×

Kiungo Mrundi Amchambua Fei Toto wa Yanga, Atamani Kucheza Pamoja

KIUNGO mkabaji wa Kiyovu ya Rwanda, Mrundi, Ismail Nshimiyimana ‘Pitchou’, amefunguka kuwa, haitakuwa shida kwake kama ikitokea anapata nafasi ya...

READ MORE

Rais Samia Azindua kwa Mara ya Pili Filamu ya The Royal Tour Jijini Los Angeles

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya uzinduzi mwingine wa awamu ya pili wa filamu ya...

READ MORE

Sahau Kuhusu Mswaki, Tafiti Zinadai Kubusiana Mara 4 kwa Siku Kunadumisha Afya

DAKTARI bingwa wa meno kutoka nchini Uingereza anasema watu wanapaswa kubusiana dakika 4 kwa siku ili kudumisha afya ya meno,...

READ MORE

Aweso Awasimamisha Kazi Wanne Bwawa la Milioni 600 Handeni

Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb) amefanya kikao na wadau wa Sekta ya Maji wa Handeni na kuelekeza hatua...

READ MORE

Picha za Satelaiti Zaonesha Makaburi ya Halaiki Yaliyochimbwa Mariupol

“Makaburi ya pamoja ya wakazi wa Mariupol yanadaiwa  kuwa waliouawa na jeshi la Urusi yanafanyika katika kijiji kilicho karibu na...

READ MORE

Klabu ya Simba Yaanza Safari Kwenda Afrika Kusini, Pambano Kupigwa Jumapili

KLABU ya Soka ya Simba imeanza safari Alfajiri ya leo ijumaa 22, 2022 kuelekea nchini Afrika Kusini ambako itakwenda kucheza...

READ MORE

Vivo Y01 Yazinduliwa Nchini Tanzania

Dar es Salaam. Tarehe 22 Aprili, 2022. Kampuni inayoongoza kwa utoaji wa huduma za  kidijitali nchini, Tigo Tanzania, imeshirikiana na...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Ijumaa kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazeti la Ijumaa kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa...

READ MORE

Habari Kubwa za Magazeti ya Tanzania Leo Ijumaa, Aprili 22, 2022

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Aprili 22, 2022 Usipitwe na Matukio,...

READ MORE

Mbunifu wa Kuyeyusha Chuma Asiyejua Kusoma na Kuandika Aomba Kupelekwa China

  REUBEN Mtitu maarufu kwa jina la Mzee Kisangani ambaye ni mbunifu wa kuyeyusha chuma katika eneo la Mkiu wilaya...

READ MORE

Viongozi Waandamizi wa Vodacom Wamtembelea Mkuu wa Mkoa Dodoma

Mkuu wa mkoa wa Dodoma, Antony Mtaka, akisalimiana na Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania PLC, Rosalynn Mworia,...

READ MORE

Mzee Wa Miaka 83 Apata Mtoto Wa Kwanza, Miaka 57 Ya Ndoa

Josiah Mwesigye mwenye miaka 83, raia wa Uganda amefanikiwa kupata mtoto wake wa kwanza baada ya kutafuta mtoto bila mafanikio...

READ MORE

Spika Tulia Amtwisha Mzigo Waziri Mkuu, Amtaka Atatue Mzozo wa Bodaboda na Bajaji

  SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Tulia Akson amemtaka Mtendaji Mkuu wa shughuli za Serikali...

READ MORE

Lewis Hamilton na Serena Williams Waungana Kuinunua Klabu ya Chelsea

BINGWA wa Dunia mara saba katika mashindano ya uendeshaji wa magari ya Langalanga maarufu kama Formula 1 Sir Lewis Hamilton...

READ MORE

Manchester United Yamtambulisha Rasmi Kocha Mkuu kwa Ajili ya Msimu Ujao

KLABU ya soka ya Manchester United imemtambulisha kocha wa sasa wa Ajax ya nchini Uholanzi Erik Ten Haag kama kocha...

READ MORE

Google Yazindua Kituo cha Ukuzaji wa Bidhaa Nairobi Kenya Ambacho ni cha Kwanza Afrika

Mtandao wa Google umezindua kituo cha ukuzaji wa bidhaa jijini Nairobi Kenya ambacho ni cha kwanza katika bara la Afrika...

READ MORE

TAMISEMI Yatangaza Nafasi za Ajira kwenye Kada za Afya na Ualimu

SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya TAMISEMI imetangaza nafasi za Ajira kwa Walimu na Madaktari ambalo...

READ MORE

Video: Mkasa Mzito Wa Dereva Mwanamke Wa Malori, Asimulia Mateso Aliyopitia Dodoma (1&2)

Dereva Catherine Sanga yeye ni Dereva wizara ya Elimu kwa sasa anatusimulia Magumu aliyoyapitia hadi ndoto yake kutimia ya kuwa...

READ MORE

Kariakoo Dabi Yawapagawisha Makocha wa Simba na Yanga Uwanja wa Mkapa, Bado Siku 9

MAKOCHA wa Simba na Yanga, kwa sasa wanapigia hesabu mechi zilizopo mbele yao, huku jicho zaidi likitupiwa Aprili 30, mwaka...

READ MORE

Waziri Bashungwa Atoa Maelekezo Zuio la Bajaji, Bodaboda Mjini Dar

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Innocent Bashungwa amemuelekeza Mkuu wa Mkoa wa...

READ MORE