×

Michezo

Rais wa Liberia George Weah Awashangaza Wananchi Wake Kisa Kombe la Dunia

Rais wa Liberia, George Manneh Weah amelifahamisha baraza la seneti kuwa anapanga kukaa siku tisa nchini Qatar kutazama mechi za...

READ MORE

Yanga Yatinga Makundi Kombe la Shirikisho, Mwarabu Alowa Nyumbani Kwake!

SI mmeona jamani, Mwarabu amelowa nyumbani kwake! Hicho ndicho ilichokifanya Yanga SC jana Jumatano pale Tunis nchini Tunisia kwa kuibuka...

READ MORE

Sakata la Mpole na Geita Gold FC Lachukua Sura Mpya, Kivuyo Atoa Neno

AFISA Habari wa klabu ya Geita Gold Hemed Kivuyo ameibuka na kutoa ufafanuzi juu ya kile kinachoendelea kuhusu Sakata la...

READ MORE

Simba Wawaka… Chama Ametibua Hesabu za Mgunda Dhidi ya Singida leo

  UNAAMBIWA kumbe baada ya Bodi ya Ligi Kuu Bara kumpiga rungu la kumstopisha kucheza mechi tatu kiungo wa Simba...

READ MORE

Nyota wa Senegal Yupo kwenye Hatihati Kukosekana Kombe la Dunia

NYOTA wa Timu ya Taifa ya Senegal na klabu ya Bayern Munich ya nchini Ujerumani Sadio Mane yupo katika hatihati...

READ MORE

Fei Toto: Mashabiki Yanga Tuombeeni, Tunawapiga Club Africain Kwao

UNAAMBIWA ugumu wa mchezo wa marudiano wa Kombe la Shirikisho Afrika, kati ya Yanga na Club Africain ya Tunisia, umemfanya...

READ MORE

Wapinzani wa Club African Wavujisha Siri Yanga Kufuzu Kombe la Shirikisho Afrika

KOCHA Mkuu wa Kipanga FC, Hassani Kitimbe amewaondoa hofu Yanga kwa kuwaambia wana nafasi ya kufuzu makundi ya Kombe la...

READ MORE

Aziz Ki na Clatous Chama Wamefungiwa Michezo Mitatu na Wapigwa Faini na Bodi ya Ligi

Nyota wa timu ya Young Africans SC, Stephan Aziz Ki na Clatous Chama wa Simba SC wamefungiwa michezo mitatu (3)...

READ MORE

Didier Drogba Akanusha Kubadili Dini na kuwa Muislamu, Amtaja Kaka Yake

Muda wa saa kadhaa, kumekuwa na jumbe nyingi katika mitandao ya kijamii zilizosema kuwa mchezaji maarufu wa zamani kutoka Ivory...

READ MORE

Chama Nje Mchezo Dhidi ya Singida Big Stars Kesho, Afungiwa Mechi Tatu na Faini

CLATOUS Chama nyota wa Simba atakosekana kwenye mchezo dhidi ya Singida Big Stars unaotarajiwa kuchezwa kesho Novemba 9,2022 Uwanja wa...

READ MORE

Mambo ni Moto Wiki Hii Carabao, Man City, Chelsea Kukiwasha, Pata Odd Bomba Hapa

Wiki hii Ligi zitaendelea kwa baadhi ya nchi kama Bundesliga, Serie A, na Laliga huku EPL ikisimama kupisha mashindano ya...

READ MORE

Droo ya Hatua ya 16 Bora ya Uefa Yatangazwa Rasmi, Vigogo Kuumana

DROO ya hatua ya mtoano ya Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya UEFA imetangazwa leo huku ikishuhudiwa baadhi ya miamba ya...

READ MORE

Kocha wa Arsenal Abainisha kwa Sasa Klabu Hiyo Inafikiria Mbio za Ubingwa

KOCHA wa Arsenal Mikel Arteta amebainisha kuwa kwa sasa Arsenal ipo kwenye mbio za kuwania Ubingwa wa Ligi Kuu ya...

READ MORE

Kisa Waarabu… Aziz Ki, Mayele Waapa Kuwamaliza Club Africain Nchini Tunisia

KUELEKEA mchezo wa marudiano dhidi ya Club Africain ya Tunisia, uongozi wa Yanga umeibuka na kuweka wazi kuwa mastaa wa...

