×

Makala

Ugonjwa wa malaria hatari kwa mjamzito

Mtaalam Mandai MALARIA ni maambukizi ya seli nyekundu za damu inayosababishwa na vimelea vinavyoitwa kitaalamu, Plasmodiumu. Plasmodiumu hawa husambazwa na...

READ MORE

Ngozi yako imekufa? Maziwa ya unga yatakusaidia

Watu wengi sasa hivi wameharibika nyuso zao kutokana na hali ya upepo ambao unasababisha ngozi kuwa mbaya na wengi wamejikuta...

READ MORE

Tatizo la kuvurugika mzunguko wa hedhi

TATIZO la kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi huwapata wanawake wengi walio katika umri wa kuzaa na wale waliomaliza majukumu yao...

READ MORE

Wakuu wa wilaya wapya, muwe tochi ya maendeleo

Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Godwin Gondwe. KWANZA nianze kumuomba Mungu azidi kutupa afya njema ili tuweze kumtumikia vema na...

READ MORE

Nyerere, Kawawa wakimbilia Kigamboni

LEO hii jambo hili likisimuliwa ni kama hadithi! Lakini si hadhithi. Lilitokea miaka ipatayo 52 iliyopita, wakati wasomaji wengi wa...

READ MORE

Jinsi ya kukabiliana na tatizo la kulegea kwa misuli ya uke-2

Tumekwishaona katika makala iliyopita jinsi tatizo hili la kulegea kwa misuli ya uke linavyotokea. Tatizo husababishwa na kuzaa kwa njia...

READ MORE

Ulevi huu ni mbaya kuliko ule wa Kitwanga

Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Charles Kitwanga. LIMETOKEA jambo baya katika nchi yetu linaloweka historia kwa kiongozi wa serikali,...

READ MORE

Kolabo za Diamond kimataifa nani anafuata ?

Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ANDREW CARLOS Haina ubishi kuwa staa wa Muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ anazidi...

READ MORE

Wenzako wanafanikiwa, wewe hakieleweki, wapi unakosea?

Hakuna anayeweza kuupinga ukweli kwamba, maisha ya sasa ni magumu, ugumu ambao kama mtu atabweteka na kushindwa kutimiza wajibu wake...

READ MORE

Lulu umevuka mipaka, shika adabu yako!

Muigizaji wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’. KWAKO muigizaji wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’, hujambo? Unaendeleaje na...

READ MORE

Waziri Mwijage: Nani kasema sukari ya ndani haitoshi?

Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji ,Charles John Mwijage. Elvan Stambuli na Sifael Paul Charles John Mwijage ni Waziri wa...

READ MORE

Bibi Titi: Mwanamke wa kwanza kupanda jukwaa la kisiasa

Bibi Titi Mohammed Na Elvan Stambuli Niliwahi kuomba kufanya mahojiano na Bibi Titi Mohammed mwaka 1995 nyumbani kwake, Upanga, Dar....

READ MORE

Rama D ‘Mfalme’ wa R&B aliyeanzia kwenye soka

Rama D Makala: Andrew Carlos UKITAJIWA jina la Ramadhan Shaibu kisha ukaambiwa ni mfalme wa Muziki wa R&B nchini ni...

READ MORE

Indira Gandhi: Waziri Mkuu wa India aliyeuawa na walinzi wake

Indira Gandhi HUENDA mlinzi wako ni Mungu tu!  Hata ukilindwa kwa silaha na watu wa aina gani, siku ya kufa...

READ MORE

Vanessa nusu utupu inakuwaje ‘brand’ kwako?

Vanessa Mdee, ‘Vee Money’ NIKIRI wazi, simjui ki-hivyo Vanessa Mdee, ‘Vee Money’, ila kama mdau wa muziki, naheshimu kazi zake...

READ MORE

Waziri Mtoro, Akamatwa, Awekwa Sandukuni Kurudishwa Nigeria

NI kituko kilichotokea miaka ipatayo 32 iliyopita! Ni mwaka 1984 ambapo serikali mpya ya Nigeria chini ya Muhammadu Buhari ilitaka ...

READ MORE

Ray c, usipobadilika huna wa kumlaumu!

KWAKO dada yangu uliyesumbua Tanzania kwa uwezo wako mkubwa wa kuimba na kukata vilivyo kiuno stejini, Rehema Chalamila ‘Ray C’....

READ MORE

Enzi Zetu, Mwenye Mpira Hakabwi!

Enzi hizo wakati bado ningali mtoto, kila mtaa ulikuwa na kiwanja cha kuchezea, tena kikubwa maana unaweza ukakuta michezo mitatu...

READ MORE

Kumlea mwana kunahitaji maandalizi, usijizalie tu

Asalam alaikum wapenzi wasomaji wangu, bila shaka ni wazima kwa wakazi wa Dar poleni na hali ya hewa kwani kila...

READ MORE

Chid Benz amka, turudishe kwenye ubora wako!

Rashid Abdallah Makwiro ‘Chid Benz’. KWAKO mkali wao, mbabe wao, Rashid Abdallah Makwiro ‘Chid Benz’ habari yako kaka? Vipi upo?...

