×

Morata Afichua Siri za Ronaldo

MSHAMBULIAJI wa Juventus, Alvaro Morata amedai kuwa yeye ni mmoja wa wachezaji wanaomjua vizuri mshambuliaji mwenzake, Cristiano Ronaldo.   Morata...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Juni 7, 2021

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Juni 7, 2021. Usipitwe na Matukio,...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Ijumaa Wikienda kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazet la Ijumaa Wikienda kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa...

READ MORE

NMB, NHIF Kuwawezesha Wakulima Nchini Kujiunga na Bima ya Afya

Benki ya NMB na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) wameingia makubaliano rasmi ya kuwawezesha wakulima walioko ndani...

READ MORE

Korosho Za Mtwara, Lindi Na Ruvuma Kusafirishwa

  Waziri Mkuu amesema kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan ameagiza korosho zote zinazozalishwa...

READ MORE

Video: Global Habari Juni 06 – Muhubiri Tb Joshua Afariki Dunia Nigeria

 Muhubiri maarufu Nchini Nigeria Tb Joshua (57) amefariki dunia alfajiri ya kuamkia hii leo June 6,2021 mara baada ya...

READ MORE

Tb Joshua Miezi 15 Tumboni

WAKATI simanzi ikiwa imetawala kufuatia kifo cha Mhubiri wa Kimataifa wa Nigeria, T.B Joshua, taarifa ikufikie kwamba miongoni mwa stori...

READ MORE

Matola: Simba Kazi Bado Haijamalizika

KOCHA Msaidizi wa Simba, Seleman Matola amesema licha ya ushindi dhidi ya Ruvu Shooting hawajabweteka kuwa wamemaliza kazi badala yake...

READ MORE

Amber Ruth: Mchungaji Mashimo Ni Kila Kitu Kwangu

Msanii wa Bongofleva, Rutyfiya Aboubakary ‘Amber Ruth’ leo Juni 6, 2021 amesema Mchungaji wa Kanisa la Emmaus Bible Church, Daudi...

READ MORE

Rais Samia Kuzungumza na Wanawake Dodoma

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Samia Suluhu Hassan anatarajia kuzungumza na wanawake zaidi ya 10,000 mkoani Dodoma...

READ MORE

Video: Mwakalebela Afunguka – “Morrison Ni Mchezaji Mzuri”

 GLOBAL TV imefanya ‘EXCLUSIVE’ Interview na Makamu Mwenyekiti wa Yanga, Fredrick Mwakalebela, ambaye kwa sasa yupo jela ya mpira...

READ MORE

Injinia: Yanga Tunafanya Usajili Mkubwa

UONGOZI wa Klabu ya Yanga umetamba kuwa, upo kwenye mipango mizito ya kukisuka upya kikosi chao kitakachofanya vizuri na kuandika...

READ MORE

Mfahamu T.B Joshua

HABARI za kifo cha Temitope Balogun Joshua ambaye ni maarufu kwa jina T.B Joshua zimewashtua watu wengi Nigeria na dunia...

READ MORE

Video: Ajifanya Mtoto Wa Kishua, Kumbe Kibaka, Ona Alivyoumbuka!

 Karibu Utazame ‘GLOBAL COMEDY’ Ucheke, uvunje mbavu, usahau shida, madeni, vikoba na matatizo yote uliyonayo. ⚫️ Kwa UPDATES zote,...

READ MORE

Kadi Nyekundu za Ruvu Zamtoa Neno Mkwasa

KOCHA Mkuu wa Ruvu Shooting, Charles Mkwasa amesema kitendo cha wachezaji wake Juma Nyoso na mlinda mlango, Abdallah Rashid kupewa...

READ MORE

Watu 138 Wauwawa

KATIBU mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesikitishwa na mauwaji ya raia kaskazini mwa Burkina Faso, maafisa wa Burkina...

READ MORE

Video: Nandy Apiga Shoo ya Kibabe Kigoma

 MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Faustina Charles Mfinanga, maarufu kwa jina la Nandy usiku wa kuamkia leo Juni...

READ MORE

‘Grealish ni Ronaldo wa England’

JACK Grealish alikuwa ni Cristiano Ronaldo wa England katika mchezo wa Jumatano iliyopita walipocheza dhidi ya Austria, hiyo ni kwa...

READ MORE

Video: Baba Levo Afanya Balaa Nandy Festival Kigoma

 Msanii wa vichekesho na muziki, Clayton Chipando maarufu Baba Levo amefanya balaa usiku wa leo Juni 05, mkoani Kigoma...

READ MORE

Kampuni ya vifaa vya umeme wa jua ya DLight yafungua duka mjini Moshi

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Moshi, Juma Raibu (wa pili toka kushoto) akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa duka la...

READ MORE