×

RC Songwe Agawa Miche Ya Michikichi Kwa Wakulima

Mkuu wa Mkoa wa Songwe Mhe. Omary mgumba amewagawia wakulima wa wilya ya Mbozi na Momba mkoani Songwe pamoja na...

READ MORE

Abuni Lensi, Hadubini na Darubini Kwa Kutumia Maji

Mbunifu wa vifaa vya maabara anayeatamiwa na Kituo cha VETA cha Uatamizi wa Ubunifu na Ujasiriamali (VETA NICIE), Bellington Lyimo,...

READ MORE

Kaizer Chiefs Yamfukuza Kocha Wake

  Kaizer Chiefs imevunja mkataba wa aliyekuwa kocha wake Gavin Hunt. Kocha huyo alijiunga na Kaizer Chiefs September 2020 na...

READ MORE

CCM Yalaani Mbunge Catherine Magige Kuvamia Mazishi

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimechukizwa na kulaani kitendo kilichofanywa na baadhi ya viongozi wa umoja wa wanawake wa chama hicho...

READ MORE

Baraza la Madiwani Laukataa Mkoa Mpya wa Chato

Baraza Maalum la Madiwani Halmashauri ya Wilani Geita Mkoa wa Geita wamepinga wilaya mpya ya Busanda pamoja na hifadi ya...

READ MORE

Rais Samia Akutana na Msaidizi wa Katibu Mkuu wa UN (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Mei 28, 2021 amekutana na kufanya mazungumzo na Msaidizi...

READ MORE

Kishindo cha Idahams Kwenye EP ‘Man on the Fire’

    Na Mwandishi Wetu MSANII anayefanya vizuri katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya nchini Nigeria, Idahams amefanikiwa kukivuka...

READ MORE

Kipindi cha DARASA Chatimiza Mwaka Mmoja – Video

KIPINDI cha Darasa kinachoruka kupitia @255GlobalRadio kimefanya hafla ya baada ya kutimiza mwaka mmoja leo Ijumaa, mei 28, 2021 tangu...

READ MORE

SportPesa Yakabidhi Hundi ya Sh Mil 50 Simba

KAMPUNI ya burudani na michezo SportPesa jana imekabidhi mfano wa hundi ya Sh 50Mil kwa Simba baada ya kufuzu hatua...

READ MORE

Gomes Awageukia Namungo, Atangaza Vita

  KOCHA Mkuu wa Simba, Didier Gomes Da Rosa, amefunguka kuwa moja ya malengo yake kwa sasa ni kuhakikisha wanapata...

READ MORE

Waziri Ummy Awasimamisha Kazi Watumishi Wanne

WAZIRI wa nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Ummy Mwalimu amewasimamisha kazi wiki...

READ MORE

Kampuni Nike Yamtema Neymar

KAMPUNI kubwa ya mavazi nchini Marekani Nike inasema iliacha kufanya kazi na mwanasoka wa Brazil Neymar kwa sababu “alikataa kushirikiana...

READ MORE

Waliochanjwa Kenya Kuchanjwa Tena

WIZARA ya Afya ya Kenya imezishauri hospitali kuacha kutoa dozi ya kwanza ya chanjo ya AstraZeneca kwa ajili ya kujikinga...

READ MORE

Historia ya Kagame, Rais Aliyeitoa Rwanda Machinjioni! – Video

PAUL Kagame alizaliwa RWANDA, akakulia ukimbizini, akatembelea kucha, akaonja adha ya kuwa mkimbizi, akaapa kurudi kwao, na kweli akarudi kwa...

READ MORE

Watu Laki 4 Watoroka Mlipuko wa Volkano Congo

UMOJA wa Mataifa umesema kwamba zaidi ya watu 400,000 wametoroka Mji wa Goma nchini DR Congo kutokana na hofu ya...

READ MORE

Mgambo Matatani kwa Tuhuma za Mauwaji

JESHI la Polisi Mkoa wa Kigoma linawashikilia askari wanne wa Jeshi la Akiba la Mgambo, kwa tuhuma za kumpiga na...

READ MORE

Vitu Vipyaa! Kuuzwa kwa Mnada Bei Chee – Video

TAMBAZA AUCTION MART & GENERAL BROKERS LIMITED kwa idhini tuliyopewa tunawatangazia mnada wa hadhara utakaofanyika Jumamosi hii ya Mei 29,...

READ MORE

Usher na Jenn Watarajia Mtoto

STAA wa miondoko ya muziki wa Rnb Usher Raymond  (Usher) na mpenzi wake Jenn wanatarajia kupata mtoto wao wa pili,...

READ MORE

Fainali Ya Uefa League Wikiendi Hii

Meridianbet haijawahi kukuacha kinyonge. Baada ya Fainali ya Europa League iliyokuwa na Odds bomba. Sasa, unaweza kufurahia Wikiendi yako ukibashiri...

READ MORE