×

Kitaifa

CCM Yaipa Tano Serikali Ya Mapinduzi Zanzibar, Wananchi Wa Kikwajuni

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeipongeza Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) na wakazi wa majumba ya Mjerumani Kikwajuni kwa kufikia maridhiano...

READ MORE

SBL Na Wizara Ya Fedha Mambo Safi, Kuimarisha Ukuaji Uchumi Nchini

Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL), imekutana na Naibu Waziri wa Fedha, Eng. Mshamu Ali Munde katika kikao kikubwa kilicholenga...

READ MORE

Naibu Waziri Hamad Afika Kwenye Shamba la Kuku Kisarawe Linalozalisha Kuku Milioni 6

Naibu Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo, Dkt. Salum Soud Hamed, amefanya ziara maalum wilayani Kisarawe akiongozana na Kamati...

READ MORE

Video: Waziri Mkuu Amtumbua Muuguzi Aliyemfanyia Upasuaji Mjamzito Nyumbani

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameagiza kusimamishwa kazi mara moja kwa muuguzi wa Mkoa wa Tabora anayeshutumiwa kumfanyia mgonjwa upasuaji...

READ MORE

Video: Tani 9.93 Za Dawa Za Kulevya Zakamatwa, Watuhumiwa 151 Wanaswa

Mwezi Januari na Februari 2026, Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya ilikamata tani 9.93 za dawa za...

READ MORE

Vikundi Vya Mawasiliano Vya Majeshi ya SADC Vyajengewa Uwezo

Vikundi vya Mawasiliano vya Majeshi ya Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) vimekutana kujenga uwezo na...

READ MORE

Msanii Janka Rino Afariki Dunia Kwa Kifua Kikuu – Video

Aliyekuwa msanii wa Bongo Fleva na mwanzilishi wa kundi la LWP Majitu, pamoja na kuwa sehemu ya kundi la Maingizo...

READ MORE

Video: Polisi Kuhusu Mwenyekiti BAVICHA Kupotea – ”Amekimbia Kesi ya Mauaji”

Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa limetoa ufafanuzi rasmi kufuatia taarifa zilizosambaa kwenye mitandao ya kijamii zikidai kuwa watuhumiwa wanne,...

READ MORE

Kafulila – ”Kardinali Pengo Aliamini Umoja wa Kitaifa Bila Kujali Upepo wa Kisiasa”

Mkurugenzi wa Kituo cha Ubia kati ya Serikali na Sekta Binafsi (PPP Centre), David Kafulila, amesema aliyekuwa Kiongozi wa Kanisa...

READ MORE

Video: Serikali Ya Tanzania Yajibu Meli Iliyokamatwa Na Dawa Za Kulevya El Salvador

Msemaji wa Serikali, Gerson Msigwa, amezungumzia tukio la kukamatwa kwa meli ya FMS Eagle katika nchi ya El Salvador, baada...

READ MORE

Video: Maryam Bint Amran Foundation, Global Publishers Wazigusa Familia Zenye Uhitaji

Mkurugenzi wa Global Publishers na Mbunge wa Jimbo la Buchosa, Eric Shigongo, amekabidhi msaada wa vitu mbalimbali kwa vituo vya...

READ MORE

Video: Magari Yagongana Uso kwa Uso Na Kuwaka Moto, Mmoja Afariki

Mtu mmoja amefariki dunia na watu wawili kujeruhiwa baada ya magari mawili ya kubeba mizigo kugongana uso kwa uso na...

READ MORE

Video: Waziri Mkuu Mwigulu – ”Mtauana Bure Ardhi Haiongezeki”

Leo Februari 26, 2026, Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba ameendelea na ziara yake ya kikazi mkoani Manyara, wilayani Kiteto, ambako amewahutubia...

READ MORE

Video: Ajali Ya Lori La Mafuta Na Mbao Yaua Watu Watatu Morogoro

Watu watatu ambao majina yao bado hayajatambuliwa wamefariki dunia kufuatia ajali mbaya ya barabarani iliyohusisha magari mawili ya mizigo yaliyogongana...

READ MORE

Wizara ya Afya Yatoa Tahadhari Ongezeko la Influenza, UVIKO-19, Dengue na Kipindupindu – Video

WIZARA ya Afya imetoa taarifa kwa umma kuhusu mwenendo wa magonjwa ya mlipuko nchini, ikiwemo mafua makali ya Influenza, UVIKO-19,...

READ MORE

Kamanda Muliro Atoa Onyo Kali Dhidi ya Uhalifu Dar, Ajibu Kuhusu Alipo Mafwele – Video

Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro, amesema Jeshi la Polisi halitavumilia vitendo vya kihalifu ndani ya...

READ MORE

Video: Trafiki Akipigana Na Dereva, Polisi Watoa Ufafanuzi

Dodoma, Tanzania – Jeshi la Polisi nchini limezungumzia picha inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii, ikionyesha tukio la askari wa polisi...

READ MORE

Video: Kishandu Anusurika Kuuawa Arusha, Pikipiki Yachomwa Moto

Ni mtiti! Mtu mmoja ambaye bado hajafahamika jina, amenusurika kuuawa na wananchi wenye hasira kali huku pikipiki yake ikichomwa moto,...

READ MORE

Radi Yaua Watu Watatu Wakivuna Mahindi, Mbeya – Video

Watu watatu wakazi wa Kitongoji cha Goye, Kijiji cha Goye, Kata ya Ndato, Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya, wamefariki dunia...

READ MORE

Rais Samia Aomboleza Kifo cha Kardinali Pengo

  Rais Samia Suluhu Hassan ameomboleza kifo cha Polycarp Kardinali Pengo, Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar...

