×

Risasi

Baba Haji akomalia sinema za kidini

Mkongwe wa Bongo, Haji Adam ‘Baba Haji’ Stori:Mwandishi Wetu, RISASI JUMAMOSI MUIGIZAJI mkongwe Bongo, Haji Adam ‘Baba Haji’, amesema baada...

READ MORE

Video: Chid Benz Adaiwa Kutoroka Sober House

Msanii wa Muziki wa Hip Hop Bongo, Rashid Makwilo ‘Chid Benz’. Boniphace Ngumije na Mayasa Mariwata, RISASI DAR ES SALAAM:...

READ MORE

Isabela Aachwa… Karama Aoa Kifaa Kingine

Luteni Karama na mkewe mpya, Aisha Yassin. Richard Bukos na Issa Mnally, RISASI DAR ES SALAAM: Msanii wa Muziki wa...

READ MORE

Nay Amnasa Mchumba Mhabeshi

Demu mpya wa Nay wa Mitego, Addi Na Gladness Mallya,RISASI MCHANGANYIKO DAR ES SALAAM: Miezi michache tu baada ya staa...

READ MORE

Kigogo wa Sukari: Magufuli ametunyoosha

Rais John Magufuli Na Ojuku Abraham, RISASI MCHANGANYIKO DAR ES SALAAM: Mfanyabiashara mmoja mkubwa, ambaye hivi karibuni alikutwa na tani...

READ MORE

Nisha: Watoto Yatima Ndiyo Starehe Yangu

Salma Jabu ‘Nisha’ akila chakula cha pamoja na watoto yatima. STAA anayetamba na filamu ya Kiboko Kabisa, Salma Jabu ‘Nisha’...

READ MORE

Kiba, Diamond Kimenuka Hatari!

Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’. Stori: Mwandishi Wetu, Risasi Jumamosi DAR ES SALAAM: Kimenuka! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia mafahari wawili...

READ MORE

Moto wa ajabu wateketeza mzamzito, mtoto na bibi!

Bibi Tatu Issa akiwa na mjukuu wake, Catherine Stewart enzi za uhai wao. Stori: Gladness Mallya na Mayasa Mariwata, Risasi Jumamosi...

READ MORE

Mwanza: Wauawa kwa Kuwatapeli Wafanyabiashara

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, SACP Justus Kamugisha. Stori: Mashaka Baltazar, RisasI Jumamosi Watu wawili wakazi wa Maswa Mkoani...

READ MORE

Busu la Penny lazua utata

Stori: Imelda Mtema Busu ambalo mtangazaji Peniel Mungilwa ‘Penny’ amempiga mwigizaji Shamsa Ford limezua utata kufuatia watu kumhusisha na tabia...

READ MORE

Amanda abanwa kuhusu Ukimwi, afunguka

Amanda Poshi. Stori: Erick Evarist MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Amanda Poshi amefungukia taarifa zinazomhusisha yeye kuugua maradhi ya Ukimwi....

READ MORE

Tani za Kutisha za Cocaine Zaingizwa Kupitia Sukari

Picha ya madawa ya kulevya (na maktaba). Stori: Mwandishi Wetu, Risasi Jumamosi DAR ES SALAAM! Serikali imetahadharishwa kuhusu madai kwamba,...

READ MORE

Penzi la Dimpoz, Mchumba’ke Lameguka!

Staa wa Bongo Fleva, Omary Nyembo ‘Dimpoz’ na Zee. Stori: Boniphace Ngumije, Risasi jumamosi DAR ES SALAAM: Jambo limezua jambo!...

READ MORE

Lulu, Gigy Money Wacharuana

Elizabeth Michael ‘Lulu’ Stori: Gladness Mallya, Risasi jumamosi DAR ES SALAAM: MASTAA wawili wa filamu, Elizabeth Michael ‘Lulu’ na Gift...

READ MORE

Diamond Amkuwadia Wolper kwa Harmonize

Diamond Platnumz DAR ES SALAAM: Ama kweli penzi ni kikohozi, kulificha huwezi. Baada ya usiri mzito kutawala, hatimaye imebainika kuwa...

READ MORE

Kigogo amjengea mjengo Vai wa Ukweli!

Muigizaji Isabela Francis ‘Vai wa Ukweli’ NA MWANDISHI WETU, RISASI MCHANGANYIKO DAR ES SALAAM: Licha ya madai kuwa soko la...

READ MORE

Ishu ya Udhalilishaji…Makosa 3 ya Gardner kwa Jide!

Mtangazaji Gardner G. Habash. NA OJUKU ABRAHAM GARDNER G. Habash na Judith Wambura Mbibo bado ni stori kubwa mjini, licha...

READ MORE

Wema, Dimpoz Live Tena!

Wema Sepetu chumba kimoja na staa wa Bongo Fleva, Omar Nyembo ‘Ommy Dimpoz’. Stori: Mwandishi Wetu, Risasi Jumamosi DAR ES SALAAM:...

READ MORE

Usiku wa ya Kale ni Dhahabu.. Dar Live patakuwa hapatoshi

Hadija Yusuf. Stori: Mwandishi Wetu, RISASI JUMAMOSI UWANJA wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar, unatarajiwa ‘kubanana’ pale...

