×

Michezo

LIVE KUTOKA KAITABA: KAGERA SUGAR 1-2 YANGA (FULL TIME)

MPIRA UMEKWISHAAAAA SUB Dk 90+3 Yanga wanamtoa Chirwa na nafasi yake inachukuliwa na kinda Edward Maka Dk 90+1 shuti la...

READ MORE

‘Man U Watapaki Basi Dhidi ya Liverpool’

LICHA ya kuwa Kocha Jose Mourinho amekuwa na rekodi nzuri ya kuifunga Liverpool, lakini nguli wa Liverpool, Kenny Dalglish anaamini...

READ MORE

Nyoni Refa Alinipa Kadi Kimaajabu

KIRAKA wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars na Klabu ya Simba, Erasto Nyoni, wikiendi iliyopita alitolewa uwanjani baada...

READ MORE

Barcelona: Tunamrudia Coutinho

MTENDAJI Mkuu wa Klabu ya Barcelona, Oscar Grau ametoa kauli ambayo inaweza kuwatikisa Wanaliverpool baada ya kusema kuwa wanajipanga kurejesha...

READ MORE

Niyonzima Ambakisha Omog Simba

KIUNGO mchezeshaji wa Simba, Haruna Niyonzima, ametamka kuwa kati ya vitu ambavyo watavikosea katika msimu huu wa Ligi Kuu Bara,...

READ MORE

Rekodi Ya Yanga SC Yambeba Pluijm Singida

KOCHA wa zamani wa Yanga, Hans van Der Pluijm, rekodi yake ya msimu uliopita akiwa na kikosi cha timu hiyo...

READ MORE

Luizi: Griezmann Aliitumia Man U Kupiga Dili

MCHEZAJI wa Atletico Madrid, Filipe Luis, amesema anaamini mchezaji mwenzake, Antoine Griezmann, aliwababaisha Manchester United ili wamthamini zaidi na hivyo...

READ MORE

Lwandamina Aandaa Dozi Nene Kagera na Stand United

MKUU wa benchi la ufundi la Yanga, George Lwandamina, raia wa Zambia, amefunguka kuwa ameandaa mikakati madhubuti ya kuhak­ikisha kikosi...

READ MORE

Niyonzima: Nikiwafunga Yanga Nitashangilia

KIUNGO wa Simba, Mnyarwanda, Haruna Niyonzima, ameweka wazi kuwa endapo timu yake hiyo itaibuka na ushindi kwenye mchezo wao dhidi...

READ MORE

Spoti Hausi LIVE: Haruna Niyonzima Afunguka Alivyotoka Yanga Kwenda

  BAADA ya minong’ono mingi juu ya kiwango chake kushuka, kiungo mchezeshaji mpya wa Simba Mnyarwanda, Haruna Niyonzima amevunja ukimya...

READ MORE

Okwi: Njooni Uhuru Mkashangilie Bao

KINARA wa mabao kwenye Lig Kuu Bara, Emmanuel Okwi raia wa Uganda amefunguka kuwa baada ya kumaliza majukumu ya timu...

READ MORE

Simba SC Wakiwaachia Yanga Dk Ya 80 Wamekufa

  YANGA inaonekana kuwa hatari zaidi kufunga mabao yanayowapa pointi kwenye dakika za mwisho pindi inapokutana na Simba kwenye mechi...

READ MORE

Ngoma Atupwa Nje Yanga Dhidi ya Kagera Sugar

  MSHAMBULIAJI wa ki­mataifa wa Yanga, Donald Ngoma, raia wa Zimba­bwe amepewa wiki moja ya mapumziko huku akiwa chini ya...

READ MORE

Vuna Mamilioni Ya Sokabet Kupitia SMS

NDANI ya Sokabet unaweza kufanya michakato yako kupitia tovuti, pia unaweza kupata huduma kupitia huduma ya SMS, ni rahisi sana,...

READ MORE

Tukiishia Kulaumu Kila Kitu, Hatupigi Hatua Hata Siku Moja

KELELE za malalamiko kuhusu soka la Tanzania zimekuwa nyingi na kubwa, lakini ukijiuliza sana unaweza kuona kuna mahali tunalaumu bila...

READ MORE

TFF Mnatakiwa Kuliangalia Vizuri Suala La Waamuzi Wa Kike

Refa wa kike akifanya yake. WIKIENDI hii Ligi Kuu Bara inaingia raundi ya sita na timu zote zinazo­shiriki ligi hiyo...

READ MORE

Yusuf Manji Alikuwa Hafai, Ajabu Waliompinga Wameingia Mitini!

INAWEZEKANA hii ikawa ni zaidi ya mara ya 50 au hata ikifika mara 100 kwangu nitaona sawa tu kama somo...

READ MORE

Makundi Ligi Ya Daraja La Tatu Tanga Ni Noma

BAADA ya ratiba ya makundi ya Ligi ya Taifa Ngazi ya Mkoa msimu wa 2017/18, kuwekwa hadharani imeonekana hakuna kundi...

READ MORE

NBA Mambo Yameanza Kuwa Moto

  LIGI ya NBA inatarajiwa kuanza hivi karibuni kwa timu zote kuonyesha umwamba wao uwanjani, huku kila timu ikitaka kuhakikisha...

READ MORE

Mabao 54 yamtesa Mavugo Simba SC

MSHAMBULIAJI wa Simba, Lau­dit Mavugo, ana kazi kubwa ya kuifikia rekodi yake ya kufunga mabao 62 ndani ya misimu miwili...

