×

Michezo

Hizi Hapa Sababu za Mukoko Kuondoka Yanga

RASMI uongozi wa Yanga umethibitisha kwamba kiungo Tonombe Mukoko hatakuwa sehemu ya kikosi hicho kwa msimu wa 2021/22 kwenye mechi...

READ MORE

Antony Martial Asepa Zake Sevilla

Klabu ya Sevilla ya Hispania imefikia makubaliano ya kumsajili kwa mkopo winga wa Manchester United na timu ya taifa ya...

READ MORE

Yanga Yafungukia Ishu ya Djuma Shaban

BAADA ya jana Januari 23 Yanga kuweza kusepa na pointi tatu mazima mbele ya Polisi Tanzania,Ofisa Habari wa Yanga, Haji...

READ MORE

Ntibazonkiza Ampagawisha Nabi Yanga

BIG bosi wa benchi la ufundi la Yanga, Nasreddine Nabi ameonekana kukoshwa vilivyo na kiwango cha staa wake, Saidi Ntibazonkiza...

READ MORE

Makambo Ataja Siku Atakayofunga

HERITIER Makambo, mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa ipo siku atafunga kwenye ligi kwa kuwa ni suala la muda hana mashaka...

READ MORE

Yanga Yarejea Dar Kibabe

KIKOSI cha Yanga kimewasili leo asubuhi saa 5:00 katika uwanja wa ndege wa Julius Nyerere, Terminal 2 wakitokea mkoani Arusha...

READ MORE

 TFF Yakana Kumfungulia Mashtaka Barbara

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania, TFF limekana kumfungulia mashataka Mtendaji Mkuu wa Simba Barbara Gonzalez.   Mapema siku ya...

READ MORE

Yamemkuta Baada ya Kudanganya Umri

KLABU ya FC Porto ya Ureno kuna uwezekano ikaachana na Beki wake Chancel Mbemba, Raia wa Congo DR baada ya...

READ MORE

Afisa TFF Amshtaki CEO Simba Polisi

AFISA wa Shirikisho la Soka Tanzania, TFF Jacqueline Kamwamu amemshataki Polisi Mtendaji Mkuu wa klabu ya Simba Barbara Gonzalez. Mashtaka...

READ MORE

Nigeria Yatolewa Nje, Tunisia Yapeta Robo Fainali

TIMU ya taifa ya Tunisia Carthage Eagles imefanikiwa kuwa timu ya pili kukata tiketi ya kuingia katika robo fainali ya...

READ MORE

kocha Pitso Ataka Mshahara wa Tsh Mil 450 Al Ahly

Kocha wa Al Ahly ya Misri Pitso Mosimane (57) Raia wa Afrika Kusini inaripotiwa kuwa ametaka mshahara wa USD 195,000...

READ MORE

#AFCON2021: Burkina Faso Watinga Robo Fainali, Gabon Chali

Timu ya taifa ya Burkina Faso imekuwa timu ya kwanza kutinga hatua ya robo fainali ya AFCON kwa kuiondosha timu...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Ijumaa Wikienda kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazet la Ijumaa Wikienda kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania...

READ MORE

Yanga Yaifunga Polisi Tanzania Bao 1-0 Arusha

DICKSON Ambundo kiungo mshambuliaji wa Yanga leo amefunga bao la 23 ndani ya kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine...

READ MORE

Chiko Abebeshwa Jukumu Zito Yanga

KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi, amewapa majukumu mazito wachezaji wake akiwemo winga mpya, Chico Ushindi kwa kuwaambia wahakikishe wanapata...

READ MORE

Chico Apewa Majukumu ya Moloko Yanga

KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi kuelekea mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Polisi Tanzania, amempa Chiko Ushindi majukumu...

READ MORE

Kocha Simba: Tuna Ratiba Ngumu, Kucheza Jumatano Tena

PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba, amesema wana ratiba ngumu jambo linalowafanya kutumia nguvu kubwa kusaka ushindi.   Jana Jumamosi,...

READ MORE

Mayanga, Mayele Wana Vita Yao

UKIWEKA kando ile vita ya kusaka pointi tatu leo Uwanja wa Sheikh Amri Abeid uliopo Arusha kati ya PolisiTanzania inayonolewa...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la spotixtra kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/= iOS :...

READ MORE

Milovan Atimuliwa Ghana

BAADA ya kupata matokeo mabaya ya Ghana katika michuano ya AFCON inayoendelea, Wizara ya Michezo ya nchi hiyo katika mkutano...

READ MORE

Azam Yapiga Mtu 4G kwa Ubuyu

KLABU ya Mpira wa Miguu Azam FC imenyakua pointi tatu muhimu baada ya kuibuka na ushindi wa goli 4 bila...

READ MORE

Simba Yabanwa Na Mtibwa Manungu

Wekundu wa Misimbazi Simba leo Januari 22, imeshindwa kutamba mbele ya Mtibwa Sugar mchezo uliochezwa kwenye uwanja wa Manungu Turiani...

