×

Live: Polepole, Gwajima, Slaa Mbele ya Majaliwa Leo|Hatima ya Mbowe Kujulikana | Front Page..

KARIBU Utazame ‘255 FRONT PAGE’ Kipindi bora cha Asubuhi kutoka Global Radio, ujipatie uchambuzi wa masuala mbalimbali ya kisiasa pamoja...

READ MORE

Soko la Usafiri wa Kukodi Liko Katika Nafasi ya Kukua Ukanda wa Afrika Mashariki

Sekta ya usafirishaji imekuwa kwa haraka katika nchi nyingi barani Afrika kutokana na kuwepo kwa usafiri wa kukodi ambako wateja...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Ijumaa Wikienda kirahisi zaidi hapa

jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazet la Ijumaa Wikienda kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania...

READ MORE

Malengo Tamasha la NMB na Wabunge Lamvutia Makamu wa Rais

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Phillip Isdor Mpango, amesifu malengo chanya ya Tamasha la NMB...

READ MORE

Habari Kubwa za Magazeti ya Tanzania Leo Septemba 6, 2021

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Septemba 6, 2021. Usipitwe na Matukio,...

READ MORE

CRYOGENIC PRESEVARTION: Teknolojia ya kuwahifadhi Wafu kisha Kuwafufua

Dunia inakwenda kwa kasi sana, wanasayansi wanaumiza vichwa kila kukicha ili kupambana na hofu kuu ya binadamu, kifo. Ipo wazi...

READ MORE

Madaktari Wamvaa Wolper Kisa Ulevi Akinyonyesha

  WANASEMA siku zote kuzaa siyo kazi, bali kazi ni kulea na hicho ndicho kinachojiri kwa supastaa wa Bongo Movies,...

READ MORE

Taharuki! Maiti Yafukuliwa, Mwili Wakutwa Juu ya Kaburi

HALI ya taharuki imetokea katika kitongoji cha Kipondoda wilayani Manyoni mkoani Singida, baada ya mwili wa marehemu, Julia Amasi, mwenye...

READ MORE

Gwajima Azungumza Jimboni Kwake; Chanjo ni Hiyari, Tusitishane-Video

MBUNGE wa Kawe Askofu Josephat Gwajima amezungumza jimboni kwake leo Septemba 5, 2021, amesema chanjo ni “chanjo ni hiyari, anayetaka...

READ MORE

Ruangwa Jimbo Cup Yaibua 7 Kwenda Namungo-20

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Ruangwa ameshuhudia mechi ya fainali ya mashindano kuwania kombe...

READ MORE

Leseni ya Gazeti la Raia Mwema Yasitishwa

GAZETI la Rai Mwema limesitishiwa leseni ya uchapishaji na usambazaji kwa muda wa siku 30   kuanzia kesho Septemba 6, 2021...

READ MORE

Mwanyiko Awashukuru Mashabiki, Atuma Ujumbe

  BONDIA HASSAN Mwakinyo, ametoa shukuran kwa watu mbalimbali kwa ushirikiano ambao wamemuonesha katika maandalizi ya pambano lake na Julius...

READ MORE

Wanne Wafariki kwa Ajali Kagera

WATU wanne ambao majina yao hayakupatikana haraka wamefariki dunia na wengine 33 kujeruhiwa baada ya basi la kampuni ya Fikosh...

READ MORE

Rais Samia: ”Tanzanite Yetu Ilikuwa Inazagaa Tu’ – Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Samia Suluhu Hassan amesema ni wakati sasa madini ya Tanzanite yatambulike kuwa yanapatikana...

READ MORE

GSM Yaweka Mzigo wa Maana Yanga

KATIKA kuhakikisha Yanga wanafanya vyema katika michuano ya kimataifa, uongozi wa timu hiyo kwa kushirikiana na wadhamini wao Kampuni ya...

READ MORE

Askofu Gwajima Ajibu Mapigo ya Kamati ya Bunge

MBUNGE wa Kawe mkoani Dar es Salaam (CCM), Askofu Josephat Gwajima, amewaeleza waumini wake wa Kanisa la Ufufuo na Uzima,...

READ MORE

Senzo Aichimba Mkwara Mzito Simba

BAADA ya kutangazwa kuwa Ofisa Mtendaji Mkuu wa Yanga, Senzo Mazingiza amechimba mkwara mzito kuwa ni lazima kikosi hicho kifanye...

READ MORE

Polepole Azungumza Mazito Kuhusu Uongozi – Video

 Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Humphrey Polepole ametoa elimu ya Uongozi.

READ MORE

Diamond, Hamisa na Fayhma Wang’ara Afrika

MWANAMUZIKI wa Tanzania, Nasib Abdul maarufu kama Diamond Platnumz ameibuka Msanii Bora wa Mwaka Afrika katika Tuzo za Scream All...

READ MORE

Azam Iko Fiti Kuelekea Ligi Kuu, Kimataifa

KOCHA mkuu wa Azam, George Lwandamina ameweka wazi kuwa maandalizi yao ya kabla ya msimu ‘Pre-season’ nchini Zambia, yamekuwa na...

READ MORE