×

Mayele Ataja Kinachompa Kiburi Kwa Simba “Hawana Presha ya Ubingwa”

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Mkongomani, Fiston Mayele, amesema katika mchezo ujao dhidi ya Simba, wataingia uwanjani wakiwa hawana presha ya ubingwa...

READ MORE

Ukimuita Mwenzio Mchawi Njombe Unakwenda Jela Miaka Saba

POLISI mkoani Njombe imeonya wananchi kujihusisha na vitendo vya ushirikina na kubainisha kuwa yeyote atakayemuita jirani yake mchawi na kukamatwa...

READ MORE

Winga wa Orlando Amtaja Mchawi wa Simba “Wingi wa Mashabiki Kwa Mkapa”

WINGA wa Orlando Pirates ya nchini Afrika Kusini, Gabadinho Mhango, ametaja sababu kubwa inayowafanya Simba kupata matokeo mazuri katika michezo...

READ MORE

Kisa Orlando… Simba Yawaficha Morrison, Sakho Sehemu Tulivu Zaidi Dar

KATIKA kuhakikisha wanaibuka na ushindi kwenye mchezo wa kwanza nyumbani dhidi ya Orlando Pirates, uongozi wa Simba umepanga kuwahamisha kambi...

READ MORE

Bilionea Namba Moja Duniani Elon Musk Atoa Kitita Kizito Kuinunua Twitter

BILIONEA namba moja Duniani Elon Musk ametoa ofa ya Dola Bilioni 43.4 kununua mtandao wa kijamii wa Twitter. Kwa mujibu...

READ MORE

Video: Kwa Uchungu Mume wa Maunda Zorro Aeleza – “Tulipanga Kubariki Ndoa Yetu”

Mume wa Maunda Zorro, amesimulia jinsi alivyoenda kuutambua mwili wa mkewe hospitali baada ya kupata ajali. Anaeleza kwamba ni ngumu...

READ MORE

Mfalme Wa Morocco Aridhia Kufunguliwa Mskiti wa Kisasa

    Mfalme wa Morocco Mtukufu Muhammed wa sita ameruhusu kufanyika ufunguzi mdogo wa msikiti wa Mohamed wa sita na...

READ MORE

Mshindi wa Bet Bonanza Aelezea Furaha Yake ya Ushindi Baada ya Kushinda Milioni 15

MSHINDI wa droo ya mwisho na kubwa ya Bet Bonanza ya Sportpesa, George Jafari Kimaro, leo asubuhi amefika katika ofisi...

READ MORE

Kabla ya Kifo Chake Maunda Zorro Alikanusha Kutumia Madawa ya Kulevya-Video

MAREHEMU Maunda Zorro kabla ya kifo chake alifanya mahojiano marefu na Global Radio pamoja na Global TV ambapo alielezea safari...

READ MORE

Kariakoo Yatengewa Bilioni 10 Kufanyiwa Ukarabati na Kujengwa Ghorofa Jipya

KATIKA Mwaka wa Fedha 2022/23, Shirika la Masoko ya Kariakoo limetengewa Shilingi Bilioni 10.00 kwa ajili ya ujenzi na ukarabati...

READ MORE

Sikukuu ya Pasaka: Kanisa la VCCT Lililopo Mbezi Dar, Limeandaa Tamasha Kubwa

Kuelekea Sikukuu ya Pasaka, Kanisa la VCCT lililopo Mbezi jijini Dar es Salaam, limeandaa tamasha kubwa la Easter Production 2022...

READ MORE

Nafasi ya Kazi NBC Bank, Lead Generator

Lead Generator Apply locations Kigoma Branch NBC posted on Posted 2 Days Ago job requisition id R-15920575 NBC is the...

READ MORE

Simba Yashusha Pacha Wa Inonga Beki wa Kisiki wa Cape Town City ya Afrika Kusini

HATIMAYE uongozi wa Simba, kupitia kamati ya usajili umeamua kufanya kweli kwa beki wa Cape Town City ya Afrika Kusini,...

READ MORE

Simulizi: Mwanachuo Aliyepotea Mtoni Kwa Siku 2, Wazee Wakafanya Tambiko -Video

Mwanafunzi wa Chuo kikuu cha Mtakatifu Augustino Arusha, Israeli Malya, katika hali isiyokuwa ya kawaida inaelezwa kuwa alipotea katika mto...

READ MORE

Enzi za Uhai wa Maunda Zorro: Alieleza Kwanini Alikaa Kimya kwa Muda Mrefu-Video

TAARIFA za kusikitisha zilizoitingisha tasnia ya muziki wa Bongo Fleva usiku wa kuamkia leo ni kifo cha mwanadada Maunda Zorro...

READ MORE

Watumishi wa Ofisi ya Ubalozi wa Tanzania, Washington Marekani Wampokea Rais Samia

Viongozi, Watumishi wa Ofisi ya Ubalozi wa Tanzania pamoja na Baadhi ya Wawakilishi kutoka nchi za SADC walifika kumpokea Rais...

READ MORE

Lukaku Kutimka Chelsea, Ampiga Chini Wakala wake na Kujiunga na Raiola

MSHAMBULIAJI wa Klabu ya Chelsea ambao ni Mabingwa wa Ulaya kwa ngazi ya vilabu Romelu Lukaku anafikiria uamuzi wa kubadili...

READ MORE

#Live: Bunge La Bajeti, Wabunge Wanachangia Hoja Katika Bajeti Ya Wizara Ya Tamisemi…

Kikao cha Bunge la 12, mkutano wa saba, kikao cha saba unaendelea leo Aprili 14, 2022 jijini Dodoma. ⚫️ SIKILIZA...

READ MORE

Uingereza Yatoa Uamuzi Mgumu, Wahamiaji Haramu Kupelekwa Afrika Mashariki

SERIKALI ya Uingereza kupitia kwa Waziri wa Mambo ya Ndani wa nchi hiyo Priti Patel inataraji kusaini mkataba na serikali...

READ MORE

Kocha wa Simba Atoa Tamko Zito “Orlando Wazuri, Lakini Hawatoki kwa Mkapa”

KOCHA Mkuu wa Simba Mhispania, Pablo Franco amesema kuwa ni kweli wapinzani wao Orlando Pirates ya Afrika Kusini ni wazuri,...

READ MORE