×

Michezo

Marcio Maximo Atangazwa Kocha Mkuu Mpya wa KMC FC

Kocha wa zamani wa timu ya taifa ya Tanzania Marcio Maximo ametambulishwa kama kocha mkuu mpya wa klabu ya KMC...

READ MORE

Wachezaji wa Liverpool Wafanya Maandalizi ya Kiroho Kabla ya Msimu Mpya Nchini Tokyo

Tokyo, Japan – Katika tukio lisilo la kawaida kwenye kalenda ya maandalizi ya timu, wachezaji wa Liverpool wameanza siku yao...

READ MORE

“Yanga Yamnasa Nahodha wa Simba?” – Ali Kamwe Afunguka Suala la Zimbwe Jr

WAKATI Yanga SC wakitajwa kukamilisha kwa asilimia 100 dili la Mohamed Hussen Zimbwe Jr aliyekuwa beki wa Simba SC na...

READ MORE

Yanga Yamwongezea Mkataba Maxi Nzengeli Mpaka 2027

Klabu ya Yanga Sc imetangaza kumsainisha kiungo mshambuliaji, Maxi Mpira Nzengeli nyongeza ya mkataba mpya wa miaka miwili utakaombakisha klabuni...

READ MORE

AS FAR Rabat Yaagana Rasmi na Henock Inonga Baka

Aliyekuwa beki tegemeo wa Simba SC, Henock Inonga Baka, ameaga rasmi klabu ya AS FAR Rabat ya Morocco baada ya...

READ MORE

Jonathan Sowah Ajiunga Rasmi na Simba Kutoka Singida Black Stars

Klabu ya Singida Black Stars imethibitisha rasmi kuondoka kwa mshambuliaji wao nyota, Jonathan Sowah, raia wa Ghana, ambaye amejiunga na...

READ MORE

Wikendi Yako Unaanzaje Bila Kubeti na Meridianbet

Kaa kijanja Jumamosi hii endapo kwa dau lako dogo tuu unaweza ukabashiri mitanange uipendayo hapa na wakali wa ubashiri. Jisajili...

READ MORE

Singida Black Stars Watamba na Sowah “Kama Una Bilioni 2.6 Njoo Uongee”

Klabu ya Singida Black Stars imetoa kauli ya kusisimua kuhusu mshambuliaji wao tegemeo, Jonathan Sowah, wakisisitiza kuwa hakuna timu yoyote...

READ MORE

Rais wa FIFA, Gianni Infantino Aipongeza Yanga kwa Kutwaa Ubingwa

Rais wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA), Gianni Infantino, ameipongeza rasmi Klabu ya Yanga kwa mafanikio yake...

READ MORE

Arsenal Yamnasa Cristhian Mosquera Kutoka Valencia, Aanika Ndoto Zake!

Klabu ya Arsenal imetangaza rasmi kumsajili beki kinda mwenye kipaji, Cristhian Mosquera, kutoka klabu ya Valencia ya Hispania kwa ada...

READ MORE

Pacome Zouzoua Kubaki Yanga Mpaka 2027

Kiungo mahiri kutoka Ivory Coast, Pacome Zouzoua, amesaini mkataba mpya na klabu ya Yanga SC siku nyingi zilizopita, muda mfupi...

READ MORE

Meridianbet Wapiga ODDS Kubwa kwa Mechi za Leo – Cheki Shariff vs Utrecht, Braga vs Levski

Kama kawaida ni siku nyingine pendwa kabisa ambapo mechi kibao za kufuzu Europa League msimu ujao zinapigwa. Meridianbet tayari wameshakuwekea...

READ MORE

Yanga Yatangaza Kuagana na Wachezaji Watano Nyota

Klabu ya Yanga imetangaza hatua kubwa ya mabadiliko ndani ya kikosi chake kuelekea msimu wa 2025/2026, kwa kuthibitisha kuachana rasmi...

READ MORE

Yanga Yamtambulisha Romain Folz Kocha Mkuu Mpya

Klabu ya Yanga SC imemtambulisha rasmi Romain Folz, kocha raia wa Ufaransa mwenye umri wa miaka 35, kuwa kocha mkuu...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Julai 24, 2025

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers...

READ MORE

Washington: Venus Williams Aandika Historia Ashinda WTA Tour Akiwa na Miaka 45

  Habari hii imeandikwa na Momburi Dionisia Mchezaji mkongwe wa tenisi, Venus Williams (45), ameandika historia kwa kuibuka mshindi katika...

READ MORE

Yanga Yamnasa Casemiro wa Zanzibar kutoka Mlandege!

Klabu ya Yanga imeendelea kujiimarisha kuelekea msimu mpya baada ya kumtambulisha rasmi kiungo mkabaji wa Mlandege, Abdulnassir Mohammed Abdallah, maarufu...

READ MORE

Gibril Sillah Ajiunga na ES Sétif ya Algeria kwa Mkataba wa Miaka Miwili

Klabu ya ES Sétif ya Algeria imethibitisha kumsajili rasmi aliyekuwa winga wa Azam FC, Gibril Sillah (26), raia wa Gambia,...

READ MORE

Offen Chikola Atua Yanga kwa Mkataba wa Miaka Miwili!

YANGA SC hawana jambo dogo mara baada ya kumalizana na mashine ya mabao ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara inayodhamiwaniwa...

READ MORE

Arsenal Yamnasa Viktor Gyökeres kwa Dau la Bilioni 300

Klabu ya Arsenal mbioni kufanikisha azma yake ya muda mrefu, ya kukamilisha usajili wa mshambuliaji hatari kutoka Sweden, Viktor Gyökeres,...