READ MORE

Video: Majambazi 9 Wakiri Kumuua Bodaboda Tabora, RC Chacha Aeleza

Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paul Chacha, ameeleza kuwa jumla ya watu tisa wanaodaiwa kuwa majambazi wamekamatwa kufuatia oparesheni maalum...

READ MORE

”Serikali Hailazimishi Transformation Simba, Tutaangalia Katiba” – Msajili

Msajili wa Vyama vya Michezo na Vilabu nchini, Abel Ngilangwa, amesema Serikali haitaingilia maamuzi ya ndani ya Simba SC kuhusu...

READ MORE

Serikali Ya Urusi Yakiri Kuwepo Raia Wao Anayetrendi Kenya Kwa Video Chafu

  Serikali ya Urusi imekiri kuwepo kwa ripoti zinazomhusisha mwanamume mmoja raia wa Urusi anayedaiwa kurekodi matukio ya mapenzi ya...

READ MORE

Kesi Ya Mgawanyo Wa Mali Chadema, Mbivu Mbichi Ya Lissu Leo

Kesi ya mgawanyo wa mali iliyofunguliwa na aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Zanzibar Said Issa Mohammed na wenzake wawili...

READ MORE

Mzee Hiza Wa ‘Tanzania Yetu’ Afariki Dunia

Msanii mkongwe wa muziki Tanzania, Mzee Hiza, mtunzi na mwimbaji wa wimbo maarufu wa “Tanzania Yetu”, amefariki dunia. Mzee Hiza...

READ MORE

Polisi Inawasaka Waliomrekodi Mtoto Akivuta Sigara

Jeshi la Polisi limeanza uchunguzi baada ya kusambaa kwa picha mjongeo mtandaoni inayomuonesha mtoto mdogo wa kiume akihamasishwa kuvuta sigara....

READ MORE

Watoto Wawili Wauawa Serengeti, Mtuhumiwa Auwawa na Wananchi

Wakazi wa Kijiji cha Rung’abure, Wilaya ya Serengeti mkoani Mara, wamekumbwa na tukio la kusikitisha la mauaji ya watoto wawili...

READ MORE

Mwanachuo Mwaka wa Kwanza Mbaroni Kwa Kusafirisha Dawa Za Kulevya

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watuhumiwa wanne ambao ni Wilfred Komba, miaka 24, Mwanachuo mwaka wa kwanza katika...

READ MORE

Video: Ndugu Wa Familia Moja Washikiliwa Kwa Tuhuma Za Mauaji Mbeya

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia ndugu wa familia moja wakazi wa Busoka–Masebe kwa tuhuma za kumuua Jenti Segelela...

READ MORE

Rais Samia Awaapisha Viongozi Ikulu, Afafanua Sababu za Kumhamisha Waziri Salum (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Februari 09, 2026, amewaapisha viongozi mbalimbali aliowateua katika...

READ MORE

Video: Polisi Wanawatafuta Wanawake Waliompiga Mwenzao Kwa Mwiko

  Jeshi la Polisi limetangaza kuanza uchunguzi kuhusiana na picha mjongeo (video) inayosambazwa kupitia mitandao ya kijamii, ikiwaonyesha wanawake wawili...

READ MORE

Rais Samia: Maamuzi Yangu Yanalenga Kulinda Maslahi ya Taifa – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Februari 09, 2026, amewaapisha viongozi mbalimbali aliowateua katika...

READ MORE

Video: Rais Samia Ataka Kujengwe Eneo La Kulea Watoto Sokoni Kariakoo

Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ametaka mbali na vyumba vya kunyonyeshea katika Soko la Kariakoo, kujengwe vyumba vya malezi ya...

READ MORE

Video: Rais Samia Awataja Mawinga Akizindua Soko La Kariakoo

Rais Dkt Samia Suluhu Hassan amesema anatambua juhudi za wafanyabiashara wadogo yaani machinga na mawinga katika kujitafutia kipato, ndiyo maana...

READ MORE

Rais Samia Azindua Soko La Kisasa la Kariakoo (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo tarehe 08 Februari, 2026, amezindua rasmi Soko...

READ MORE

Video: Gari Lililoibiwa Lakutwa Kwa Fundi Magari Songwe

Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe limefanikiwa kulikamata gari lililoibiwa aina ya Mitsubishi Outlander pamoja na mtuhumiwa mmoja, ambaye alikutwa...

READ MORE

Farhan Afunguka Mo Dewji Kuchafuliwa, Ishu ya Mangungu Kupigwa – Video

Mwandishi wa habari na mchambuzi mahiri wa masuala ya michezo, Farhan Kihamu, amezungumza na Global TV kufuatia sakata la baadhi...

READ MORE

Tanzania, Uganda kuanza kuuza mafuta Julai mwaka huu kupitia EACOP

Rais Dkt Samia Suluhu Hassan amesema ifikapo Julai mwaka huu, huenda meli ya kwanza ikasafiri kutoka Tanga nchini Tanzania kusafirisha...

READ MORE

Majambazi 3 Wahukumiwa Kifungo Miaka 30, Unyang’anyi Kwa Kutumia Silaha

  Mahakama ya Wilaya ya Kilindi imewahukumu Abdallah Ally Lusewa (31), Salehe Mohamed Lusewa (23) na Salehe Shaban Mngoya (43),...

READ MORE

Zaidi ya Wananchi 3000 Wanufaika na Matibabu Bure Chalinze

Watu zaidi ya 3000 wamepatiwa huduma ya upimaji macho bure pamoja na matibabu katika Hospitali ya Msoga, Chalinze Mkoani Pwani....

READ MORE