×

Michezo

FIFA Yaifungia Chad Kimataifa

Shirikisho la soka duniani, FIFA limeifungia Chad katika mashindano ya dunia ya kandanda baada ya serikali ya nchi hiyo iingilie...

READ MORE

Lwanga: Sichezi Rafu, Natimiza Majukumu Yangu

KIUNGO mkata umeme wa Simba, Mganda Taddeo Lwanga, ameibuka na kubainisha wazi kwamba yeye hachezi rafu kama wengi wanavyosema badala...

READ MORE

Mwambusi Ataja Watakaoingia First Eleven Yanga

JUMA Mwambusi, Kaimu Kocha Mkuu wa kikosi cha Yanga amesema kuwa kitu kikubwa ambacho anakitazama kwa ajili ya mchezaji atakayeanza...

READ MORE

Kocha Mpya Yanga Aifungia Safari Simba

UONGOZI wa Klabu ya Yanga, umerejea kwa kasi kwenye mchakato wa kuchambua jina moja la mrithi wa Cedric Kaze aliyetimuliwa...

READ MORE

TFF Yamjibu Mwakalebela “Anafurahisha Genge Tu”

  Shirikisho la mpira wa miguu nchini ‘TFF’ limefafanua kuwa adhabu aliyopewa makamu mwenyekiti wa klabu ya Yanga, Fredrick Mwakalebela...

READ MORE

Mabegi ya Barbara Yamshtua Magori

WAKATIwakiwa kwenye harakati za kukwea pipa jana kuelekea nchini Misri kwa ajili ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua...

READ MORE

Saido Apewa Program Maalum Yanga

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Mrundi, Saidi Ntibazonkiza ‘Saido’, ameanza mazoezi katika timu hiyo kwa program maalum kabla ya kuungana na...

READ MORE

John Bocco Apewa Silaha za Waarabu

KOCHA Mkuu wa Simba raia wa Ufaransa, Didier Gomes Da Rosa, ameamua kumuweka kando Chris Mugalu na kumkabidhi majukumu mapya...

READ MORE

Ferdinand: De Gea Ataondoka Man U

MKONGWE wa Manchester United, Rio Ferdinand amesema kitendo cha kipa David De Gea kuwekwa benchi ni wazi staa huyo hataendelea...

READ MORE

Simba Yakwea Pipa Kuwafuata Al Ahly

PATRICK Rweyemamu, Meneja wa Klabu ya Simba amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wao wa kimataifa dhidi ya...

READ MORE

Raiola Ajibu Kuhusu Kupokea wa Mkwanja, Haaland Kwenda Barca

WAKALA wa mchezaji Erling Haaland, Mino Raiola amekanusha uvumi unaoenea kuwa amepokea Euro milioni 40 ambazo ni sawa na bilioni...

READ MORE

Onyango Akabidhiwa Tuzo Simba SC

BEKI kisiki wa Simba raia wa Kenya, Joash Onyango, amekabidhiwa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwezi Machi wa kikosi hicho...

READ MORE

Job, Ninja Ndani ya Ufalme Mpya Yanga

USISHANGAE kuona mchezo ujao wa Yanga dhidi ya KMC safu yao ya ulinzi ikaongozwa na Abdallah Shaibu ‘Ninja’ na Dickson...

READ MORE

Real Madrid Uso Kwa Uso Na Liverpool Leo

Ukiwa na Meridianbet, huna sababu ya kuwaza wiki inaanza au kuisha kwa namna gani? Hii ndio maana halisi ya Nyumba...

READ MORE

Gomes Ahamishia Hasira Zake Yanga

LICHA ya kwamba jana alikuwa na kibarua cha kusaka ushindi mbele ya AS Vita kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa...

READ MORE

Mwambusi Ataja Mambo Manne Yanga

KAIMU Kocha Mkuu wa Yanga, Juma Mwambusi, ameanza kuonesha moto ndani ya timu hiyo baada ya kuwapa wachezaji wake mambo...

READ MORE

Niyonzima Afafanua Ishu ya Kustaafu Soka

KIUNGO wa Yanga na Timu ya Taifa ya Rwanda, Haruna Niyonzima, amesema hajafikia uamuzi wa kustaafu kuichezea Rwanda kama ambavyo...

READ MORE

Mwamnyeto Jembe la Kazi Yanga

LICHA ya makosa ambayo amekuwa akiyafanya ya mara kwa mara ndani ya uwanja, beki wa kati wa Yanga, Bakari Mwamnyeto,...

READ MORE

Wachezaji Yanga Wachekelea Ujio wa Manji

WAKATIaliyekuwa Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji akitajwa kurejea kwenye klabu hiyo, wachezaji wa zamani wa timu hiyo wamefunguka kuhusiana na...

READ MORE

KMC Waanza Kuiwinda Yanga SC

KIKOSI cha KMC yenye maskani yake Kinondoni jijini Dar, kimeendelea na mazoezi kujiandaa na mchezo dhidi ya Yanga ambao unatarajiwa...

