×

Mapinduzi Sudan: Nyumba ya Waziri Mkuu Yazingrwa

Waziri Mkuu wa Sudan, Abdallah Hamdok amewekwa chini ya ulinzi nyumbani kwake baada ya Wanajeshi ambao hawajafahamika kuvamia makazi yake...

READ MORE

Lulu Diva: Sitaki Tena Mambo ya Mkorogo

LULU Abbas ndilo jina halisi alilopewa na wazazi wake. Lakini jina la kutafutia tonge la kila siku kupitia uimbaji alijipachika...

READ MORE

Belle 9: Siwezi Kutembea na Mwanamke Aliyenizidi Umri

NI mzaliwa kutoka mkoani Iringa, lakini baada ya muda kidogo kupita baba yake alihamishia makazi yake mkoani Morogoro kikazi. Wakati...

READ MORE

Hii Ndio Kauli ya Barbara Simba

OFISA Mtendaji Mkuu wa klabu ya Simba SC, Barbara Gonzalez amesema kuwa wamejifunza kuwaheshimu wapenzani wao kwani hakuna dhamana katika...

READ MORE

Mama wa Rapa Snoop Dogg Afariki Dunia

MAMA mzazi wa Rapper Snoop Dogg, aitwae Beverly Tate amefariki akiwa na umri wa miaka 70, chanzo cha kifo chake...

READ MORE

Petit Man Aifagilia Runinga Mpya ya Shemeji Yake Diamond Kutoka Lampard Electronics

PETIT Man akizungumza kwenye uzinduzi wa duka hilo kulia ni mdau wa duka hilo Issa Azam na kushoto ni balozi...

READ MORE

Fahamu Maajabu ya Infinix NOTE 11, Kioo cha Amoled

Siku hadi siku tumekuwa tukishuhudia namna makampuni ya simu yanavyochuana kuleta simu zenye sifa za hali ya juu na moja...

READ MORE

Rosa Ree: Wanaume Msiogope Kuwa na Vitambi

RAPA wa kike Bongo, Rosary Robert Iwole almaarufu Rosa Ree anasema kuwa, wanaume wasiogope kuwa na vitambi kwa kuhofia kuachwa...

READ MORE

Wema: Dhambi Hii Imeniepuka

SUPASTAA mwenye jina lake kunako Bongo Movies, Wema Isaac Sepetu anafunguka kuwa, kama kuna dhambi ya kuchora tatuu ya jina...

READ MORE

King Kiba Hakamatiki Aisee

ALBAM mpya ya Mfalme wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba au King Kiba iitwayo The Only One King aliyoiachia Oktoba...

READ MORE

Amber Lulu: Kukaa Uchi ni Ushamba

MUUZA nyago (video queen) maarufu ambaye pia ni msanii anayefanya vizuri kwenye anga la Bongo Fleva, Lulu Euggen almaarufu Amber...

READ MORE

Diamond, Wizkid Vita ya Kikubwa

MAJINA ya wanamuziki mbalimbali yametajwa kuwania Tuzo za MTV EMA 2021 ambazo zitafanyika jijini Budapest nchini Hungury katika Bara la...

READ MORE

Kajala Amepata Mrithi wa Harmonize

MWANAMAMA mwingine kunako Bongo Movies, Kajala Masanja ameibua maswali kwamba huwenda amepata mrithi wa aliyekuwa mpenzi wake ambaye ni msanii...

READ MORE

Yasome Hapa Magazeti ya Leo Jumatatu, Oktoba 25, 2021

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Oktoba 25, 2021. Usipitwe na Matukio,...

READ MORE

Dkt.Mpango akutana na Pope Theodoros II Ikulu DSM

Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango jana Oktoba 24,2021 amekutana na kufanya mazungumzo na Baba Mtakatifu Beatitude Theodoros II (The...

READ MORE

Liverpool Yaipa Man United Kipigo cha Mbwa Koko

TIMU ya Manchester United wamepokea kichapo cha kihistoria baada ya kupigwa mabao matano kwa bila na mahasidi wao Liverpool katika...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Ijumaa Wikienda kirahisi zaidi hapa

jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazet la Ijumaa Wikienda kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania...

READ MORE

The Cask Bar Yateketea kwa Moto – Video

The Cask Bar iliyopo Rocky City Mall Jijini Mwanza imewaka moto usiku wa kuamkia leo Oktoba 25, 2021 chanzo cha...

READ MORE

VIDEO: POLEPOLE AIBUKA na JIPYA, AWATETEA WAMACHINGA, “WANACHOFANYIWA SIO SAWA”.

 MBUNGE wa kuteuliwa na Rais, Humphrey Polepole amewatetea wamachinga na kudai wanachofanyiwa na wanaobomoa vibanda sio jambo ambalo wametumwa...

READ MORE