×

Michezo

Ajibu Awatikisa Wazungu

KIUNGO wa Yanga Ibrahim Ajibu ameweka rekodi ya kipekee baada ya hadi sasa kuwa kinara wa pasi za mwisho (asisti)...

READ MORE

Kocha Yanga Awaomba Wanachama Kuichangia Timu

WAKATI  Yanga inatarajiwa kucheza mchezo wake wa ligi kuu soka Tanzania bara dhidi ya Mbeya City Jumapili hii hivyo kocha...

READ MORE

VIDEO: MAGOLI YANGA VS TUKUYU STARS 4-0

 Kikosi cha Yanga kimeibuka na ushindi mnono wa mabao 4-0 dhidi ya Tukuyu Stars katika mchezo wa Kombe la...

READ MORE

Boban Awatia Wazimu Makambo, Tambwe

  HARUNA Moshi ‘Boban’, leo jioni huenda a k a a n z a kuitumikia timu yake hiyo kwa mara...

READ MORE

Kakolanya Amponza Kigogo Yanga

MAMBO ni moto ndani ya Yanga. Hivyo ndivyo u n a v y o w e z a kusema baada...

READ MORE

YANGA: TUKUYU STARS TUNAWANYOOSHA

UONGOZI wa Yanga umesema kuwa hauna mashaka na kikosi cha Tukuyu Stars ambacho watacheza nacho katika mchezo wao wa leo...

READ MORE

Timu za Ligi Kuu Zaonja Joto la Jiwe FA

KOMBE la Shirikisho la Azam Sports (ASFC) maarufu kama Kombe la FA, linaendelea kushika kasi katika viwanja mbalimbali huku timu...

READ MORE

MWIJAKU “UCHAWI Asili Yetu/Nimekuja na Vitu Vyangu”- Video

MWIJAKU Mmoja wa mashabiki wa simba kindakindaki amesema kuwa simba ni timu kubwa na watanzania hivyo ushindi lazima katika mechi...

READ MORE

SIMBA YAITANDIKA NKANA 3-1 TAIFA NA KUIFUNGASHIA VIRAGO -VIDEO

Mechi ya marudiano ya hatua ya kwanza kuwania kufunzu hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Simba na...

READ MORE

Mzungu Awapa Rungu Okwi Na Chama

STRAIKA Mganda Emmanuel Okwi na Kiungo machachari Claytous Chama, wamepewa rungu na kocha wao Patrick Aussems ili wawamalize Nkana mapema...

READ MORE

Zahera Aitaja Siri Ya Mafanikio Yanga SC

KOCHA Mkuu wa Yanga ambaye kwa sasa yupo zake Ufaransa, Mwinyi Zahera amesema siri kubwa ya ushindi ambao timu yake...

READ MORE

Nkana Yawataka Yanga Wamsapoti Kessy

NKANA FC inafahamu kwamba Yanga ina mashabiki wengi sana Bongo hivyo imeamua kuwatumia kwa kuwataka wajaze Uwanja wa Taifa kesho...

READ MORE

Usajili Wamponza Kigogo Yanga

  INATAJWA kwamba Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Yanga, Hussein Nyika, muda wowote kuanzia sasa, anaweza kujiuzulu katika nafasi...

READ MORE

Kwa Simba Hii, Nkana Wanatokaje

WAKATI keshokutwa Jumapili, wakitarajiwa kucheza mechi ya marudiano dhidi ya Nkana FC ya Zambia, Kocha Mkuu wa Simba, Patrick Aussems,...

READ MORE

TFF Yamzuia Boban Kucheza Yanga

WAKATI wapenzi na mashabiki wa Yanga wakiwa na shauku kubwa ya kutaka kumuona uwanjani mchezaji wao mpya, Haruna Moshi ‘Boban’,...

READ MORE

Mbelgiji Awakubali Ndemla, Salamba

BAADA ya kuwatumia wachezaji ambao amekuwa hawatumii mara kwa mara, Kocha wa Simba, Patrick Aussems amefunguka kuwa wanapambana kwa nguvu...

READ MORE

Makambo Aletewa Kiatu Maalum Toka Uturuki

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Heritier Makambo hivi karibuni anatarajia kupokea kiatu kipya cha kuchezea kutoka nchini Uturuki baada ya kununuliwa na...

READ MORE

Bila Kupepesa: Karia Kubali Kukosolewa Ndiyo Uongozi Ulivyo

HIVI majuzi Katibu Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wilfred Kidao aliitisha mkutano wa waandishi wa habari kueleza mambo...

READ MORE

Simba, Yanga Tafuteni Wabia Kwenye Viwanja Vyenu

DUNIA tunayoishi sasa, mambo yamebadilika sana. Hauwezi kufananisha angalau miaka mitano tu iliyopita.   Mambo yanakwenda haraka na mipango mingi...