READ MORE

Niyonzima: Yanga Haitoki Oktoba 28

KIUNGO wa kimataifa wa Simba, Haruna Niyonzima, amesema kuwa, mahasimu wao Yanga wajipange kwa ajili ya kupokea kichapo katika mechi...

READ MORE

Sokabet: Hivi Ndivyo Buku Itakavyokupa Sh Milioni 100

Fungua tovuti ya Sokabet ambayo ni www. sokabet.co.tz kupitia simu, kompyuta au kifaa chochote kilichounganishwa na internet.   Jiandikishe kwa...

READ MORE

Yanga Kukipiga Na Vijana Wa Kinondoni Leo, Itakuwa Live Azam Tv

Timu ya Yanga inatarajiwa kushuka uwanjani leo kukipiga dhidi ya KMC ya Kinondoni katika mchezo wa kirafiki utakaopigwa kwenye Uwanja...

READ MORE

FT: TANZANIA 1-1 MALAWI kKUTOKA UWANJA WA UHURU

MPIRA UMEKWISHA Dk 90+4 Samatta yuko chini anatibiwa baada ya kugongana na beki wa Malawi wakati akijaribu kufunga, wote wametolewa...

READ MORE

Taifa Stars Piga Malawi Hao, Tuendeleze Anachokifanya Mayanga

UKIANGALIA kwenye viwango vya soka vinavyo­tolewa kila mwe­zi na Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), utaikuta Tanzania ipo nafasi ya...

READ MORE

Niyonzima Ajitoa Simba Kisa Mashabiki

HARUNA Niyonzima amejitoa kiaina Simba huku akiweka masharti ya kupewa wiki mbili ili aweze kujiweka fiti zaidi kwa kuboresha kiwango...

READ MORE

Andres Iniesta Asaini Mkataba wa Maisha Barcelona

KIUNGO wa kati wa Barcelona na nahodha Andres Iniesta ametia saini kandarasi ya maisha na mabingwa hao wa Ulaya. Mchezaji...

READ MORE

SMG: AJIBU NI WA ULAYA TU

  WINGA wa zamani wa Yanga ambaye pia ni mjumbe wa Kamati ya Soka la Vijana la Yanga, Said Maulid...

READ MORE

Okwi Aizuga Yanga Ili Aitungue

  MKALI wa mabao wa Ligi Kuu Bara, Emmanuel Okwi wa Simba, ameizuga Yanga kwa kusema kwa sasa anaiwaza zaidi...

READ MORE

Taifa Stars Kwa Malawi Tukiamua Inawezekana Kabisa

  TIMU ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars leo Jumamosi inacheza mchezo wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya Malawi utakaopigwa...

READ MORE

Tambwe Siyo Nguzo Yanga, Juhudi za Pamoja Zinahitajika

UNAPOTHUBUTU kuzungumzia wachezaji wazuri katika safu ya ushambuliaji kwenye Ligi Kuu ya Tanzania Bara, huwezi kuliacha hata kwa bahati mbaya...

READ MORE

YANGA VS SIMBA KUPIGWA NDANI YA UWANJA WA UHURU

KUELEKEA mchezo wa Yanga dhidi ya Simba unaotarajiwa kufanyika Oktoba 28, mwaka huu, hatimaye Bodi ya Ligi imefunguka juu ya...

READ MORE

SMG ampa Lwandamina mbinu kuiboresha Yanga (Video)

WINGA wa zamani wa Yanga, Said Maulid ‘SMG’ amemwambia kocha mkuu wa timu hiyo Mzambia, George Lwandamina, kama anataka timu...

READ MORE

Tshishimbi Akinukisha, Aliamsha Dude Jingine

KIUNGO mkabaji wa Yanga, Papy Kabamba Tshishimbi raia wa DR Congo, jana Alhamisi alikuwa gumzo kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii...

READ MORE

Tshishimbi Akinukisha, Aliamsha Dude Jingine

KIUNGO mkabaji wa Yanga, Papy Kabamba Tshishimbi raia wa DR Congo, jana Alhamisi alikuwa gumzo kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii...

READ MORE

Live: Said Maulid ‘SMG’ Amfungukia Kocha wa Yanga, Usikose Kutazama Spoti Hausi

KIPINDI cha Spoti Hausi leo kitakuwa mubashara na mchezaji wa Yanga wa zamani Said Maulid ‘SMG’ amefunguka historia yake ya...

READ MORE

SHINDA MILIONI 100 CHAPCHAP NA SOKABET

Fungua tovuti ya Sokabet ambayo ni www.sokabet.co.tz kupitia simu, kompyuta au kifaa chochote kilichounganishwa na internet. Jiandikishe kwa kubonyeza ‘SIGN...

READ MORE

Mtibwa: Tumejipanga Kutwaa Kombe

  KUFUATIA mfululizo wa kukaa kileleni mwa Ligi Kuu Bara kila msimu unapoanza, Kocha wa Mtibwa Sugar, Zuberi Katwila, amezungumzia...

READ MORE

Omog: Tutawafunga Yanga Mwezi Huu

KOCHA Mkuu wa Simba, Mcameroon, Joseph Omog amesema kuwa baada ya kufanikiwa kuondoka na pointi nne Kanda ya Ziwa, tayari...

READ MORE

Jezi ya Niyonzima Yazua Sekeseke Mtandaoni

BAADA ya kuibuka minog’ono ya muda mrefu kuhusu Kiungo wa Simba, Haruna Niyonzima raia wa Rwanda, kutoposti picha kwenye mitandao...

READ MORE