×

Kitaifa

Familia Iliyotembea Uchi wa Mnyama ‘Tunatii Mizimu’

Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Bakari Msulwa amelazimika kuitembelea familia ya Seleman Mpange, mkazi wa Kijiji cha Lukulunge Kata ya...

READ MORE

Majaliwa: Serikali Itakamilisha Mradi wa Umeme wa Maji Mto Rufiji

  WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amewahakikishia Watanzania kwamba Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan...

READ MORE

Prof. Assad Adai Asilimia 60 ya Viongozi Serikalini Hawana Uwezo

Aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali,  Profesa Mussa Assad amesema kuna haja ya kuanza na safu mpya ...

READ MORE

Ripoti ya CAG Yaondoka na Bosi wa Utalii

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Damas Ndumbaro leo amemsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Devotha...

READ MORE

Tarimba Aishauri Serikali Kuwatumia Wawekezaji wa Ndani

Serikali imeshauriwa kuunda timu ya wataalamu na wafanyabiashara mashuhuri akiwemo Mohammed Dewji (Mo), ili kushauri na kutengeneza mazingira yatakayowafanya wawekezaji...

READ MORE

TANZIA: Mama Mzazi wa IGP Sirro Afariki Dunia

  Mama mzazi wa IGP Simon Sirro, Monica Nyabyamari amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Taifa Muhimbili...

READ MORE

Prof. Assad: Baraza la Mawaziri Lisiwe na Siri – Video

  Aliyekuwa Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Prof. Musa Assad amesema ubadhirifu unaotokea kwenye baadhi ya wizara huwa hauna...

READ MORE

Mzungu na Mkewe Watupwa Jela Miaka 30 kwa Kulima Bangi

Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi imewahukumu kifungo cha miaka 30 gerezani washtakiwa Damian Krzysztof raia wa Poland na mke wake...

READ MORE

TCRA Yaanza Kupokea Maombi Leseni za Maudhui Mitandaoni

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetoa taarifa kwa umma kuwa kuanzia jana Aprili 9,2021 imeanza kupokea maombi mapya ya Leseni...

READ MORE

ECLA Kutoa Mafunzo ya Kuandaa Mahesabu kwa Mfumo wa IPSAS

  TAASISI ya ECLA Africa Consult yenye makao makuu yake Jijini Dar es Salaam, inayojihusisha na masuala ya ukaguzi, ushauri...

READ MORE

Ummy Afanya Maamuzi Mazito Baada ya Ripoti ya CAG

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Ummy Mwalimu, ameagiza Wakuu wa Mikoa...

READ MORE

Carinhos Kuikosa KMC, Ntibazonkiza Ndani

  Kaimu kocha mkuu wa klabu ya Yanga, Juma Mwambusi amethibitisha kuwa watawakosa nyota wanne kuelekea mchezo wa ligi kuu...

READ MORE

Kimei: Serikali Ikakope Nje

Mbunge wa Vunjo, Dk Charles Kimei amesema deni la taifa ni himilivu na thamani ya shilingi ni nzuri na Serikali...

READ MORE

Polepole ataka wakulima waunganishwe na Tehama

Mbunge wa kuteuliwa na rais Humphrey Polepole amesema ili kukuza masoko kwa wakulima inabidi yafanyike mageuzi makubwa ya Teknolojia ya...

READ MORE

Dkt. Kigwangalla Asema Atashitaki

  Baada ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere kubainisha matumizi mabaya ya fedha za...

READ MORE

CAG: ATCL Haina Ndege

ACHANA na hasara ya Sh 60 bilioni iliyopata Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za...

READ MORE

Mbunge Akerwa Watanzania Kuitwa Wanyonge

Mbunge wa viti maalum Mh. Conchesta Rwamlaza amesema Watanzania sio wanyonge bali wanauwezo wakipangiwa mipango mizuri na kuelekezwa watasaidia kuleta...

READ MORE

Serikali Kuajiri Walimu 6,000

Serikali ya Tanzania imesema itaajiri walimu wapya 6,000 wa Shule za Msingi na Sekondari ifikapo Juni 2021 ili kujaza nafasi...

READ MORE

Profesa Muhongo: Umeme wa Maji ni Kujidanganya

Mbunge wa Musoma Vijijini Profesa Sospeter Muhongo amesema uchumi wa gesi pekee ndiyo utakaoifikisha Tanzania kwenye uchumi thabiti.    ...

READ MORE

Ndugai: Mradi Bandari ya Bagamoyo Uendelee – Video

  SPIKA wa Bunge, Job Ndugai ameishauri serikali kuliangalia suala la mradi wa bandari ya Bagamoyo kama ni jambo jema...

