×

Mwenyekiti Amuua Mkewe, Naye Ajinyonga

MWENYEKITI wa Kitongoji cha Urua chini, kijiji cha Mfuruashe wilayani Rombo, Agustine Moshi (35) anadaiwa kumuua mkewe, Anastasia Agustine (31)...

READ MORE

CHADEMA Yasusia Uchaguzi Ngorongoro

TAARIFA KWA UMMA Katibu Mkuu John Mnyika ameiandikia barua Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuitaarifu rasmi kuwa Chadema hakitashiriki...

READ MORE

CCM Yafumua Makatibu Nchi Nzima, Yapanga Upya

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) katika kuendelea kufanya mageuzi ya kiuongozi na kiutendaji ili kukidhi mahitaji ya wakati, mwenendo wa mabadiliko...

READ MORE

Wachezaji Man United Wamkataa Ole Solskjaer

INAELEZWA kwamba Kocha wa Man United, Ole Gunnar Solskjaer anapata wakati mgumu kurejesha utulivu miongoni mwa wachezaji wa Man United...

READ MORE

Mwanza: Watano wa Familia Moja Wafariki Ajali ya Moto

WATU watano wa familia moja wamefariki dunia, baada ya nyumba waliokuwa wakiishi kuteketea kwa moto wakati wakiwa wamelala usiku wa...

READ MORE

ECOWAS Yawawekea Vikwazo Viongozi wa Mali

JUMUIYA ya kiuchumi ya nchi za magharibi mwa Afrika, Ecowas imeweka vikwazo dhidi ya viongozi wa mpito wa Mali na...

READ MORE

Soko la Gikomba Lateketea kwa Moto

MOTO mkubwa umeteketeza upande mmoja wa Soko la Gikomba jijini Nairobi na kuharibu mali ya thamani isiojulikana mapema leo Jumatatu,...

READ MORE

Shahidi wa nane kesi ya kina Mbowe leo

BAADA ya mapumziko ya weekend, leo Jumatatu, Novemba 8,2021 kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na...

READ MORE

Bastola ya Marekani Ilivyokamatwa Tanga

Jeshi la Polisi mkoa wa Tanga, limekamata Bastola aina ya Trurus ambayo imetengenezwa nchini Marekani, ikiwa na risasi 5 pamoja...

READ MORE

Korea Kaskazini Yafyatua Makombora Tena

KASKAZINI Kaskazini imefanya zoezi la kufyetua mizinga ili kuimarisha uwezo wake wa ulinzi. Haya yameripotiwa jana na shirika la habari...

READ MORE

Musiba Akata Rufaa Hukumu ya Tsh. Bilioni 6 za Membe

MMILIKI wa vyombo vya habari vya Tanzanite, Cyprian Musiba, ameazimia kwenda Mahakama ya Rufaa kupinga uamuzi wa Mahakama Kuu Kanda...

READ MORE

Mama Mzazi wa Marehemu Hamza Afariki Dunia

MAMA mzazi wa kijana  Hamza Mohammed aliyeshambulia na kuua askari wanne kwa risasi kabla ya yeye kuuawa kwa kupigwa katika...

READ MORE

Watu Watano Wadaiwa Kupotea Lindi

WATU watano wakazi wa Kijiji cha Rutamba Halmashauri ya Mtama wanadaiwa kuwa ni wanachama wa Chama cha Wananchi (CUF), wamepotea...

READ MORE

Nafasi za Kazi ZTE Corporation, Account Manager

Account Manager   ZTE Corporation Dar es Salaam, Tanzania Full-time Job Specifications: The role includes the following key responsibilities; Customer...

READ MORE

Polepole: Sina Mpango na Ubunge

MBUNGE wa Kuteuliwa na Rais, Humphrey Polepole ameweka wazi kwamba hana mpango wa kuwania nafasi ya ubunge wa jimbo ifikapo...

READ MORE

Nafasi za Kazi 6 Dar es salaam City Council (DCC) 2021

Dar es Salaam (Dar) (from Arabic: دار السلام‎ Dār as-Salām, “the house of peace”; formerly Mzizima) is the former capital...

READ MORE

CCM Yateua Mgombea Ubunge wa Ngorongoro, Umeya Shinyanga

Taarifa kutoka Chama Cha Mapinduzi. Yateua mgombea Ubunge wa Ngorongoro pamoja na wagombea Umeya wa Shinyanga.

READ MORE

Haile Selasile: Mfalme Aliyeuawa na Kutupwa Chooni!

Haile Selassie akiwa na umri wa miaka 13 tu, alipewa ukuu wa mgambo, wakati siku hizi kijana wa miaka 30...

READ MORE

Kocha Simba Ataja Chanzo cha Kadi Nyekundu

Aliyekuwa Kaimu Kocha Mkuu wa Simba, Hitimana Thierry, amevunja ukimya na kutaja kuwa kukamiwa na kuchezewa kwa nguvu nyingi na...

READ MORE

Ishara 4 Rayvanny Kurudiana na Fahyma

KUNA msemo usemwao mapenzi ya kweli hayafi na hata yakifa hayaozi na hata kama ikitokea yakaoza, basi hutoa harufu ya...

READ MORE