×

Ibrah Amchokoza Rayvanny Kwa Fahyma

HUU sasa ni uchokozi… Eti Ibraah naye anataka kujipumzisha kwa mzazi mwenza wa Rayvanny, Fahyma ili tu kuendeleza ligi kati...

READ MORE

Mifumo Mitatu Itakayoibeba Yanga

KOCHA Mkuu wa Yanga raia wa Tunisia, Nasreddine Nabi ashindwe mwenyewe katika msimu ujao ni kutokana na usajili ambao umefanywa...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la spotixtra kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/= iOS  https://apple.co/38HjiCx Android  http://bit.ly/38Lluc8...

READ MORE

Habari Kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Agosti 12, 2021

 Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Agosti 12, 2021. Usipitwe na...

READ MORE

Dereva wa Bolt Ajivunia Mafanikio Yake

Fabian Shao (32) anasema kuwa baada ya kuacha kazi ya udereva katika shirika moja la kimataifa na kuamua kujiajiri na...

READ MORE

Kumekucha! Tigo Kandanda Yazinduliwa

  Kampuni inayoongoza kwa maisha ya dijitali nchini Tanzania, Tigo, leo imezindua shindano la Tigo Kandanda.   Washindi wa shindano...

READ MORE

Mbaroni kwa Tuhuma za Ubadhirifu Fedha za Maji

JESHI la Polisi mkoani Geita linawashikilia viongozi watatu wa kamati ya jumuiya ya maji inayosimamia mradi wa maji wa Mharamba...

READ MORE

‘Bwam’dogo’ wa Uwoya Dubai Gumzo

BATA analokula msanii Irene Uwoya, Dubai, Falme za Kiarabu, tangu Juni 22, mwaka huu alipotinga huko, linaendelea kuwaunguza wenye roho...

READ MORE

Serikali Yasitisha Leseni ya Gazeti la Uhuru

Serikali imesitisha leseni ya Gazeti la Uhuru kwa siku 14 kuanzia Agosti 12, 2021. Mkurugenzi wa Habari-MAELEZO, Gerson Msigwa amesema...

READ MORE

Rais Samia Akutana na Rais wa TLS na Majaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Rais wa Chama cha Wanasheria...

READ MORE

Gazeti la Uhuru Lasimamishwa, Watatu Wasimamishwa Kazi – Video

KATIBU Mkuu wa Chama Cha mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo ametangaza kusitishwa kwa uchapaji wa gazeti linalomilikiwa na chama hicho, gazeti...

READ MORE

Mkurugenzi NIDA na Wenzake Wakutwa na Hatia

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imewakuta na kesi ya kujibu, aliyekuwa Mkurugenzi wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), Dickson...

READ MORE

Watu 24 Wafariki Baada ya Kula Mbolea

WATU 24 wa familia moja wamefariki baada ya kula chakula kinachoshukiwa kuwa na sumu kaskazini magharibi mwa Nigeria. Tukio hilo...

READ MORE

Watu Sita Mbaroni Sakata la Fumanizi na Kujeruhi

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, linawashikilia watu sita kwa tuhuma za kuwashambulia na kuwarekodi video za...

READ MORE

Simbachawene: Magereza ya Tanzania Yanaendeshwa Kikoloni

WAZIRI wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene amesema Magereza ya Tanzania yana viashiria vya ukoloni na kwamba kuna safari ndefu...

READ MORE

Majibu ya Gigy Money Kuhusu Kurudiana na Mo Jay

MSANII Gigy Money amejibu madai ya taarifa za kurudiana na mzazi mwenzie Mo Jay baada ya kuonekana wakiwa pamoja na...

READ MORE

Gomes Ashusha Mbadala wa Chama Simba SC

KOCHA Mkuu wa Simba, Mfaransa, Didier Gomes ameagiza haraka aletewe kiungo mchezeshaji wa kati mwenye uwezo wa kutengeneza nafasi ‘asisti’...

READ MORE

Biashara United Yamaliza Biashara na Majembe ya Kazi

BIASHARA United wanaopenda kujiita Wanajeshi wa Mpakani wameanza kazi ya kutambulisha majembe mapya kwa ajili ya msimu ujao wa 2021/22....

READ MORE

CCM Yasikitishwa na Upotoshwaji wa Gazeti la Uhuru

Chama cha Mapinduzi kimesikitishwa na upotoshwaji mkubwa uliyofanywa na gazeti la Uhuru toleo Namba 24084 la leo Jumatano 11 Agosti,...

READ MORE