×

Makala

Bongo muvi; Tuzo za Lulu, Rich ziwe somo kwenu!

Lulu akiwa amelala na tuzo yake. KWENU mastaa wa Bongo Muvi. Nawasalimu kwa umoja wenu maana najua siwezi kuwataja majina...

READ MORE

Zijue faida za tikitimaji mwilini

TIKITImaji ni miongoni mwa matunda yanayopatikana kwa wingi nchini ni tunda lenye virutubisho vingi vyenye faida kubwa katika mwili wa...

READ MORE

Jini Mweusi-73

Hali ya sintofahamu inazuka jijini Dar es Salaam, machangudoa wengi wanaanza kuuawa katika mazingira ya kutatanisha. Hakuna anayemjua muuaji, kila...

READ MORE

Mzee yusuf, watulize wake zako!

Boss wa Jahazi Modern Taarab, Mzee Yusuf akiwa na mkwewe. KWAKO Big Boss wa Jahazi Modern Taarab, Mzee Yusuf, habari...

READ MORE

Kwa nini uingilie ugomv i wa wazazi wako?

Asalam alaikum wapenzi wasomaji wa safu hii, nashukuru nina afya ya kutosha, kwa wewe ambaye huna afya nakupa pole Mungu...

READ MORE

Jini Mweusi-72

Hali ya sintofahamu inazuka jijini Dar es Salaam, machangudoa wengi wanaanza kuuawa katika mazingira ya kutatanisha. Hakuna anayemjua muuaji, kila...

READ MORE

Hatua za kuanza kujitegemea

hatua za  kuanza kujitegemea na kuachana na maisha ya kula kulala bure-2 ilipoishia wiki iliyopita; KUJIAMINI Vikwazo au shaka juu...

READ MORE

Kilichojificha mgogoro wa Zanzibar -2

Naendelea kufafanua kilichojificha katika mgogoro wa kisiasa Zanzibar: Kwa hakika, kinyume cha baadhi ya watu walivyoandika, hapakutokea mauaji ya kimbari...

READ MORE

Shoga; alikupendea rangi yako, sasa mkorogo wa nini?

Shoga, kwa uweza wa Mola ni matumaini yangu kwamba hali yako ni nzuri na unaendelea kupambana na changamoto za maisha...

READ MORE

Nilifanya Mapenzi na Maiti 20 Ili Nitajirike -6

ILIPOISHIA Kesho asubuhi ilipofika, Dickson akaniaga, akaniambia kwamba siku hiyo asingefanya kazi yoyote ile bali anaondoka kwa ajili ya kwenda...

READ MORE

Mambo 15 ya kukufanya uwe mama mzuri kwa mwanao!

Yawezekana kabisa umebaini mwanao ana ndoto za kuwa mtu f’lani katika jamii, katika mambo anayofanya kuelekea kutimiza ndoto zake mpe...

READ MORE

Kilichonitokea Baada ya Kubakwa na Kaka Yangu-35

Mpenzi msomaji, wiki iliyopita niliishia pale mbuzi walipokatiza barabarani ghafla hivyo gari alilopanda Dorcas kuyumba na kusababisha mama wa Kiarabu...

READ MORE

Chongo!-24

UIipoishia wiki iliyopita Kauli hiyo ilimtisha Mwani, akili yake ikamrudisha nyuma na kukumbuka jinsi siku ile Bata alivyomkazia macho yule...

READ MORE

Huyu naye…Fuata Maelekezo-5

ILIPOISHIA RISASI JUMAMOSI: “Baba Rehema sitasema. Kwa nini niseme. Si nilikwambia nina miaka mingi, kwa hiyo siwezi kusema jambo la...

READ MORE

Jeraha Lililojeruhiwa-6

ILIPOISHIA: Kumbe wapinzani wangu walijipanga kwa kila hali kuhakikisha napoteza pambano lile kwa njia yoyote. Aliingia na glovu maalumu zenye...

READ MORE

Valentine’s Day Mambo ya kufanya na kuepuka

Keshokutwa, Jumapili ni Valentines Day ama kwa Kiswahili Siku ya Wapendanao ambayo huadhimishwa Februari 14 ya kila mwaka. Kadiri siku...

READ MORE

Kazi unayofanya inalipa au ilimradi tu unafanya kazi?

Ni safu inayokuhusu wewe hivyo kama una lolote ambalo linakusumbua kwenye maisha yako, usisite kunitafuta kupitia namba zangu zilizopo hapo...

READ MORE

Matatizo ya Uzazi Kwa Wanaume “Male Infertility”-2

Leo naendelea kuelezea matatizo ya uzazi kwa wanaume pamoja na vipimo vya kuyatambua. Endelea… Kuna wakati mwanaume unatoa mbegu nyingi...

READ MORE

Fahamu Ugonjwa wa Zika na dalili zake

Homa ya Zika ni ugonjwa unaosababishwa na kirusi kijulikanacho kama “Zika Virus.” Na Ugonjwa huu unaenezwa na mbu aina ya...

READ MORE

Mume Wangu Anaishi Mara ya Pili – 12

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: “Hapana shemeji yangu, unaonekana dhahiri una kitu kinakusonga, kuwa huru kuniambia maana tangu nilipoomba uniletee kikombe kikubwa...

