×

Kitaifa

Upendo Unaogusa Maisha, Meridianbet Yaendelea Kuigusa Jamii Buguruni

Kuna nyakati ambapo msaada mdogo unaweza kubadilisha kabisa siku ya mtu na hata kurejesha matumaini yaliyokuwa yamepotea. Hilo ndilo lililoshuhudiwa...

READ MORE

Waziri Katambi Apiga Marufuku Mikutano ya Vyama vya Siasa, Tishio la Maandamano

Dodoma – Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, ametangaza marufuku ya mikutano yote ya vyama vya siasa...

READ MORE

Iran Yashutumiwa Kushambulia Meli Mlango wa Hormuz Baada ya Kutoa Onyo

Iran yashutumiwa kufanya shambulio dhidi ya meli ya mizigo iliyokuwa ikipeperusha bendera ya Singapore katika Mlango wa Hormuz, saa chache...

READ MORE

Video: Yumna Mmanga Ahoji Hatma ya Michezo kwa Watu Wenye Ulemavu Bungeni

Yumna Mmanga Omar, Mbunge wa Viti Maalum anayewakilisha makundi ya Watu wenye Ulemavu kutoka Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM),...

READ MORE

JWTZ Kukamilisha Hospitali Yenye Hadhi ya Taifa

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) liko katika hatua za mwisho za kukamilisha ujenzi wa hospitali yenye hadhi...

READ MORE

Mkuu wa Wilaya ya Nyasa Afungua Mkutano wa Ujirani Mwema kati ya Tanzania na Msumbiji

Mkuu wa Wilaya ya Nyasa, Mhe. Peres Magiri, kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, leo Juni 23, 2026...

READ MORE

Video: Jiko la Mkaa Laua Mtoto wa Mwaka Mmoja Manyara, Mama Asimulia

Na Hosea – Manyara Mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi minane amefariki dunia huku watu wengine wawili wakinusurika...

READ MORE

Video: Rahma Azungumzia Mateso ya Oman, Masoud Atolea Ufafanuzi

Mtanzania Rahma Warioba amefunguka kuhusu changamoto na mateso aliyodai kuyapitia nchini Oman, ambako bado anafanya kazi za ndani. Rahma ameeleza...

READ MORE

Video: Maelfu ya Wananchi Wafurika Kuuaga Mwili wa Kamanda Richard Abwao

Mwili wa aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Richard George Abwao, umewasili katika...

READ MORE

Serikali Yachukua Ushauri wa Aziza Sleyum, Miradi 6 Mikubwa ya Barabara Kutekelezwa kwa PPP

Ikiwa ni siku chache tu tangu Mbunge wa Viti Maalum kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Aziza Sleyum Ally, achangie mjadala...

READ MORE

Trump na Rais wa Iran Wasaini Makubaliano ya Kusitisha Mvutano

Rais wa Marekani Donald Trump na Rais wa Iran Masoud Pezeshkian wamesaini Hati ya Makubaliano ya Maelewano (MOU) inayolenga kupunguza...

READ MORE

Mbunge Shadya Akemea Mijadala ya Muungano Inayoweza Kuligawa Taifa

Mbunge wa Viti Maalum Kaskazini Unguja kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Shadya Haji Omar, leo Juni 17, 2026, amechangia mjadala...

READ MORE

TAKUKURU Yawafikisha Mahakamani Watumishi 9 Geita Tuhuma za Ubadhirifu Milioni 90

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Geita imewafikisha mahakamani watumishi tisa wa umma kwa tuhuma za...

READ MORE

Mtoto Aliyetekwa kwa Siku 13 Apatikana Katikati ya Hifadhi ya Kitula

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limefanikiwa kumpata mtoto Razaki Damas Mwakatundu (5), mwanafunzi wa chekechea katika Shule ya Mwakikome...

READ MORE

Video: Mume Aliyetuhumiwa Kumuua Mkewe Goba Aachiwa Huru na Mahakama

Mahakama Kuu, Masijala Ndogo Kanda ya Dar es Salaam, imewaachia huru watuhumiwa watatu waliokuwa wakikabiliwa na shtaka la mauaji ya...

READ MORE

Video: Serikali Kusamehe Kodi Mwaka Mzima kwa Wafanyabiashara Wapya

Serikali imesema katika mwaka wa fedha 2026/25 imepanga kutoa msamaha wa kodi ya mapato kwa wafanyabiashara wapya kwa kipindi cha...

READ MORE

Tanzania Yarudi Kwenye Jukwaa Kubwa Zaidi la Sanaa Duniani na Kuvuta Hisia za Watazamaji wa Kimataifa

Wasanii wanne wa Tanzania ambao ni Turakella Editha Gyindo, Amani Abeid, Lazaro Samuel na Valerie Asiimwe Amani, wameipeperusha vyema bendera...

READ MORE

Mama Mzazi wa Hayati Magufuli Afariki Dunia

Mama Mzazi wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati John Pombe Magufuli, Suzana...

READ MORE

Chalamila – ”Viwango ni Msingi wa Afya, Biashara na Uchumi Imara”

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema uzingatiaji wa viwango katika uzalishaji wa bidhaa na huduma ni...

READ MORE

ACT Wazalendo na CHADEMA Wakutana, Wasisitiza Mshikamano wa Kisiasa

Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Ndugu Dorothy Semu, amekutana na kufanya mazungumzo na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Ndugu John...

READ MORE

Video: Saba Wakamatwa kwa Tuhuma za Mauaji ya ‘Mungu Kuniyaa’ Mbarali

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watuhumiwa saba kwa tuhuma za kumuua Mungu Kuniyaa Mamboleo (38), mkazi wa Ihanga...

