×

Kitaifa

Radi Yaua Watu Watatu Wakivuna Mahindi, Mbeya – Video

Watu watatu wakazi wa Kitongoji cha Goye, Kijiji cha Goye, Kata ya Ndato, Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya, wamefariki dunia...

READ MORE

Rais Samia Aomboleza Kifo cha Kardinali Pengo

  Rais Samia Suluhu Hassan ameomboleza kifo cha Polycarp Kardinali Pengo, Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar...

READ MORE

Video: Majambazi 9 Wakiri Kumuua Bodaboda Tabora, RC Chacha Aeleza

Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paul Chacha, ameeleza kuwa jumla ya watu tisa wanaodaiwa kuwa majambazi wamekamatwa kufuatia oparesheni maalum...

READ MORE

”Serikali Hailazimishi Transformation Simba, Tutaangalia Katiba” – Msajili

Msajili wa Vyama vya Michezo na Vilabu nchini, Abel Ngilangwa, amesema Serikali haitaingilia maamuzi ya ndani ya Simba SC kuhusu...

READ MORE

Serikali Ya Urusi Yakiri Kuwepo Raia Wao Anayetrendi Kenya Kwa Video Chafu

  Serikali ya Urusi imekiri kuwepo kwa ripoti zinazomhusisha mwanamume mmoja raia wa Urusi anayedaiwa kurekodi matukio ya mapenzi ya...

READ MORE

Kesi Ya Mgawanyo Wa Mali Chadema, Mbivu Mbichi Ya Lissu Leo

Kesi ya mgawanyo wa mali iliyofunguliwa na aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Zanzibar Said Issa Mohammed na wenzake wawili...

READ MORE

Mzee Hiza Wa ‘Tanzania Yetu’ Afariki Dunia

Msanii mkongwe wa muziki Tanzania, Mzee Hiza, mtunzi na mwimbaji wa wimbo maarufu wa “Tanzania Yetu”, amefariki dunia. Mzee Hiza...

READ MORE

Polisi Inawasaka Waliomrekodi Mtoto Akivuta Sigara

Jeshi la Polisi limeanza uchunguzi baada ya kusambaa kwa picha mjongeo mtandaoni inayomuonesha mtoto mdogo wa kiume akihamasishwa kuvuta sigara....

READ MORE

Watoto Wawili Wauawa Serengeti, Mtuhumiwa Auwawa na Wananchi

Wakazi wa Kijiji cha Rung’abure, Wilaya ya Serengeti mkoani Mara, wamekumbwa na tukio la kusikitisha la mauaji ya watoto wawili...

READ MORE

Mwanachuo Mwaka wa Kwanza Mbaroni Kwa Kusafirisha Dawa Za Kulevya

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watuhumiwa wanne ambao ni Wilfred Komba, miaka 24, Mwanachuo mwaka wa kwanza katika...

READ MORE

Video: Ndugu Wa Familia Moja Washikiliwa Kwa Tuhuma Za Mauaji Mbeya

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia ndugu wa familia moja wakazi wa Busoka–Masebe kwa tuhuma za kumuua Jenti Segelela...

READ MORE

Rais Samia Awaapisha Viongozi Ikulu, Afafanua Sababu za Kumhamisha Waziri Salum (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Februari 09, 2026, amewaapisha viongozi mbalimbali aliowateua katika...

READ MORE

Video: Polisi Wanawatafuta Wanawake Waliompiga Mwenzao Kwa Mwiko

  Jeshi la Polisi limetangaza kuanza uchunguzi kuhusiana na picha mjongeo (video) inayosambazwa kupitia mitandao ya kijamii, ikiwaonyesha wanawake wawili...

READ MORE

Rais Samia: Maamuzi Yangu Yanalenga Kulinda Maslahi ya Taifa – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Februari 09, 2026, amewaapisha viongozi mbalimbali aliowateua katika...

READ MORE

Video: Rais Samia Ataka Kujengwe Eneo La Kulea Watoto Sokoni Kariakoo

Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ametaka mbali na vyumba vya kunyonyeshea katika Soko la Kariakoo, kujengwe vyumba vya malezi ya...

READ MORE

Video: Rais Samia Awataja Mawinga Akizindua Soko La Kariakoo

Rais Dkt Samia Suluhu Hassan amesema anatambua juhudi za wafanyabiashara wadogo yaani machinga na mawinga katika kujitafutia kipato, ndiyo maana...

READ MORE

Rais Samia Azindua Soko La Kisasa la Kariakoo (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo tarehe 08 Februari, 2026, amezindua rasmi Soko...

READ MORE

Video: Gari Lililoibiwa Lakutwa Kwa Fundi Magari Songwe

Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe limefanikiwa kulikamata gari lililoibiwa aina ya Mitsubishi Outlander pamoja na mtuhumiwa mmoja, ambaye alikutwa...

READ MORE

Farhan Afunguka Mo Dewji Kuchafuliwa, Ishu ya Mangungu Kupigwa – Video

Mwandishi wa habari na mchambuzi mahiri wa masuala ya michezo, Farhan Kihamu, amezungumza na Global TV kufuatia sakata la baadhi...

