×

Kimenuka; Urusi Yaanza Kuishambulia Ukraine

Ilianza kama masihara, chokochoko zikapamba moto na sasa, tayari mashambulizi ya kijeshi ya majeshi ya Urusi yameanza rasmi katika ardhi...

READ MORE

Bosi Yanga Avujisha Mbinu za Ubingwa

WAKATI Yanga SC jana Jumatano ikimaliza mechi za mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu Bara ikiwa kileleni, uongozi wa timu...

READ MORE

Mjomba Amng’oa Kucha Mpwa wake kwa Madai ya Kuiba Mirungi

Mwanamume mmoja amekamatwa katika eneo la Laare, kaunti ya Meru kwa tuhuma ya kumpiga na kumng’oa kucha mpwa wake mwenye...

READ MORE

Binti wa Museveni Amtambulisha Mpenzi Wake

BINTI wa Rais Yoweri Museveni wa Uganda, Dkt. Angela Nagasha Kakishozi amemtambulisha rasmi mpenzi wake wa muda mrefu, Amanya Tumukunde...

READ MORE

Video; Lulu Diva Amwaga Machozi Akisimulia Kifo Cha Mama Yake

 GLOBAL TV tumefanya mahojiano na Mwanamuziki Lulu Diva, ikiwa ni miezi michache baada ya kifo cha mama yake mzazi....

READ MORE

Waziri Mkuu Alivyokutana na Wabunge wa Marekani

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema kuwa Tanzania itaendeleza uhusiano na mataifa mbalimbali duniani ikiwemo Nchi ya Marekani katika sekta zote...

READ MORE

Waandaaji Kili Marathon Waonya Kuhusu Uchelewaji Kuchukua Namba

WAANDAAJI wa mbio za Kilimanjaro Premium Lager Marathon wamewakumbusha washiriki kuzingatia muda uliotolewa wa kutoa namba za kukimbia huku zoezi...

READ MORE

Video: Polisi Wamdaka Kigogo CHADEMA , Bei Ya Gesi Haikamatiki…Front Page

Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘FRONT PAGE’ Hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi makini…....

READ MORE

Yasome Hapa Magazeti ya Leo Februari 24, 2022

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Februari 24, 2022 Usipitwe na Matukio,...

READ MORE

Zawadi za NMB Mastabata Kivyakovyako Zafikia Mil 80

  Jumla ya Sh Milioni 80,000,000 zimetolewa na Benki ya NMB kwa wateja 80 waliojishindia katika droo ya MastaBata Kivyakovyako....

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la SpotiXtra kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/= iOS :...

READ MORE

Mayele Azawadidwa Ng’ombe Morogoro

MMOJA wa mashabiki wa Yanga, mwenye asili ya Kimasai anaefahamika kwa jina la Mauya mkazi wa Dakawa, amemzawadia ng’ombe mzima...

READ MORE

Feisal Akiri Kufunga Bao la Mkono

KIUNGO mshambuliaji wa Timu ya Yanga, Feisal Salum ‘Fei Toto’ amekiri kuwa bao alilofunga leo Jumatano, Februari 23, 2022 dhidi...

READ MORE

Kisa Waarabu, Matajiri Waongezea Mkwanja Simba

AWALI uongozi wa Simba uliwatangazia wachezaji kuwapa bonasi ya dola 100,000 (Sh mil 231) katika kila mechi watakayoshinda, lakini kutokana...

READ MORE

Yanga Yatafuna Miwa ya Mtibwa Manungu

VINARA wa ligi kuu ya NBC Yanga leo imemaliza mzunguko wa kwanza wa ligi hiyo kwa ushindi wa mabao 2-0...

READ MORE

Mzee wa Baraza la Mahakama Akwamisha Kesi Ya Mke wa Bilionea Msuya

Kesi ya mauaji  inayomkabili mke wa aliyekuwa mfanyabiashara marehemu bilionea Erasto Msuya, Miriam Mrita na mfanyabiashara Revocatus Muyella imeshindwa kuendelea...

READ MORE

Rapper wa Afrika Kusini Riky Rick Ajinyonga

Rapper maarufu nchini Afrika Kusini, Rikhado Muziwendlovu Makhado almaarufu ‘Riky Rick’ amekufa baada ya kujinyonga jijini Johannesburg.   Muda mfupi...

READ MORE

Chama: Simba Fanyeni Hivi Kuiua Berkane

KIUNGO wa Simba, Clatous Chama amewaibia siri nyota wenzake wa klabu hiyo wakati wakijiandaa kucheza na RS Berkane akiwataka kuwa...

READ MORE

Majaliwa: Tanzania Kuendeleza Uhusiano Kimataifa

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema kuwa Tanzania itaendeleza uhusiano na mataifa mbalimbali duniani ikiwemo Nchi ya Marekani katika sekta zote...

READ MORE

Kenya: Wanaume Walalamikia Uchafu wa Wake Zao

WANAUME kutoka Kijiji cha Kagumoini, eneo bunge la Gatundu Kusini, kaunti ya Kiambu nchini Kenya wamelalamikia wakidai kuwa wake zao...

READ MORE