×

Achinjwa Kisa Deni la Tsh 400,000

MKAZI wa Majengo Sokola, katika Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga, Gongo Charles (30), ameuawa kwa kuchinjwa na watu wanaodaiwa kumdai...

READ MORE

Guinea: Mechi ya Kimataifa Yaahirishwa

Kufuatia machafuko nchini Guinea, mchuano wa timu ya taifa hilo wa kufuzu kwa kombe la dunia dhidi ya Morocco nyumbani...

READ MORE

Ratiba Ligi Kuu Bara leo

BODI ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), imeweka wazi kuwa tayari imekamilisha uandaaji wa ratiba ya michezo ya Ligi Kuu Bara...

READ MORE

SGR Makutupora – Tabora – Isaka Kuanza Soon

Shirika la Reli Tanzania linategemea kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa Reli ya kisasa – SGR kipande cha Makutupora...

READ MORE

Lukaku Amvulia Kofia Ronaldo

MSHAMBULIAJI  hatari wa Chelsea, anayewika kwenye timu yake ya Taifa ya Ubelgiji, Romelu Lukaku mwenye umri wa miaka 28, amemvulia...

READ MORE

DED Malinyi Apata Ajali

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi (DED), Mkoa wa Morogoro, Joanfaith Kataraiya na dereva wake wamejeruhiwa katika ajali...

READ MORE

Hatimaye Okwi Atangaza Kurejea Simba SC

MSHAMBULIAJI na Nahodha wa Timu ya Taifa ya Uganda (Cranes), Emmanuel Okwi, amesema anaamini ipo siku atarejea kwa mara nyingine...

READ MORE

Jaji Ajitoa Kesi ya Mbowe

Jaji kutoka Mahakama Kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi na Makosa ya Rushwa, maarufu kama Mahakama ya Mafisadi,Jaji Elinaza Luvanda amejitoa...

READ MORE

Msajili wa Vyama Awaita IGP Sirro, Viongozi wa Siasa – Video

Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Jaji Francis Mutungi, amevitaka vyama vya siasa nchini kusimamisha makongamano na mikutano ya kisiasa...

READ MORE

Rais Zuma Amaliza Kifungo Chake Jela

RAIS wa zamani wa Afrika Kusini, Jacob Zuma ambaye alihukumiwa kifungo cha miezi 15 jela baada ya kukaidi agizo la...

READ MORE

Nabi Atoa Agizo Zito kwa Diarra, Aucho

WAKATI Klabu ya Yanga jana ikicheza mechi nyingine ya ndani ya mazoezi dhidi ya Pan African SC jana, kujiwinda na...

READ MORE

Mbowe na Wenzake Wafikishwa Mahakamani – Video

MWENYEKITI wa CHADEMA, Freeman Mbowe na wenzake, leo Jumatatu, Septemba 6, 2021 wamefikishwa katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es...

READ MORE

Fahamu Mambo Yanayoweza Kusababisha Kifo cha Ghafla Wakati wa Tendo

MATUKIO ya watu kupoteza maisha ghafla wakati wa tendo, yamekuwa yakiripotiwa mara kwa mara lakini ni wachache wanaoweza kuwa wanajua...

READ MORE

Tanzia: Mwandishi wa Azam Media Afariki Dunia

Mwandishi wa habari wa Azam Media mkoa wa Kagera, Nicolaus Ngaiza amefariki dunia saa nne usiku jana Jumapili badaa ya...

READ MORE

Waziri Mkuu Afanya Uzinduzi wa Vituo vya Huduma Pamoja – Posta

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa leo Jumatatu, Septemba 6, 2021 anazindua Vituo vya...

READ MORE

Bondia Mwakinyo Apanda Ubora Duniani

BONDIA Mtanzania Hythani Hamza Halfan ama maarufu kama Hassan Mwakinyo wa uzito wa Super Welter amepanda kutoka nafasi ya 24...

READ MORE

Wanaopinga Taliban: Tupo Tayari kwa Mazungumzo

  KIONGOZI wa Kundi la Wapiganaji wanaopinga kundi la Taliban nchini Afghanistan anayeongza vita vikali dhidi ya Taliban katika Bonde...

READ MORE

Mayai ya Uzazi Kuhifadhiwa Kwenye Barafu Hadi Miaka 55

TEKNOLOJIA ya kuhifadhi mayai ya uzazi ya mwanamke na manii ya mwanaume imeboreshwa na sasa utunzaji wa mayai hayo utaongezwa...

READ MORE

Mapacha Walioungana Vichwa Watenganishwa

WATOTO pacha wenye umri wa mwaka mmoja ambao walizaliwa wakiwa wameungan nyuma ya vichwa vyao wameweza kuonana kwa mara ya...

READ MORE