×

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Julai 8, 2021

 Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Julai 8, 2021. Usipitwe na...

READ MORE

Zimbabwe Yatoa Noti Mpya ya Thamani ya Juu Zaidi

Kuanzia Jumatano nchini Zimbabwe itasambazwa noti mpya ya dola 50, ikiwa ndio yenye thamani kubwa zaidi kuwahi kutolea Zimbabwe tangu...

READ MORE

Mke wa Rais wa Haiti Hajafariki

Mke wa aliyekuwa Rais wa Haiti Jovenel Moïse (aliyeuawa jana kwa shambulio), Bi. Martine Moïse (47) hajafariki kama ilivyoripotiwa awali...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la spotixtra kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/= iOS 👉 https://apple.co/38HjiCx Android 👉 http://bit.ly/38Lluc8...

READ MORE

Mzee Mpili Atoa Tamko Zito

BAADA ya Yanga kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Simba, Jumamosi iliyopita, mwanachama maarufu wa Yanga, Mzee Mpili...

READ MORE

Mrithi wa Metacha Yanga Huyu Hapa

Klabu ya Yanga imefanya mazungumzo na golikipa wa Klabu ya FC San Pedro ya nchini Ivory Coast, Tape Eliezer Ira,...

READ MORE

Samia: Chokochoko Zimeanza, Washajua Matumbo Yao Yanajaaje – Video

    RAIS wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania ameanza ziara ya kikazi ya siku mbili mkoani Morogoro na kupata...

READ MORE

Bao la Mauya Lamtesa Gomes

KOCHA Mkuu wa Simba, Mfaransa, Didier Gomes, amesema anasikitika muda mwingi aliopoteza kutazama video za michezo iliyopita ya watani wao...

READ MORE

Papa Francis Awateua Watanzania Wawili

Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis amewateua Padri Henry Mchamungu na Padri Stephano Musomba kuwa maaskofu wasaidizi wa...

READ MORE

Rais Samia Akutana na Mkurugenzi wa Barrick Gold

Rais Samia Suluhu Hassan, leo Julai 7, 2021 amekutana na kufanya mazungumzo na Afisa Mtendaji Mkuu wa Makampuni ya Barrick...

READ MORE

Breaking: Rais wa Haiti Auawa Kwenye Makazi Yake

Rais wa Haiti Jovenel Moise ameuawa katika shambulio dhidi ya makazi yake mjini Port-au-Prince – amesema kaimu Waziri mkuu Claude...

READ MORE

Rais Samia Ataja Mikoa Yenye Wagonjwa wa Corona – Video

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema wimbi la tatu la ugonjwa wa corona limeshaingia nchini na tayari kuna wagonjwa katika mikoa...

READ MORE

Nafasi ya kazi Sustainability in Action, Program Associate

Summary Organization: Sustainability in Action (SiA) Location: Tanzania Job title: Programme Associate Job Type: Part-time Application deadline: Friday, July 23,...

READ MORE

Balozi Mulamula Aapa kuwa Mjumbe wa Baraza la Maamuzi EALA

BUNGE la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) limemuapisha Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata...

READ MORE

Yanga Yawashukuru Mashabiki Kipigo cha Simba

Uongozi wa Yanga, umewashukuru mashabiki wao kwa ushirikiano waliouto wakati wa mkutano mkuu na mchezo wao dhidi ya watani zao...

READ MORE

Sabasaba Kumekucha, Wananchi Waanza Kumiminika

Ikiwa leo ni Maadhimisho ya sabasaba mapema leo wananchi wameanza kufurika katika maonesho ya 45 yaBiashara yaKimataifa yanayofanyika viwanja vya...

READ MORE

Nabii Paul: Niliwaona Malaika Wakimbeba TB Joshua

KATIKA video iliyosambaa sana, mjumbe wa Mungu Nabii Paul alitabiri kwamba aliwaona malaika, waliomchukua Nabii TB Joshua kutoka duniani.  ...

READ MORE

Nay wa Mitego: Sitaki Tena Kuonyesha Mali Zangu

Nay wa Mitego amesema amejifunza mambo mengi hivyo hataki kuyaonyesha maisha yake kwenye mitandao ya kijamii kama ilivyokuwa mwanzo akifanya...

READ MORE

Miili ya Watu Waliokufa Maji Yaokolewa

MIILI ya watu watano akiwemo mwanafunzi wa kidato cha nne waliokuwa wakihofiwa kufa maji Wilayani Singida imepatikana na kuopolewa baada...

READ MORE

Pasta Asherehekea Kifo cha TB Joshua

PASTA mmoja wa Uganda alisherehekea kifo cha Nabii Temitope Balogun Joshua, almaarufu TB Joshua, akimtaja marehemu kama “mchawi mkuu barani...

READ MORE