×

Risasi

Davina: Filamu Imebuma, Najiongeza

  Na Gladness Mallya MSANII wa filamu za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ ameweka wazi kuwa baada ya sanaa hiyo kuonekana...

READ MORE

OFM kazini…wanaswa wakivunja amri ya sita saluni!

Wawili hao walivyokutwa wakifanya tendo hilo la aibu. Chande Abdallah na Issa Mnally DUNIANI kuna mambo! Wakati saluni za masaji (massage...

READ MORE

Taharuki Mlimani City, mwarabu adakwa akipiga picha maeneo muhimu

Njemba huyo akionekana kurandaranda kwenye Maduka ya Mlimani City. Boniphace Ngumije na Brighton Masalu Taharuki! Katika hali ya kushtua, njemba...

READ MORE

Mbasha aangusha pati

Emmanuel Mbasha akiwaongoza waimbaji wengine wakitumbuza kwenye sherehe hiyo. Musa Mateja ASANTE Mungu! Mume wa muimba Injili, Flora Mbasha, Emmanuel Mbasha...

READ MORE

Wastara ampa ampa kichapo bondi

Staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma Brighton Masalu KAZI ipo! Staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma anadaiwa kumpa...

READ MORE

Simulizi ya Al-shabaab: Washambulia Bunge la Somalia

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Mpenzi mfuatiliaji wangu, wiki iliyopita tuliona jinsi ambavyo mapambano kati ya Al-Shabaab na majeshi ya Serikali ya...

READ MORE

Snura ahama uswazi, afanya dua!

Nyota wa muziki wa kizazi kipya, Snura Mushi. Hamida Hassan na Gladness Mallya NYOTA wa muziki wa kizazi kipya, Snura...

READ MORE

JB alishwa sumu

Na Sifael Paul Habari mbaya iliyolifikia gazeti hili imeeleza kwamba, staa wa sinema za Kibongo, Jacob Stephen ‘JB’ amenusurika kifo...

READ MORE

Gwajima, Flora kumlipa mamilioni Mbasha!

Mwimbaji nyota wa muziki wa Injili Bongo, Flora Mbasha. Stori: Mayasa Mariwata MCHUNGAJI Kongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima,...

READ MORE

Sajenti aumbuka

Gladness Mallya na Hamida Hassan KABANG! Baada ya kukataa kwa kipindi kirefu kuwa hajazaa, msanii asiyekuwa na bahati ya kutoka...

READ MORE

Wema, Aunt wakwepana Ikulu

Wema Sepetu Na Richard Bukos MAHASIMU wawili katika anga la mastaa, Wema Sepetu na Aunt Ezekiel wiki iliyopita walikwepana na...

READ MORE

Lungi: Skendo ya kuwauza mastaa iliniumiza!

HII ni safu mpya itakayokuwa ikiwafuata mastaa popote walipo na kufanya nao mahojiano mafupi juu ya mishemishe zao za hapa...

READ MORE

Flora, mwanaye ndani ya filamu!

Flora Mvungi ‘H.Mama’ Gladness Mallya STAA wa filamu na muziki, Flora Mvungi ‘H.Mama’ amecheza filamu moja na mtoto wake aitwaye...

READ MORE

Aunty Lulu: Wastara kubali yaishe

Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ Gladness Mallya BAADA ya hivi karibuni wasanii wa filamu waliokuwa wapenzi, Wastara Juma na Bond Suleiman...

READ MORE

Kampeni zamkosesha mtoto Baba Haji

Mayasa Mariwata MSANII wa filamu Bongo, Haji Adamu ‘Baba Haji’ amesema kampeni za siasa zilizokuwa zikifanyika kuelekea uchaguzi mkuu uliopita, zimemkosesha...

READ MORE

Riyama kuwasaka wanaomtumia

Mayasa Mariwata MSANII wa filamu Bongo Riyama Ally amesema baadhi ya wasanii wanaomhitaji na kucheza nao filamu, huuza baadhi ya vipande...

READ MORE

Ndoto za kufanikiwa zinaenda sawa na matendo yako?

Wafuatiliaji wa safu hii watakuwa wanakumbuka baadhi ya makala zangu za nyuma ambazo nilizungumzia hatua za kupitia kueleka kwenye mafanikio....

READ MORE

Mimi na Mungu Wangu; mtihani mgumu wenye mafunzo lukuki!

SITAKI kuwa na maneno mengi juu ya kazi hii. Miongoni mwa kazi ambazo kamwe haziwezi kufutika akilini mwangu ni pamoja...

READ MORE

Yaliyomo kwenye Gazeti la Risasi Jumatano

Kisa kumchafulia jina mjini… Gwajima, Flora kumlipa mamilioni Mbasha! -Mwanasheria afunguka, aeleza mlolongo mzima -Ishu imewakalia vibaya JB alishwa sumu!...

