mwalo wa Kibirizi. Manispaa ya Kigoma- UjijiUwanja wa Lake Tanganyika...

READ MORE

Haya Hapa Majina Ya Wanafunzi Kidato Cha 6 Waliochaguliwa JKT Ruvu- Pwani

N MKOA NAMBA YA SHULE JINA LA SHULE JINSI JINA 1 PWANI S0369 RUVU SECONDARY SCHOOL F ADELMACE ANICETH MUSHI...

READ MORE

Haya Hapa Majina Ya Wanafunzi Kidato Cha 6 Waliochaguliwa JKT Mgambo- Tanga

N MKOA NAMBA YA SHULE JINA LA SHULE JINSI JINA 1 KAGERA S4661 KAJUMULO ALEXANDER GIRLS SECONDARY SCHOOL F ADVENTINA...

READ MORE

Majina Ya Wanafunzi Kidato Cha 6 Waliochaguliwa JKT Mlale- Songea

N MKOA NAMBA YA SHULE JINA LA SHULE JINSI JINA 1 MOROGORO S0266 REGINAMUNDI GIRLS’ SECONDARY SCHOOL F AGATHA NICHOLAUS...

READ MORE

Matukio kwa Picha Bungeni Dodoma Leo Mei 21

             Naibu Waziri, Wizara ya Maji na Umwagiliaji, Mhe. Eng. Isack Aloyce Kamwelwe akiwasili katika Viwanja vya Bunge leo 21...

READ MORE

Majina Ya Wanafunzi Kidato Cha 6 Waliochaguliwa JKT Msange -Tabora

1 NANGWA SECONDARY SCHOOL F ADELA PIUS 2 ARUSHA GIRLS SECONDARY SCHOOL F ADELA SABAS 3 AIRWING SECONDARY SCHOOL F...

READ MORE

Melissa Aibuka Mshindi Airtel Trace Music, Azowa Milion 50

       Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), Godfrey Mungereza akimkabidhi mshindi wa kwanza wa Airtel Trace Star,...

READ MORE