READ MORE

NBC, Vodacom na Sunderland Wazindua Mfumo wa Mauzo ya Jezi za Taifa Stars Kwa Njia ya Mtandao

· Naibu Waziri Mwinjuma Atoa Wito Jezi za Taifa Stars Kuvaliwa Kama Sare Maofisini Benki ya Taifa ya Biashara (NBC)...

READ MORE

Nani Kuibuka na Ushindi Mechi za Kufuzu UEFA Leo?

Je unajua kuwa leo ni siku ya kubadilisha mkeka kuwa mkwanja?. Timu kibao leo zitashuka dimbani kusaka nafasi ya kufuzu...

READ MORE

Yanga Yamnasa Mfungaji Bora wa Zambia, Andy Boyeli

INAELEZWA kuwa baada ya Yanga SC kukamilisha usajili wa beki wa kushoto na nahodha wa Simba SC msimu wa 2024/25,...

READ MORE

Nani Bingwa wa EPL 2025/26, Bashiri na Meridianbet

Je msimu huu unaotaka kuanza unadhani nani anaweza kushinda taji la Ligi kuu ya Uingereza yaani EPL?. Meridianbet imekuwekea tayari...

READ MORE

Saleh Jembe; Kipi cha Ajabu? Zimbwe Ana Haki ya Kutafuta Maslahi

Mwandishi mkongwe na maarufu wa michezo nchini, Saleh Ally maarufu kama Saleh Jembe, amefunguka kuhusu uhamisho wa beki wa zamani...

READ MORE

Kapombe Amwaga Wino Simba, Ajipanga kwa Msimu Mpya

Shomari Kapombe anaripotiwa kuwa tayari amekubaliana na klabu ya Simba kuhusu kusaini mkataba mpya wa kuendelea kuwatumikia Wekundu wa Msimbazi,...

READ MORE

Simba Yatoa Kauli Kuhusu Kuondoka Kwa Nahodha Mohamed Hussein “Tshabalala”

Dar es Salaam, Julai 20, 2025 – Klabu ya Simba SC imetoa kauli rasmi kufuatia kuondoka kwa aliyekuwa Nahodha wake,...

READ MORE

Mchambuzi: Simba Kupoteza Zimbwe JR Ni Pigo Kubwa – Video

Mchambuzi wa soka nchini, Thomas Mushi, amesema kuwa iwapo mlinzi tegemeo wa Simba SC, Zimbwe JR, ataondoka kwenye kikosi hicho,...

READ MORE

Barcelona Yakaribia Kukamilisha Usajili wa Rashford kwa Mkopo

Klabu ya FC Barcelona imefikia makubaliano ya awali na Manchester United kwa ajili ya kumsajili Marcus Rashford kwa mkataba wa...

READ MORE

Mavambo: Shukrani Kwa Familia Ya Simba – Nitawakumbuka Milele

Kiungo fundi wa kimataifa, Debora Fernandes Mavambo (24), mwenye uraia pacha wa Congo-Brazzaville na Gabon, ameaga rasmi klabu ya Simba...

READ MORE

Yanga Wamtupia Jicho Offen Chikola wa Tabora United

Mshambuliaji wa Tabora United na timu ya taifa ya Tanzania, Offen Francis Chikola (26), yupo mbioni kutua katika klabu ya...

READ MORE

Bryan Mbeumo Atua Man United kwa dau la pauni milioni 65

Manchester United imefikia makubaliano na Brentford kumsajili winga wa kimataifa wa Cameroon, Bryan Mbeumo, kwa dau la pauni milioni 65,...

READ MORE

Kiungo Hatari Kutoka Tunisia Balla Conte Ajiunga na Yanga

Kiungo wa zamani wa CS Sfaxien ya Tunisia, Moussa Balla Conte (21), sasa ni Mwananchi halali baada ya kusaini rasmi...

READ MORE

Fiston Mayele Aingia Uislamu, Sasa Anaitwa Mahmoud

Nyota wa zamani wa Klabu ya Young Africans (Yanga SC), Fiston Mayele, amebadili dini kutoka Ukristo na sasa ni Muislamu,...

READ MORE

Yanga Yapanga Kumwongeza Aucho kwa Mwaka Mmoja Zaidi

Kiungo mkabaji wa Klabu ya Yanga SC, Khalid Aucho, yuko mbioni kuongeza mkataba mpya wa mwaka mmoja kuendelea kuitumikia klabu...

READ MORE

Balla Conte Atua Dar, Kukamilisha Dili na Yanga

Kiungo chipukizi wa CS Sfaxien ya Tunisia, Mussa Balla Conte (21), anasemeka kutua nchini Tanzania mapema asubuhi ya leo kwa...

READ MORE

Ahmed Ally: Safari Hii Sitazungumza Sana, Usajili Utaongea Wenyewe

KUELEKEA msimu mpya wa 2025/26, Simba wamebainisha kuwa watafanya usajili mkubwa kupata timu imara ya ushindani kitaifa na kimataifa. Ipo...

READ MORE

Simba Yapigwa Faini Ya Milioni 3 Kwa Makosa Ya Nidhamu Kwenye Kariakoo Dabi

Klabu ya soka ya Simba SC imepigwa faini ya jumla ya shilingi milioni tatu (TSh 3,000,000) kutokana na makosa ya...

READ MORE

Pesa Nyingi Kumwaga Mechi za Europa na Conference League Leo

Siku ya kutusua na Meridianbet imefika, mechi nyingi zipo huku ODDS zao zikiwa pia zimeshiba. Nani kukupatia mzigo wa maana...

READ MORE

Lamine Yamal akabidhiwa jezi namba 10 ya Messi Barcelona, asaini Mkataba mpya mpaka 2031

Kinda mahiri wa FC Barcelona, Lamine Yamal, amesaini mkataba mpya wa muda mrefu na klabu hiyo, ambao utamuweka Camp Nou...

READ MORE