READ MORE

Mrembo asakwa na RB 20

Mrembo Brigita Vitalis. Imelda Mtema AIBU! Kisa utapeli, mrembo Brigita Vitalis, mkazi wa Mtoni Kijichi anasakwa na polisi kwa RB...

READ MORE

Diamond amlipua Wema

Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz. Musa mateja BAADA ya muigizaji nyota Wema Sepetu ‘kumtusi’ mpenziwe wa zamani, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’,...

READ MORE

Lulu awacharukia wanaohoji gharama za urembo wake

Imelda Mtema STAA asiyekaukiwa matukio Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amewacharukia watu wanaohoji kwa nini anapendeza angali mwanafunzi kwa kuwaambia,...

READ MORE

Wastara kukatwa mguu tena!

Wastara Juma akiwa na magongoImelda mtema MASKINI wa Mungu! Baada ya kupata faraja kwa miaka kadhaa kwa kuwekewa mguu wa...

READ MORE

Magufuli na siri ya Alhamisi

Gladness Mallya SIRI nzito! Imebainika kuwa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli ana siri nzito...

READ MORE

Mbasha apotezea talaka kisa Magufuli

Mwimbaji wa nyimbo za Injili na mfanyabiashara maarufu Bongo, Emmanuel Mbasha Gladness Mallya MWIMBAJI wa nyimbo za Injili na mfanyabiashara...

READ MORE

Amanda apungua kilo 11 mwilini

Mwandishi wetu MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Tamrina Poshi ‘Amanda’ amejikondesha makusudi na kufanikiwa kupunguza kilo 11 mwilini. Akizungumza na...

READ MORE

Al-Shabaab washambulia kambi ya wakimbizi

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Wiki iliyopita nilieleza namna ambavyo Serikali ya Somalia ilivyozituhumu Eritrea na Ethiopia kwa kuwasaidia silaha za kivita...

READ MORE

Dyna Nyange: Tunaumizwa wasanii wa kike tunapodhalilishwa

7MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Dyna Nyange hivi karibuni ametoa dukuduku lake la moyoni kuwa anaumizwa na unyanyasaji wa...

READ MORE

Davina ataja sababu kuanika upaja!

Gladness Mallya MWIGIZAJI ambaye inaaminika kwa muda mrefu hajawahi kuvaa nguo yenye mpasuo kiasi cha mapaja yake kuonekana, Halima Yahya...

READ MORE

Ray, Steve Nyerere pesa inaongea

NA MUSA MATEJA MASTAA wenye majina makubwa katika sinema za Kibongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ na rafiki yake Steven Mengere ‘Steve...

READ MORE

OFM yanasa wagonjwa wakiosha vyombo kwenye masinki ya vyoo

Mayasa Mariwata na Haruni Sanchawa HII kali! Hili ndilo neno linaloweza kusemwa baada ya wagonjwa wa wodi ya wazazi katika...

READ MORE

Kumbe rais mtarajiwa ndugu yangu kabisa

Yaani mimi mwenyewe bado sijaamini. Babu yangu ndiyo kaniita jana akaniambia hii siri kubwa ya kifamilia ambayo sasa ningependa kuwahusisha....

READ MORE

Nelly kamwelu anunua lipstik kwa milioni 6

Na Musa Mateja MREMBO aliyewahi kunyakua Taji la Dunia la Miss Universe, Nelly Kamwelu, juzikati alionesha jeuri ya pesa baada...

READ MORE

Diamond siyo kosa kuishi na mama lakini kuna umuhimu wa kujitenga naye‭!‬

.KWAKO mkali wao katika anga la Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’. Mambo vipi mzazi jembe? Hongera sana kwa ushindi mnono...

READ MORE

Lungi, Ferguson wanaswa

Rapa Saulo John ‘Ferguson’ akiwa na  Lungi Maulanga. Issa Mnally Rapa mahiri wa bendi ya muziki wa dansi ya Mashujaa ya jijini...

READ MORE

Ester Kiama ‘kula bethidei’ Mikumi

Hamida Hassan MWANADADA anayekuja kwa kasi katika filamu Bongo, Ester Kiama leo atafanya sherehe ya kumbukumbu ya siku yake ya...

READ MORE

Baby Madaha arejea na mbwembwe!

Gladness Mallya BAADA ya kula bata kwa mwezi mmoja huko Dubai anakodaiwa kuwa pamoja na mfanyabiashara tajiri wa mafuta, msanii...

READ MORE

Shamsa: tumalizeni bifu, uchaguzi umeisha

Gladness Mallya STAA wa filamu za Kibongo, Shamsa Ford amewataka wasanii wenzake waliotofautiana wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu uliofanyika...

READ MORE

Wema amtusi Diamond

Wema Sepetu akiwa ndani ya gari lake jipya. STORI: MUSA MATEJA NA IMELDA MTEMA WEMA Isaac Sepetu ‘Madam’ ameangusha bethidei...

READ MORE