READ MORE

Uchaguzi Zanzibar umefanyika je, ni mwisho wa matatizo?

BILA shaka Mungu ni mwema na tumshukuru kwa kutufikisha leo. Baada ya kusema hayo acha nizungumzie uchaguzi wa marudio uliofanyika...

READ MORE

Jumanne Mhero Ngoma: Mvumbuzi wa Tanzanite

Jumanne Mhero Ngoma Madini aina ya Tanzanite huiingizia Tanzania kiasi cha dola milioni 20 (zaidi ya Sh bilioni 30) kwa...

READ MORE

Bongo muvi; Tuzo za Lulu, Rich ziwe somo kwenu!

Lulu akiwa amelala na tuzo yake. KWENU mastaa wa Bongo Muvi. Nawasalimu kwa umoja wenu maana najua siwezi kuwataja majina...

READ MORE

Zijue faida za tikitimaji mwilini

TIKITImaji ni miongoni mwa matunda yanayopatikana kwa wingi nchini ni tunda lenye virutubisho vingi vyenye faida kubwa katika mwili wa...

READ MORE

Jini Mweusi-73

Hali ya sintofahamu inazuka jijini Dar es Salaam, machangudoa wengi wanaanza kuuawa katika mazingira ya kutatanisha. Hakuna anayemjua muuaji, kila...

READ MORE

Mzee yusuf, watulize wake zako!

Boss wa Jahazi Modern Taarab, Mzee Yusuf akiwa na mkwewe. KWAKO Big Boss wa Jahazi Modern Taarab, Mzee Yusuf, habari...

READ MORE

Kwa nini uingilie ugomv i wa wazazi wako?

Asalam alaikum wapenzi wasomaji wa safu hii, nashukuru nina afya ya kutosha, kwa wewe ambaye huna afya nakupa pole Mungu...

READ MORE

Jini Mweusi-72

Hali ya sintofahamu inazuka jijini Dar es Salaam, machangudoa wengi wanaanza kuuawa katika mazingira ya kutatanisha. Hakuna anayemjua muuaji, kila...

READ MORE

Hatua za kuanza kujitegemea

hatua za  kuanza kujitegemea na kuachana na maisha ya kula kulala bure-2 ilipoishia wiki iliyopita; KUJIAMINI Vikwazo au shaka juu...

READ MORE

Kilichojificha mgogoro wa Zanzibar -2

Naendelea kufafanua kilichojificha katika mgogoro wa kisiasa Zanzibar: Kwa hakika, kinyume cha baadhi ya watu walivyoandika, hapakutokea mauaji ya kimbari...

READ MORE

Shoga; alikupendea rangi yako, sasa mkorogo wa nini?

Shoga, kwa uweza wa Mola ni matumaini yangu kwamba hali yako ni nzuri na unaendelea kupambana na changamoto za maisha...

READ MORE

Nilifanya Mapenzi na Maiti 20 Ili Nitajirike -6

ILIPOISHIA Kesho asubuhi ilipofika, Dickson akaniaga, akaniambia kwamba siku hiyo asingefanya kazi yoyote ile bali anaondoka kwa ajili ya kwenda...

READ MORE

Mambo 15 ya kukufanya uwe mama mzuri kwa mwanao!

Yawezekana kabisa umebaini mwanao ana ndoto za kuwa mtu f’lani katika jamii, katika mambo anayofanya kuelekea kutimiza ndoto zake mpe...

READ MORE

Kilichonitokea Baada ya Kubakwa na Kaka Yangu-35

Mpenzi msomaji, wiki iliyopita niliishia pale mbuzi walipokatiza barabarani ghafla hivyo gari alilopanda Dorcas kuyumba na kusababisha mama wa Kiarabu...

READ MORE

Chongo!-24

UIipoishia wiki iliyopita Kauli hiyo ilimtisha Mwani, akili yake ikamrudisha nyuma na kukumbuka jinsi siku ile Bata alivyomkazia macho yule...

READ MORE

Huyu naye…Fuata Maelekezo-5

ILIPOISHIA RISASI JUMAMOSI: “Baba Rehema sitasema. Kwa nini niseme. Si nilikwambia nina miaka mingi, kwa hiyo siwezi kusema jambo la...

READ MORE

Jeraha Lililojeruhiwa-6

ILIPOISHIA: Kumbe wapinzani wangu walijipanga kwa kila hali kuhakikisha napoteza pambano lile kwa njia yoyote. Aliingia na glovu maalumu zenye...

READ MORE

Valentine’s Day Mambo ya kufanya na kuepuka

Keshokutwa, Jumapili ni Valentines Day ama kwa Kiswahili Siku ya Wapendanao ambayo huadhimishwa Februari 14 ya kila mwaka. Kadiri siku...

READ MORE

Kazi unayofanya inalipa au ilimradi tu unafanya kazi?

Ni safu inayokuhusu wewe hivyo kama una lolote ambalo linakusumbua kwenye maisha yako, usisite kunitafuta kupitia namba zangu zilizopo hapo...

READ MORE