×

Risasi

KIFO CHA BIBI HARUSI ALIYEKUFA AKIENDA SEND OFF DAR BWANA HARUSI ATAK A KUJIUA

MSIBA wa bibi harusi, Diana Jackson aliyefariki dunia kwa ajali wakati akienda kwenye ‘Send Off’ yake Dar es Salaam, umemvuruga...

READ MORE

DENTI CHUO KIKUU ALIYEUAWA KWA VISU UTATA MZITO

KIFO cha mwanafunzi wa Kampala International University (KIU), Anifa Mgaya aliyeuawa kwa kuchomwa kisu Jumapili iliyopita kimeibua utata kufuatia muuaji...

READ MORE

MAUMIVU YA VISIGINO NA MAGOTI

Maumivu ya visigino na magoni ni tatizo ambalo huwapata watu wote, maumivu ya magoti yanaweza kuwa makali au yakawa kwa...

READ MORE

SABABU WANAWAKE WAZURI KUTOOLEWA ZAANIKWA

WANAWAKE wengi warembo au wazuri husalia peke yao na kufa katika hali hiyo kutokana na sababu mbalimbali, Risasi Mchanganyiko limedokezwa. ...

READ MORE

SHOGA USIWE JUU JUU KAMA NYAMA YA BUCHANI

 UNANISHA-NGAA wakati umeshindwa kuyalinda maboga utaweza wapi matikiti maji weyeee! Haloooo eeeehhh wanakwambia kuvimba kwa mchele hakushtui mwiko shoga na...

READ MORE

HIVI NDIVYO RAYVANNY ANAVYOMUONA FAHYMA

Mwanamuziki mahiri kutoka Kundi la WCB, Raymond Mwakyusa ‘Rayvanny’ amesema kuwa mpenzi wake ambaye pia amezaa naye motto mmoja Fahyma,...

READ MORE

RAMMY, JINA LA KANUMBA FEKI LILINIHARIBU KISAIKOLOJIA

Muigizaji mahiri wa kiume wa Bongo Muvi, Rammy Gallis, amesema kuwa hakuna kitu kilichokuwa kikimuharibu kisaikolojia akilia mara kwa mara...

READ MORE

BAADA YA KUMWAGANA NA DOGO JANJA…UWOYA NDOA TENA!

STAA wa Filamu Bongo, Irene Uwoya anafunga ndoa tena, Risasi Jumamosi limenasa ishu na mwenyewe amefunguka ukweli.  Uwoya ambaye awali...

READ MORE

HAMISA MOBETO:UREMBO WANGU NJE , ILA JIKONI HUNIWEZI!

NI wakati mwingine mzuri wa wewe mpenzi msomaji kupata nafasi nyingine tena ya kujua maisha halisi wanayoishi mastaa mbalimbali kupitia...

READ MORE

AMBER RUTTY AIBUKA KIVINGINE

MSANII chipukizi wa Bongo Fleva, Rutyfiya Abubakary ‘Amber Rutty’ amevunja ukimya wa muonekano wake baada ya kuibuka kivingine. Kwa mujibu...

READ MORE

MREMBO ALIYETWAA TAJI CHINA AFUNGUKA

MREMBO Anitha Mlay aliyeshika nafasi ya pili katika Shindano la Kimataifa la Mazingira la Miss Landscape nchini China, amefungukia safari...

READ MORE

WOLPER DHARAU ZIMENICHELEWESHA U-BOSS LADY!

STAA wa filamu ambaye hivi sasa amegeukia ufundi cherehani, Jacqueline Wolper, amefunguka kuwa dharau zake zilimfanya asiwe tajiri wa kike...

READ MORE

KILA SIKU UNAKIMBIWA NA WANAWAKE, UMEGUNDUA SABABU?-2

TUNAZU-NGUMZA kuhusu mapenzi, kama ilivyo kawaida ya ukurasa huu. Leo namalizia mada yangu niliyoanza wiki iliyopita. Ni kuhusu mambo ambayo...

READ MORE

Q CHILLA ‘AOTA’ KURUDIA ENZI

MWANAMUZIKI wa Kizazi Kipya, Abubakary Katwila ‘Q-Chillah’ amejitapa kurudi katika gemu la muziki kama ilivyokuwa mwanzoni mwa miaka ya 2000...

READ MORE

DAVINA: SITAKI KUTUMIKA TENA

Muigizaji mkongwe Bongo Muvi, Halima Yahaya ‘Davina’ amefunguka kuwa hapendi tena kutumika kwa wanaume ambao hawana msimamo katika maisha yake...

READ MORE

LULU DIVA AMFUNGUKIA RIYAMA

STAA wa Bongo Fleva ambaye, Lulu Abbas ‘Lulu Diva’ amemfungukia staa mwenzake kwenye tasnia ya filamu Bongo, Riyama Ally kuwa...

READ MORE

MFANYE MUMEO AWAHI NYUMBANI

SIPENDI na wala sitaki kusikia kwani unamkosesha raha mtoto wa mwenzio, kuku wako mwenyewe kwa nini akushikie manati. Kwa nini...

READ MORE

KAJALA AFICHUA CHIMBO JIPYA LA MASTAA!

STAA wa filamu Bongo, Kajala Masanja amefichua chimbo jipya la mastaa lililopo katika msitu wa Magoroto uliopo Wilaya ya Muheza,...

READ MORE

BINTI KIBOKO YA ZARI KUTUA BONGO

NYOTA ya binti wa miaka 18, Regina Daniels maarufu kama ‘Kiboko ya Zari’ raia wa Nigeria inazidi kung’aa baada ya...

