×

Wateja 700 Wabeba Mil 70 Droo Ya “Mastabata Kivyakovyako”

IKIWA ni Wiki ya Saba tangu kuanza kwa Kampeni ya ‘NMB MastaBata Kivyako Vyako’ jumla ya shilingi milioni 70 zimetolewa...

READ MORE

Yasome Hapa Magazeti ya Leo Februari 20, 2022

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Februari 20, 2022 Usipitwe na Matukio,...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la SpotiXtra kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/= iOS :...

READ MORE

H Baba, Mwijaku wazidi Kuvuana Nguo

BAADA ya kudai kujitenga kumshabikia msanii Harmonize, mkongwe wa Bongo Fleva, Hamisi Ramadhani Baba (H Baba) na mtangazaji Burton Mwemba...

READ MORE

Ujio wa Asa na Ngoma Mpya ‘Ocean’

MWANAMUZIKI mahiri kutoka nchini Nigeria, Asa ameachia ngoma yake mpya iitwayo Ocean aliyofanya na prodyuza maarufu, Priime, ikiwa ni maandalizi...

READ MORE

Huddah: Sasa Nahitaji Sugar Daddy

MREMBO staa wa mitandaoni wa Kenya, Huddah Monroe amekiri kwamba sasa amechoka kugharamia bili zake mwenyewe hivyo anahitaji sugar daddy...

READ MORE

Mwili wa Dkt. Mwele Waagwa Karimjee

Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa pamoja na Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson wameongoza...

READ MORE

Chico, Moloko Wamvurugia Nabi

KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi, amesema kuwa kukosekana kwa wachezaji wake zaidi ya saba katika kikosi chake, kunamvurugia mipango...

READ MORE

Conte: Nyota Tuliowasajili Januari Hamna Kitu

KOCHA Antonio Conte amedai kuwa sera ya usajili ya Tottenham inadhoofisha kikosi, huku akiweka wazi kuwa wachezaji waliowasajili wakati wa...

READ MORE

Mwili Wa Dkt. Mwele Malecela Waagwa Dar Es Salaam-Video

MWILI wa Dkt. Mwele Malecela umeagwa leo katika viwanja vya Karimjee  jijini Dar es salaam, alizaliwa 26 machi 1963 na...

READ MORE

Rayvanny Alamba Dili Kubwa La Ubalozi – ”Toka WCB Unanyonywa”- Video

BOSS wa lebo ya Next Level Music na hit maker wa ngoma ya Tetema, Rayvanny amezungumza na waandishi wa habari...

READ MORE

Deo Kanda Ruksa Kuivaa Yanga

MTIBWA Sugar imethibitisha kuwa muda wowote kuanzia sasa, itaanza kumtumia winga wao raia wa DR Congo, Deo Kanda baada ya...

READ MORE

Mwili wa Dk. Mwele Wawasili Dar

MWILI wa marehemu Dk. Mwele Ntuli Malecela umewasili jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo, majira ya saa sita...

READ MORE

Mabusu Live! Diva Na Mumewe Waoneshana Mahaba Hadharani- Video

GLOBAL TV imefanya mahojiano na maharusi wapya mjini, Diva na Mumewe Abdul, kuhusiana na ndoa yao ya ghafla iliyoshtua watu...

READ MORE

Mtoto Wa Miezi Mitatu Aibwa, Mama Yake Aeleza Ilivyokua-Video

JESHI la Polisi mkoani Geita linamshikilia mwanamke mmoja anayejulikana kwa jina la Maria mkazi wa kwa tuhuma za wizi wa...

READ MORE

Hamiliton Akanusha Kustaafu Mbio Za Langalanga

BINGWA mara saba wa mbio za Formula 1, Lewis Hamiliton amethibitisha kuendelea kukimbiza magari kwenye mbio hizo za  Langa langa...

READ MORE

Tanzania Yapata Msaada Wa Tril. 1.15

  SERIKALI ya Tanzania imepata msaada wa Euro milioni 425 ambayo ni sawa na shilingi trilioni 1.15 kutoka Kamisheni ya...

READ MORE

Aunt: Sijafuata Mkumbo

AUNT Ezekiel Grayson Jujuman ni staa mkubwa wa Bongo Movies amekiri kwenda nchini India kwa ajili ya kufanya upasuaji wa...

READ MORE

Taylor, Mahrez Watarajia Kumpata Mtoto

MWANAMITINDO Taylor Ward amefichua kuwa anatarajia mtoto na kiungo nyota wa Manchester City, Riyad Mahrez hivi karibuni alitupia picha wakiwa...

READ MORE

Simba Yatishia Afrika Kuvaana USGN, Niger

KUELEKEA michezo yao miwili ya ugenini ya hatua ya makundi Kombe la Shirikisho Afrika, uongozi wa Simba umeweka wazi kuwa...

READ MORE