×

Makala

2017 Kula Vyakula Hivi Kujikinga na Kisukari

Matunda Kisukari ni ugonjwa ulioingia kwa kasi nchini. Ni hali inayotokea wakati sukari inapozidi ile inayotakiwa katika damu kwa sababu...

READ MORE

Mwaka Mpya, Kila Nchi Husherehekea kwa Muda Wake

Usiku wa leo, panapo majaaliwa tutauaga rasmi mwaka 2016 na kuukaribisha mwaka mpya wa 2017, lakini je, unajua kwamba wakati...

READ MORE

Tukutane tena wiki ijayo! Kuelekea kuuaga mwaka 2016, unalitathiminije penzi lenu?

Umebaki muda mfupi kabla ya kuuaga Mwaka 2016 na kuingia Mwaka Mpya wa 2017! Ni suala la kila mmoja wetu...

READ MORE

Iweje elimu, pesa zako viwe sababu ya kuwadharau wenzako?

Kipindi cha nyuma niliwahi kuzungumzia baadhi ya tabia  ambazo naamini kila binadamu anazo ila jinsi zinavyotumika ndivyo zinavyoweza kuleta madhara...

READ MORE

Kulegea kwa misuli sehemu za siri za mwanamke (Vaginal Prolapse)

Wanawake wengi wenye umri mkubwa hupata maradhi ya Vaginal Prolapse yaani kulegea kwa misuli ya uke au sehemu za siri...

READ MORE

Kukosa usingizi kwa wajawazito (INSOMNIA)

Insomnia ni tatizo linalowasumbua watu wengi, ambapo hupoteza usingizi, huona maruweruwe na wakati mwingine kuweweseka nyakati za usiku. Hata hivyo,...

READ MORE

Tetekuwanga kwa watoto

Tetekuwanga ni miongoni mwa magonjwa yanayowasumbua watu wengi, hususan watoto. Ugonjwa huu husababishwa na Virusi vya Varicel Zoster na huambukizwa...

READ MORE

Wachagga Wanaporejea Nyumbani Krismasi, Mwaka Mpya!

Na Walusanga Ndaki Gaztei la Risasi Jumamosi, Toleo la Desemba 24, 2016 ASUBUHI moja mwaka jana, wiki moja kabla ya...

READ MORE

Usichokijua kuhusu matatizo ya tezi dume (Prostatism)

Hali hii husababisha matatizo ya mkojo kwa mwanaume na kufanya mkojo ushindwe kutoka. CHANZO CHA TATIZO Matatizo ya tezi dume...

READ MORE

Mpenzi Wako Anapokusaliti, Lazima Ujifunze Kitu

Mpenzi msomaji wangu, bila shaka uko poa kabisa, bila kukupotezea muda wako twende moja kwa moja kwenye mada ambayo nimekuandalia...

READ MORE

Kifafa cha mimba (Eclampsia)

Yapo matatizo mengi yanayowapata wanawake wajawazito na miongoni mwa matatizo hayo, ni kifafa cha mimba (Eclampsia). Ni hali ambayo huwatokea...

READ MORE

Tumbuatumbua ya Magufuli yailiza tena familia ya Malecela!

  Rais John Magufuli Matamko yawaponza Anne na Mwele Na Walusanga Ndaki/GPL DHAMIRA ya Rais John Magufuli kutaka kuwarudisha Watanzania...

READ MORE

Chanjo Dhidi ya Ukimwi Kuanza Kufanyiwa Majaribio Kesho Jumatano

AFRIKA KUSINI: Chanjo mpya dhidi ya virusi vinavyosababisha Ukimwi itaanza kufanyiwa majaribio nchini Afrika Kusini Jumatano wiki hii. Wanasayansi wanasema...

READ MORE

Shigongo: Hivi Ndivyo Nilivyomalizana na CCM

INAHITAJI mtu jasiri sana kuzungumza ukweli, kwani ukweli umewagharimu watu wengi, ukweli unaweza kugharimu maisha, unaweza kukupeleka gerezani, unaweza kukufukuzisha...

READ MORE

Nani Aliyepanga Mishahara Hadi Sh. Mil 40 Kwa Mwezi?

MIONGONI mwa mambo ambayo Rais Magufuli anastahili kupongezwa na Watanzania waadilifu – bila kujali ‘kambi’ zao  – ni ujasiri wake...

READ MORE

Unapoachwa Ni Muda Muafaka wa Kufikia Malengo -2

Mpenzi msomaji sote tuseme asante kwa Mwenyezi Mungu kwa kila jambo analotutendea katika maisha yetu ya kila siku. Pasi na...

READ MORE

Eric Shigongo: Novemba 19, 2016 Jumamosi ya Machozi Kwangu

Kumbukumbu za Kweli za Maisha Yangu Eric Shigongo. Nawaomba radhi sana wananchi wa Singida,  sikuweza kuwepo Namfua baada ya waandaaji...

READ MORE

Fikiria, Soma, Msomeshe Kujiajiri Si Kuajiriwa!

HABARI mpenzi msomaji, nikualike tena kwa upendo wa dhati kabisa katika somo letu linalojieleza hapo juu. Kupata nafasi hii ya...

READ MORE

Kwa Nini Uzaliwe, Uishi, Na Kufa Tu!

Karibu mpenzi mdau na msomaji wa makala za ujasiriamali, katika somo letu ambao lina lengo la kukujenga na kukufanya uweze...

