×

Michezo

Kocha Mbrazil Amzuia Manula Kuondoka Simba

KOCHA wa makipa wa Simba, Mbrazil, Milton Nienov amefichua kuwa ni suala gumu kukubali kuondoka kwa kipa namba moja wa...

READ MORE

Live: Ligi Kuu Kumenoga, Simba Na Yanga Hapatoshi | Krosi Dongo

 KARIBU katika ‘KROSI DONGO’ upate stori za kuaminika za michezo ndani na nje ya nchi, ambapo kwenye ligi kuu...

READ MORE

Mastaa Yanga Wawekewa Milioni 300 Mezani

BAADA ya uongozi wa Yanga kwa kushirikiana na mdhamini wao Kampuni ya GSM, kusikia nia ya mfadhili wao wa zamani...

READ MORE

Zahera Aanza Kazi Simba Kimyakimya

TAARIFA za uhakika zinabainisha kwamba, aliyekuwa Kocha wa Yanga raia wa DR Congo, Mwinyi Zahera, tayari ameanza kazi ndani ya...

READ MORE

Video: Yanga Wamtambulisha Kocha Mpya, Atinga Na Mkalimani Wake

KOCHA Mpya wa Yanga raia wa Tunissia, Nasreddine Nabi baada ya kutambulishwa rasmi leo Aprili 20 kuchukua mikoba ya Cedric...

READ MORE

Simba Wasaini Mkataba Wa Bilioni 2 Na Vunja Bei (Picha +Video)

UONGOZI wa Klabu ya Simba leo Aprili 20, 2021 umeingia makubaliano ya kimkataba na mfanyabiashara maarufu Bongo, Fred Vunja Bei...

READ MORE

Zifuate Odds Bora Zilizopo Kwenye Michezo Ya Wiki Hii

Bado tunaendelea kuburudika na michezo kadhaa ya soka la Ulaya. Merianbet, hatukuachi nyuma. Mambo yapo hivi wiki hii;   Arminia...

READ MORE

Fiston Adaiwa Kutelekeza Familia, Mkewe Amfuata Dar

  KIMEUMANA kwa staa wa Yanga, Fiston Abdulrazak, baada ya taarifa kutoka kwa mtu wa karibu na staa huyo kudai...

READ MORE

Simba Watamba… Hakuna Yanga Anayeingia First Eleven Simba

SIMBA sasa wana jeuri tupu, na baadhi ya mashabiki wa timu hiyo, wamekiangalia kikosi chao cha kwanza, wakafurahi sana na...

READ MORE

Mourinho Atimuliwa Tottenham

  Tottenham imemfuta kazi Jose Mourinho kutokana na timu hiyo kutokuwa na nafasi ya kushiriki Champions League msimu huu.  ...

READ MORE

UEFA Yapinga Kuanzishwa kwa European Super League

SHIRIKISHO la Soka Barani Ulaya limepinga kuanzishwa kwa Ligi mpya Barani humo itakayoitwa ‘European Super League’ mashindano ambayo yatakuwa yakifanyika...

READ MORE

Vigogo Wakubaliana Kuanzisha Ligi Mpya ‘European Super League’

Klabu kumi na mbili zinazoongoza za mpira wa miguu Ulaya zimekutana na kutangaza wamekubali kuanzisha mashindano mapya ya katikati ya...

READ MORE

Manula Awekewa Nusu Bilioni Mezani

UONGOZI wa timu ya Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini, umeweka mezani kitita cha Sh milioni 500, ili kuishawishi Bodi ya...

READ MORE

Simba Yaendeleza Dozi, Yaichapa Mwadui 1-0

TIMU ya Simba imefanikiwa kuondoka na alama tatu muhimu, baada ya kuibuka na ushindi wa goli 1-0 dhidi ya Mwadui...

READ MORE

Simba, FCC Wakutana Kujadili Mabadiliko

WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Innocent Bashungwa, amebainisha kwamba, kesho Jumatatu, Simba na Tume ya Ushindani (FCC) watakutana...

READ MORE

Chama, Kagere Kupambana na Mwadui Leo

CLATOUS Chama, mwamba wa Lusaka ambaye ametupia mabao 7 pamoja na Meddie Kagere mwenye mabao 11, idadi ya mabao ambayo...

READ MORE

Kimenuka Yanga, Kigogo Aibuka Awakana Mastaa Yanga

KIMENUKA! Unaweza kusema hivyo baada ya kigogo mmoja kwenye kamati ya ufundi Yanga kudai kuwa baadhi ya wajumbe wamekuwa hawashirikishwi...

READ MORE

Fiston Aanza Mazungumzo na Klabu Tatu

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Fiston Abdoul Razack ambaye mkataba wake unamalizika mwishoni mwa msimu huu, tayari ameanza mazungumzo na klabu tatu...

READ MORE

Simba ni Mwendo wa Pasi, Bao

KINACHOFANYWA na Simba kwa sasa ni ishara ya kuwa timu hiyo imekuwa kwenye ubora wake wa hali ya juu mara...

READ MORE

Gomes: Tutatangaza Ubingwa Mapema

KOCHA Mkuu wa Simba, Didier Gomes amefunguka kuwa kama kuna timu ina ndoto ya kushinda taji la Ligi Kuu Bara...