READ MORE

Kasi Ya Yanga Ubingwa Spidi 360

KASI ya Yanga kwa msimu huu katika kuwania ubingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara imeonekana hakuna wa kuizuia, baada...

READ MORE

Mengi Awamwagia Zawadi Serengeti Boys

MLEZI wa Serengeti Boys, Dkt Reginald Mengi mapema leo aliandaa hafla fupi kwa ajili ya kukipongeza kikosi cha Srengeti Boys...

READ MORE

NKANA WACHEZA PATA POTEA DAR

NKANA walitua Jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia jana huku Kocha wao, Beston Chambeshi akitamba kucheza pata potea kwa...

READ MORE

Baba Mkwe Amchomoa Tshishimbi Yanga, Amrudisha CONGO

  AKIWA kwenye msafara wa timu uliokwenda Arusha, kiungo mkabaji wa Yanga Mkongomani, Papy Tshishimbi ameondolewa dakika za mwisho baada...

READ MORE

Okwi Afungukia Dili La Kutua Sauz

  EMMANUEL Okwi anaamini kwamba kama dili yake na Kaizer Chief ya Afrika Kusini ni ya kweli ataruhusiwa baada ya...

READ MORE

KMC Wazitaka Pointi Tatu Za Simba

  UONGOZI wa timu ya Halmashauri ya Kinondoni, KMC, umesema kuwa hawana hofu na kupambana na mabingwa watetezi, Simba, kwani...

READ MORE

Breaking: Ole Gunnar Ateuliwa Kocha Mpya wa Man U

#BREAKINGNEWS: Baada ya Mourinho kufungasha virago vyake jana, Mchezaji wa zamani wa Manchester United, Ole Gunnar Solskjaer ameteuliwa kuwa kocha...

READ MORE

Breaking News: Hatimaye Mourinho Afungasha Virago Manchester United

Klabu ya Manchester United imetangaza kuachana na kocha wake mkuu, Jose Mourinho,  kuanzia leo Desemba 18, 2018 ikiwa ni siku...

READ MORE

BAADA YA KUTWAA KOMBE, SERENGETI BOYS KUSHIRIKI UEFA

Shirikisho la Soka Tanzania TFF limetangaza kuwa Timu ya Taifa ya Vijana ya Tanzania U17 “Serengeti Boys” itashiriki kwenye mashindano...

READ MORE

Kessy awapa onyo Simba SC

MLINZI wa kulia wa Nkana ya Zambia, Mtanzania, Hassan Kessy, amewapiga biti wapinzani wao Simba kwamba wasifikirie kupata bao la...

READ MORE

CHAMPIONS LEAGUE: Man U na PSG , Juve na Atletico, Barca, Madrid…!

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya England Manchester City wamepangiwa kucheza na klabu ya Schalke ya Ujerumani katika hatua ya...

READ MORE

SPORTPESA YAMWAGA ZAWADI MOSHI

Zuberi Maeda (19) mkazi wa Kiterini, Moshi, mkoani Kilimanjaro,  amebahatika kuibuka kuwa mshindi wa Bajaj wa droo ya 71 ya...

READ MORE

Okwi amtibua Aussems

KATIKA hali isiyotarajiwa, mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi, juzi Jumamosi alimtibua kocha wake, Patrick Aussems raia wa Ubelgiji katika mchezo...

READ MORE

Straika Mcongo anatua Simba SC

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Nkana FC ambaye amejiunga na Al Hilal ya Sudan, Idriss Mbombo raia wa DR Congo, ameingia...

READ MORE

Kotei: Tutawapiga Nkana Taifa

KIUNGO mgumu wa Simba, James Kotei, raia wa Ghana, amefunguka kuwa wamejisikia vibaya kupoteza mchezo wao wa kimataifa dhidi ya...

READ MORE

Mtibwa: Tutapindua Meza

LICHA ya kupoteza kwa mabao 3-0 katika mechi ya Kombe la Shirikisho Afrika wakiwa ugenini, uongozi wa timu ya Mtibwa...

READ MORE

YANGA YAIPIGA RUVU SHOOTING BAO 3-2 TAIFA -VIDEO

Kikosi cha Yanga kimefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Ruvu Shooting katika mchezo wa ligi uliochezwa kwenye...

READ MORE

BOBAN HADI RAHA YANGA

DIRISHA dogo la usajili limefungwa usiku wa kuamkia leo na Haruna Moshi ‘Boban’ ni mchezaji wa Yanga. Masikio inasikika kama...

READ MORE

Yondani: Boban Kasaini, Wamekwisha

  KELVIN Yondani juzi jioni aliwasha WhatsApp yake akaanza kucheka. Washikaji waliokuwa karibu nae wakaanza kujiuliza kulikoni, kwani kuna habari...

READ MORE