READ MORE

Lopetegui Atambulishwa Rasmi Kuwa Kocha Mpya wa Wolves

WOLVERHAMPTON Wanderers imemtambulisha rasmi Julen Lopetegui raia wa Hispania na aliyewahi kuwa Kocha mkuu wa klabu ya Reala Madrid pamoja...

READ MORE

Chelsea Yamfungia Kazi Kinda wa Brazil, Madrid na PSG Zapigana Vikumbo

KLABU ya Chelsea ya nchini Uingereza imeonesha nia ya dhati ya kuinasa Saini ya kinda wa Brazil kutoka katika klabu...

READ MORE

Epl, Laliga, Ligue 1, Serie A na Bundesliga Kuendelea Wikiendi Hii, Pata Odds Bomba

Ni muendelezo wa Ligi mbalimbali ulimwenguni, EPL, LaLiga, Ligue 1, Serie A na Bundesliga zote zitatimua vumbi wikiendi hii, Usiwaze...

READ MORE

Kocha wa Manchester United Ten Hag Kumshusha Jude Kutoka Borussia Dortmund

IMEFICHUKA kuwa, Jude Bellingham yuko kileleni mwa orodha ya wachezaji wa nafasi ya kiungo wanaohitajika na Kocha wa Manchester United,...

READ MORE

Timo Werner Hatihati Kukosekana Fainali za Kombe la Dunia Nchini Qatar

NYOTA wa timu ya Taifa ya Ujerumani na klabu ya RB Leipzig ya nchini humo ambaye amewahi kukipiga katika klabu...

READ MORE

Bosi Yanga Ampa Ujanja Nabi Kupindua Matokeo Tunisia Dhidi ya Club Africain

ALIYEWAHI kuwa Makamu Mwenyekiti wa Yanga, Frederick Mwakalebela, amesema timu hiyo ina kibarua kigumu cha kufuzu hatua ya makundi ya...

READ MORE

Hassan Dilunga Afichua Siri ya Kambi Simba “Ninaikumbuka Familia Yangu”

KIUNGO Hassan Dilunga ambaye kwa sasa anajiuguza majeraha yake, amesema kuwa amekuwa akiwaambia wachezaji wa timu hiyo kupambana kuwapa furaha...

READ MORE

Mastaa Yanga Waapa Kuwamaliza Waarabu Kombe la Shirikisho Leo

HAINA Mbambamba! Ndivyo utakavyoweza kusema baada ya Kamati ya Mashindano ya Yanga, kutoa ahadi ya nusu bilioni, yaani Sh 500Mil...

READ MORE

Kocha wa Yanga Nabi Kutumia Mbinu za Simba Kuwamaliza Club Africain ya Tunisia

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mtunisia, Nasreddine Nabi, amepanga kuingia na mbinu mpya katika mchezo wa Play-Off wa Kombe la Shirikisho...

READ MORE

Mgusu – Machinjioni Waibuka Mabingwa wa GGML – Toto Cup

NA MWANDISHI WETU, GEITA TIMU ya watoto ya Mgusu Machinjioni imefanikiwa kutwaa taji la GGML- Toto Cup baada ya kuifunga...

READ MORE

Meridianbet Soka Bonanza ni Nuru Kwa Vipaji Vya Vijana Watoa Jezi, Mipira, Soksi na Glovu

Meridianbet Soka Bonanza wiki hii lilikuwa pale maeneo ya Yombo Kiwalani, kwenye ule uwanja wenye historia kubwa ya matukio ya...

READ MORE

Simba vs Mtibwa Kazi Ipo leo Jumapili Uwanja wa Mkapa, Dar… Kocha Mgunda Afunguka

ITAKUWA kazi kubwa ndani ya dakika 90 leo Jumapili Uwanja wa Mkapa, Dar, ambapo Simba itawakaribisha Mtibwa Sugar katika mchezo...

READ MORE

Kikosi cha Yanga Kimewasili Dar es Salaam Kikitokea Mwanza Kibabe – Picha

Kikosi cha Yanga kimewasili jijini Dar es Salaam kikitokea Mwanza ambapo walicheza mechi ya Ligi Kuu NBC dhidi ya wenyeji...