READ MORE

Giggy Money: Gardner Kwangu Hachomoki

Stori: Gift Stanford ‘Giggy Money’ katika pozi na mtangazaji maarufu Bongo wa Kituo cha Redio cha Clouds FM, Gardner G. Habash. Boniphace...

READ MORE

Mrembo Anayedaiwa Kutembea na Diamond Kumbe Denti

Mrembo anayedaiwa ‘kutembea’ na Diamond, Irene Hilaly  ‘Lynn’. Stori: Mayasa Mariwata, RISASI JUMAMOSI BINTI anayedaiwa kubanjuka kimalovee na staa wa Bongo...

READ MORE

Nadia Buhari ateswa na aibu

Nadia Buhari Mrembo anayeuza nyago kwenye filamu za Ghallywood, Nadia Buhari amefunguka kuwa tabia yake ya aibu inamtesa sana kiasi...

READ MORE

Justin bieber hapigi picha tena!

Justin Bieber Mkali wa miondoko ya Muziki wa Pop duniani, Justin Bieber amefunguka kupitia Mtandao wa Kijamii wa Instagram kuwa...

READ MORE

Undani kifo cha Kinyambe

Marehemu James Peter Nsemwa ‘Kinyambe’ enzi za uhai wake. Stori: Ojuku Abraham, RISASI JUMAMOSI DAR ES SALAAM: WAKATI mwili wa msanii wa...

READ MORE

Ruvuma: RC Aachunguza Kifo cha Mlinzi

Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma (RC), Benson Mpesya. Stori: Stephano Mango, RISASI JUMAMOSI Ruvuma: Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma...

READ MORE

DC Abamba Pombe za Viroba

 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni (DC), Ally Hapi Salum akikagua shehena ya pombe kali za viroba. Stori: Mwandishi Wetu, RISASI JUMAMOSI...

READ MORE

Lupita Nyong’o avujisha Queen of Katwe

Lupita Nyong’o Muuza nyago mwenye jina kubwa duniani ambaye pia ni Mshindi wa Tuzo ya Oscar, Lupita Nyong’o hivi karibuni...

READ MORE

Shamsa ford ashoboka

Shamsa Ford HIVI karibuni muuza nyago Bongo, Shamsa Ford alitupia kwenye Mtandao wa Kijamii wa Instagram picha akiwa amevaa jezi...

READ MORE

Kuzuia na kudhibiti kupanda kwa shinikizo la damu

SHINIKIZO la damu ni msukumo wa damu kwenye kuta za mishipa. Shinikizo la damu laweza kupimwa kwa ukanda wa mpira...

READ MORE

Afisa tarafa matatani kwa ubakaji

Binti anayedaiwa kubakwa. Gladness Mallya, RISASI MCHANGANYKO PWANI: Afisa Tarafa mmoja mkoani hapa, ameingia matatani akituhumiwa kumbaka mwanafunzi wa darasa...

READ MORE

Aunt Ezekiel adaiwa kumchepuka Iyobo

Na MUSA MATEJA, Risasi MCHANGANYIKO DAR ES SALAAM: Staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel amekwaa skendo ya kudaiwa kumsaliti mpenzi...

READ MORE

Papa Wemba kaondoka na utamu wake

Makala: Boniphace Ngumije Ni majonzi tele katika tasnia ya Muziki wa Dansi, Rhumba na Afro Pop Soukous kufuatia kifo cha...

READ MORE

Siwema wa Nay ahenyeshwa gerezani!

Mwanadada Siwema Edson. NA MWANDISHI WETU, RISASI MCHANGANYKO DAR ES SALAAM: Kufuatia kifungo cha miaka miwili jela kwa mwanadada Siwema...

READ MORE

Beckham amuandaa Cruz kuwa Bieber

David Beckham na mwanaye Cruz Beckham MWANASOKA wa zamani wa Man United ya England na Madrid ya Hispania, David Beckham...

READ MORE

Zawadi ya gari kwa Blac Chyna Yazua Kizaazaa

Rob Kardashian na Blac Chyna ZAWADI ya gari jipya aina ya Lamborghini lenye rangi ya pinki ambayo kaka wa mwanamitindo...

READ MORE

Liyumba Azikwa na Siri ya Balali

Baadhi ya waombolezaji wakipita pembeni ya jeneza kutoa heshma za mwisho. Stori: Waandishi wetu, Risasi Jumamosi DAR ES SALAAM, MOROGORO: Aliyekuwa...

READ MORE

Makonda amtumbua Asha Baraka

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda Stori: Richard Bukos, Risasi Jumamosi Dar es Salaam: Ile amri ya Mkuu...

READ MORE

Usiku wa uswazi… Wakali wa Singeli, Mduara Kutikisa leo Dar Live

Msaga Sumu Stori: Andrew Carlos WAKALI wa nyimbo za Mduara, Singeli, Mchiriku na Bongo Fleva wanatarajiwa kutikisa leo (Aprili 23),...

READ MORE

Staili ya Magufuli Kuibuka Mitaani Yashtua Wengi

Rais John Pombe Magufuli akiwasalimia walemavu. Stori: Ojuku Abraham, Risasi Jumamosi DAR ES SALAAM: Staili inayotumiwa na Rais John Pombe Magufuli...

READ MORE