READ MORE

UCHEBE AFUNGUKA KUMDUNDA SHILOLE

MUME wa mwanamuziki wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ Ashiraf Uchebe, amesema tangu aanze kuwa na uhusiano wa kimapenzi na...

READ MORE

HUSNA MAULID: UYATIMA UMENIFUNDISHA MAISHA

MREMBOambaye amewahi kushiriki mashindano mbalimbali ya urembo nchini Husna Maulid, amesema uyatima umemfanya ayajue maisha mapema kwani mpaka sasa angekuwa...

READ MORE

BAADA YA MIAKA 6 MAMA AIBUA MAPYA KIFO CHA NGWEA

REWIND! Ni miaka sita tangu alipofariki dunia mfalme wa freestyle kwenye muziki wa Hip Hop Bongo, Albert Kenneth Mangweha ‘Ngwea’,...

READ MORE

ALIYEKATWA MIKONO ASHTUA WENGI!

MARIAMU Staford ni mwanamke mwenye ualibino aliyefanyiwa unyama wa kutisha wa kukatwa mikono yake yote mwaka 2008 akiwa nyumbani kwao...

READ MORE

PUNGUZA MAJI UGALI UIVE

NASHUKURU kwa wote mlionipongeza kwa kupata mafunzo ambayo hawakuyapata hapo awali, siyo wote wamepitia mafunzo ya utaratibu wa maisha wa...

READ MORE

IRENE PAUL AMKATAA MONDI

Msanii wa filamu za Kibongo, Irene Paul, amemkataa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kwa kusema hawezi na...

READ MORE

ELEWA JINSI YA KUEPUKA KIFAFA CHA MIMBA (ECLAMPSIA)

Mjamzito aliyepata kifafa cha mimba kwenye ujauzito uliopita, ana uwezekano mkubwa wa kupata tena. Imegundulika kuwa iwapo mwanamke anazaa na...

READ MORE

NELLY AYASIKITIKIA MAISHA YA UJANA

Mwanamitindo na mrembo ambaye ameshika mataji mbalimbali Bongo likiwemo la Miss Universe Tanzania 2011,amefunguka hakuna kitu anachosikitikia kama ujana ambao...

READ MORE

 LULU AJIRI BODIGADI WA KIKE

 MWANAMUZIKI anayetamba na wimbo wa Mapopo ulio hewani kwa sasa, Lulu Abasi ‘Lulu Diva’ baada ya pesa kumtembelea ameajiri bodigadi...

READ MORE

MPENZI WAKO YUKO MBALI ? JUMUIKA NAYE SIKUKUU KWA STAILI HII

NI wiki nyingine tulivu tunakutana tena kupitia ukurasa huu nikiamini umzima bukheri wa afya na unaendelea vyema na majukumu yako...

READ MORE

PENNY, HABARI YA NDOA NITASHANGILIA WENZANGU TU, MIMI HAPANA!

MTANGAZAJI wa Kipindi cha Harusi Yetu kupitia Runinga ya Magic Swahili, Penieli Mwingilwa ‘Penny’ amefunguka kuwa anafurahi anapoona wenzake wakifunga...

READ MORE

FAHAMU AINA ZA UGUMBA (INFERTILITY); KUJIKINGA

UGUMBA ni hali inayotokea iwapo watu wawili, mwanaume na mwanamke wanapokutana kimwili bila kutumia njia yoyote ile ya upangaji uzazi...

READ MORE

MUNA: ULOKOLE SIYO KUJIBWETEKA

MWIGIZAJI wa Bongo Muvi ambaye kwa sasa amemrudia Mungu, Rose Alphonce ‘Muna’ amesema watu wengi wanafikiri mtu akiokoka, basi muda...

READ MORE

POSHY RAMMY MSHIKAJI TU

SIKU chache baada ya kuonekana wakiongozana kama mtu na mpenzi wake katika futari maalum iliyoandaliwa na msanii wa Bongo Fleva,...

READ MORE

 ASALI HAIONJWI KWA JIRANI

NIMEKUJA tena shangingi wa mashangingi wote wa mjini, shangingi lililopigana vita na kuwa sugu la kuwafunda wengi.   Habari zenu,...

READ MORE

MAMBO YAKUZINGATIA IWAPO UNATAKA KUSHIKA MIMBA

WanaWake wengi wanapenda kushika mimba lakini baadhi yao hawashiki. Sio kwa mapenzi yao, hivyo leo tutashauri nini cha kufanya ili...

READ MORE

TANSHA ATAJA SABABU ZA KUITOSA WCB

W AKATI ngoma yake ikiwa ‘hot’ katika redio mbalimbali nchini Kenya, demu wa staa wa Bongo Fleva, Tanasha Donna Oketch...

READ MORE

MENINAH AGEUKIA U-MC

SIKU chache baada ya kutangaza kugeukia kwenye uigizaji, msanii wa Bongo Fleva, Meninah Atik ameamua kugeukia pia kwenye ushereheshaji wa...

READ MORE

NJIA YA KUEPUKA KISUKARI (DIABETES)

UGONJWA wa kisukari (diabetes) unaongezeka haraka sana hivi kwamba umekuwa janga la ulimwenguni pote. Kuna aina mbili kuu za kisukari. ...

READ MORE

ZAMARADI: MUME WANGU HANA JEURI YA KUNIACHA

MTANGAZAJI maarufu wa Televisheni ya Clouds, Zamaradi Mketema amesema kuwa watu wengi wamekuwa wakiongea maneno ya kufanya ndoa yake iingie...

READ MORE

HATA ‘SINGLENDI’ NI NGUO YA NDANI

HALOOOOO EEEHHHH wanakwambia raha ya tembele liwe na mafuta mengi, upo nyonyo! Mjini mjini tu kama umezoea maghorofa wenzako tumezoea...

READ MORE