READ MORE

Carlinhos, Saido Kucheza Pamoja Dhidi ya Biashara

KWA mara ya kwanza, viungo washambuliaji wa Yanga, Mrundi, Saidi Ntibazonkiza ‘Saido’ na Muangola, Carlos Fernandez ‘Carlinhos’ leo wanatarajiwa kucheza...

READ MORE

Ally Kamwe: Nafikiri Rayvanny Hajui Kwanini Anagombana Na Harmonize

RAYVANNY hajui kwa nini anagombana na Harmonize. Na bahati mbaya wanaojua sababu wamegoma kumwambia. Wako kimya. Ni kama ametupiwa jezi...

READ MORE

Tshabalala Kutua Yanga, Kupewa Mkataba Mnono

NGUMU kuamini lakini ndiyo hivyo, Yanga imetajwa kuwa iko mbioni kumsajili beki wa kushoto wa Simba, Hussein Mohammed ‘Tshabalala’.  ...

READ MORE

Ratiba Ya Ligi Kuu Bara Leo Aprili 17

LIGI Kuu Tanzania Bara leo Aprili 17 inaendelea ikiwa ni mzunguko wa pili kwa timu kusaka poini tatu muhimu. Coastal...

READ MORE

Panga La Maana Linapita Yanga

UONGOZI wa Klabu ya Yanga umesema kuwa upo kwenye mipango madhubuti ya kufanya usajili mkubwa katika dirisha la usajili la...

READ MORE

Meridianbet Tumekuletea Shindano Jipya La Cash Parade!

Promosheni ya Cash Parade Kupitia Meridianbet, tumekuletea promosheni mpya inayoitwa Cash Parade. Hii ni promosheni itakayoendeshwa kwa njia ya shindano....

READ MORE

Yanga Yafanyia Kazi Mapungufu Yake, Sasa ni Kipigo Kila Nayekuja – Video

KAIMU Kocha Mkuu wa Yanga, Juma Mwambusi, Jumamosi iliyopita aliiongoza timu hiyo kwa mara ya kwanza kwenye Ligi Kuu Bara...

READ MORE

Sven Aidai Simba Mil 102, Aipeleka FIFA

Ni miezi mitatu baada ya kuondoka kwenye klabu ya Simba SC, Sven Vandenbroeck ameishtaki klabu hiyo kwa Shirikisho la soka,...

READ MORE

Bayern Munich Kufumuliwa Juu Chini

KLABU ya Bayern Munich inatarajiwa kuhusika katika kufanya mabadiliko makubwa klabuni hapo mara baada ya kuondolewa katika michuano ya Ligi...

READ MORE

AUBAMEYANG Augua Malaria

Mshambuliaji wa Arsenal, Pierre-Emerick Aubameyang ametibiwa hospitalini baada ya kuugua malaria wakati akiwa katika majukumu ya kimataifa na Gabon.  ...

READ MORE

Sakata la Mwakalebela, TFF Giza Nene

LICHA ya kukutana na kufanya kikao kizito kati ya viongozi wa Klabu ya Yanga na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF),...

READ MORE

Serie A, Epl, Ligue 1 Na Bundesliga Kuchangamsha Wikiendi Hi

Ulimwengu wa soka unaendelea kunoga kwa michezo kadha wa kadha kuchezwa wikiendi hii. Ligi soka barani Ulaya katika ubora wake....

READ MORE

Wawa: Hakuna wa Kuzuia Ubingwa Simba

BEKI wa kati wa Simba, Muivory Coast, Pascal Wawa ameibuka na kuweka wazi kuwa kutokana na ubora wao kwa sasa...

READ MORE

Mahakama Yaipa Simba Siku 14, Kulipa Mil 77

  BARAZA la Ardhi na Nyumba la Wilaya ya Kinondoni, limetoa siku 14 kwa Klabu ya Simba kulipa kodi ya...

READ MORE

Yanga: Manji Arudi Tu, Tunamkaribisha

UONGOZI wa Yanga, umesema kuwa umezisikia taarifa za kurejea kwa aliyekuwa mwenyekiti klabu hiyo, Yusuf Manji na kuzipokea kwa mikono...

READ MORE

Chama Apiga Hesabu za Nusu Fainali CAF

KIUNGO Mshambuliaji wa Simba, Clatous Chama, amesema wachezaji wote wana shangwe la kutosha baada ya kufanikiwa kutinga hatua ya robo...

READ MORE

Manula Apambana na Makipa Watano CAF

HASHIKIKI! Hivyo ndivyo utakavyosema kwa kipa namba moja wa Simba, Aishi Manula ambaye ameingia kwenye tano bora ya makipa wenye...

READ MORE

Mwambusi Aifumua Yanga, Ataja Sehemu Zenye Matatizo

KAIMU Kocha Mkuu wa Yanga, Juma Mwambusi, Jumamosi iliyopita aliiongoza timu hiyo kwa mara ya kwanza kwenye Ligi Kuu Bara...

READ MORE

Ilivyo Sura ya ‘Paula wa Kajala’ Kwenye Mguu wa Chama

KUNA watu wamezaliwa na vinasaba vya burudani. Wenyewe wapo kwa ajili ya kuiburudisha dunia tu.Wafanye baya au zuri ni burudani...

READ MORE

Luis Anawakimbiza Kinoma Waarabu CAF

KIWANGO cha juu ambacho anakizidi kukionesha kiungo mshambuliaji wa Simba, Luis Miquissone, kimekuwa cha hatari kiasi kwamba kwa sasa anawakimbiza...

READ MORE