READ MORE

Baadhi ya Sababu Zilizomfanya Donald Trump Kushinda

MAREKANI: ALIYEKUWA mgombea urais wa Chama cha Republican nchini Marekani, amefanikiwa kushinda nafasi hiyo dhidi ya mgombea wa Chama cha...

READ MORE

Waliohukumiwa Kunyongwa Wanyongwe Au Adhabu Ya Kifo Ifutwe!

MWANDISHI wa safu hii aliwahi kuandika mwaka jana katika gazeti la ‘Uwazi Mizengwe’  moja ya magazeti ya kampuni yenye kutukuka...

READ MORE

Mwenye Nidhamu Ana Silaha Dhidi ya Ujinga na Umasikini

Vita dhidi ya umasikini kwa kiwango cha kaya mpaka Taifa kwa jumla, nidhamu naipa namba moja kama ni sababu ya...

READ MORE

Jambo Unalolipenda na Kulitumikia Lina Uhusiano wa Moja Kwa Moja na Kifo Chako

  MUNGU ni wa ajabu.  Ajabu yake inakamilishwa na yaliyomo ulimwenguni, ikiwemo yanayoonekana na yale ya kusadikika. Uwepo wa uhai...

READ MORE

Udadisi, Ubunifu na Uvumbuzi wa Maarifa Mapya Unapotea kwa Uwepo wa Mtu/ Watu wa Kuigwa “Role Models”

Watu ama mtu  mwenye kitu cha ziada katika jamii huigwa na wengine, watu hawa hutambulika kama kioo kwa wengine wajitazame...

READ MORE

Simulizi Ya Msamaha Wa Mama- 13

Ilipoishia…… “Um mbona mlango haujafungwa kwa nje huu na mama haitiki?, Mama!, Mamaa!Alimuita tena bila kuitikia.” jamani ina maana mama...

READ MORE

Simulizi Ya Msamaha Wa Mama – 12

Riwaya: Msamaha Wa MamaMwandishi/Mtunzi: SEID BIN SALIM Mzunguko wa kutangazwa habari za kurudiwa kwa matokeo ya kidato cha sita ndani...

READ MORE

Simulizi ya Msamaha wa Mama – 11

Riwaya: FORGIVENESS OF MAMA!Mwandishi: SEID BIN SALIM SEHEMU YA 11 Profesa Sharif aliongea jasho tayari likiwa linamwagika usoni mwake, alikuwa...

READ MORE

Majeshi 10 Yenye Nguvu Zaidi Duniani

Haya ndiyo majeshi 10 yenye nguvu zaidi duniani. Nguvu ya kiuchumi, vifaa na idadi ya wafanyakazi wake. Haya ndiyo majeshi...

READ MORE

Wahalifu 10 Hatari Zaidi Duniani

Leo nakuletea orodha ya watu kumi hatari zaidi duniani. Wanatafutwa kutokana na matukio mbalimbali ya kihalifu waliyowahi kuyafanya dhidi ya...

READ MORE

Oparesheni Entebbe, Steringi Alifia Uwanja Wa Mapambano

Juni 27, 1976 ndege ya Ufaransa ‘Air France Flight 139’ ikiwa na abiria 248 ndani yake ilitekwa na magaidi  wanne....

READ MORE

Kwaheri Shimon Peres Na Safari Ndefu Ya Kisiasa Israel

Marehemu Shimon Peres enzi za uhai wake. Septemba 13, 2016 vyombo vingi vya habari duniani kote vilitawaliwa na habari ya...

READ MORE

Thomas Sankara, Rais Aliyekuwa Analipwa Mshahara Wa Dola 450 Kwa Mwezi

        Thomas Sankara (21 Desemba, 1949 – 15 Octoba, 1987). Maisha ya siasa barani Afrika ni kama tanuru la moto,...

READ MORE

Kosa Kubwa Alilofanya Jonas Savimbi Hadi Kuuawa

Vifo vya viongozi wengi duniani wa kisiasa mara nyingi huchangiwa na makosa yao wenyewe. Hufanya kosa moja kubwa ambalo hugharimu...

READ MORE

Kutoka Urais Hadi Ombaomba Mtaani

DUNIANI tunajifunza na kuona vitu vingi tofauti vya kushangaza, kuogofya na kufurahisha. Wengi hawamjui Valentine Strasser ambaye aliwahi kuwa rais...

READ MORE

Hongera RC Makonda

Mkuu wa Mkoa Dar es Saalam mh. Paul Makonda Tangu ateuliwe kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Saalam mheshimiwa...

READ MORE

Tanzania Mpya, Uongozi Makini

Ramani ya nchi ya Tanzania. Uongozi ni hali ya muhusika mmoja kuwa na dhamana, madaraka na uwezo wa kuwaongoza wengine....

READ MORE

Sayansi Yasema: Binadamu hafi, hubadilika!

MWandishi wetu, Amani KWA zaidi ya miongo miwili sasa (miaka 10), wanasayansi wamekuwa wakijitahidi kutafuta jibu la swali la, je!...

READ MORE

Tunaadhimisha mashujaa, je tunawakumbuka?

Kwanza nimshukuru Mungu kwa kunipa uhai na afya tele na kuniwezesha kuandika haya leo. Leo nizungumzie sikukuu ya mashujaa ambayo...

READ MORE

Penzini, kazini, nyumbani, kila kona stress, duh!

MPENZI msomaji karibu tena kwenye Jamvi la XXLove. Ni Jumatatu nyingine tena tumepewa kwa kudra za Mwenyezi Mungu kwa ajili...

READ MORE