READ MORE

Siku zote iwe Valentine yenu

Asalaam alaikum wapenzi wasomaji wangu, bila shaka ni wazima mnaendelea vema na ujenzi wa taifa letu, kwa wale wagonjwa niwaombee...

READ MORE

Jamani Kaka Cheni …Ndiyo Nini Sasa?!-14

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Eti akaniambia atarudi msala huo ukipoa. Nilijaribu kulalamika nikimsihi asifanye hivyo lakini alikataa. Akasogea hadi mlangoni kwa...

READ MORE

Kilichonitokea Baada ya Kubakwa na Kaka Yangu-34

Mpenzi msomaji, wiki iliyopita niliishia pale Dorcas alipomaliza kuwasimulia yule mama na wengine waliokuwemo kwenye gari wakasikitishwa na mkasa wake...

READ MORE

Hatua 7 za kukabiliana na nyakati ngumu maishani

SHIDA ni sehemu ya maisha ya binadamu. Katika dunia hii kuna wakati maisha hujaribu kuleta kila aina ya vizingiti na...

READ MORE

Kukosa hamu ya chakula!

Sukutua na kunywa siki ya tufaha Watu wengi hujisikia kama wanaoumwa, wakiamini ni malaria, hali inayowafanya wakose hamu ya kula...

READ MORE

Hatua 7 za kukabiliana na nyakati ngumu maishani

SHIDA ni sehemu ya maisha ya binadamu. Katika dunia hii kuna wakati maisha hujaribu kuleta kila aina ya vizingiti na...

READ MORE

Uso kwa uso na mtoa roho!-6

ILIPOISHIA: “Tumechoshwa na uchawi hapa kijijini kwetu. Kwa pamoja tumefanikisha ujio wa mganga Mabwanji kutoka Malawi kwa lengo la kusafisha...

READ MORE

Shoga, usijiachie kivile kwa marafiki!

HABARINI za leo mashostito popote pale mlipo na ni tumaini langu kuwa mnaendelea vizuri na harakati wakati mwaka ukianza kukomaa....

READ MORE

Chongo!-23

Ilipoishia wiki iliyopita Wakati watatu hao wakimaliza mazungumzo yao kwa maazimio hayo, Bata alikuwa na kikao akiwa na mpenzi wake...

READ MORE

Top 10 ya majeshi hatari duniani kwa sasa na bajeti zake!

Jeshi ni sehemu muhimu ya nchi na usalama wake. Kila mwaka nchi hutenga bajeti kwa ajili ya kuimarisha majeshi yake....

READ MORE

Mnyonge Mnyongeni Haki yake Mpeni; Magufuli Anastahili Sifa

Mungu ni mwema hatuna budi kumshukuru kwa anayotufanyia katika nchi yetu. Baada ya kusema hayo niseme bila kumung’unya maneno kwamba...

READ MORE

Usipige Bwana…Tuma Meseji!

Bony alikaa sebuleni kwa rafiki yake Mudy akimsikiliza kwa makini kuhusu maelezo yake ya safari yake ya Ulaya kusoma… “Kwa...

READ MORE

Unampenda? Muoneshe ‘valentine’ wako!

Heshima na utukufu ni kwake Mwenyezi Mungu aliyetuwezesha kukutana tena Jumatatu hii murua. Leo katika safu yetu ya XXLove tunazungumzia...

READ MORE

Ugonjwa sugu wa figo (Chronic Kidney Disease)

Leo tunajadili ugonjwa sugu wa figo au Chronic Kidney Disease kwa kitabibu. Ugonjwa huu hutokea pale figo zinapopoteza uwezo wa...

READ MORE

Simulizi ya Christian Bella: Apata mtoto wa kiume, Aingia bendi ya Koffi

Apata mtoto wa kiume,akaza na kufanikiwa kuingia kwenye bendi ya Koffie Wiki ya nne sasa Christian Bella ‘Obama’ au The...

READ MORE

Bila pesa hakuna mapenzi ?

PESA ndiyo sabuni ya roho. Pesa ni kichocheo cha furaha. Ukiwa na pesa unajiamimi. Unaweza kufanya unalotaka wakati wowote. Ndiyo...

READ MORE

Kwa Mwanangu Nitakayemzaa – 44

Destiny anasafiri hadi Mwanza, Kundi la WAB lilikokuwa linatarajia kufanya shambulio kwenye Hospitali ya Rufaa Bugando. Akiwa huko, amebanisha mahali...

READ MORE

Nilivyoivunja Ndoa Yangu na Shetani – 10

ILIPOISHIA:    Siku hiyo sikulala mawazo yote yalikuwa juu ya tukio lililonitokea lilikuwa tukio la pili. La kwanza nilipata kipigo...

READ MORE

Jeraha Lililojeruhiwa – 05

ILIPOISHIA: “Pambano lilifanyika katika ukumbi maarufu wa Las Vegas Marekani, uwanja ulijaza kila mtu alikuwa na hamu ya kuona majigambo...

READ MORE

Jinsi ya kupika rosti maini

KAMA ilivyo kawaida ya kila wiki huwa tunakutana katika safu hii ya Mahanjumati ambapo leo tunajifunza kupika maini kama wengi...

READ MORE