READ MORE

Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Waibuka Kidedea Katika Mashindano Ya Masoko ya Mitaji

SHINDANO maalumu la ‘The Capital Markets, Universities and Higher Learning Institutions Challenge’ kwa wanafunzi wa vyuo vikuu na Taasisi za...

READ MORE

Clouds Yafafanua Malipo ya Mil 629 Zilizotajwa na CAG

Meneja wa fedha wa kampuni ya Clouds Media Group, Issa Masoud amesema walitoa vielelezo vyote ikiwa ni pamoja na stakabadhi...

READ MORE

Dkt. Kikwete Kuongoza Harambee ya Kukusanya Futari Kwa Ajili ya Yatima

Taasisi isyo ya kiserikali ya VOLUNTEERS IN DEVELOPMENT imeandaa harambee ya kuchangisha futari kwa ajili ya YATIMA waishio majumbani kwao...

READ MORE

CAG Abaini Hasara ya Bil 150 ATCL

Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) imeeleza kuwa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) limepata hasara ya...

READ MORE

CAG Atilia Shaka Malipo ya Sh Mil 830.7 Clouds & TBC

Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) imeeleza kuwa kituo cha televisheni cha Clouds kililipwa Sh 629.7milioni...

READ MORE

Mil 311.9 Kutengeneza Barabara ya Hifadhi ya Taifa Ibanda

Dodoma. Serikali imetenga shilingi milioni 311.9 zitakazotumika kuchonga Barabara yenye urefu wa kilometa 20 katika hifadhi ya Taifa Rumanyika karagwe na...

READ MORE

Spika Ndugai: Waziri Mwambe Ana Majibu ya Hovyo, ni Jeuri

  Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema amepokea malalamiko kutoka kwa wabunge kuhusu majibu aliyoyaita ya kifedhuli yanayotolewa na Waziri...

READ MORE

Mradi wa Umeme Stigler’s Unatumia Upembuzi wa Mwaka 1970

  Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limeshindwa kuhuisha vipengele vyote vya upembuzi yakinifu uliofanyika awali katika ujenzi wa mradi wa...

READ MORE

CAG: Kigwangalla Kill Challenge Mil 172 Hazikuwa Kwenye Bajeti

  Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali imeonyesha Waziri ya Maliasili na Utalii aliziagiza Hifadhi za...

READ MORE

CAG: Stendi ya Magufuli Itasababisha Foleni Morogoro Road

  Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) imesema ujenzi wa kituo cha mabasi cha Magufuli kilichopo...

READ MORE

CAG: Akaunti ya Jeshi la Zimamoto Imepitisha Mili 261 Batili

Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) imebaini kuwa akaunti ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji ilitumika...

READ MORE

CAG: Wafanyakazi 1,538 SGR Hawana Vibali

  Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) ya miradi ya maendeleo inaeleza kuwa wafanyakazi wa kigeni...

READ MORE

Ndugai: Wabunge Muishauri Serikali, Inunue Ndege, Isitishe

Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amewataka wabunge kuchangia Mpango wa Taifa wa Maendeleo kwa kuishauri Serikali kama iendelee...

READ MORE

CAG: Wizara ya Maliasili Iliilipa Wasafi Mil 140 Bila Mkataba

Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) imeeleza kuwa Sh140 milioni ambazo Wizara ya Maliasili na Utalii...

READ MORE

Mtoto Amuua Mwenzake Kwa Risasi

Mtoto mmoja mwenye umri wa miaka 17, mkazi wa Viwege, Pugu jijini Dar es Salaam, anashikiliwa na jeshi la polisi...

READ MORE

Ripoti ya CAG Yatua Bungeni

Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) imewasili bungeni jijini Dodoma leo na Spika wa Bunge, Job...

READ MORE

Waziri Ndumbaro Atembelea Kitalu cha Uwindaji cha Lake Natron East

Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Damas Ndumbaro ametembelea Kitalu cha Uwindaji wa Kitalii cha Lake Natron East kilichopo Wilayani...

READ MORE

IGP Sirro Aagiza Operesheni Dawa za Kulevya

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro amewaagiza Makamanda wa Polisi wa mikoa ya Mtwara, Lindi, Dar es...

READ MORE

Majaliwa: Asanteni Watanzania kwa Uzalendo na Mshikamano

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amewashukuru Watanzania wote kwa kuonesha mshikamano na uzalendo wa hali ya juu wakati wa kutangazwa na...

READ MORE

NMB Yashiriki Kukamilisha Ndoto za Wanafunzi Kanda ya Kaskazini

Wanafunzi katika Shule za Sekondari imani yao kubwa katika kufaulu na kuhudhuria madarasa kwa furaha ni namna ambavyo Mwalimu anatoa...

READ MORE