READ MORE

Polisi Tanzania Yasimamisha Watano

UONGOZI wa timu ya Polisi Tanzania, umetangaza kuwasimamisha wachezaji watano kutokana na makosa ya utovu wa nidhamu.   Taarifa rasmi...

READ MORE

Namungo Vs Nkana Leo… Mkishindwa Semeni Tuwasaidie

HUU ni mchezo wa kufa au kupona kwa Namungo katika kusaka pointi tatu mbele ya Nkana FC baada ya kupoteza...

READ MORE

Mabao Yampa Kiburi Msuva

MSHAMBULIAJIwa kimataifa wa Wydad Casablanca ya Morocco, Mtanzania, Simon Msuva amefichua kuwa ndoto zake msimu huu ni kuhakikisha anakuwa mfungaji...

READ MORE

Mukoko Afunguka Dili la Kujiunga na Kaizer Chiefs

HATIMAYE baada ya kiungo wa Yanga, Tonombe Mukoko kuhusishwa kuhitajika na miamba ya soka kutoka Afrika Kusini, Kaizer Chiefs, kiungo...

READ MORE

Kocha mpya Yanga Afunguka Kiwango cha Metacha, Shikalo

AKIANZAkibarua cha kukinoa hicho, Kocha Mkuu wa makipa wa Yanga raia wa Kenya. Razack Siwa amesema kuwa amevutiwa na viwango...

READ MORE

Simba Yatinga Robo Fainali ya Klabu Bingwa Afrika Kibabe

Klabu ya Simba imefuzu Robo Fainali ya Klabu Bingwa Afrika na kujihakikishia kuongoza kundi, baada ya kuifunga AS Vita katika...

READ MORE

Mwakalebela: Natafakari Kukata Rufaa TFF

“HIZO taarifa ndiyo kwanza nazipata kwako, hivyo bado sijajua maamuzi yoyote juu ya hilo, lakini hivi sasa natafakari kama nitaweza...

READ MORE

Basi la Simba SC Lawekwa Sokoni

MWAKA mpya na mambo mapya ndani ya kikosi cha Simba, mara baada ya kuliweka sokoni basi lao la timu ambalo...

READ MORE

Simba Kukiwasha na AS Vita Leo, Uwanja wa Mkapa

UNAAMBIWAzege halilali leo kwani Simba wamepanga kumaliza kabisa hatua ya makundi kwa kuhakikisha wanalamba ushindi dhidi ya AS Vita na...

READ MORE

Arsenal Kucheza na Liverpool Leo, Jumamosi Emirate Stadium

Msimu huu wa pasaka kunogeshwa zaidi na Meridianbet. Kwa kupitia tovuti ya www.meridianbet.co.tz au kwa kupiga *149*10#, unaweza kutengeneza faida...

READ MORE

Mil 600 Zatengwa Simba Kuimaliza AS Vita

UNAAMBIWA Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba, ambaye pia ni mwekezaji wa klabu hiyo, Mohamed Dewji ‘Mo’, ameamua kuichukulia...

READ MORE

Gomes Amuanika Mganga wa Manula Simba

KOCHA Mkuu wa Simba Mfaransa Didier Gomes ametaja siri ya kiwango cha kipa wake namba moja Aishi Manula kuongezeka hivi...

READ MORE

Morrison Amenoga Simba, Gomes Ampa AS Vita

WAKIWA katika maandalizi ya mchezo wa tano wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya AS Vita,...

READ MORE

Kocha Ibenge Atamba Kushinda Kesho dhidi Ya Simba

KOCHA wa AS Vita, Florent Ibenge amesema kuwa hawako tayari kujiweka kwenye presha kubwa katika mchezo kesho dhidi ya Simba...

READ MORE

Kocha Matola, Bocco Watamba Kuifunga As Vita Kesho -Dar

KESHO Jumamosi Aprili 3, 2021 Simba inatarajiwa kushuka kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam, kuwakabili AS Vita...

READ MORE

UEFA Yaipeleka Chelsea Hispania

MICHEZO ya Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kati ya Chelsea na Porto sasa itapigwa katika Jiji la Sevilla...

READ MORE

Breaking: Mwakalebela Afungiwa Miaka Mitano

KAMATI ya Maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imemfungia miaka mitano Makamu Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga,...

READ MORE

Man United Wakutana Na Cavani

UONGOZI wa Klabu ya Manchester United umekutana na staa wa timu hiyo, Edinson Cavani kuona wanamshawishi kuendelea kusalia ndani ya...

READ MORE

Kapombe, Tshabalala Wazua Hofu Simba

MABEKI wawili wa Simba, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ na Shomari Kapombe, juzi jioni walishindwa kufanya mazoezi na wenzao kufuatia kukosa utimamu...

READ MORE

Kikosi Cha AS Vita Kilivyotua Dar Kuivaa Simba J’mosi -Video

KIKOSI cha timu ya AS Vita Aprili 1, 2021kimetua nchini na msafara wa watu 39 unaojumuisha wachezaji, benchi la ufundi...

READ MORE