READ MORE

Tanzania, Uganda kuanza kuuza mafuta Julai mwaka huu kupitia EACOP

Rais Dkt Samia Suluhu Hassan amesema ifikapo Julai mwaka huu, huenda meli ya kwanza ikasafiri kutoka Tanga nchini Tanzania kusafirisha...

READ MORE

Majambazi 3 Wahukumiwa Kifungo Miaka 30, Unyang’anyi Kwa Kutumia Silaha

  Mahakama ya Wilaya ya Kilindi imewahukumu Abdallah Ally Lusewa (31), Salehe Mohamed Lusewa (23) na Salehe Shaban Mngoya (43),...

READ MORE

Zaidi ya Wananchi 3000 Wanufaika na Matibabu Bure Chalinze

Watu zaidi ya 3000 wamepatiwa huduma ya upimaji macho bure pamoja na matibabu katika Hospitali ya Msoga, Chalinze Mkoani Pwani....

READ MORE

Video: Makaburi Yanafukuliwa, Nyumba Zinajengwa, Wananchi Walia

Ni kutoka Kimani mtaa wa Kinyamwezi kata ya Pugu ambapo kuna mgogoro kati ya wananchi pamoja na wananchi ambao wanadai...

READ MORE

Museveni – ”Nchi Kubwa Zinaweza Kutaka Kutushinikiza, Tusirudie Makosa”

Rais wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni, leo Februari 07, 2026 amewasili nchini Tanzania kwa ziara ya siku moja, ikiwa ni...

READ MORE

Video: Basi la Maning Nice Lagonga Lori Lindi, Laua Wawili

Watu wawili wamefariki dunia na wengine 12 kujeruhiwa katika ajali ya basi la Kampuni ya Maning Nice lililokuwa likitokea Dar...

READ MORE

”Tuone Utu, Tukimung’unya Maneno CCM Itaondoka” – Nape – Video

Mbunge wa Mtama kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye, amechangia mjadala katika Bunge la Kumi na Tatu, Mkutano wa...

READ MORE

Taska Mbogo Aibua Hoja Nzito za Kilimo na Utalii Bungeni – Video

Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Katavi kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Taska Restituta Mbogo, amechangia mjadala katika Bunge la...

READ MORE

Mtoto Darasa la 4 Afariki kwa Kuzama Mtoni Iringa – Video

Hali ya huzuni na simanzi imetanda miongoni mwa wakazi wa Mtaa wa Kitwiru, Manispaa ya Iringa, kufuatia kifo cha mtoto...

READ MORE

Wanawake 3 Waliokutwa na Bangi Wahukumiwa Miaka 30 Jela – Video

Mahakama ya Wilaya ya Magu mkoani Mwanza, mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Mhe. Kimaro, imewahukumu kifungo cha miaka 30 jela...

READ MORE

Mzee Tifutifu Anayedai Kuwatupia Majini Simba Afunguka – Video

Mzee Athuman Mshomari almaarufu Mzee Tifutifu, ambaye anadai kuwa ni mganga wa kienyeji, amedai kuwa yeye ndiye chanzo cha matokeo...

READ MORE

Taarifa ya Polisi Kuhusu Kundi la Uasi Mwanza – Video

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limetoa wito kwa wananchi kuzipuuza taarifa zinazosambazwa kupitia mitandao ya kijamii zenye kichwa cha...

READ MORE

Rais Samia Akizungumza Jambo na Makamu Rais wa UAE

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Makamu wa Rais wa...

READ MORE

Rais Samia Atangaza Fursa za Uwekezaji Tanzania Mbele ya Viongozi wa Dunia

Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ametoa hakikisho la miundombinu bora ya uwekezaji nchini kwa wawekezaji duniani, akisema Tanzania imewekeza vema...

READ MORE

”Prof Mkumbo na Mimi Tulifukuzwa CHADEMA” – Baba Levo – Video

Msikilize Mbunge wa Kigoma Mjini, Clayton Chipando almaarufu Baba Levo alivyowavunja mbavu wabunge wakati akisimulia jinsi yeye na Waziri Kitila...

READ MORE

Watanzania Watakiwa Kushiriki Kudhibiti Silaha – Video

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Camillus Wambura amewataka watanzania wote kushiriki katika jukumu la udhibiti na usimamizi wa...

READ MORE

Rais Samia Aanza Ziara ya Kikazi Dubai, Afanya Mazungumzo na Viongozi

Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jumanne, Februari 3 ameanza ziara ya kikazi Nchini Dubai,...

READ MORE

Rais Samia Awasili Dubai, Azungumza na Waziri wa Sheria – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Al...

READ MORE

Bima ya Afya Kwa Wote Imelenga Makundi Maalum ya Kimkakati

Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa, amesema mpango wa Bima ya Afya kwa Wote umejikita kuyafikia makundi maalum ya kimkakati ikiwemo...

READ MORE

Mwanzilishi wa CHADEMA na GAVANA wa Kwanza BOT Afariki Dunia

Gavana wa kwanza wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) na mwasisi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edwin Mtei...

READ MORE

Global Publishers Tunawatakia Watanzania Krismasi Njema

Mkurugenzi Mtendaji, Uongozi na Wafanyakazi wa Global Publishers Ltd wanawatakia Watanzania kwa ujumla Krismasi Njema yenye upendo na Amani.

READ MORE