READ MORE

Rais wa Yanga Awahakikisha Mashabiki Kufuzu Makundi Shirikisho Dhidi ya Club Africain

RAIS wa Yanga, Injinia Hersi Said, amewahakikisha mashabiki na wanachama wa klabu hiyo kuwa, kikosi hicho kitafuzu hatua ya makundi...

READ MORE

Kiungo wa Chelsea Kuondoka Klabuni Bure, Barca Yamnyemelea

KIUNGO wa klabu ya Chelsea Ngolo Kante ameripotiwa huenda akaondoka klabuni hapo bure kabisa mwishoni mwa msimu ujao kutokana na...

READ MORE

Kisa Waarabu, Yanga Yatangaza Kutoa Tiketi 10,000 Bure Dhidi ya Club Africain

UONGOZI wa Yanga umetangaza kugawa bure tiketi 10,000 za mchezo wa Yanga dhidi ya Club Africain ya nchini Tunisia kwa...

READ MORE

Saido Ntibazonkiza Aipania Yanga Kesho kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza

  GODFATHER wa Bunjumura kiungo wa soka ambaye alipata umaarufu mkubwa akiwa na Klabu ya Yanga, Saido Ntibazonkiza, amefunguka kuwa...

READ MORE

Nabi Atoa Masharti Yanga Kuwaua Club Africain Uwanja wa Mkapa Kombe la Shirikisho

  WAKATI viongozi na mashabiki wa Yanga wakiumiza vichwa kuona namna ya kutinga hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho...

READ MORE

Simba Yaonja Uchungu wa Mwiko, Yapigwa na Azam Uwanja wa Mkapa

SIMBA chini ya kocha mkuu wa muda, Juma Mgunda, ilikuwa imejipa mwiko kuwa haitapoteza mechi yoyote msimu huu kirahisi, lakini...

READ MORE

Parimatch Yafanya Maboresho, Yaja Kibabe na Mfumo Mpya

Kampuni ya michezo ya kubahatisha Parimatch imefanya maboresho makubwa katika tovuti yao ya kubashiri, ambayo kwa sasa itawawezesha wateja wao...

READ MORE

Azam FC Yapania Kuharibu Rekodi ya Mgunda Simba Katika Uwanja wa Mkapa

  UONGOZI wa Azam FC, kupitia kwa Kaimu Ofisa Habari wake, Hashim Ibwe umewataka mashabiki wake kununua tiketi kwa wingi...

READ MORE

Mshambuliaji wa Simba Moses Phiri Ambebesha Zigo Zito Chama Simba

  MSHAMBULIAJI wa Simba, Mzambia, Moses Phiri amesema kuwa kiungo wao mshambuliaji, Clatous Chama ndiye atakayeamua kumpa ufungaji bora msimu...

READ MORE

Yanga Waendeleza Ubabe Wao, Wacheza Michezo 44 bila Kupoteza, Nabi Aweka Rekodi Mpya kwenye Ligi hapa Nchini

Mchezo wa Ligi kuu ya NBC Tanzania bara kati ya Yanga na KMC uliopigwa kwenye dimba la Mkapa jijini Dar...

READ MORE

Kocha Nabi Afunguka Kufutwa Kazi Yanga, Atoa Onyo Kwa KMC leo Kwa Mkapa

  HATIMAYE Kocha Mkuu wa Yanga, Mtunisia, Nassredine Nabi, amefunguka rasmi suala lake la kufukuzwa kazi ndani ya timu hiyo....

READ MORE

Kisa Joash Onyango… Ouattara Aomba Kuondoka Simba Katika Usajili wa Dirisha Dogo

  IMEFAHAMIKA kuwa, beki wa Simba raia wa Ivory Coast, Mohamed Ouattara, ameushinikiza uongozi wa timu hiyo, uvunje mkataba wake...

READ MORE

Breaking News: Taarifa Rasmi ya Yanga Kuhusu Kuachana na Kocha Nabi

  UONGOZI wa Yanga unapenda kuwataarifu mashabiki na Wanachama wake kuwa Nasreddin Nabi, bado ni kocha mkuu wa timu yetu....

READ MORE