READ MORE

Jaji Chande: Wanasiasa, Wanaharakati Walichochea Ghasia Oktoba 29 – Video

Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu Amani Oktoba, 2025 imesema baadhi ya wanasiasa na wanaharakati walitumia changamoto za wananchi...

READ MORE

Video ya CCTV Ikimuonesha Bodaboda Aliyeiba Mtoto Mwanza, Apatikana Akiwa Hai

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limefanikiwa kumpata mtoto wa kike mwenye umri wa miaka mitatu na miezi kumi aliyeripotiwa...

READ MORE

Spika Zungu Amuonya Mbunge Ado Shaibu

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mussa Zungu amemuonya Mbunge wa Tunduru Kaskazini Ado Shaibu Ado kwa...

READ MORE

Rangi Gallery Yaitangaza Tanzania Kimataifa Kupitia Sanaa

Jumba la sanaa la Rangi Gallery limeweka historia kwa kuwa la kwanza kutoka Tanzania kushiriki katika maonesho ya kimataifa ya...

READ MORE

Polisi Yamkaribisha Kamishna Mkama kwa Ushindi

Kikosi cha Polisi Tanzania kimeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Transit Camp ya Dar es Salaam katika mchezo...

READ MORE

Waziri Mkuu Mwigulu Akagua Maendeleo Ujenzi wa Uwanja wa Mpira wa Miguu, Arusha

Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba leo Aprili 17, 2026 amekagua maendeleo ya ujenzi wa uwanja wa mpira wa miguu unaojengwa mkoani...

READ MORE

SBL Yazindua Serengeti Apple, Kinywaji cha Kwanza Chenye Ladha na Hadhi ya Kipekee Kilichotengenezwa Tanzania

Kampuni ya Serengeti Breweries Limited (SBL) imezindua kinywaji kipya cha Serengeti Premium Apple, kikitajwa kuwa bidhaa ya kwanza ya aina...

READ MORE

Waziri Mkuu Mwigulu Afungua Kongamano la Biashara na Uwekezaji Ziwa Tanganyika

  WAZIRI MKUU Mwigulu Nchemba leo Aprili 16, 2026 amefungua Kongamano la Biashara na Uwekezaji la Ziwa Tanganyika (The Lake...

READ MORE

Waziri Homera Akabidhi Magari Mawili TANESCO Kuboresha Huduma ya Umeme

Mbunge wa Jimbo la Namtumbo, Dk. Juma Zuberi Homera, Aprili 11, 2026, amekabidhi rasmi magari mawili kwa ofisi ya TANESCO...

READ MORE

LATRA Yafafanua Vigezo Vinavyozingatiwa Katika Upangaji wa Nauli Nchini

Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imesema kuwa upangaji wa nauli hauzingatii bei ya mafuta pekee, bali huzingatia vigezo mbalimbali...

READ MORE

TBL Yataka Hatua za Pamoja Kudhibiti Pombe Haramu

Kampuni ya Tanzania Breweries Limited (TBL) imetoa wito kwa Serikali, sekta binafsi na jamii kushirikiana kikamilifu kukabiliana na tatizo la...

READ MORE

Qualcomm Make in Africa 2026 Yatangaza Kampuni Changa 10 Zilizochaguliwa

Kampuni ya Qualcomm Incorporated imetangaza rasmi kampuni changa 10 zilizochaguliwa kushiriki katika toleo la nne la Mpango wa Ushauri wa...

READ MORE

Tunawatakia Pasaka Yenye Tabasamu na Baraka Wasomaji Wetu

Uongozi na wafanyakazi wa Kampuni ya Global Publishers Ltd wanawatakia wasomaji wetu wote heri njema ya Sikukuu ya Pasaka. Tunaushukuru...

READ MORE

Video: Watu 9 Wanusurika Kifo Baada ya Lori la Mafuta Kulipuka Morogoro

Watu tisa, wakiwemo askari watatu—wawili wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji na mmoja wa Jeshi la Polisi—wamenusurika kifo kufuatia mlipuko...

READ MORE

Video: Polisi Ruvuma Wawakamata Watuhumiwa wa Mauaji ya Dereva Bodaboda

Jeshi la Polisi Mkoa wa Ruvuma linawashikilia watuhumiwa wawili, Saidi Ramadhani (28), mkazi wa Mshangano–Namanyigu, na Gamaliel Mundo (36), mkazi...

READ MORE

Video: Mbunge John Nchimbi Ajilipua Sakata la Mafuta, Watumishi Wanaotumia Magari Binafsi

Mbunge wa Jimbo la Nyasa, John Nchimbi, amechangia katika Kikao cha Tatu cha Mkutano wa Tatu wa Bunge la 13,...

READ MORE

Video: Hoja Nzito za Eric Shigongo Bungeni, Kuhusu CAG, Uchumi

Mbunge wa Jimbo la Buchosa kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Eric Shigongo, amechangia mjadala Bungeni mjini Dodoma leo Aprili 2,...

READ MORE

Video: Mbunge Sanga Ahoji Kuhusu Ujenzi wa ‘Arena’

Mbunge wa Jimbo la Makete kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Festo Sanga, ameuliza swali la nyongeza Bungeni akilenga Wizara ya...

READ MORE

Video: Mbunge Bahati Ndingo Aibananisha Serikali Sekta ya Elimu

Mbunge wa Jimbo la Mbarali, Bahati Ndingo, amepata nafasi ya kumuuliza swali Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,...

READ MORE