READ MORE

Baba Levo Akiri: Teacher ya Harmonize Ndio Amapiano Bora

NI headlines za mtangazaji kutoka kwa mwanamuziki Baba Levo, ambae amekiri kuwa katika mwaka 2021 katika nyimbo za #Amapiano wimbo...

READ MORE

Chama Aliamsha Moro Kabla ya Mechi

KIUNGO wa Simba, Clatous Chama ameanza kuwapa raha mashabiki wake mapema baada ya kupiga pasi zinazofika eneo husika.   Kocha...

READ MORE

Yanga Yaifunika Simba kwa Rekodi ya Dk 2,520

KLABU ya Yanga imekuwa ikitengeneza rekodi na kuzitikisa timu pinzani ikiwemo Simba, Azam na nyingine, kwani kwa sasa ndiyo timu...

READ MORE

Mzenji Mpya wa Yanga SC Atangaza Vita

IKIWA ni mara ya kwanza amecheza mechi akiwa na Yanga kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya Mbuni, beki Mzanzibar, Ibrahimu...

READ MORE

Pablo Awapiga Stop Mastaa Simba Kula Chipsi Zege

KOCHA Mkuu wa Simba, raia wa Hispania, Pablo Franco, amemtaka kiungo kisiki wa timu hiyo, Mganda, Thadeo Lwanga, kuepuka matumizi...

READ MORE

Yanga Wampigia Simu Muuaji wa Simba SC

MSHAMBULIAJI wa Mbeya City, Paul Nonga, amefichua kuwa kitendo cha kufanikiwa kuwafunga Simba katika mchezo wa Ligi Kuu Bara, kimesababisha...

READ MORE

16 Bora Afcon Hii Hapa

Algeria yavuliwa ubingwa wa michuano ya matiafa barani Afrika AFCON baada ya kufungwa mabao 3-1 kwenye mchezo wa mwisho wa...

READ MORE

Mzungu wa Simba Awafungia Kazi Mtibwa

BAADA ya mapumziko ya siku moja, kikosi cha Simba juzi kiliingia kambini tayari kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wao...

READ MORE

Saido Milioni Moja Kila Mechi Yanga

IMEFAHAMIKA kuwa mshambuliaji mkongwe, raia wa Burundi, Said Ntibazonkiza ‘Saido’, anaingiza Sh milioni moja katika kila mchezo atakaoucheza akiwa akiwa...

READ MORE

Huyu Chico ni Balaa

CHICO Ushindi, ingizo jipya ndani ya Yanga, ameanza kwa ushindi kwenye mchezo wake wa kwanza dhidi ya Mbuni FC mbele...

READ MORE

Mkeka Wa Saa Tisa Usiku Washinda Jackpot Bonus- Tsh. 21,731,100.

Mkazi wa Masanga, Wilaya ya Igunga mkoani Tabora Elibariki Edson Magaa,(33) ameibuka mshindi wa Jackpot Bonus ya Sportpesa kwa wikiendi...

READ MORE

Mataifa Ya Afrika Kuanza Kupunguzana Kwenye Hatua Ya 16 Bora

  AFCON, EPL, Serie A na LaLiga kukutoa burudani wikiendi hii. Jamvi lako la uhakika lipo kwenye Nyumba ya Mabingwa....

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi kirahisi zaidi hapa

January 19, 2022 by Global Publishers Jipatie nakala ya Gazeti la championi kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya...

READ MORE

Zuchu Atamba Kupata wa Kumsitiri

MSANII wa muziki Zuhura Othman Soud almaarufu Zuchu ameachia wimbo mpya ‘Mwambieni’ uliojaa mahaba mazito baada ya kumpata wakumfariji.  ...

READ MORE

Man United Yajitoa kwa Haaland

Manchester United imejitoa kwenye kinyang’anyiro cha kumsajili Erling Haaland baada ya nyota kuripotiwa kupendelea Real Madrid. Haaland anavutiwa na Meneja...

READ MORE

Mtibwa Yawaita Simba Manungu Tuliani

THOBIAS Kifaru, Ofisa Habari wa Mtibwa Sugar amesema kuwa Simba wasiwe na mashaka kwa kuwa wanachokitaka wao ni mchezo huo...

READ MORE

Polisi Wakesha Kulinda Nyumba ya Mchezaji Isichomwe

Polisi mijini Free Town nchini Siera-Leone wamekesha kulinda nyumba ya mshambuliaji wa timu ya Taifa ya nchi hiyo Kei Kamara...

READ MORE

Aboubakar Aingia Levo za Samuel Eto’o

NYOTA wa timu ya taifa ya Cameroon, Vincent Aboubakar kwenye mashindano ya Afcon 2021 nchini Cameroon yeye anakiwasha tu kwa...

READ MORE